Huyo maza shwani kweli, unamsitiri binti yake asiumwe na mbu au kubakwa na mateja analeta mdomooo shubhamitiii zake!ππNakumbuka kuna kipindi nilipanga uswahilini sana, ile nyumba ilijengwa kama guest house yaani hamna sebule ni vyumba tu vinaangaliana na mwenye nyumba alikuwa akiishi hapo hapo yaani mke,mume na mtoto wao wakike ambae ni kama 20yrs hivi, sasa ile nyumba ilikuwa na vyumba 6 na 5 tunakaa sisi wapangaji nikawa nashangaa hawa watu wanalalaje na huyo binti yao.
Siku moja nimechelewa kurudi geto naingia ndani namuona yule binti anatoa godoro ndani analekea nalo kibarazani,ile nyumba ina ka fence ka kizuchi, nikaingia ndani kwangu nikachukua maji nikeanda kuoga kisha nikaona kama ka huruma kananiingia, basi nikaenda hadi kabarazani alipo lala kisha nikamuambia vipi hapa nje na baridi hii na hawa mbu haupati shida kweli, binti akasema ndo hivyo inabidi azoee tu, nikamuambia kitanda changu kikubwa kama unaweza kuja njoo kwangu tunaweza tunakalala pamoja kisha,mzee baba huyo nikaondoka kama dakika 5 hivi naona mlango wangu unafunguliwa na binti akaingia, basi kwanzia hapo akawa ndo kawaida yake ikifika usiku anatoa godoro kisha anakuja geto nikawa najilia tu.
Kumbe maza ake alishashtukaa muda mrefu huu mchezo, siku moja nishakula mzigo nimelala nasikia watu wanabishana maza anataka kugonga ila mzee kama hataki mwisho mama akagonga, nikaona sasa ndoa ya mkeka ndo hii fasta nikamuingiza mtoto uvunguni kisha nikatoka eti maza anataka kuja kusachi ndani kwangu, ahh mzee nikagoma bahati nzuri wapangaji wengine walikuwa wamelala basi maza akasema anaenda kuita polisi waje wakague nikamwambia sawa, maza kweli katoka ila mzee kwasababu alikuwa hataki hilo swala basi akaingia zake ndani kulala basi mimi fasta nikamtoa mtoto akaenda zake kulala barazani baada ya muda maza karudi mwenyewe naona anajiongelesha mwenyewe tu,kwenda kuchungulia kibalazani kamkuta binti yake akamwambia wewe utanieleza vizuri asubuhi.
Basi ikawa ndo mwisho wa kuja kulala geto ikanibidi niaze kupata gharama tena siku moja moja za kwenda guest tukitaka kupasha kiporo hadi nilipo hama pale ndo ikawa mwisho wetu.
Inaendelea...
Nikarudi zangu Sinza mara nyingi nafikiaga Hotel za uko, maana ilikuwa Ijumaa nikaanza kupiga Tungi la hatari na Masela na kubadirisha viwanja, maana Dar, kila siku kuna Viwanja vipya vya pombe vinafunguliwa. Nilikuwa na mlupo wangu wa long time yaani full kugegedana Ijumaa, Jumamosi hadi Jumapili then nikamruhusu PISI isepe irudi chuo maana nilikuwa hoi bini taabani nikawa najipanga nisepe usiku nirudi Rock City.
Nimekaa Hoteli nisha check out nipo natoa lock na Ma Whisky yangu mara nikaona ujumbe kwenye Simu.... Nisharudi toka Zanzibar we uko wapi? Kucheki vizuri ni yule Client wangu... Nikasema hii PISI vipi si nishaikabidhi kazi yake kulikoni tena?
Nikareply.. najiandaa kusepa ... Akaniambia Njoo Masaki kwenye Apartment zao.. Nikamwambia naondoka na ndege ya jioni..
Akareply nitamwambia Sekretary afanye reschedule.. maana wao ndio huwa wananikatia tiketi na wananilipia Flight pia....
Nikaona pouwa sio ishu Mzee Baba, nipo na mahang over yangu nkachukua Uber mpaka Masaki, Nikafika Masaki ila huwa nafikaga nje tu na kusepa sijawahi ingia ndani....
