Huyo maza shwani kweli, unamsitiri binti yake asiumwe na mbu au kubakwa na mateja analeta mdomooo shubhamitiii zake!πŸ™„πŸ™„
 
Inaendelea...

Nikarudi zangu Sinza mara nyingi nafikiaga Hotel za uko, maana ilikuwa Ijumaa nikaanza kupiga Tungi la hatari na Masela na kubadirisha viwanja, maana Dar, kila siku kuna Viwanja vipya vya pombe vinafunguliwa. Nilikuwa na mlupo wangu wa long time yaani full kugegedana Ijumaa, Jumamosi hadi Jumapili then nikamruhusu PISI isepe irudi chuo maana nilikuwa hoi bini taabani nikawa najipanga nisepe usiku nirudi Rock City.
Nimekaa Hoteli nisha check out nipo natoa lock na Ma Whisky yangu mara nikaona ujumbe kwenye Simu.... Nisharudi toka Zanzibar we uko wapi? Kucheki vizuri ni yule Client wangu... Nikasema hii PISI vipi si nishaikabidhi kazi yake kulikoni tena?

Nikareply.. najiandaa kusepa ... Akaniambia Njoo Masaki kwenye Apartment zao.. Nikamwambia naondoka na ndege ya jioni..
Akareply nitamwambia Sekretary afanye reschedule.. maana wao ndio huwa wananikatia tiketi na wananilipia Flight pia....

Nikaona pouwa sio ishu Mzee Baba, nipo na mahang over yangu nkachukua Uber mpaka Masaki, Nikafika Masaki ila huwa nafikaga nje tu na kusepa sijawahi ingia ndani....
Kufika Geti likafunguka Automatic maana hilo Apartment kuna Kamera wa ndani anakuona we umuoni na anaweza kukuliza wewe ni nani? kama hakufahamu kwa kutumia kipaza sauti ambacho kipo Getini...... maana kwenye hizo Apartment kuna Kamera za usalama ambazo zinaonyesha shughuli zote za nje zinazofanyika.

Kuna watu wanaishi sisi wengine tumekuja kucheza. Japo taaluma ya ujenzi ni fani yangu lakini lile Jumba vitu vilivyotumika katika ujenzi na umaridadi wa upambaji mle kwenye ule Mjengo sijawahi kuviona wala sijawahi kufundishwa chuoni Mzee Baba.
Akanipoke a akanipeleka Sitting room ina Bonge la Kaunta akanimbia unatumia nini?... Nikajikuta nimeropoka nichagulie Whisky yeyote nzuri....... akanimininia akaniletea ila kwa utaalamu wangu wa kupiga tungi na ile radha nikajua ni HENNESSY. Maana PRINCIPLE NUMBER ONE ya Mnywaji mjanja lazima ujue unakunywa Brand gani na ina alcohol ngapi ili uweze kupima kipimo unachotumia ile usije ukalewa ukapitiliza ukashangaa ushapasuliwa yai.

Katika Story mbili tatu.... akaniambia nataka leo unikadirie mimi na gharimu kiasi... Mzee Baba nikajua hii Pisi hiko serious inataka mgegedo, Mara Romance kwenye midomo, Shingoni na nikanawa sanaa ila Mzee Baba mpaka akapiga bao moja ila cha ajabu Abdallah wangu akusimama kabisaaa.. jaribu Mzee Baba wapiiii.

Yaani mimi na principle moja ya ajabu sana siwezi gonga PISI/Demu nyumbani kwake au kwao yaani huwa napataga woga wa ajabu hata kama nimelewa vipiii Abdalah hasimami kabisa.. Yaani najua linaweza tokea lolote kwa sababu wakati tuko Chuo mwaka wa Kwanza msela wangu alikatwa mapanga kwenye Gheto la demu hicho kitu mpaka leo kimeniathiri Kisaikolojia labda kama yupo Hotelini sawa.

Pisi akauliza kulikoni? Jogoo apandi mtungi au sivutii au sio type yako nikajaribu kumwelezea situation yangu muda mrefuuu akaelewa, mida ilikuwa imeenda sana akahamua kunirudisha Sinza kwenye Hotel niliyofikia mwanzoni vyumba vikawa vimejaa tukaenda Hotel fulani ya Ghorofa karibu na Mugabe P/school nikabahatika kupata room nikamkaribisha karibu upaone room japo sisi tunaona papo Classic nadhani kwa level yake kama Changanikeni tu.

