Anza wewe mkuu uliliwaje kimasihara na kurubuniwa na mwanaume??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
......
 
Wakuu mko poa?
Miaka kadhaa ilopita mtaani kwetu huko mkoani tulipata Ugeni. Familia Bora kabisa ilihamia Mjini pale. mbali na Hayo familia Ile ilikuja na Zawadi! Zawadi Adhimu ambayo kila Mwanaume Kamili aliitolea macho!
Familia ilikuwa ni ya Baba, mama Mfanyakazi na Watoto wawili, Mmoja alikuwa na Age ya 12 na mwingine alikuwa na 19! Sasa namuongelea Huyu Wa Pili! Binti huyu alikuwa ana uzuri wa ajabu! Alikuwa ana sura ya Kiethiopia na Nyuma Alifungasha bongeee la Pundamilia!.

Hali ikawa ni tete, Washkaji wakaanza Kumuwinda Bila Mafanikio! Vibosile nao hawakuwa Nyuma, wakatoa Madau yao ila wote Wakatolewa nduki![emoji16].
Mzee mzima, Aka Ninja, Aka Sniper, Aka Fumba na Kufumbua Nilikua zangu Nyuma Tu nikisikia Report kutoka Kwa washkaji na Vibosile mbalimbali kuwa wanagonga Mwamba!
.
Kama FBI vile nikamchunguza Mbalimbali yule Sister Anapendelea Zaidi nini. Nilifanya Upelelezi huu kwa siri sana hakuna ambae alitambua haya. Katika Upelelezi wangu wa kina Ninja nikan'gamua kuwa yule sister ni mpenzi sana wa Hii miziki ya Kina Celine. Anapenda Kuiimba na Anapenda aje arecord hata wimbo mmoja ili awe anausikiliza kwao. (Hakuwa na ndoto ya kuja kuwa Star)

So baada ya hapo nikaanza Kumpangia Hesabu za Kumeet nae. Mbali na hapo mzee kila ikifika Jioni ya saa kumi nikaanza mkakati wa Kuzama Pori kwenda kufanya mazoezi ya Kuimba. Nikawa naimba kufuata midondoko ya R Kelly kudadeki! Hahaa R kelly ft Celine Lazima itoke Hit!!.

Nikiwa nakomaa na mazoezi nikawa nahangaika kutafuta Namba zake za simu huku na huko! Nikatafuta, Hadi kuna Siku nikafanikiwa kumuona Mfanyakazi wa Ile Nyumba Housegirl, Alitumwa sokoni kununua mazaga. Nikamvizia Nikamtimbia na kumwomba Anisaidie Kunipa No ya Camila, Akaanza Kujibaraguza baraguza Pale Nikamtolea misimbazi mitatu nikamwonyeshea, akaanza Kulegea na kunipa Masharti kuwa nisije mwambia Camila Kuwa yeye ndo kanipa No Yake.

Nikamwambia Usikonde Kuwa na amani kabisa, akanipa no, Bekitatu mwenyee nyuma anaPundamilia ya kufa mtu! Kama nyigu.

Nikajisemeza Sasa nitamuingiaje huyu mtoto laini. Nikamtext whatsapp na kuanza Kuchat nae, Mwanzo alikuwa msumbufu kuwa Nimepata no yake wapi ila baadae akawa Mtulivu, baada ya pale akaniuliza nataka nini, Nikamwambia Mimi ni producer wa Muziki, af ni Vocalist[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Kuona Vile akaanza Shobo, eeh kama wewe ni Producer kweli Nitumie Mdundo Uimbe Hivi, akanitumia Voice note, Mungu si athumani nilikuwa nafahamiana na jamaa yangu Anaitwa Brown, yeye anajua kutumia Software fulani inaitwa Fl studio, Nikamfowardia Ile Voice note na kumuomba anitengenezee fasta sana ile beat! Baada ya saa Brown akanitumia nami nikamfowardia mtoto laini Camila[emoji4].

Ebwanee Nilipokea Sifaa Hizoo. Camila alinisifia nami bichwa likavimba kwelikweli, Akawa anasema "Brother Unajua watu now days wananisumbua wananitaka ila my Dad na mamaa wamenikanya mno juu ya mambo ya mahusiano, isitoshe mimi mwenyewe nina Vision na Sitaki kabisa zije kuharibika sababu ya Wanaume".

Nikawa najifanya kama Nampa moyo na Kumfariji kuwa aachane na wanaume maana si watu wazuri wana roho za korosho! Binti akajenga uaminifu Kwangu sana! Kila siku ikawa namtumia Voice note za Nyimbo za R kelly na Michael Bolton. Binti akamkubali Ninja.