Kufika Geti likafunguka Automatic maana hilo Apartment kuna Kamera wa ndani anakuona we umuoni na anaweza kukuliza wewe ni nani? kama hakufahamu kwa kutumia kipaza sauti ambacho kipo Getini...... maana kwenye hizo Apartment kuna Kamera za usalama ambazo zinaonyesha shughuli zote za nje zinazofanyika.
Kuna watu wanaishi sisi wengine tumekuja kucheza. Japo taaluma ya ujenzi ni fani yangu lakini lile Jumba vitu vilivyotumika katika ujenzi na umaridadi wa upambaji mle kwenye ule Mjengo sijawahi kuviona wala sijawahi kufundishwa chuoni Mzee Baba.
Akanipoke a akanipeleka Sitting room ina Bonge la Kaunta akanimbia unatumia nini?... Nikajikuta nimeropoka nichagulie Whisky yeyote nzuri....... akanimininia akaniletea ila kwa utaalamu wangu wa kupiga tungi na ile radha nikajua ni HENNESSY. Maana PRINCIPLE NUMBER ONE ya Mnywaji mjanja lazima ujue unakunywa Brand gani na ina alcohol ngapi ili uweze kupima kipimo unachotumia ile usije ukalewa ukapitiliza ukashangaa ushapasuliwa yai.
Katika Story mbili tatu.... akaniambia nataka leo unikadirie mimi na gharimu kiasi... Mzee Baba nikajua hii Pisi hiko serious inataka mgegedo, Mara Romance kwenye midomo, Shingoni na nikanawa sanaa ila Mzee Baba mpaka akapiga bao moja ila cha ajabu Abdallah wangu akusimama kabisaaa.. jaribu Mzee Baba wapiiii.
Yaani mimi na principle moja ya ajabu sana siwezi gonga PISI/Demu nyumbani kwake au kwao yaani huwa napataga woga wa ajabu hata kama nimelewa vipiii Abdalah hasimami kabisa.. Yaani najua linaweza tokea lolote kwa sababu wakati tuko Chuo mwaka wa Kwanza msela wangu alikatwa mapanga kwenye Gheto la demu hicho kitu mpaka leo kimeniathiri Kisaikolojia labda kama yupo Hotelini sawa.
Pisi akauliza kulikoni? Jogoo apandi mtungi au sivutii au sio type yako nikajaribu kumwelezea situation yangu muda mrefuuu akaelewa, mida ilikuwa imeenda sana akahamua kunirudisha Sinza kwenye Hotel niliyofikia mwanzoni vyumba vikawa vimejaa tukaenda Hotel fulani ya Ghorofa karibu na Mugabe P/school nikabahatika kupata room nikamkaribisha karibu upaone room japo sisi tunaona papo Classic nadhani kwa level yake kama Changanikeni tu.
Alivyoingia nikambeleza anywe ata Glass moja ya Wine kupunguza jaziba ya maswaibu yaliyotokea akakubali, nikapiga simu reception akaleta Wine na Bapa ndogo ya Whisky mara romance za kufa mtu, mara BJ ya kutosha Mzee Baba Abdallah akishafika uwanja wa nyumbani hana hiana nilipiga Show Heavy Heavy maana nilifululiza weekend nzima kugegedana , basi bao kutoka ilikuwa ishu ukijumrisha na mi Whisky niliyotupia mpaka PISI ikaomba poo. Siku sijui ilikuwa mashindano maana nayo PISI ilikuwa ina shoo ya kibabe tena kila Style yumo kama mtoto wa Kingoni. Kuhamaki asubuii saa tatu PISI ikakomaa ni baki Dar nikagoma ikabembeleza wapi mchana nikarudi Rock City.
Yaani ikawa mchezo wetu ata kama hana kazi lazima kila week nije Dar nigonge nisepe.... Ila kwa sasa wamefungua tawi South so kuonana imekuwa nadraaa....
Ina maana jamaa hakujua kama umelala nae?Mambo ya kuanza maisha.