Alivyoingia nikambeleza anywe ata Glass moja ya Wine kupunguza jaziba ya maswaibu yaliyotokea akakubali, nikapiga simu reception akaleta Wine na Bapa ndogo ya Whisky mara romance za kufa mtu, mara BJ ya kutosha Mzee Baba Abdallah akishafika uwanja wa nyumbani hana hiana nilipiga Show Heavy Heavy maana nilifululiza weekend nzima kugegedana , basi bao kutoka ilikuwa ishu ukijumrisha na mi Whisky niliyotupia mpaka PISI ikaomba poo. Siku sijui ilikuwa mashindano maana nayo PISI ilikuwa ina shoo ya kibabe tena kila Style yumo kama mtoto wa Kingoni. Kuhamaki asubuii saa tatu PISI ikakomaa ni baki Dar nikagoma ikabembeleza wapi mchana nikarudi Rock City.

Yaani ikawa mchezo wetu ata kama hana kazi lazima kila week nije Dar nigonge nisepe.... Ila kwa sasa wamefungua tawi South so kuonana imekuwa nadraaa....
 


Nitahitaji huduma ya hyo PISI siku moja (interior design) nimechukua ID yako...inaelekea huyo PISI kazi zao si mchezo.

On Top of that hongera kwa kugegeda PISI classy mkuu..
 
Ina maana jamaa hakujua kama umelala nae?
 
Dah hizi nishafanya sana mpaka baada ya shughuli wakagombana na Mimi na kuniambia nina dawa si bure.
 
1. Nilishawahi kuvunja ndoa ya mke wa mtu kisa one night stand.
2. Kuna demu wa Kikenya alishachelewa ndege kurudi Marekani kisa hiyohiyo one night stand.
3. Nilikula client mkubwa wa kampuni niliyokuwa nafanya kazi, kukatokea complications nikafukuzwa kazi naye akaacha kutumia hiyo kampuni kisa mapenzi.

Nimekuwa mvivu sana kuandika maneno mengi siku hizi. Ila hizo story 3 nazikumbuka haraka haraka.
 
Noma sana aisee hiyo ya ndoa itakuwa Ex huyoo alipasha kiporo
Hakuwahi kuwa ex.

Ila ni demu wa kitanga, na ni client wa hiyo kampuni niliyokuwa nafanya kazi. Alinipenda baada ya hiyo one night stand. Mumewe akagundua nawasiliana nae. Ukatokea ugomvi mkubwa baina yao hadi akaondoka mwenyewe. Ni binti mzuri sana na mpaka sasa tunawasiliana.
Alikuwa tayari kubadili dini nimuoe ila ujana mwingi na sikutaka kuoa mke wa mtu. Ila bado nampenda.
 
jamaa wanaforvce iwe uongo kwa kuwa wao hawajawai kula kimasihara au hawawezi wao hutongoza wee serious na hukosa,.......mimi asilimia 98 sinemukula ambap sijatyongoza kabisa...tena nimeanza kukumbuka visa Zaidi..siku ntatiririka sana…..
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sina wa nje ya nchi, kuna matukio nimefanya mpaka mi mwenyewe nikijiangalia kwenye kioo nahisi jini kanivaa kabisa sio mimi halisi nayafanya.
we shusha mkuu...naelew sana matukio haya..kuna mabaharia wamefanya ambayao hata mi najiona sijafanya kitu
 
Huu uzi unavuta kama sumaku

Nje ya mada...Wakuu nipeni mbinu ya kupata mrembo wa ulimwengu wa kwanza (Ngozi nyeupe) wa kupiga tu kusepa,na wapi wanapatikana kirahisi hapa darisalade(dsm)
 
