Ungeomba mtandao pendwaDah huu uzi sio poa ila nisiwachoshe wadau mi nahisi kifua kinanibana kishenzi mwenzenu usingizi nakosa na joto hilo linapanda na kibaridi hiki[emoji16]
All In All..Sio kila tunda unafanikiwa kula kimasihara sometyms unatumia efforts kibao na ukakosa kula tunda kiutani utani kama young d[emoji23]...
Nilishawahi kulipia lodge naingia nae anasema yuko Period na kuhakikisha ni kweli simba anacheza[emoji23]kiutani utani tu tukalala kama kaka na mjomba[emoji849]
Twendzetu[emoji16]
Unatafuta nini huku??Andaeitini
Sijawahi kuona mwanaume anatumia emoj za Sokwe
Nilipita tu rafiki angu 😀Unatafuta nini huku??
Rafiki angu😀😀😀😀😀😀😀😀Nilipita tu rafiki angu 😀
Mkimaliza mtupe na ushuhuda wenu siku ya Kwanzaa kunywa ARV
Mi mgeni kweli kweli nasomaga tu comments toka 2012Ahsante Franky
Ila ID yako ngeni machoni kwangu 🚶
Haya, karibuMi mgeni kweli kweli nasomaga tu comments toka 2012
Sio yake kakopi hii story ipo sehemu nyingiMkuu hii ni mara ya pili hii hadithi imepostiwa kwenye huu uzi. Huko nyuma ipo hii stori sema sikumbuki post namba ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Iringa huu mkoa atinina mikasa mingi ya kula kimasikhara japo mingine kimtindo ilinibidi nifosi ila mwisho wa siku nilifanikisha na mmojawapo ni huu,
kulikuwa na beki tatu wetu nilikuwa namuelewa sana ila kutokana na kunizidi umri akanikataa ikawa nakula kwa macho tu.
sasa kuna siku moja mida ya jioni nilienda geto kwa rafiki zangu nikakuta wamenunua ulanzi mwingi hivyo nikapewa kikombe nijisevie (ni mkoa mmojawapo wa nyanda za juu kusini) kama mnavyojua mliowahi kuonja Ulanzi jinsi ulivyo mtamu nikajikuta nimegida vikombe vya kutosha tu nikaanza kuchangamka nikaongeza tena na tena mpaka nilovyojisikia sasa kweli nimetinga maana nilikuwa nacheka tu sasa zilivyoanza tu stori za mademu rafiki zangu wakawa wanahadithiana jinsi wanavyobunyua mademu ghafla likanijia wazo konki sana ambalo ndio lilinifanye nile tunda kimasikhara.
Yule Beki 3 alikuwa anapenda kuangalia hizi tamthilia za kizungu ITV ilikuwa inaoneshwa kuanzia saa 4 so nilichofanya nikasepa kwa wana moja kwa moja mpaka chumbani kwake nikazama uvunguni kisha nikavunga, ilikuwa kwenye saa 3 hivi nilikaa mpaka tamthilia ilivyoisha na kama unavyojua pombe mkojo ulinibana hatari ilinibidi nikojolee kwenye vikopo vya mafuta vilivyokuwa uvunguni baadhi ya mikojo ilitiririka ila angalau nilipoza kibofu.
Ilivyoisha tu akarudi kisha akavaa khanga akaenda kuoga wakati huo nimenyuti tu chini ya uvungu namchora mpaka akamaliza akarudi akafunga mlango na funguo akavaa nguo akapanda kitandani akazuga zuga we mwisho nikasikia kimya nikahisi kalala ila bado nikasubiri kama dakika 20 hivi ndio nikajivuta taratibu nikachomoka uvunguni
kama unavyojua wadada, hakuzima taa ila aliweka shuka juu ya neti ili kuziba mwanga hapo nikavua nguo nikabaki na bukta kisha nikapanda kitandani ile kumlalia hivi akazinduka na kushtuka kuniona, akashangaa umepita wapi mi nacheka tu wakati huo nanuka pombe balaa sasa nikaanza omba mchezo hataki, naomba hataki nikaanza touch mpaka kalainika kabisa nikavua mpaka nguo zote ila kila nikitaka kuweka shimo silioni
aisee nilihangaika mpaka nataka kumchana miguu kwa kupanua lakini kila nikiweka shimo silipati dah yule demu akawa ananishangaa tu navyohangaika kila nikijaribu wapi kumbe sijui naweka juu ya ngozi kumbe mali ipo kwa chini hivi basi demu akawa anastaajabu tu, baada ya kuhangaika sana ghafla tu nikasikia imo imepitiliza aisee nilihisi nyota nyota maana si kwa joto lile nilijiisije hata sijui nikajikuta napeleka moto mpaka nilipofika mwisho napo nilitaka kuzirai kwa raha niliyojisikia na ndio ilikuwa mara ya kwanza kabisa kuonja demu.
