Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mwaka 2015 nilipata simu ambayo namba ilikuwa ngeni kwangu. Niliipokea, lakini kumbe mpigaji mwenye sauti nyororo mno yanye kuvutia masikioni alikuwa kakosea namba. Basi aliniomba msamaha lakini ikabidi nilazimishe kuendeleza mazungumzo kidogo. Aliniambia kuwa ni mwanafunzi katika chuo cha sheria Lushoto.

Mara moja moja tuliendelea kuwasiliana kwa simu na kwenye WhatsApp. Kama kawaida ya hawa viumbe wa kike alikuwa haishi kuomba pesa kwaajili ya hiki na kile. Nilijitahidi kadiri niwezavyo kumsaidia. Mawasiliano haya yalidumu kwa zaidi ya mwaka mmoja na kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana. Mwaka 2016 nilipata safari ya kikazi Tanga. Niliona hii ndio fursa ya kuonana na huyu mrembo mwenye sauti nyororo kama ya Double E wa enzi zile za Radio Free Africa.

Nilifika Tanga siku ya Ijumaa mchana na tulikuwa tumekubaliana na huyo dada aje Tanga Jumamosi. Alifika kweli Jmosi mchana, alikuwa ni demu mzuri na hakika sauti yake ilikuwa nyororo mno. Tulipata mlo wa mchana na kisha tukaenda kupata vinywaji sehemu nyingine. Mida ya saa moja hivi aliniambia kuwa alikuja na mwenzake toka chuo lakini alikuwa kaenda kumsalimia dada yake, hivyo akaomba amuite aje. Nikampa ruksa amuite! Bahati mbaya simu ya huyu demu iliisha charge hivyo akaomba simu yangu ili ampigie. Nilimpatia akawasiliana na huyo rafiki yake alipomaliza alinirudishia lakini alisahau kufuta namba!! Baada ya nusu saa hivi huyo demu alifika.....mapigo yangu ya moyo yalienda kasi! Alikuwa ni mrembo mno kumzidi rafiki yake. Alinichangamkia kama vile ananijua sana (inaonekana yule mwenzake alikuwa akimuhadithia uhusiano wetu)!

Vinywaji na vitafunwa viliendelea mpaka mida ya saa tano usiku hivi. Wakati huo wote nilianza kuchati na huyo demu mwingine akalielewa somo. Basi mida hiyo ya saa tano, yule demu mwingine akajifanya kama anaaga arudi kwa dada yake. Nikajifanya kumuomba yule demu wangu wa mwanzo amshawishi tukalale wote hotelini, tumchukulie chumba (nilisha muomba wakati tunachati na akakubali)! Mwisho wa siku alikubali. Nikapiga simu hotelini na chumba kikapatina.

Nilimpigia mshikaji wangu mmoja tuliyekuja naye kikazi aje pale tulipo na alipofika nilimtambulisha kwao kisha nikawaomba wale wadada watangulie hotelini kwani tuna mazungumzo ya kikazi na huyu mwenzangu. Niliwaitia tax hawa mabinti ikawapeleka hotelini. Nilizuga zuga kwa nusu saa huku nikiwasiliana na yule rafiki wa demu wangu. Nilienda hotelini nikafikia kwa room ya ya huyo rafiki wa demu wangu. Hakika alikuwa ni mzuri sio tu kwa sura bali hata kitandani. Nilikaa hadi saa tisa usiku kisha ndio nikaenda kwa demu wangu. Nilimkuta kalala fofoo kutokana na ulevi hivyo sikumsumbua. Nilijipigia Morning Glory tu!
Hii sasa ndio wanasema jiwe moja limetungua njiwa wawili kwa mpigo,hongera mkuu!!!
 
Mwaka 2015 nilipata simu ambayo namba ilikuwa ngeni kwangu. Niliipokea, lakini kumbe mpigaji mwenye sauti nyororo mno yanye kuvutia masikioni alikuwa kakosea namba. Basi aliniomba msamaha lakini ikabidi nilazimishe kuendeleza mazungumzo kidogo. Aliniambia kuwa ni mwanafunzi katika chuo cha sheria Lushoto.