Baada ya kumaliza chuo nilirudi zangu zoo kupumzika, baada kama ya mwaka hivi nikatimba mjini.nikafikia kwa mshkaji tuliyekuwa nao chuo, tayari ana ajira,anaa chumba kimoja,sinza.
Demu wa jamaa akawa anakuja jamaa anapiga mashine,na mimi nipo gheto,mateso makubwa nilikuwa nipata.yule binti mwanafunzi wa IFM,kila weekend lazima amletee jamaa anapiga mashine na mimi nimo bila huruma. Kuna siku washenzi wale walianza kupigana mashine mchana na mimi nipo,nikasepa zangu, yaani tulikuwa tunakula story fresh tu mara ghafla mizuka ikawapanda,nashangaa,yule demu tayari kakalia mashine,nikatoka nje machozi yananilenga lenga.
Sasa jamaa akaja pata demu mwingine kazini kwake huko,akaanza kumkwepa mkwepa yule denti,mpaka ikafikia point yule denti akagundua jamaa anademu mwingine na ndio maana jamaa anamkwepa. siku ya siku demu kaja kabana mitaa ya jirani,tukawa tunachat ananiambia yuko kwao,tegeta huko,ananiuliza kama jamaa kaisharudi,jamaa naye tunachat ananiuliza kama yule denti kaja,mi nawajibu wote ukweli,ila sikuwaambia kama kila mmoja ananiuliza.MISTAKE.
Baada ya muda,jamaa kaja,kumbe kaja na yule demu wake mpya,huyu hakuwahi kumlia mle ndani walikuwa wanaenda lodge ya jirani,ile namtumia meseji denti kwamba jamaa kafika,yaani ile naisend tu,demu mpya na yeye anaingia.MISTAKE NO.2
Hazikupita dak kumi,yule denti akatimba gheto,ukatokea ugomvi wa kuuwa mtu,jamaa na demu wake mpya wakakimbia baada ya kuwa nimemdhibiti huyu denti sababu alikuwa kama kichaa sasa. saa mbili usiku.
Namtafuta jamaa kwa simu kazima,hapatikani,Ijumaa hiyo,tukaa na shemeji mle ndani,nikamuambia twende tukale nimsindike,akasema ye haondoki hadi jamaa arudi anataka aelewe msimamo wa mahusiano yao.nikaenda zangu kupiga msosi,nikiwa huko akanitumia sms nimpelekee kitimoto na ndizi na bia mbili,nikambebea.
Kwa kifupi usiku huo nikala mzigo,asubuhi jamaa ananipia simu nikamuambia huyu yupo kalala hapa anamsubiri,akasema yeye harudi hadi jtatu jioni,nikamuambia amuambie ili aelewe,jamaa hataki hata kumtext demu wake,nikala tena mzigo siku nzima.jumapili nikamsindikiza mpaka kwao,nikala mzigo hapo hapo kwao,akachukua nguo tukarudi gheto,nikala mzigo,mpaka nilikonda.
Dah hizi nishafanya sana mpaka baada ya shughuli wakagombana na Mimi na kuniambia nina dawa si bure.Kula papuchi kimasihara wala siyo hivyo. Vitu vifuatavyo ndo tunasema umekula papuchi kimasihara:
1. Unamkuta mwalimu anafundisha darasani unafanikiwa kumtoa unaenda unamla unaacha wanafunzi hawana la kufanya.
2. Unamkuta DC yupo ndani ya kikao muhimu mzee unaingiza gia nyingine unamtoa hapo unaenda unakula.
3. Umeomba lift ya demu kwenye gari wala hata humjui na alikuwa na mishe zake unamtoa kwenye mishe zake unamhamishia kwenye mishe za kuliwa na unakula.
4. Mwanamke kaja kwako kwa lengo la kugombana na wewe na ukimcheki kafura kweli kweli ila kidume unamtoa kwenye hali aliyonayo hadi unakula muda huo huo tena kwa yeye kuridhia kwa furaha na raha.
5.Umeenda ofisini kwa boss mwanamke unamkuta yupo bize wala hana habari hizo kisha kidume unatumia urijali wako hadi unamla unamla na unabadili ratiba yake yote ya siku hiyo.
