Utoto raha sana.
 
Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...!
Ilikuwa mwaka jana mwez wa 12, niilikuwa natoka DAR kwenda MWANZA na basi la Dar Lux, ile nimefika pale shekilango nikaingia ndani na kuchek siti yangu namba 15 ilikuwa free na namba 16 nayo kulikuwa hakuna mtu, daah kimoyo moyo nikajisemea ivi konda awezi mpa mtoto mzur hii siti ili safar yangu iende vizuriii ukizingatia n safari ndefu na unaingia ka saa 6 or 7 usiku...! Mara gar ikaondoka huku siti namba 16 ikiwa empty nikawaza labda mwenye siti atakuwa mbezi mwisho kwani siti zote zilikuwa na abiria isipokuwa namba 16 ukizingatia n mwezi wa 12 wasafiri n wengi.....! mara gafla anapanda mtu mwanamke mtu mzima flani ivii akaja direct mpaka kwenye siti namba 16, baada ya kusalimiana kila mmoja akaendelea na 50 zake. Ukizingatia binafsi nilikuwa nataman akae pisi kali ili safar iwe fupiii, daah kimoyo moyo nikammind konda, kumbeeeeeee usiyoyajua n usiku wa giza...!
Nikiwa safarini huwa sipendelei vyakula ivi mara nyingi natumia biscut za eat summore, ile tumefika bahi wakashuka kwenda kula mie sikushuka...! Mara singida hii, mida ya saa moja ivi nikashuka ili ninyoshe miguu yule Bi mkubwa nae akashuka ili akakojoe kufika pale stendi kumbe ile huduma unalipia sh 300. Mum wa dar banah mkoba wake alikuwa ameuwacha kwenye gari, na pale chini ambae alikuwa amezoeana nae tu kwa salam n mimi, nashtuka Mum wa dar ananiomba 300 ka ninayo kwan mkoba wake wenye hela upo kwenye gari na amebanwa sanaa....., isiwe shidah mum wa Dar elfu moja hii hapa tena ya notii nikampea.
Tumerudi kwenye gar ile anataka kuniapa chenji nikakataa nikamwambia inaonekana nikipata shida uwezi nisaidia hadi nitakapo kulipa hahaha kicheko kikachukua nafasi yake na hapo ndio tukaanza story, akaniambia mwanza yeye n mgeni na anaenda kwenye Graduation ya chuo cha sauti basi nikamwambia usiwe na shaka kwani mwenyej umepata kwani mie naenda maeneo ya Nyegezi kona near by icho chuo. story zilinoga nikajikuta namshika paja gafla akaniangalia kwa lile jicho kama nadaiwa iviii bill yaani abdallah kichwa alivyo na ushirikiano wa haraka akashtuka ile ya ndio..!
Ebana kumbe mum wa dar nae alimuona kichwa waz kwa zile mbwembwe gafla akamshika. kwa kweliiii nilipiga touch za hatari ndani ya dar lux akalegea mnooo nikapiga mate saaana, pemebni ya upande wa pili wa seat yetu kulikuwa na binti mmoja tu baada ya aliekuwa karibu yake kushukia singida akawa anatazama mchezo mzima, Mum wa dar alizidiwa banah ikabid alale kwenye mapaja yangu huku akinyonya mashine na mie sikuwa nyuma kwan kwa pozi lile mawasiliano nilio yapata direct yalikuwa kwenye ule mtandao wenu, pima sana oil kwenye mtandao...!Ile nageuka siti ya pili nakuta yule dada akishika shika titi zake, daah nikaona ka ndoto iviiiii inakuaje tena kwa binti wa watu. Kwa huruma nikampa simu chap aandike namba yake nae akaonyesha ushirikiano mkubwa mida iyo mum wa dar kalala mapajani anachezea mashine.........! (HUYO BINTI NTAKUJA NAYO AS PART TWO YA SAFARI YA DAR TO MWANZA).
Ile kufika Nzega Mum wa dar keshameza vikombe viwili vya wazungu, kwa zile touch na uchovu wa safari ile tunaingia shy mum wa dar alikuwa amelala vizuri, hapo ndio muunganipo wa part two unapo noga sasa, nitaelezea vizur baadae.
ILe tumefika mwanza nikachukua tax na mgeni wangu yaani utasema ka vile mtu na mwezi wake huku akinilalia pegani, nikamfikisha lodge aliokuwa ameisha fanya booking na nikapata kimoja cha nguvu sana kwani ilinichukua ka saa nzima kukipata. Nikamuaga mgeni wangu nikaingia kwangu,...!
Kesho yake siku ya graduu movie liliendelea kwani aliniambia yupo period na anatamani kweliiii nimle....!




haya masihara yahaaaaa acheni tu hahahahaha, Mum wa dar nahic upo humu ila ndio masihara yenyewe hahahah
 
Duuuh
 
Watu wa JF mna nini lakini...... [emoji23]
 
Where is part two??
 
