Ulishawahi kula tunda kimasihara?
TULIVYOMPIGA MTUNGO MUHUDUMU WA LODGE KIMASIHARA..

Tupo mimi na jamaa yangu tunatoka Mwanza kufika Msamvu, saa 7 usiku usingizi kama wote tukaona tulale tuendelee na safari kesho maana hatukuwa tumebeba maali kuoza..!! Tukapata lodge moja nzuri nzuri, pale tukawakuta wadada wawili mapokezi... Bahati vyumba bado vilikuwepo...

Mmoja tukaenda nae atuoneshe vyumba, kawaida huwa tunachukua chumba kimoja na pale hawaruhusu kulala jinsia mbili chumba kimoja.. Bembeleza sana hata haelewa mluguru yule.. Kuona anatia ugumu nikamwambia 'basi tutalawa watatu', Eeh watatu na nani? Na wewe mrembo... Boooh! Aliachia msonyo wa haja na kusindikizia na 'MNA LAANA NYIE', alipiga u-turn ya kibabe na kuondoka kwa hasira...

Ule mwondoko tukajua kituo kwa meneja au kupiga simu Polisi.. Tukaambiana tulale wakija kututoa ndio tuchukue chumba kinginee.. Baada ya nusu saa mlango ukagongwa tukajua kumeshanuka.. Kwenda kufungua ni muhudumu tuliemwacha mapokezi akiwa na daftari la wageni 'Niandike jina gani kaka' aah kumbe amani, tukajaza info zote kasepa zake.. Hatujakaa sawa kale kengine kakaja, kakaazama ndani tukajua pamekucha...

Sijui hata usingizi uliishaje maana tulikagonga kale katoto vibaya mno... Ilikuwa bandika bandua, demu mwenyewe hakua mchovu.. Ile safari badala ya kuondoka asubuhi, tuliondoja jioni...
Unajisikiaje unapoona matako ya mwanaume mwenzako live ukiwa unakula mtungo??
 
Miaka kama kumi iliyopita nilitembelea wilaya moja mkoani Mwanza, nilikuwa nikitoka mkoa fulani kuelekea huko kwenye hiyo Halimashauri, Sababu nilikuwa na shida ya kuonana na DED wa wilaya hiyo.

Siku iliyofuata baada ya kulala jijini Mwanza ilinibidi niliondoka asubuhi mapema ili kuwahi kufika huko wilayani, bahati mbaya nilichelewa nikafika mida ya saa nne hivi na kukuta kulikuwa na kikao ambacho sikufahamu kitamaliza muda gani.
Jirani na ofisi za halimashauri kulikuwa na stationary moja, Baada ya kuona ninmekaa kwa muda mrefu bila kumuona DED kutokana na kikao nilikiwa na kibegi changu kidogo.

Ndipo nilipoamua kwenda pale stationary kwa lengo la kuomba nikiache hapo kwa muda ili badae nikichukue, pale stationary nilikuta na dada mmoja wa kawaida tu nikamsalimia nikamuomba niache hapo kamzigo kangu akanikubalia. Nikarudi zangu kuendelea kumsubir mheshimiwa mida kama ya saa kumi kasoro kikao chao kikawa kimekwisha. nifanikiwa kuongea nae tukamalizana.

NIkarudi pale stationary na kuchukua begi langu kwa ajil ya safari ya kurejea jijin mwanza ili nilale hapo then asubuhi nilirud nilkotoka. Baada ya kufika stand ya pale wilayani nikuta gari limebaki moja tula kwenda town ila kulikuwa na abiria kama wawili tu jaama konda kaniambia gari litaondoka baada ya nusu saa ndipo nikaamua kujisogeza kwenye mgahawa mmoja jiran na hapo stand ili nipate chochote kama baadaya dk15 kurud nakuta gari lilishaondoka. Nikawauliza bodaboda wakaniambia kuna watu walikuwa msibani sasa wakuja kwa pamoja gar likajaa likaondoka ila ni kama dk5 zilizopita. Yule boda kaniambia ngoja tulifukizie tutalipata but hakufanikiwa nikamwambia nirudishe na safari ikakomea hapo boda aniulza bro nikupele wapi ndo nikakumbukapale stationary then ntajua pa kulala