Kama mpo mliowahi kukutana na hayo basi hapo ndo mumekula TUNDA kimasihara. Otherwise huku naona watu mumepiga milupo na mademu waliojaa minyege na walikuwa tayari kuliwa na yeyote atakayelatiza. Kama hampo basi kidume nirudi nimwage nondo hapa.
Hakuwahi kuwa ex.Noma sana aisee hiyo ya ndoa itakuwa Ex huyoo alipasha kiporo
jamaa wanaforvce iwe uongo kwa kuwa wao hawajawai kula kimasihara au hawawezi wao hutongoza wee serious na hukosa,.......mimi asilimia 98 sinemukula ambap sijatyongoza kabisa...tena nimeanza kukumbuka visa Zaidi..siku ntatiririka sanaβ¦..Ndugu nikusaidie jambo moja kwa watu hawa, kuna watu huwa wanataka wanachokipitia wao ndio kila mtu apitie ilhali ukweli haupo hivyo. Hili nimekuja kuliona sana kwa Wanyakyusa, huenda huyo jomba nae ni Mnyaki. Kuna watu pia namna walivyolelewa wamekuja kuzijulia mbunye uzeeni sasa ukisema kama unavyosema wao wanaona Haiwezekani!
Mimi mwenyewe mpaka leo sijui Kutongoza ila nimesha na ninawatomber sana!!! Nilishaacha kununua malaya, na most of them huwa wananiambia mimi Mpole na Mstaarabu, kuna wapo huwa wanastaajabu nikiwa naongea. Usihangaike nae huyo mbuzi
we shusha mkuu...naelew sana matukio haya..kuna mabaharia wamefanya ambayao hata mi najiona sijafanya kitu[emoji23][emoji23][emoji23]Sina wa nje ya nchi, kuna matukio nimefanya mpaka mi mwenyewe nikijiangalia kwenye kioo nahisi jini kanivaa kabisa sio mimi halisi nayafanya.
Hakuna mahali umeandika kuwa ulivaa kondomu. Watu wananangamia kwakukosa maarifaEpisode III
Nilivomla demu wa mwana
Nipo Chuo mwaka wa 3 nina jamaa yangu (mwana damu damu), kukawa kuna mshikaji Wetu anasoma muhimbili alikuwa anaoa. Jamaa akatukaribisha Kwenye harusi yake ila mimi sikwenda kutokana na issues fulani fulani ila mwana akaenda. Huku na huku Kwenye harusi akakutana na mtoto fulani hv tulikuja badae kujua alikuwa kamaliza form four kama miaka miwili iliyopita na alikuwa anafanya kazi dukani maeneo ya Mwenge. Baada ya kubadilishana digits na mwana, mwana akanitext...Oya nimepata kuku wa kienyeji yuko poa balaa...nikampa mwana big up.
Aliporejea Chuo akanipa full mkanda nikamwambia mwana inaelekea kitu iko poa..akaniambia utaona mwenyewe siku moja. Aikuchukua muda sana mwana akagonga mzigo, basi akawa anamsifia sana yule demu kuwa yuko huru sana kwake na anajiachia sana tofauti na demu wake mwanachuo ambaye ilikuwa hata kumpa gemu mpaka jamaa aombe sana. Basi mdogo mdogo akawa kama anajitoa kwa yule demu mwanachuo mwenzake.
Wakawa wamedumu kama miezi miwili hivi..siku moja akaenda kula mzigo maana muda wote alikuwa hajamleta Chuo alikuwa anamgongea nje ya Chuo. Mwana baada ya kula mzigo akanipigia akaniambia ongea na kuku basi..ilikuwa ndo Mara ya kwanza kuongea na yule demu..katika mazungumzo Kwenye simu nikamtania...inaelekea kitu yako tamu sana maana mwana kadata (ndo msemo ulikuwa hot wakati huyo)....akacheka tu...akaniambia na wewe shem??!!!