Siku Moja Akanitext kuwa yupo Home Lonely, ilikuwa ni kama Mida ya Saa kumi na Moja Hivi jioni. Nikamuuliza Vipi wengine wameenda wapi? Akasema "Wamesafiri wameenda Nyumbani Arusha Watarudi Siku tatu kutoka leo", Ilikuwa waondoke wote wamuache mlinzi ila Camila Pekee aligoma na kubaki, walikuwa wanaenda kuangalia nyumba yao Arusha na kuifanyia Usafi hivyo waliondoka na Mfanyakazi pia, ambae Pia ni wa Arusha. Kipindi Hicho Camila Shule ilikuwa imefunga.

Hivyo ndani pale aliachwa Mlinzi getini na Yeye ndani. Kama haitoshi Wakamrundikia ndani mazagazaga kibao ili awe free.
Nikaona Hii hii ndo Chance yangu, tena Golden Chance! Sasa mzee mzima nikaanza kujibaraguza, Ikumbukwe siku zote alikuwa akiniita kwa jina la Kaka nikawaza sasa itakuaje leo kaka Akianza kuomba Tunda!.

Ilipofika Kumi na mbili nikamwuuliza, "Vipi Unaonaje Leo Uje kufanya Mazoezi walao hadi saa mbili hapa Home?"
Akakataa akisema Home kwao kuna Mlinzi na itakuwa Ni risk sana Akionekana yupo Nje ya kwao, kisha wazazi wake wakaja kupata taarifa.
So mi nikaona Nisichezeshe nikamwambia basi Mimi nije hapo kwenu, demu akawa anasitasita, nikajua anaogopa mlinzi nikamwambia "we usijari mimi nakuja".

Mzee huyoooo nduki, Nilipofika karibu na kwao kizaazaa kikawa kuingia ndani maana kuna mlinzi pale af ni mnoko kinoma! Yule Dem akajiongeza kumbe mlinzi mwenyee ni Mlevi kinoma! Aliponiambia Hivyo nikaona huyu Dawa yake Ndogo, Nikamuuliza Camila, utakuwa na 30 hapo? Akasema Yah ipo, nikamwambia Hebu mpelekee huyo mlinzi mwambie Nae aende Akapate mbili tatu!
Kweli Bhana akampelekea Hela ile, kwa hesabu zangu nilijua wazi yule mlinzi lazima Ataelekea huko Vilabuni sio Bar[emoji16] sasa kwa hesabu ya haraka Kwa 30 ile angeweza kununua hata Pipa la Mbege, Komoni, Ulanzi, mnazi au hata kihambule.
Nikajua fika kwa Pigo lile basi siku ile nyumba ya Kina Camila ilikuwa haina tena Ulinzi. Na panya ningeenda kuitawala. Hapo ilikuwa tayari ni giza kwenye saa moja na Nusu. Mlinzi Alipopewa ile 30 hakuchukua round baada kama ya Dk 10 nikasikia Mlio wa Mluzi wa Wimbo, wa Yamoto, ilikuwa ni 2013 wimbo huo ulikuwa unahit alikuwa kavaa Kofia pama.

Mimi nilikuwa Nimejificha juu ya Mti maeneo karibu na kwao. Nikamtumia Sms Camila Vipi Mlinzi keshatoka? Akasema yah, unaweza kuja kaka. Nikajisemeza rohoni huu ukaka huu Ngoja kwanza.
So baada ya Dk Kadhaa huyooo ninja nipo zangu getini nagonga Geti kama kwangu Vile. Camila Akanifungulia, na Shauku, watu Haoooo Ndani, Mzee nimefika mle ndani, nikawa nang'aza Sharubu huku na huko! Bonge moja la Jumbaa! Dem kaniuliza Vip Bro American Ninja Upo Sawa? Nikamwambia yees yes, Wakati huo nikawa natoa laptop yangu kwa bag.

Nilikuwa nimechukua Beat Kama Nne Hivi brown alitengeneza. Nikamdanganya na kumwambia kuna Beat hapa nimekutengeneza naamini zitakufaa, basi baada ya Kuzisikia Akazipenda balaa! Nikaanza kumfundisha jinsi ya kutoa Vocal Nzuri Vocal ya R&B, nikawa namfunza pale kuwa Vocal za R&B zinataka mazoezi si kama singeli mdundiko ama Charanga.