KULA KIMASIHARA
Nimerudi stationary nikamkuta yule dada aniuliza kaka vipi si umeshafika mwanza ndo kumueleza gari liliniacha hivyo yeye kama mwenyeji wa pale anisaidie kunitafutia lodge nzuri ya kulala, anikubalia ila baada ya kufunga. Basi tukanza story za hapa na pale nikawa namsifia kuwa yeye ni mrembo japo alikuwa siyo mzuri. Nikamuliza unaishi na nani kaniambia anaishi na dada yake nikajibu poa, sasa kuna muda akawa naogea na sdada yake mara kaishiwa kifurushi nikamwambia tumia simu yangu hapo tayari tulishakuwa karibu.
Baadae nikamtania nataka niongee na dada yako nimsalimie kasema dada yake ni mkali sana na huwa hapendi yeye awe na marafiki wa kiume. nikasema wewe niruhusu nisalimie kajibu ukifokewa usinilaumu basi nikampandia hewani mdogo mtu anaogopa balaa, nikamsalimia nikambia kiutani bila yeye kujua mimi shemeji yako nimesafir kutoka mkoa fulani ili nije unifahamu ila huyu mwenzangu anaogopa kukuambia. mara ooh shemu pole na safari na kwa kuwa muwazi mwambie afungeh apo mje nyumbani huku demu kaogopa balaa yaani wewe kaka sasa umemwambia nn dada, mara paap dada mtu kapiga simu kwa mdogo mtu mlete mgeni nyumbani.
Sababu huyu demu alikuwa anamuogopa dada yake ikabidi anipeleke huku kimoyomoyo najisemea liwalo naliwe tumefika kwa dada yake nimekaribishwa vizur na msosi nimeandaliwa mzuri nimegongo menu then nikampiga fix dada mtu mie asubuhi nasafiri ila tutaendelea kuwasiliana, pia nimefikia lodge X mara nasikia mpeleke mwenzio akalale kachoka na safari ila nilichofurahi zaidi then wewe uwahi asubuhi stationary usijisahau. wadau nilipiga mzigo usiku kucha isitoshe na yule demu alikuwa na genye za kutosha.
NB: masihara yaendelee kudumu, pia kuanzia hapo ndo nilijua kuna uzuri na utamu mtoto sura ya kawaida ila mtamu balaaa anajua kuifinyia ndani. yaani nilikula bila kutogoza just kumfanyia masihara dada mtu nami kutunukiwa tunda na mdogo mtu
Mpaka sasa unaendelea nae?
 
Nilikutana naye nikiwa nina mke na mtoto mmoja tayari....sema ananiheshimu sana maana kila ninachomwambiaa habishi...kimsingi huwa hanitafuti kwa simu mpaka nimtafute mimi....yaani kila nitakachomwambia jibu huwa....hamna shida nakusikiliza wewe tu daddy...kuna siku nilimuuliza...angekuwa mke wangu angekuwa ananisikiliza hvo....jibu alilonipa ni hili....daddy inawezekana nisingekuwa nakusikiliza kwa 100% ila amini tu ningejitahidi hata nikusikilize kwa 99% basi...kifupi huyu demu yupo obsessed na mm na sio mapenzi naweza kiri hvo....yaani ana vtuvtu ambavo kwa baadhi ya wanaume ni kero fulani ila yeye ndo anapenda hvo...kwa mfano mnaeza panda daladala unakuta ina seat za kutosha ila yy anakuambia umpakate...nikifanya hvo basi anafurahiii....ataninong'oneza leo unataka nikufanyie/nikupe nn ambacho sijawai kukufanyia/kukupa?? huku anasuguasgua dushe na tako lake tena akiona nimesimaisha ndo anazidi kusugua...sasa mkuu wewe unaviweza hvo vituko? mm namudu kwa 100% ndo maana tunaendana
Ila unafeli sehem ndogo Sana mkuu. Unashindwa kula 0714
 
Kweli kabisaa brother
Wadau story zenye elements za illegality tubaki nazo rohoni .
We Kama ulikula mwanafunzi, mtungo , tigo kwa kukulazimisha etc etc Ni bora ukabaki nalo moyoni,

Ni kwa maslahi mapana ya Uzi, isije zikatafutwa sababu ikaonekana uzi una shawishi watu kufanya jinai tukakosa bara na pwani,

BTW, mwamba uliyeenda kumuona DED mwanza, umetisha!