Mwana kurudi Chuo anaendelea na sifa zake juu ya yule demu. Basi bwana siku ya siku mwana kamwambia yule demu aje Chuo. Tulikuwa tunakaa Hall moja ila vumba tofauti, so baada ya mwana kula mzigo akanistua..oya njoo basi umuone kuku Wangu..nikaenda..kademu kalikuwa kazuri kiasi chake ila kalikuwa na katako fulani amazing.. Wakati tunaelekea kituo cha daladala Sijui niseme ni Bahati mbaya au ilitakiwa iwe hvyo..mkono Wangu ukagusa kale katako amazing... maana tulimuweka kati wakati tunatembea halafu kiaina tulikuwa tumesogeleana sana. Mkono wangu ulipogusa kale katako nilipata hisia ya ajabu..yeye akaniangalia kwa jicho fulani hv huku anatabasamu...basi ndo nikawa kama nimepigwa shoti ya umeme vile..
Tumefika kituoni stories zikawa zimeisha kwa upande wangu mpaka yule demu akagundua akaniuliza Shem vipi uko poa...nikamwambia yap niko poa sana. Basi bwana tukakaa pale kituoni kwa muda fulani hv maana kila gari lilikuwa linakuja demu hataki kupanda. Mwishowe nikamuuliza au kuna mtu unamsubiria labda..akajibu wala...ninapenda tu kampani yenu ila nitaondoka muda si mrefu. Huku na huku jamaa akapigiwa simu akawa amesogea kwa pembeni anaongea..Yule demu akaniambia Shem hauko poa kuna shida Gani, nikamjibu naomba namba yako nitakuambia, akaniambia lete simu yako...fasta akaweka Namba yake..mwana kumaliza kuongea anarudi tukapiga story kidogo gari ikaja demu akasepa.
Basi bwana nikawa na ile Namba kama mwezi Mmoja hivi...kila nikitaka kumpigia yule demu au kumtexy roho inasita maana yule mshikaji alikuwa mwana sana yaani. Mwisho nikachukia uamuazi wa kudelete ile namba maana niliona nikiendelea kukaa nayo uzalendo utanishinda. Mwana anaendelea na demu wake ila anamgongea nje ya chuo maana alikuwa anasema huwa anajisikia vibaya kuwapiga room mates wake exile..ila nilikuja gundua baadae kuwa demu Mara nyingi ndo alikuwa analipa lodge.
Siku moja demu akaja tena Chuo kumtembelea jamaa...wameshamalizana demu akamuomba anipigie Anataka kunisalimia..mwana akanistua njoo kuna mtu anataka kukisalimia hapa..kwenda namkuta ni yule demu..ile hali ya Mwanzo ikanirudia tena mpaka demu akagundua tena..wakati tunaelekea kituoni akatoa kikaratasi akanipa bila jamaa yake kuona. Tunafika kituoni hakukaa sana akasepa.
Kurudi room kufungua kile kikaratasi kimeandikwa namba ya simu halafu na ujumbe...pls nitafute. Nilikaa na ile Namba kama kwa week moja hivi mwishowe nikasema ebu nimcheki huyu demu nijue anataka nin..siku moja nikamtext.. Mambo?akajibu...poa... nani??nikajitambulisha...akapiga...zikaanza kwanza lawama...muda wote huo tangia umechukua Namba yangu Mara ya kwanza mbona hukunitafuta...nikatoa excuses kuwa sikutaka kumwaribia jamaa maana ni mwana sana. Demu akasema ungemwaribia nn kwani we si Shem Wangu..nikamwambia ukweli...siku nikiyogusa kitako chako amazing nilipata hisia ya ajabu sana..na kama ningewasiliana na wewe Lazima ningekuomba...demu akacheka sana halafu ghafla akakata simu. Mzee baba nikasema hapa nimeshaharibu taarifa lazima zimfikie mwana...sikuwasiliana tena na yule demu.