Demu akamuelewa Ninja, Saa mbili na Nusu baada ya kuimba sana Demu akaomba time Akaingia Jikoni na Kuandaa misosi, Mzee Ninja Nikiwa nimejilaza pale sebuleni kwenye sofa matata huku nikipata kiyoyozi mwanana, mkononi na Remote Control, nikiwa na amani tele kama Nipo kwangu asee! Wakati huo Bunduki ndani ya Suruali ilikuwa
Ikichomeka risasi kwa magazine tayari kwa Mashambulizi.

Baada ya muda kidogo camila akaleta misosi na kuweka Dining huku akinikaribisha kwa heshima[emoji847][emoji847][emoji847] Ninja huyooooo nikaitikia wito na kwenda kusosomola pale.[emoji28] Alaaa!!. Ilikuwa ni kuku, wali, sijui na vidudu gani vile mzee nikavigalagaza vyote, sikujali huenda havitonifaa au vitanifaa tumboni.

Wakati huo Camila alikuwa mbele yangu nae akila taratibu huku akiniangalia kwa aibu. Mzee nilikula kwa speed kama Nguruwe sikujali macho ya yule Manzi, Nilivyoshiba nikaona, e waaaaaa! Sasa Nimeshapata nguvu za kufanya lililonileta.
Nikiwa nimejinyoosha pale kwenye kiti kama kibosile, Nikaomba niletewe Stiki kwanza kwa ajili ya kutoa masalia ya nyamanyama kwenye meno, maji ya kunywa na Maji ya kunawa, akafanya hivyo nilivyonawa nikarudi kukaa sebuleni.

Baada ya yeye kumaliza kukusanya vyombo ndipo Akaja sebuleni, mimi nikajifanya naendeleza kipindi changu cha mafunzo ya uimbaji wa R&B. Nikaona muda umefika. Nikavaa Uso wa Nyani,[emoji86] nadhani nyoote mnajua kuwa Nyani hanaga Aibu. alikuwa kasimama Mbele yangu, mimi nimekaa, nikiimba namuambia imbaa anaimba, Taratibu nami nikasimama na kuzidisha Urembo kwenye sauti yangu huku nikiwa karibu nae kabisa.
Mzee nikazidisha urembo kwenye voco na Kupangilia Tone kwa mbwembwe. Siku ile hao mnaosema wanajua kuimba kina Alikiba na kinaMichael jackson wangekimbia. Nilikuwa naimba kwa ustadi wa hali ya juu. Sauti ilikuwa ina mitetemo na mwangwi kama nimemeza CD!
Camila taratibu nikaona anaanza kuimba kama anasinzia! Ninja nikaendelea kutuma Mawimbi hatari kabisa ya sauti kutoka kinywani mwangu hadi ubongoni mwa Camila, Hapo tulikuwa tunaimba Kile kibao matata cha Celine Dion Ft R kelly ~ Angel.
Nilivyoona Anakaribia kuangamia nikamkumbatia nakuanza kupapasa huku na kule, Huku naimalizia Ile mistari ya Mwisho ya R kelly,

Camila akawa Kwishaaaaa! Akawa haimbi tena ila anaguna. Mzee nikamkumbatia kwa hisia kali af nikaingiza mkono wangu kwenye Mtambo wake kwa mbwembwe kabisa huku nikimbembeleza Asilie, Camila akawa Hoi akanikumbatia kwa nguvu sana! Baada ya kumtekenya sana, Ndipo Akaanza kunifungua mkanda wangu wa jeshi, akafungua zipu, akashusha suruali. Kama
Haitoshi huyoooo, "Dubwiiii", akaingiza mkono kwa Jogoo wangu, Jogoo wangu si Haba alikuwa keshajiandaa kweli kweli kwa miezi kadhaa, Udenda ulikuwa ukimtoka kwa uchu. Akawa anamchezea chezea.

Ninja nikaona Isiwe taabu sababu, Tumepiga Vocal sana, ila bahati mbaya tulikosa Mic, haya Mic Hii apa Imepatikana, Akawa anasita sita, Nikamwambia Usiogope, We Jaribu Kidogo tu. Akawa mgumu, Ninja Nikamshika Shingo na Kumuinamisha Chini, Ili amuone Mr Mic, Alivyohamasika, Kinyonge Camila akapiga Magoti, mzee nikatoa Mic yoote. Alikuwa Mwoga Kama Kamuona Popobawa, Nikamsikia akisema wooowwww ile wow ya Kizungu. akaanza kughani mashairi kwenye Mic, taratibu Akaimbaaaaaa, Mimi nikimuhamasisha kwa sauti ya Pili na Bass. nikavua suruali kabisa, maana alikuwa hajavua bado, ilikuwa ipo miguuni, Nikatoa na Boxer haraka ili asighairi. Nikampakata, kumpakata tu ni kasheshe Mtoto ana Pundamilia, hadi ikataka kunizidi uzito. Ila bahati nzuri Dj wa Muziki alikuwa Ni American Ninja aka mr Stamina. Nikakaa nae kwenye sofa, Ghafla Akapiga kelele kubwa Sana![emoji21] Nikaona heee nimeingiza kwingine nini![emoji5]