raundi ya pili sikupotea njia nilishajua jinsi ya kupekenyua ili kuipata hivyo ilikuwa kazi kazi nilivyomaliza tu usingizi ukanipitia nilikuja kuamshwa saa 11 alfajiri na beki tatu nisepe ila mi najisikia nimechoka hatari ilibidi niondoke tu
sitasahau hili tukio ever maana ndio mara ya kwanza kuonja papuchi na alikuwa kanizidi miaka 12, baada ya hapo nilipewa tena na tena mpaka nilichoka mwenyewe popote ulipo 'T' asante kwa kunifundisha maujanja yote haya. siku tukikutana lazima tukumbushie ili uone jinsi na mimi sasa hivi nilivyo fundi.
aim for the stars
Ila watu...Mama mchungaji aliwa kimasihara
Jembe ukipita uku niwie radhi.....mkasa ni wajana tu na niwa rafiki yangu aliemla mama mchungaji kimasihara .......rafiki yangu alifiwa na babaake wiki mbili zilizopita kabla ya hapo alikuwa mgonjwa haswa sasa wachungaji walikuwa wanakuja kumuombea na Kumsalimia pia kulikuwa na jirani yao ambaye alikuwa ni mchungaji ila hawa wa mwendokasi wakawa wanakuja mara kwa mara yeye na mke wake kumsabahi hapo jembe(rafiki wangu) alikuwa hana mazoea yeyote na huyo mama kabisa tumuite mama mchu..sababu jamaa hakaagi hayo maeneo sababu ya mishe zake huu mda ilibidi akae amuuguze mzee wake baada ya mzee wake kufariki kama kawaida lazima tujumuike japokuwa ilikuwa enzi ambayo corona ipo hot ila ilibidi tumpunzishe mzee kwa heshima (rest in peace mzee)
Alipoliwa kimasihara
Baada ya msiba majiran walikuwa wanakuja mara kwa mara hasa hasa yule mama mchungaji sababu walikuwa marafiki na mjane pia ikaanza siku ambaye mama yake na jembe alimwambia ampigie mamamchungaj kuhusu ibada ya kushukuru(ni madhebu tofauti) jamaa akapiga kwenye simu yake akajitambulisha vizuri ila aliona jinsi mama mchungaji alibadilika baada ya hapo akaanza kimpigia jamaaa na kichat nae kwasana jembee alikuwa na stress na yukogo rude sana akanzisha mazoea ya kusifiana ambako jembe alikuwa too straight kumsifia kuhusu mwili na maumbile ya yule mama mchungaji kiukweli ni mzuri kwanzia sura hadi shape ....sasa familia ya mchungaj ina maduka mawili moja mchungaji anasimamia lingine lipo sehem tofaut kwahiyo kila jion yule mama anaenda kufunga mahesabu ya lile duka analosimamia jembe akawa anamsindikiza au wanarudi wote kuongea tu ikatokea kama mara mbili ivi ........jana jioni jembe alipitia dukan hapo sababu kwamechangamka mama mchungaji akamuomba amsubirie jembe alikuwa na gari basi akazuga pale mida yakuchomoka ilikuwa saa moja ivi wameondoka wamefika kati kati ya njia wakasimamisha jamaa akapiga touch sana maza akawa amelegea ila hakupenda kupigwa kwenye gari jamaa akawasha gar chap mpaka lodge wakachapana chap chap na bando kama lisaa na nusu ivi akasepa akampeleka mpaka karibia na mtaa maza mchungaji akashuka ikawa ndo imeisha kwenye review kuhusu show anasema maza alikuwa fiti sana anahisi ndo mambo yake (sababu walikubaliana tena siku show irudiwe kabla jamaa hajaondoka ) ........tukakutana nae tukapiga pombe sana jamaa mwenyewe alikuwa hamini kama imetokea ila bado kwambal naona guilty concious inamsumbua ......muwe na sikuku njema mabaharia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huyo jembe akawa anaropoka na kukwambia wewe mambo hayo?!?! Watu wengine bwana ni shida kweli kweliMama mchungaji aliwa kimasihara