Siku moja jmosi midaya saa moja jioni yule demu akanipigia...nipo hapa kituoni njoo basi..akikuwa kile kituo kipo karibu na bookshop.. mzee nilikuwa kama nimepigwa ganzi kwa muda kidogo ..nikasema ngoja niende liwalo na liwe...kufika demu akaniambia tutafute sehemu basi tuongee tusije tukakutwa hapa..nikatafuta kimbweta ambacho kipo Kwenye mitimiti kukakaa...tulikaa kama dakika Mbili hv bila kuongea chochote..ghafla nikamvuta yule demu tukaanza kukiss...tulikiss kama dakika Mbili hivi nikamwachia...nikamwambia sorry...akasema usijali...duuuu...baada ya hapo ndo tukaanza stories Sasa...piga story za uongo na ukweli mpaka kama Kwenye saa Mbili na nusu hv...ila mzee baba muda wote huo nipo hard balaa....mwishowe nikapeleka mkono kwenye vipaja vyake maana alikuwa kavaa skirt...demu akarespond kwa kupanua miguu...nikapeleka mkono Kwenye papuchi...ooooohhh...kumbe kashalowa zamaniiiii...sikutaka cha zaidi...nillimsimamisha...nikamvua pichu nikapandisha skirt yake....nikamshikisha kimbweta...yule demu alikuwa na papuchi tamu sijawai ona...baada ya kumaliza akanipa handkerchief yake nikajifuta...ila hakuvaa pichu..nikamwambia ndo maana mwana kamuacha demu wake wa Chuo...akaniambia hata na wewe kama unaye utamwacha..hahahahaaaa...tukaendelea na story badae akanipa BJ nikamla cha pili akiniomba nikamnunulie maji ana maarifawe..nikaenda cafeteria nikanunua maji akanawa nikamsindikiza kituoni akasepa zake...usiku akanitext.....hyo ilikuwa trela...siku ya Picha kamili inakuja....nikamwambia naisubiria kwa hamu.
Itaendelea
Kuna mwenzako alifanya ujinga huohuo wa kupeleka domo kwa demu asiemjua, kisa tu ni abiria mwenzake, alianza kumpapasa akaona katulia akaona apanue domo lake alipeleke. Alisikia kama mdudu katoka kwenye kinywa cha yule demu akamuingia mdomoni mwake. Akarudi nyuma kusikilizia, akahisi ubaridi shingoni, kujishika shingo inamwaga damu, imetoboka kama net. Apige kelele hakuweza.Sio kweli mzee
Miez kadhaa nilikuwa safarini
Kiti changu nilikaa na mdada
Wakati safari inaanza tulipeana Hi kama kawaida kila mtu akala buyu
Kitu kimepiga lami mpaka basi,safari ilikuwa ya mikoa ya mbali huko so destination ilikuwa night kali.,
Safari ilivyokolea nikawa naweka story za hapa na pale
Sasa tumfika sehemu mvua ikiwa inanyesha halafu kukawa na baridi kinyama
Sasa mimi nikawa nimeweka mikano kifuani kwa staili fulani hivi ya kibosi ile mikono inakuwa kama inatengeneza x
Sasa nikawa napitisha mkono wangu namgusa mkono wake kwa kumpapasa demu katulia tu
Nikaamua kutoa mikono nikawa kama napitisha kwenye nguo yake katulia tu
Alikuwa kavaa zile blauzi zao
Mixer kanga kwa juu kwa sababu ya ile baridi
Muda huo giza la saa moja lilishaanza kuingia
Nikawa napeleka mkono mpaka kwenye nyonyo katulia
Nikatoa mkono nikaupeleka chini kwenaye kitumbua demu katulia na yeye akawa anaji-position kabisa fingering iende sawa
Mzee piga finger sana piga finger mpaka basi
Basi buana baadae nikauchukua mkono wake nikamgusisha ukuni akaanza kuwa ana repond ana u-massage ukiwa ndani ya suruali
Nikaona usinitanie kumbuka hapo kuna ki giza nikautoa kimya kimya 98% ya abiria walikuwa mboji
Nikawa kama namvutia kwa kichwa basi mtoto kama kakutana na kitu cha azam ukwaji hivi
Basi buana ikawa hivyo nikamaliza fresh
Tulipofika nilichukua namba ila sikuwahi kumtafuta tena mpaka leo
Msema kweli mpenzi wa Mungu huyu mtoto hakuwa mkali kiasi hicho.