Kumbe kale kamanzi bado Bikra Bhana heheheee![emoji4] Bikraa kabisa! Pale kazi ikageuka, mzee nikaanza kuhangaika, Camila analia anadai anapata maumivu makali, isitoshe dushe yangu ni sawa na muhogo wa jang'ombe. Tangu saa tatu Nikamaliza Kumtoa Bikra Saa tano usiku! Palepale sebuleni kwao, Ikawa Kapeti Chini lina Damu kama tumechinja kuku. Wakati huo Camila Hajiwezi, Nikaona isiwe kesi ngoja niwe house boy kwa Muda, nikatoka nje ya Jengo, nikakuta kifaa ya kupigia deki, nikatafuta maji mzee nikazama ndani sebuleni nikaosha kapeti, nilikuwa nahofia damu zisije Ganda.

Nikamuuliza Camila Bafuni ni wapi Akasema kule, Mzee nikambeba, nikaingia na mzigo Bafuni Tukapiga Wote soap. Tulipomaliza nikawa nataka nianze kuvaa nguo zangu, demu akasema Subiri kidogo akaenda kuniletea khanga akasema Nijifunge kiunoni nikisubiri kukauka. Mzee huyo nikarudi zangu kwenye sofa huku mkononi na remote control, Nikiwa nimepanua miguu kama kwangu vile, Dem yuko pembeni Kanikumbatia, "Nakupenda" zikawa nyingi. Kaka, Vocalist Zikaisha rasmi.

Ha ha haahahaa kweli Mwenyeji akiondoka panya hutawala! Mzee Nilifanikiwa 100% kutawala ule mjengo wa kifahari kwa masaa kadhaa! Hakuna kitu kutoka wala kuingia! Mlinzi nyakati hizo najua alikuwa huko vilabuni akitambaa Kwa liquid!. Camila hapa nyumbani ulimi ulikuwa nje kama mbuzi mee!
Kidume aliekuwa na Pumzi si mwingine bali ni American Ninja! Nyumba ingekuwa huwa inaweza kuuzwa ndani ya masaa matatu Baba Camila angekuja kukuta nimeacha Manyoya![emoji16].

Majira Ya saa saba nilivyohakikisha Manzi yuko sawa Nikamuaga kuwa naondoka. Ila Ukazuka Ugomvi Camila hataki niondoke anataka tukalale wote chumbani kwake! Isitoshe kanikumbatia mno hata toilet anataka twende wote! Mzee nikaona Isiwe tabu, nikaingia nae chumbani, haoooo Tukambonji.

Baba yangu alipokuwa mzima alikuwa ananiambia mwanangu "kila muda *kaa Chonjo*" hiyo ni moja ya kauli ambayo huwa naizingatia sana.

Mishale ya Kumi na Moja, Nilipohakikisha Camila Kalala kabisa, mzee huyoo kama jini nikala kona, Getini Mlinzi alikuwa Bado Hajarudi.

Kwa leo tuishie hapa. next time nitakuja na jinsi nilivyompa mimba na kuwekwa mtu kati na baba yake na kunusurika kuuawa.

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Mkuu hii ni mara ya pili hii hadithi imepostiwa kwenye huu uzi. Huko nyuma ipo hii stori sema sikumbuki post namba ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanywe miranda nyeusi halo kwa nangi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saaafi[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utoto huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Noma sana [emoji3] kwa utaalam wangu hii 80% ni ukweli. Nasubir part 2


Sent using Jamii Forums mobile app
 
shuhuda zimekuwa za kikuda humu ndani..uzi umevamiwa na madogo wa FB na Instagram..basi imekuwa full purukushani uongo live kama ule wa kwenye movie za kihindi....Bora hata Mikito Mikito alikuwa hatuuzii chai kama hawa wa sasa hivi...
Mkuu tuvumilie warudi vyuoni wakapigwa paper labda watatupumzisha aise! Watoto wanadanganya utadhani wanasimiliana movie za kihindi!

Sent using kidole gumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…