Mara moja moja tuliendelea kuwasiliana kwa simu na kwenye WhatsApp. Kama kawaida ya hawa viumbe wa kike alikuwa haishi kuomba pesa kwaajili ya hiki na kile. Nilijitahidi kadiri niwezavyo kumsaidia. Mawasiliano haya yalidumu kwa zaidi ya mwaka mmoja na kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana. Mwaka 2016 nilipata safari ya kikazi Tanga. Niliona hii ndio fursa ya kuonana na huyu mrembo mwenye sauti nyororo kama ya Double E wa enzi zile za Radio Free Africa.

Nilifika Tanga siku ya Ijumaa mchana na tulikuwa tumekubaliana na huyo dada aje Tanga Jumamosi. Alifika kweli Jmosi mchana, alikuwa ni demu mzuri na hakika sauti yake ilikuwa nyororo mno. Tulipata mlo wa mchana na kisha tukaenda kupata vinywaji sehemu nyingine. Mida ya saa moja hivi aliniambia kuwa alikuja na mwenzake toka chuo lakini alikuwa kaenda kumsalimia dada yake, hivyo akaomba amuite aje. Nikampa ruksa amuite! Bahati mbaya simu ya huyu demu iliisha charge hivyo akaomba simu yangu ili ampigie. Nilimpatia akawasiliana na huyo rafiki yake alipomaliza alinirudishia lakini alisahau kufuta namba!! Baada ya nusu saa hivi huyo demu alifika.....mapigo yangu ya moyo yalienda kasi! Alikuwa ni mrembo mno kumzidi rafiki yake. Alinichangamkia kama vile ananijua sana (inaonekana yule mwenzake alikuwa akimuhadithia uhusiano wetu)!

Vinywaji na vitafunwa viliendelea mpaka mida ya saa tano usiku hivi. Wakati huo wote nilianza kuchati na huyo demu mwingine akalielewa somo. Basi mida hiyo ya saa tano, yule demu mwingine akajifanya kama anaaga arudi kwa dada yake. Nikajifanya kumuomba yule demu wangu wa mwanzo amshawishi tukalale wote hotelini, tumchukulie chumba (nilisha muomba wakati tunachati na akakubali)! Mwisho wa siku alikubali. Nikapiga simu hotelini na chumba kikapatina.

Nilimpigia mshikaji wangu mmoja tuliyekuja naye kikazi aje pale tulipo na alipofika nilimtambulisha kwao kisha nikawaomba wale wadada watangulie hotelini kwani tuna mazungumzo ya kikazi na huyu mwenzangu. Niliwaitia tax hawa mabinti ikawapeleka hotelini. Nilizuga zuga kwa nusu saa huku nikiwasiliana na yule rafiki wa demu wangu. Nilienda hotelini nikafikia kwa room ya ya huyo rafiki wa demu wangu. Hakika alikuwa ni mzuri sio tu kwa sura bali hata kitandani. Nilikaa hadi saa tisa usiku kisha ndio nikaenda kwa demu wangu. Nilimkuta kalala fofoo kutokana na ulevi hivyo sikumsumbua. Nilijipigia Morning Glory tu!
Afu badae ukawamwaga wote au?
 
Sasa kwni wewe haujui kwamba inaambukizwa kwa njia hyo pia...
Na hakuna dokta ambae atakuficha ..
Soma kwanza

Hakuna kitu kama hicho mkuu,

Naomba niishie mkuu,

Rafiki yangu wa kike aliwahi kupata UTI mara mbili na akawa ananiambia tutumie dawa nakataa na kila nikipima nakuwa Negative

Kifupi nimesoma maandiko mengi sana kuhusu uhusiano huo

Na katika shule yangu sikuwahi kukutana na vitu hivyo na nipo kwa field muda sasa

Nawasilisha.
 
Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...!
Kesho yake asubuhi na mapema hata sijatoka kitandani ukizingatia uchovu wa safari ya jana na Mambo ya Mum wa dar, simu yangu ikaita kuichek n yule binti XXX ndio alikuwa anapiga nikaipotezea gafla SMS ikaingia ilikuwa ya salam tu kutoka kwa yule yule binti, nayo nikaipotezea kwa muda ili nijiongeze value yangu kwa yule bintii...., hapa malijendi wenzangu mnaelewa vizur. Mida ya saa nne na nusu iviii nikatoka kwenda kumchek Mum wa dar kwani sikuwa na namba yake ya simu ukizingatia alikuwa mgeni katika jiji la mwanza.
Nikamkuta ndio anatoka kuoga,ebanaa eeeh kumbe yaliomo yamo hasa msambwanda hakika Mum wa dar alikuwa kafunga, nikajisemea ivii jana nilikuwa naona kweliiii au ndio nimeanza kumpenda na kunogewa na huyu Mum. Tukakumbatiana kwa muda mrefu kidogo hii baada ya kukiss, ukizingatia yale mavaz yake aliokuwa nayo abdalah kichwa wazi akaanza mishe zake huko chini, nikasikia sautiii nyembambaaa masikioni mwangu ikisema Usinielewe vibaya kipenzi changu ila naomba nikuambie tu ukweliiii, ebana eeeeeh ile kusikia ivooo nilipoteza network gafla na kuanza kuogopa sana, maswali zaidi ya 1000 ndan ya dakika moja yalinijia ukizingatia jana niliuza mechi kirahis sana kwa Mum. Akili yangu niliwaza Mum wa dar ana ngoma nini, kwa kinyonge sana ila kibaharia nikajibu, niambie mtamu wangu. Mum akaniambia nimeamka leo nakuta nmeanza period kipenz ila mwenzio nina hamu ya kun..tmba sana sana na ww ukizingatia jana sikukuonyesha ufundi wangu hasa wa asili yetu ya Tanga. wakuu kweli bada ya kusikia ivo nilipata amani kidogo japo nikawa najilaumu ivi jana niliuzaje mechi kirahis vilee,yaaan ikwa kunitamanisha kote iviii hata mwenzio sijalala vizur Thinking about you ndio unaniambia iviii kweli kipenzi, nikaonyesha na sura ya unyonge flani kwa Mum.
Mum akaniambia usichukie ila tambua mie natokea tanga hakijaharibika kitu mpenz, nikajisemea jana nilipima oil kwenye ule mtandao wenu, Mum anataka kunitunuku line nini ya huo mtandao nini......! Gafla mum akanishika kwa kichwa wazi akakuta pozi sio kama la mwanzon akasema jamaniiii mbona ivii tena mpenz au hutak nikuonyeshe kwann tanga n maarufu kwenye mambo haya, kumbe angejua network ilikata mapemaaa baada ya kuambia nikuambie kitu tu, nikajibu hapana kipenz mie tanga mgeni jamaniii nionyeshe mitaa ya jiji hili. basi akasema jana ulipima oil leo nataka nikutunuku kabsa, hahah hahah eban eeeh nikajisema huyu Mum wa dar ana mambo hatariii sana ila wazo la kuche afya likanijia akilini na nimshirikishe ili game ichezwe vizuri.Nikamwambia akasema haina shida tukachek afya, tukaenda hosptal moja kubwa tu kribu na stendi ya nyegez ya zaman tukachek afya tukawa safi wote. Ila nikajiuliza ivii kweli huyu kaja kwenye graduation kweli au mbna habari za gradu hazipo tena. Nikamuuliza kwenye graduation umekuja kwa akaniamba ni first born wake ndio ana graduate eeeeh nikamwambia mbona unaonekana mdogo kumbe mkongwe kwenye game akacheeka akasema ngombe hazeeki maini, nikamuuliza graduation n leo mbonanow saa 7 sijaona ka una ratiba za kwenda huko...! akasema kutokana nawanafunzi wengi katika chuo cha sauti graduation huwa wanafanya mara mbili, kwaiyo kesho ndio gradu ya kijana ake, nikamwambia aaah hapo sawa.

Ile napak gari tu pale lodge simu ya Mum ikaita, akasema kijana mwenyewe ndio huyu anapiga. yule kijana akamwambia yupo reception hapo lodge amekuja na rafiki zake watanaka kumsalimia........!

Nikamwambia siwez onana nao ila wakiondoka nipigie.......!