Hakuna mahali umeandika kuwa ulivaa kondomu. Watu wananangamia kwakukosa maarifa
 
Kuna mwenzako alifanya ujinga huohuo wa kupeleka domo kwa demu asiemjua, kisa tu ni abiria mwenzake, alianza kumpapasa akaona katulia akaona apanue domo lake alipeleke. Alisikia kama mdudu katoka kwenye kinywa cha yule demu akamuingia mdomoni mwake. Akarudi nyuma kusikilizia, akahisi ubaridi shingoni, kujishika shingo inamwaga damu, imetoboka kama net. Apige kelele hakuweza.
Gari kuja kusimama, taa za ndani ya basi kuwashwa abiria ndio kumuona jamaa hoi na yuko peke yake kajaa damu, akashushwa akawaishwa hospitali, akalazwa wiki, akapata nafuu, ndipo akatoa mchapo.
Kesho yake jamaa akakata kamba, na mwili wake ulibadilika kuwa kama mamba.
Sio kila unachokiona kipo jinsi unavyokiona.
Take care.
 
Umeandika kwa papara matokeo yake; hujaeleweka.

Bazazi
 


Mwili ukabadikika kuwa kama mamba???hahahahaaaa...hii chai siwezi nunua hata kwa panga.
 
umetaja Oklahoma nimemkumbuka RC Mwanri....😁😁, Binti zetu wasome wafike mpaka Oklahoma University....
 
Mi na masela wangu wawili tumetoka dar tumeenda Singida kutoa mahari.Sherehe ilifika mpaka saa mbili usiku.Nipo zangu kwenye gari naongea na ma watoto wale wakiwa wanaagwa ghafla binamu wa yule bi harusi mtarajiwa akawa anakojoa pembeni ya gari.Alikuwa mtoto chuchu ndogo lakini zigo la maana,juu mdogo chini hilo.Nikakata simu ghafla nikafungua mlango nikafunga tena.Eti wee! unanichungulia.Nikamwambia sorry sikujua kama kuna mtu.Baada ya dak akaja akagonga kioo,eti kwani mnarudi dar leo hii nikamjibu sijui nawasikilizia wenzangu.Nikamwambia ingia tuongee.

Mara bw.harusi akaja,oya tunambonji hapa uncle na ba mkwe wametutafutia lodge ya karibu.Jamaa alivyosepa nikamwambia shuka ntakucheck.Tumefika lodge nikageuza fasta nikajifanya nimesahau USB.Nikakuta kananisubiri nje ya fence ya miba nikakachukua fasta.

Yule manzi laini sijawahi ona ana ngozi flani kama ina goosebumps.Shepu usiseme.Ingawa ana meno ya dogo janja sikujali.Nilikula Onion booty[emoji527] kimasihara mpaka asubuhi.Asubuhi yake kikaniletea mafuta ya arizeti vidumu viwili pale petro station ya kwenda jineri.Washkaji wanashangaa.
 
Imewahi kunitokea mara kadhaa ila naomba nita share 1

Mwaka 2011 ilitokea kuna mtu amenitumia fedha kimakosa TZS 72,000.00 kwa M-PESA, bahati mbaya wakati ule hakukuwa na option ya kurudisha muamala uliotuma kimakosa. Nili comfirm kuwa hazikuwa hela zangu hivyo nikamtumia, kumrudishia.
Yule dada alinipigia simu kunishukuru, na akaomba kuniona.
Kesho yake nikaonana naye Ubungo, kulikuwa na bar moja jirani na ilipokuwa Wizara ya maji sahivi imevunjwa kupisha Ubungo Fly over.

Kwa kuwa tulikaa jirani sana, nikaanza kumchokoza kwa kumchezea mapaja nione reaction yake, but she kept calm lakini uchokozi ulivyozidi akaomba arudi nyumbani. So sikuwa na option nikamsindikiza, alikuwa anapanda magari ya kwenda Mwenge/Tegeta kituo cha pale darajani kabla hakijafungwa.

Nilizidi kumnawa nawa baadaye akanipa ushirikiano. So nikachukua chumba faster angalau anipe hata kimoja.
Badala ya kimoja, nikala viwili then manzi akaondoka.

Kutoka hapo akawa ananitafuta yeye kila alipopata nafasi, Yule dada hakuwa mzuri, lakini nilichopendea alikuwa anapenda sana kut**ana pamoja na kujituma sana kitandani plus miuono ya kutosha kama mwali wa kimakonde πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…