Jamani hizi conversations mnazofanya zinazingua sana.unafungua uzi unakutana na unread comments zaidi ya 100 unajua ngoja nisome Visa vya kuliwa kimasikhara. Unfortunately unakutana na story tu mwanzo mwisho. Plz hizo story pigeni PM au kule kwenye jukwaa la Chit Chat.
Maendeleo hayana chama
 
Waliolike comment yako hii bila shaka ni weusi sana na wana inferiority complex kama zako. Umepanic mbayaa bidada.

Wewe pia huna akili

UZURI = KILA MTU NA JICHO LAKE + VIGEZO VYAKE.

Uzuri sio rangi,
Kuwa mweupe, mweusi sio kigezo cha uzuri au ubaya

UBAYA = JICHO LA MTU NA VIGEZO VYAKE

mbaya kwako sio lazima awe mbaya kwangu.

Unaweza kuwa mweupe usiwe mzuri

Unaweza kuwa mweusi usiwe nzuri

Neno mzuri ni complex entity ambyo katika mapenzi na wapenzi kila mtu na apendacho, hatufananii.
 
Duuh jamaa anaoa balaa[emoji23][emoji23]

Sasa si ndio utakua ukimsaidia jamaa ako majukumu ata akioa mzee!??
 
Kuna wadigo watu wa tanga huko wanasifika sana kwa ujuzi wa kitandani lkn tembea UJIONEE mambo mm najiona ndio mwanaume mwenye bahati kuliko wote duniani ndio dunia nzima WAMAKONDE shikamoooo hawa ni balaa kama legelege imekula kwako na ukiwapa sana uhuru kitandani utajikuta unatoa machozi na kutoa ahadi za kijinga kijinga hatari weka mbali na WATOTO πŸ”žπŸ”žπŸ”ž

Kufika pale watu kibao wake kwa waume sherehe zilifana kwa kweli singenge unaijua ngoma flani ivi hatari sana vinyago mziki wa kisasa basi balaa tu kweli nilishangaa niliona tofauti kubwa sana Dar na mikoa mingine hapa tuna 5 in 1 tunaanza na 5 kwa sababu hii ndio ya kawaida sana tunaanza slow mpka high tukisema tuanze high tutapaliwa bure

5=FENI BOVU
HUYU alinivutia kwa macho mda mwingi nilikuwa nikitumia kumuangalia yeye katika watu wote pale sijui kwa nini lkn yule dada anakata anakatika kuna kukata na kukatika yule dada anakatika viuno hatari vya kila aina unavyojua wewe vya chini vya juu vya katikati mara achezeshe makalio mara tako moja mara hivi basi burudani burudani macho yalipata kuona siku hiyo sasa nikiwa nawaza hivi yule boy wake au mme wake huko ndani inakuwaje wanalala chini kwenye mkeka au kitanda cha chuma maana cha mbao kwa yule dada kila siku mtakuwa mnatengeneza
Mm nilikuwa nashangaa tu na sikuwa nafanya chochote pale mara namuona yule dada anatoka kwa pembeni hivi na kwenda kupumzika kwenye mkorosho mm namchora tu akaa pale kama dakika 5 akanyanyuka na kuongoza njia ya kwenda kijiji yule dada atakuwa Ana JINI KATA anatembea kama anakatika yaani hatari fire kulia kushoto kulia kushoto makalio sana kama vibration sikuyashika ala kwa kuangalia tu unajua lile tako ni laini sana teketeke jamani
 
Nasubiri hiyo PM ya jibu... Na kapicha itapendeza sana bestie 😜

Alisema ni mwanaume mwenye hormones nyingi za kike.

Mwonekano, sauti, matendo nk vyote ni vya kike.

Kuhusu kuwa gay anasema siyo, ila anasema gays anawajua kama kiganja cha mkono wake.
 
Ndo maana ukasema hujawahi kuona comments za mikito,

Bas malizia assignments mlizopewa leo ulale, kesho uwahi kipindi. Huu siyo muda wa wanafunzi kuwa humu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae lol, nmeshatoka kwenye kipindi, khaaaaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeeeeeh hii sasa maziwa fresh lol, khaaaaaaaaah ndo joje joke hivi? [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Bro?

What is dis?

You are a girl? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Relaaaaaaaaaaaaax uhusika unabadilika kulingana na madaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…