Part one haija isha badooo part two ipo pale pale AHADI NI DENI
 
Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...!
Kesho yake asubuhi na mapema hata sijatoka kitandani ukizingatia uchovu wa safari ya jana na Mambo ya Mum wa dar, simu yangu ikaita kuichek n yule binti XXX ndio alikuwa anapiga nikaipotezea gafla SMS ikaingia ilikuwa ya salam tu kutoka kwa yule yule binti, nayo nikaipotezea kwa muda ili nijiongeze value yangu kwa yule bintii...., hapa malijendi wenzangu mnaelewa vizur. Mida ya saa nne na nusu iviii nikatoka kwenda kumchek Mum wa dar kwani sikuwa na namba yake ya simu ukizingatia alikuwa mgeni katika jiji la mwanza.
Nikamkuta ndio anatoka kuoga,ebanaa eeeh kumbe yaliomo yamo hasa msambwanda hakika Mum wa dar alikuwa kafunga, nikajisemea ivii jana nilikuwa naona kweliiii au ndio nimeanza kumpenda na kunogewa na huyu Mum. Tukakumbatiana kwa muda mrefu kidogo hii baada ya kukiss, ukizingatia yale mavaz yake aliokuwa nayo abdalah kichwa wazi akaanza mishe zake huko chini, nikasikia sautiii nyembambaaa masikioni mwangu ikisema Usinielewe vibaya kipenzi changu ila naomba nikuambie tu ukweliiii, ebana eeeeeh ile kusikia ivooo nilipoteza network gafla na kuanza kuogopa sana, maswali zaidi ya 1000 ndan ya dakika moja yalinijia ukizingatia jana niliuza mechi kirahis sana kwa Mum. Akili yangu niliwaza Mum wa dar ana ngoma nini, kwa kinyonge sana ila kibaharia nikajibu, niambie mtamu wangu. Mum akaniambia nimeamka leo nakuta nmeanza period kipenz ila mwenzio nina hamu ya kun..tmba sana sana na ww ukizingatia jana sikukuonyesha ufundi wangu hasa wa asili yetu ya Tanga. wakuu kweli bada ya kusikia ivo nilipata amani kidogo japo nikawa najilaumu ivi jana niliuzaje mechi kirahis vilee,yaaan ikwa kunitamanisha kote iviii hata mwenzio sijalala vizur Thinking about you ndio unaniambia iviii kweli kipenzi, nikaonyesha na sura ya unyonge flani kwa Mum.
Mum akaniambia usichukie ila tambua mie natokea tanga hakijaharibika kitu mpenz, nikajisemea jana nilipima oil kwenye ule mtandao wenu, Mum anataka kunitunuku line nini ya huo mtandao nini......! Gafla mum akanishika kwa kichwa wazi akakuta pozi sio kama la mwanzon akasema jamaniiii mbona ivii tena mpenz au hutak nikuonyeshe kwann tanga n maarufu kwenye mambo haya, kumbe angejua network ilikata mapemaaa baada ya kuambia nikuambie kitu tu, nikajibu hapana kipenz mie tanga mgeni jamaniii nionyeshe mitaa ya jiji hili. basi akasema jana ulipima oil leo nataka nikutunuku kabsa, hahah hahah eban eeeh nikajisema huyu Mum wa dar ana mambo hatariii sana ila wazo la kuche afya likanijia akilini na nimshirikishe ili game ichezwe vizuri.Nikamwambia akasema haina shida tukachek afya, tukaenda hosptal moja kubwa tu kribu na stendi ya nyegez ya zaman tukachek afya tukawa safi wote. Ila nikajiuliza ivii kweli huyu kaja kwenye graduation kweli au mbna habari za gradu hazipo tena. Nikamuuliza kwenye graduation umekuja kwa akaniamba ni first born wake ndio ana graduate eeeeh nikamwambia mbona unaonekana mdogo kumbe mkongwe kwenye game akacheeka akasema ngombe hazeeki maini, nikamuuliza graduation n leo mbonanow saa 7 sijaona ka una ratiba za kwenda huko...! akasema kutokana nawanafunzi wengi katika chuo cha sauti graduation huwa wanafanya mara mbili, kwaiyo kesho ndio gradu ya kijana ake, nikamwambia aaah hapo sawa.

Ile napak gari tu pale lodge simu ya Mum ikaita, akasema kijana mwenyewe ndio huyu anapiga. yule kijana akamwambia yupo reception hapo lodge amekuja na rafiki zake watanaka kumsalimia........!