Sent
 
Miezi kadhaa nyuma, msibani maeneo ya Mikocheni. Aliyefariki alikuwa ni rafiki wa baba yangu hivyo niliwakilisha familia.
Kama mjuavyo misiba ya watu wa bara hasa watu Mara, mara nyingi hupenda kuongea kilugha hivyo kama wewe ni mgeni utajikuta huna mtu wa kuongea naye.
Muda wa saa mbili nikaamua kutoka ili kwenda kununua vocha maduka ya jirani. Nikiwa natoka dada mmoja naye akawa anatoka na tukawa tunaelekea dukani.
Binti alikuwa mnene kiasi, macho makubwa na kasura fulani hivi cha kitoto. Akanisalimu na kuniambia kwa kicheko huu msiba wenye msiba wao wanaongea kilugha tu. Tulicheka na stori nyingine zikaanzia hapo.
Tuliporudi, muda wa chakula cha usiku akaja akakaa karibu kabisa na kona niliyokuwa nimekaa. Baada ya mazungumzo machache nikagundua huyu dada anafanya kazi ofisi moja na mmoja wa mtoto wa marehemu.
Nilipanga kuondoka msibani saa sita usiku ili nikalale nyumbani. Huyu binti inaonekana alijipanga kuja kulala msibani ila akakosa kampani maana watu wengi walikuwa ni wanafamilia na walikuwa wakiongea sana kilugha na mfiwa alikuwa ndani mahali ambapo walikuwa wamekaa wanafamilia tu.
Nikamtania tu, twende ukalale kwangu kesho urudi hapa kwa shughuli za kuaga mwili wa marehemu. Alijichekesha kisha akaniambia anaogopa kupigwa, baada ya kumhakikishia usalama wake, akawa amekubali.
Majira ya saa tano na nusu nikamwambia tuondoke, wala hakusita, aliingia ndani na kwenda kuchukua mkoba wake.
Tukaingia kwenye Vitz(niliyomuazima jirani yangu) tukaanza safari kuelekea ninapoishi.
Dada akawa comfortable kabisa na utani wa hapa na pale.
Tulipofika, kila mtu alioga na safari ya bedroom ilianza bila kuulizana maswali mengi.
Alitangulia kupanda kitandani nami nikafuatia. Nilipofika alijisogeza na kuweka kicha kifuani kwangu. Sikuwa na muda wa kupoteza nikajilia mate huku nikimpapasa.
Binti alilegea kiwango cha kutosha, kisha kwa uchovu akaniuliza kama nina kondom.
Nilivaa kondom nikajilia tunda bila kuliomba.
Asubuhi kuamka, tunasalimiana binti anatabasamu huku akiniambia "kweli kufa kufaana" nikabaki nacheka tu.
Nikamsogelea nikapata cha asubuhi wakati huu hata hakuulizia kama nina kondom.
Majira ya saa nne tukirudi msibani kwa shughuli za kuaga mwili.
Huyu niliendelea kula mpaka alipoolewa na huyo aliyekuwa mchumba wake.
Hii ndio maana halisi ya kula kimasihara
 
Basi bhana mazoea na maza hausi yakazidi kupamba Moto na alikuwa ananichangamkia sana mpaka mama mtoto wangu akawa anashangaa ila hakutilia maanani jambo lolote. Siku moja wikiendi wakati namsaidia kuanika nguo mama mtoto maza hausi alinifata kwa siri na kunambia kuwa mwanawe wa kike anaumwa wanahisi malaria ila hawana hela ya kwenda hospital,sikujiuliza sana nikaingia ndani nikatoka na elf 10 nikampe waende kupima Kisha Kama haitatosha kwa dawa anambie nimuongeze. Kiukweli nilikuwa nampa hela yule mama kwa roho 1 huku nikifurahia maana ni yeye pekee ndiye aliyekuwa ananitunzia Siri ya kumla jirani wa mama mtoto wangu.