Mwaka 2015 nilipata simu ambayo namba ilikuwa ngeni kwangu. Niliipokea, lakini kumbe mpigaji mwenye sauti nyororo mno yanye kuvutia masikioni alikuwa kakosea namba. Basi aliniomba msamaha lakini ikabidi nilazimishe kuendeleza mazungumzo kidogo. Aliniambia kuwa ni mwanafunzi katika chuo cha sheria Lushoto.

Mara moja moja tuliendelea kuwasiliana kwa simu na kwenye WhatsApp. Kama kawaida ya hawa viumbe wa kike alikuwa haishi kuomba pesa kwaajili ya hiki na kile. Nilijitahidi kadiri niwezavyo kumsaidia. Mawasiliano haya yalidumu kwa zaidi ya mwaka mmoja na kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana. Mwaka 2016 nilipata safari ya kikazi Tanga. Niliona hii ndio fursa ya kuonana na huyu mrembo mwenye sauti nyororo kama ya Double E wa enzi zile za Radio Free Africa.

Nilifika Tanga siku ya Ijumaa mchana na tulikuwa tumekubaliana na huyo dada aje Tanga Jumamosi. Alifika kweli Jmosi mchana, alikuwa ni demu mzuri na hakika sauti yake ilikuwa nyororo mno. Tulipata mlo wa mchana na kisha tukaenda kupata vinywaji sehemu nyingine. Mida ya saa moja hivi aliniambia kuwa alikuja na mwenzake toka chuo lakini alikuwa kaenda kumsalimia dada yake, hivyo akaomba amuite aje. Nikampa ruksa amuite! Bahati mbaya simu ya huyu demu iliisha charge hivyo akaomba simu yangu ili ampigie. Nilimpatia akawasiliana na huyo rafiki yake alipomaliza alinirudishia lakini alisahau kufuta namba!! Baada ya nusu saa hivi huyo demu alifika.....mapigo yangu ya moyo yalienda kasi! Alikuwa ni mrembo mno kumzidi rafiki yake. Alinichangamkia kama vile ananijua sana (inaonekana yule mwenzake alikuwa akimuhadithia uhusiano wetu)!

Vinywaji na vitafunwa viliendelea mpaka mida ya saa tano usiku hivi. Wakati huo wote nilianza kuchati na huyo demu mwingine akalielewa somo. Basi mida hiyo ya saa tano, yule demu mwingine akajifanya kama anaaga arudi kwa dada yake. Nikajifanya kumuomba yule demu wangu wa mwanzo amshawishi tukalale wote hotelini, tumchukulie chumba (nilisha muomba wakati tunachati na akakubali)! Mwisho wa siku alikubali. Nikapiga simu hotelini na chumba kikapatina.

Nilimpigia mshikaji wangu mmoja tuliyekuja naye kikazi aje pale tulipo na alipofika nilimtambulisha kwao kisha nikawaomba wale wadada watangulie hotelini kwani tuna mazungumzo ya kikazi na huyu mwenzangu. Niliwaitia tax hawa mabinti ikawapeleka hotelini. Nilizuga zuga kwa nusu saa huku nikiwasiliana na yule rafiki wa demu wangu. Nilienda hotelini nikafikia kwa room ya ya huyo rafiki wa demu wangu. Hakika alikuwa ni mzuri sio tu kwa sura bali hata kitandani. Nilikaa hadi saa tisa usiku kisha ndio nikaenda kwa demu wangu. Nilimkuta kalala fofoo kutokana na ulevi hivyo sikumsumbua. Nilijipigia Morning Glory tu!
 
Daah..hatari sana shekhee[emoji4]
 
hii inaitwa BOTH Team to score [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…