Nikamwambia siwez onana nao ila wakiondoka nipigie.......!


Part one haija isha badooo part two ipo pale pale AHADI NI DENI
Iko vizuri
 
Mwaka 2015 nilipata simu ambayo namba ilikuwa ngeni kwangu. Niliipokea, lakini kumbe mpigaji mwenye sauti nyororo mno yanye kuvutia masikioni alikuwa kakosea namba. Basi aliniomba msamaha lakini ikabidi nilazimishe kuendeleza mazungumzo kidogo. Aliniambia kuwa ni mwanafunzi katika chuo cha sheria Lushoto.

Mara moja moja tuliendelea kuwasiliana kwa simu na kwenye WhatsApp. Kama kawaida ya hawa viumbe wa kike alikuwa haishi kuomba pesa kwaajili ya hiki na kile. Nilijitahidi kadiri niwezavyo kumsaidia. Mawasiliano haya yalidumu kwa zaidi ya mwaka mmoja na kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana. Mwaka 2016 nilipata safari ya kikazi Tanga. Niliona hii ndio fursa ya kuonana na huyu mrembo mwenye sauti nyororo kama ya Double E wa enzi zile za Radio Free Africa.

Nilifika Tanga siku ya Ijumaa mchana na tulikuwa tumekubaliana na huyo dada aje Tanga Jumamosi. Alifika kweli Jmosi mchana, alikuwa ni demu mzuri na hakika sauti yake ilikuwa nyororo mno. Tulipata mlo wa mchana na kisha tukaenda kupata vinywaji sehemu nyingine. Mida ya saa moja hivi aliniambia kuwa alikuja na mwenzake toka chuo lakini alikuwa kaenda kumsalimia dada yake, hivyo akaomba amuite aje. Nikampa ruksa amuite! Bahati mbaya simu ya huyu demu iliisha charge hivyo akaomba simu yangu ili ampigie. Nilimpatia akawasiliana na huyo rafiki yake alipomaliza alinirudishia lakini alisahau kufuta namba!! Baada ya nusu saa hivi huyo demu alifika.....mapigo yangu ya moyo yalienda kasi! Alikuwa ni mrembo mno kumzidi rafiki yake. Alinichangamkia kama vile ananijua sana (inaonekana yule mwenzake alikuwa akimuhadithia uhusiano wetu)!

Vinywaji na vitafunwa viliendelea mpaka mida ya saa tano usiku hivi. Wakati huo wote nilianza kuchati na huyo demu mwingine akalielewa somo. Basi mida hiyo ya saa tano, yule demu mwingine akajifanya kama anaaga arudi kwa dada yake. Nikajifanya kumuomba yule demu wangu wa mwanzo amshawishi tukalale wote hotelini, tumchukulie chumba (nilisha muomba wakati tunachati na akakubali)! Mwisho wa siku alikubali. Nikapiga simu hotelini na chumba kikapatina.

Nilimpigia mshikaji wangu mmoja tuliyekuja naye kikazi aje pale tulipo na alipofika nilimtambulisha kwao kisha nikawaomba wale wadada watangulie hotelini kwani tuna mazungumzo ya kikazi na huyu mwenzangu. Niliwaitia tax hawa mabinti ikawapeleka hotelini. Nilizuga zuga kwa nusu saa huku nikiwasiliana na yule rafiki wa demu wangu. Nilienda hotelini nikafikia kwa room ya ya huyo rafiki wa demu wangu. Hakika alikuwa ni mzuri sio tu kwa sura bali hata kitandani. Nilikaa hadi saa tisa usiku kisha ndio nikaenda kwa demu wangu. Nilimkuta kalala fofoo kutokana na ulevi hivyo sikumsumbua. Nilijipigia Morning Glory tu!
Aiseeeeee!!
 
Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...!
Kesho yake asubuhi na mapema hata sijatoka kitandani ukizingatia uchovu wa safari ya jana na Mambo ya Mum wa dar, simu yangu ikaita kuichek n yule binti XXX ndio alikuwa anapiga nikaipotezea gafla SMS ikaingia ilikuwa ya salam tu kutoka kwa yule yule binti, nayo nikaipotezea kwa muda ili nijiongeze value yangu kwa yule bintii...., hapa malijendi wenzangu mnaelewa vizur. Mida ya saa nne na nusu iviii nikatoka kwenda kumchek Mum wa dar kwani sikuwa na namba yake ya simu ukizingatia alikuwa mgeni katika jiji la mwanza.
Nikamkuta ndio anatoka kuoga,ebanaa eeeh kumbe yaliomo yamo hasa msambwanda hakika Mum wa dar alikuwa kafunga, nikajisemea ivii jana nilikuwa naona kweliiii au ndio nimeanza kumpenda na kunogewa na huyu Mum. Tukakumbatiana kwa muda mrefu kidogo hii baada ya kukiss, ukizingatia yale mavaz yake aliokuwa nayo abdalah kichwa wazi akaanza mishe zake huko chini, nikasikia sautiii nyembambaaa masikioni mwangu ikisema Usinielewe vibaya kipenzi changu ila naomba nikuambie tu ukweliiii, ebana eeeeeh ile kusikia ivooo nilipoteza network gafla na kuanza kuogopa sana, maswali zaidi ya 1000 ndan ya dakika moja yalinijia ukizingatia jana niliuza mechi kirahis sana kwa Mum. Akili yangu niliwaza Mum wa dar ana ngoma nini, kwa kinyonge sana ila kibaharia nikajibu, niambie mtamu wangu. Mum akaniambia nimeamka leo nakuta nmeanza period kipenz ila mwenzio nina hamu ya kun..tmba sana sana na ww ukizingatia jana sikukuonyesha ufundi wangu hasa wa asili yetu ya Tanga. wakuu kweli bada ya kusikia ivo nilipata amani kidogo japo nikawa najilaumu ivi jana niliuzaje mechi kirahis vilee,yaaan ikwa kunitamanisha kote iviii hata mwenzio sijalala vizur Thinking about you ndio unaniambia iviii kweli kipenzi, nikaonyesha na sura ya unyonge flani kwa Mum.
Mum akaniambia usichukie ila tambua mie natokea tanga hakijaharibika kitu mpenz, nikajisemea jana nilipima oil kwenye ule mtandao wenu, Mum anataka kunitunuku line nini ya huo mtandao nini......! Gafla mum akanishika kwa kichwa wazi akakuta pozi sio kama la mwanzon akasema jamaniiii mbona ivii tena mpenz au hutak nikuonyeshe kwann tanga n maarufu kwenye mambo haya, kumbe angejua network ilikata mapemaaa baada ya kuambia nikuambie kitu tu, nikajibu hapana kipenz mie tanga mgeni jamaniii nionyeshe mitaa ya jiji hili. basi akasema jana ulipima oil leo nataka nikutunuku kabsa, hahah hahah eban eeeh nikajisema huyu Mum wa dar ana mambo hatariii sana ila wazo la kuche afya likanijia akilini na nimshirikishe ili game ichezwe vizuri.Nikamwambia akasema haina shida tukachek afya, tukaenda hosptal moja kubwa tu kribu na stendi ya nyegez ya zaman tukachek afya tukawa safi wote. Ila nikajiuliza ivii kweli huyu kaja kwenye graduation kweli au mbna habari za gradu hazipo tena. Nikamuuliza kwenye graduation umekuja kwa akaniamba ni first born wake ndio ana graduate eeeeh nikamwambia mbona unaonekana mdogo kumbe mkongwe kwenye game akacheeka akasema ngombe hazeeki maini, nikamuuliza graduation n leo mbonanow saa 7 sijaona ka una ratiba za kwenda huko...! akasema kutokana nawanafunzi wengi katika chuo cha sauti graduation huwa wanafanya mara mbili, kwaiyo kesho ndio gradu ya kijana ake, nikamwambia aaah hapo sawa.

Ile napak gari tu pale lodge simu ya Mum ikaita, akasema kijana mwenyewe ndio huyu anapiga. yule kijana akamwambia yupo reception hapo lodge amekuja na rafiki zake watanaka kumsalimia........!

Nikamwambia siwez onana nao ila wakiondoka nipigie.......!


Part one haija isha badooo part two ipo pale pale AHADI NI DENI
Chai
 
Back
Top Bottom