Mkuu fatilia kwa makini... isije kuwa umeandaliwa kisaikolojia. Maaana wake za watu wa siku hzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole saaana. Mazish ni hapo hapo bujumbura au mnasafirisha? Ngoja nimwambie marangu jjj ale tenda ya maturubai.

Uwe makin huko kuna kulana kimasikhara. Si unajua mambo ya safari?
 
Pole saaana. Mazish ni hapo hapo bujumbura au mnasafirisha? Ngoja nimwambie marangu jjj ale tenda ya maturubai.

Uwe makin huko kuna kulana kimasikhara. Si unajua mambo ya safari?
Nipo Makini lakini pia bujumbura ni ndogo sana , kama Mbagala tu, na Wanaume wa hapa siyo handsome kama wa Rwanda, wanafanana na watu wa Kigoma-sura ngumu ya kuuzia mkaa.
Mazishi ni hapa Bujumbura,ila si mnajua ukifa kwa krona lazma upigwe dawa sana, , ila familia wanataka tukazike kijijini kwao
 
Kwa hiyo inekuwa rwanda at least tungepata kisa cha kusimulia humu....!
Nipo Makini lakini pia bujumbura ni ndogo sana , kama Mbagala tu, na Wanaume wa hapa siyo handsome kama wa Rwanda, wanafanana na watu wa Kigoma-sura ngumu ya kuuzia mkaa.
Maziko na hapa Bujumbura, ila familia wanataka tukazike kijijini kwao
 
Yadumuuuu.
ulivyoweka hio picha nilikua nawaza inaingiliana vipi na masihara,sasa nimekuja kupata udambwi dambwi ndani ya stori
 
Raha sana kupata mwanamke bikra, ila waliotumika vya kutosha watakuja kupondoa hapa.
 
Habari wadau.
Baada ya pilikapilika za kipindi kirefu katika kujenga Taifa, Leo nimepata fursa adhimu kwa mara nyingine Tena ku-share nanyi kisa cha Kula kimasihara.
Mwaka Fulani( sio mbali Sana) nikiwa nafanya kazi sehemu X waliajiriwa wafanyakazi wapya na mmoja wapo alikuwa ni binti Fulani mrembo Sana Kiasi kwamba karibia Kila mtu alikuwa anamumezea mate. Kama kawaida washkaji wakaanza kurusha chambo ili samaki anase lakini waliambulia patupu.kila tukipiga story Kila mtu alikiri kunyanyua mikono juu ishara ya kushindwa.
Kwa upande hata sikujiangaisha kumtongoza Kwanza niliona ananizidi Kila kitu, na pili niliona sio level yangu Wala type yake kabisaaaa sasa ya nini ? Kujisumbua kukausha mate mdomoni ilihali nikijua nitaambulia patupu!! Zaidi ya Goodmorning asubuhi hatukuwa na maongezi zaidi. Siku moja mfanyakazi mwenzetu alikuwa na sherehe kijijini kwao so Kama staff akatualika tujumuike pamoja . Nikawa napita kwa Kila mmoja kuhamasisha mchango na kujua hasa ni Nani atakwenda yeye pia nilimfikia na akadeclare kuwa atashiriki. Siku ya ijumaa jioni tulianza safari kupitia mini-bus ya kazini na binti mrembo alikaa nyuma kabisa akipiga story na wana. Huku na huku mara usiku Kama saa 1 tukafika tukapokelewa vizuri,tukala na kupanda gari kurejea mjini tulipokodisha lodge kadhaa. Tuliwagawia vyumba na kwa utani nikamwambia aisee mie mgawa vyumba nimekosa pa kulala naomba nije tulale wote. Akacheka na kusema karibu. Nilikariri namba ya chumba na baadae km masihara nikagonga mlango kutest zari akafungua na kuniambia karibu. Nikazama ndani na akafunga mlango. Aisee alikuwa amejifunga taulo kitu kilicho nifanya nifaidi uzuri wake vizuri. Kwa sabb nilitembea na laptop niliweka movie Fulani( ina scene na kupiga mzigo) na wine pembeni aka nijoin nimekuja kushituka tumelala pamoja tumekumbatiana asubuhi nikapiga morning Glory tukasepa kwenye sherehe jioni tulianza safari kurejea na kuanzia hapo ukawa mchepuko wangu rasmi.
Kama mnavyojua penzi kikohozi baada ya mda dada yake akanasa infooo akatafuta namba yangu na kunipiga simu akanitia mkwara mzito nilijibu kwa kifupi tu Ahsante.
Baada ya week akatimba pale job na kumwelezea boss wangu kuwa aniite anionye nisimharibu mdogo wake. Boss akamjibu tu kuwa hao ni watu wazima na Sera ya kazi yetu hairusu yeye kuingilia faragha za watu unless otherwise itishie ubora wa kazi.kwa kuwa Boss ni mshikaji wangu( ni rafiki yangu haswaa tumehasle pamoja) aliniita na kunipa Monday mzima baadae nikamtimbia yule sister ake job kwake nikamuwashia Moto . Nikamwambia Kama ana uhakika natembea na mdogo wake asihangike sana aende kwa mke wangu amwambie kuwa mie natembea na mdogo ake! (Hawezi fanya moto wake anaujua) mwisho wa siku nimeamua kupiga chini kulinda hadhi na ndoa pia japo binti hataki kuelewa somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…