Umeandika kwa papara matokeo yake; hujaeleweka.Kuna mwenzako alifanya ujinga huohuo wa kupeleka domo kwa demu asiemjua, kisa tu ni abiria mwenzake, alianza kumpapasa akaona katulia akaona apanue domo lake alipeleke. Alisikia kama mdudu katoka kwenye kinywa cha yule demu akamuingia mdomoni mwake. Akarudi nyuma kusikilizia, akahisi ubaridi shingoni, kujishika shingo inamwaga damu, imetoboka kama net. Apige kelele hakuweza.
Gari kuja kusimama, taa za ndani ya basi kuwashwa abiria ndio kumuona jamaa hoi na yuko peke yake kajaa damu, akashushwa akawaishwa hospitali, akalazwa wiki, akapata nafuu, ndipo akatoa mchapo.
Kesho yake jamaa akakata kamba, na mwili wake ulibadilika kuwa kama mamba.
Sio kila unachokiona kipo jinsi unavyokiona.
Take care.
Kuna mwenzako alifanya ujinga huohuo wa kupeleka domo kwa demu asiemjua, kisa tu ni abiria mwenzake, alianza kumpapasa akaona katulia akaona apanue domo lake alipeleke. Alisikia kama mdudu katoka kwenye kinywa cha yule demu akamuingia mdomoni mwake. Akarudi nyuma kusikilizia, akahisi ubaridi shingoni, kujishika shingo inamwaga damu, imetoboka kama net. Apige kelele hakuweza.
Gari kuja kusimama, taa za ndani ya basi kuwashwa abiria ndio kumuona jamaa hoi na yuko peke yake kajaa damu, akashushwa akawaishwa hospitali, akalazwa wiki, akapata nafuu, ndipo akatoa mchapo.
Kesho yake jamaa akakata kamba, na mwili wake ulibadilika kuwa kama mamba.
Sio kila unachokiona kipo jinsi unavyokiona.
Take care.
Sio rahisi kumfanyia mtu usiemjua kitu.Mme wake alikuchekea tu akukufanya chochote????
Sikujua,kipindi hicho lengo langu lilikuwa papuchi tuMkuu ni kwanini hakutaka maziwa yake uyaguse?
umetaja Oklahoma nimemkumbuka RC Mwanri....ππ, Binti zetu wasome wafike mpaka Oklahoma University....Kuna mteja wangu mmoja ni Pisi ya maana (Shombe shombe) amesomea nje ya nchi Maswala ya Interior Design chuo cha Oklahoma University, mimi nimesomea hapa hapa Bongo Land maswala ya Ukadiliaji gharama za ujenzi. Hapo mwanzo Dingi yake ndio alikuwa mteja wangu sana, ila baadae mtoto alivyomaliza chuo, Mdingi akanitambulisha kwa Mtoto wake nikaanza kupiga nae kazi hivyo alikuwa ananiletea michoro yake ambayo amesha design mimi kazi yangu ikawa ni kukokotoa gharama za ujenzi nakabidhi kazi then navuta mshiko wangu nasepa.
Nilikuwa sina mazoea sana na yule binti maana Uzungu ulikuwa mwingi sana na kujifanya smart nadhani labda kwa kuwa alikuwa amesomea Chuo chenye adhi kubwa sana, maana icho chuo kipo vizuri usipime, ila kiukweli PISI ilikuwa smart sana, Mabaharia tutafute fedha tupeleke watoto wetu shule za maana aisee.
Kama ujuavyo Wabongo na asa mtoto wa kiume lazima ukomae, hivyo ile PISI mwanzoni iliniwia vigumu sana kufanya nae kazi maana alikuwa ananipa challenge za kutosha kwaiyo nami nikabidi nijiongeze nifanye kazi zake kwa uhakika na umakini mpaka mwisho akakubali ufanisi wa kazi yangu japo kiukweli wenzetu wanaupeo mkubwa sana ya maswala ya Ujenzi na ishu za Real Estate.
Mimi nipo Kanda ya Ziwa so wakati mwingine ananitumia kazi kwa Email au kwa Ems au wakati mwingine nakuja Dar napiga kazi week, anaikagua kama kuna marekebisho tunafanya nakabidhi narudi zangu Rock City.