Jembe ukipita uku niwie radhi.....mkasa ni wajana tu na niwa rafiki yangu aliemla mama mchungaji kimasihara .......rafiki yangu alifiwa na babaake wiki mbili zilizopita kabla ya hapo alikuwa mgonjwa haswa sasa wachungaji walikuwa wanakuja kumuombea na Kumsalimia pia kulikuwa na jirani yao ambaye alikuwa ni mchungaji ila hawa wa mwendokasi wakawa wanakuja mara kwa mara yeye na mke wake kumsabahi hapo jembe(rafiki wangu) alikuwa hana mazoea yeyote na huyo mama kabisa tumuite mama mchu..sababu jamaa hakaagi hayo maeneo sababu ya mishe zake huu mda ilibidi akae amuuguze mzee wake baada ya mzee wake kufariki kama kawaida lazima tujumuike japokuwa ilikuwa enzi ambayo corona ipo hot ila ilibidi tumpunzishe mzee kwa heshima (rest in peace mzee)
Alipoliwa kimasihara
Baada ya msiba majiran walikuwa wanakuja mara kwa mara hasa hasa yule mama mchungaji sababu walikuwa marafiki na mjane pia ikaanza siku ambaye mama yake na jembe alimwambia ampigie mamamchungaj kuhusu ibada ya kushukuru(ni madhebu tofauti) jamaa akapiga kwenye simu yake akajitambulisha vizuri ila aliona jinsi mama mchungaji alibadilika baada ya hapo akaanza kimpigia jamaaa na kichat nae kwasana jembee alikuwa na stress na yukogo rude sana akanzisha mazoea ya kusifiana ambako jembe alikuwa too straight kumsifia kuhusu mwili na maumbile ya yule mama mchungaji kiukweli ni mzuri kwanzia sura hadi shape ....sasa familia ya mchungaj ina maduka mawili moja mchungaji anasimamia lingine lipo sehem tofaut kwahiyo kila jion yule mama anaenda kufunga mahesabu ya lile duka analosimamia jembe akawa anamsindikiza au wanarudi wote kuongea tu ikatokea kama mara mbili ivi ........jana jioni jembe alipitia dukan hapo sababu kwamechangamka mama mchungaji akamuomba amsubirie jembe alikuwa na gari basi akazuga pale mida yakuchomoka ilikuwa saa moja ivi wameondoka wamefika kati kati ya njia wakasimamisha jamaa akapiga touch sana maza akawa amelegea ila hakupenda kupigwa kwenye gari jamaa akawasha gar chap mpaka lodge wakachapana chap chap na bando kama lisaa na nusu ivi akasepa akampeleka mpaka karibia na mtaa maza mchungaji akashuka ikawa ndo imeisha kwenye review kuhusu show anasema maza alikuwa fiti sana anahisi ndo mambo yake (sababu walikubaliana tena siku show irudiwe kabla jamaa hajaondoka ) ........tukakutana nae tukapiga pombe sana jamaa mwenyewe alikuwa hamini kama imetokea ila bado kwambal naona guilty concious inamsumbua ......muwe na sikuku njema mabaharia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu wao tu, lata story.....Tukileta visa kuna mapuuzi yanakosoa kama vile yenyewe ndo yameliwa kimasihara.
Badala ya mtu kusoma anaanza kukosoa
Sent using Jamii Forums mobile app