Jamani acheni ile PISI ilikuwa inajua kuvaa na kupangilia nguo na isitoshe nadhani ata akivaa matambala bado angeendelea kuonekana mrembo... Kuanzia mguu, Paja,midomo, Kiuno ndio usisemee, rangi sasa ni hatari maana ni Shombeshombe ila sio mweupe saana yaani kama wale Shombe Shombe wa Tabora, nadhani wale mliofika Muscat Fisi kule Nzega mtakuwa mmenipata, yaani wana kaweusi fulani cha mbaaali we acha tu.
Cha ajabu na uzuri wake wooote na nimepiga nae kazi miezi nane sijawahi msifia hata siku moja kama amependeza au amenukia manukato mazuri,japo kila akikutana na mimi lazima avunje kabati (Apendeze) Mzee Baba.Isitoshe nilihofu kumpiga sound kwa sababu nilikuwa naogopa nisinyee kambi maana yule Mzee alikuwa ananilipa Fedha nzuri sana na nilikuwa naheshiamana nae sana.
Sasa siku moja nikawa nimetoka Rock city nimedondoka JNIA (Airport) kipindi kile Fast jet kwa ajili ya kuja kukabidhi kazi kesho yake, wakati nipo Airport akanitumia ujumbe kesho hatakuwepo kazini ana safari ya kwenda Zanzibar akaniambia niende moja kwa moja Ofisni kwao Posta Mpya nimkabidhi kazi nikasema sio ishu maana kama nitamkabidhi siku ileile ina maana kesho yake nitakuwa free kupiga Tungi(Bata) na masela.
Nikachukua Uber mpaka Posta nikamkuta Pisi Ofisini nikamfanyia presentation ya ile kazi yangu, akakubali kazi akafurahi sana. Ila Ofisi za wenzetu zina tofauti sana na sisi wa Bongo maana huwa zina Wine na wakati mwingine hata Whisky Mzee Baba sio kama zile Ofisi za umma hata Friji tu ni mgogoro. Akaniambia umepiga kazi kubwa kwa muda mfupi ila umefanya kwa umakini mkubwa sana.
Hakafungua kabati akamimina Whisky kwenye Glass akanipatia kidogo.... akasema najua hii unatumia hiki kiasi kidogo hakita kulewesha mpaka usahau kufika Hotelini ulipofikia.... Nikazuga kihaina nikaichukua nikasema sio mnywaaji saaana kivile uku natabasamu... Yeye akamimina Wine kiasi akaanza kunywa.... akaniambia ana dakika 5 itabidi awai home kwa ajili ya Safari ya kesho.
Sasa cha ajabu kwa zile dakika tano za kupiga Story japo sijazoena nae saanaa akaniambia....Kwa jinsi ulivyobobea na fani yako ya ukadiriaji Majengo, Je mimi P... naweza kufikia kiasi gani za gharama za ujenzi?Akaanza kuucheekaaa.......
Mzee Baba nikajikuta nimeropoka tu..... Hivyo ulivyo pamoja na nguo au bila kuvaa Nguo?...... Pisi ikachekaa mpaka Wine ikampalia kooni... Akaniambia najuaga siku zoote uko Serious sana kumbe ni Charming hivyoo...... Akasema Nataka nijue gharama nikiwa na nguo na pia nataka nijue gharama bila kuvaa nguo?.....
Nikajikuta nimeropoka tena ... Nitafurahi kama ningekukaridia gharama hizo ukiwa huna nguo...(Nikajilaumu kimoyomoyo sana na ule ulopokaji wangu kwa mtu ambae sijazoeana nae)..
Ila cha ajabu Akacheeka tena..... na kutoa tabasamu bashasha akasema, muda umeisha nahitaji kurudi Nyumbani kujiandaa kwa safari ya kesho... Nikajibu Pouwa safari .. Njemaa mimi nikasepa zangu Sinza....
SOON NAMALIZIA NGOJA NIKABIDHI KIMEO CHA WATU KWANZA .......