Nikashinda sana ndani siku hiyo hivyo ya nje sikuyajua na nilipotoka nje jioni sikuonana na maza hausi,nikasepa zangu gheto, wikiendi nyingine ilipofika nilikuwa nimeenda tena nikamkuta barazani,kabla sijashuka kwenye gari alinifuata tukasalimiana na kunijulisha kuwa walienda hospital mgonjwa alikutwa na typhoid na malaria. Nikampa pole na kumwambia tutaonana baadae,nikaingia ndani kuiona family yangu.

Mida ya mchana wakati natoka shop kuongeza baadhi ya mahitaji ya ndani nikapishana na maza hausi,akanipa ishara ya kumsogelea, nikamsogelea akaanza kunambia kwa sauti ndogo Kama mtu mwingine asisikie..."mwenzio yupo ndani upite ukamuone maana bado hajisikii vizuri" nilistuka sana,ile kauli ya kusema ni mwenzangu ilinichanganya sana lakini pia kule kunambia ktk hali ya usiri pia kukanifanya niwaze zaidi. Fasta nikajiongeza nikasema sawa ngoja nipeleke mahitaji ndani,akasema sawa Kisha akanionyesha room ninayotakiwa kuingia kumuona mgonjwa.

Nilitoka room kwangu kwa usiri na kwenda kubisha room ya huyo mgonjwa mtoto wa maza hausi,nikasikia sauti ndogo ikinikaribisha. Nikazama room mzima-mzima nikakuta binti mwembamba amelala kwa bed amejifunika na shuka, nikamsalimia huku nikiwa nimesimama maana chumba hiko kilikuwa na kitanda na mabegi ya nguo Tu sikuona pa kukaa. Nikawa namchora tu,nikaongea nae machache huku nikiwa na 100% sure kuwa tofauti na shuka ndani hana kitu na kama anacho basi ni kanga 1 tu. Basi sikuweza kukaa sana kwa aibu na bado sikuwa na uhakika Kama nina ruhusa ya kumla na hata ninayo labda sio mulemule ndani kwao,hivyo nikatoka kurudi kwangu huku naumia roho na babu kwa zipu alikuwa akinilaumu.

Mchana uleule maza hausi alinikuta nje nasafisha kibox changu namba A akaniuliza kwa taharuki km naondoka,dizaini km hakutaka niondoke hivi. Nikamuambia mida ya kuondoka bado haijafika,akasema sawa huku akiniuliza why nimeingia chumbani kwa mwenzangu sijakaa hata kidogo nimeondoka,wakati nafikiria cha kumjibu akanambia usijali kuwa huru yule ni mwenzio hamna tatizo wala usiogope chochote,baadae kabla hujaondoka uende ukamuage. Aisee nilidinda vibaya mno mbele yake, ile kauli yake ilinifanya nijione mjinga mno kwann sikumaliza yote nilivyoenda mwanzo.

Baada ya kauli yake wala haikupita nusu saa nikaenda tena kubisha mlango,nikaulizwa mie Ni Nan nikajitambulisha,ilichukua muda kidogo nikajua tu huko ndani anajiweka sawa kwa ajili ya mgeni. Akanifungulia,nkamsalimia nikaenda mpk kwa bed alipolala..tuliongea kidogo nikaanza kumchombeza kwa vimaneno vya uchokozi,hakuwa muongeaji Sana zaidi ya kukwepesha macho yake kila muda,wala sikufanya ajizi....nikawa nampapasa trakoo japo ni mwembamba wa kawaida tu. Nikamfanyia vituko,nikamchojoa shuka nkamkuta na pichu tu huku akiwa kalowana balaa. Nilimfirigisa Sana hiyo siku mpaka tukatandika godoro chini maana kitanda kilikuwa na kelele balaa. Sijui kwanini alikuwa ananisisimua Sana wakati kabla ya hapo sikuwahi kuwa na mzuka na mademu vimbaumbau. Ilikuwa kila nikimaliza napumzika kidogo nasimamisha tena. Nilikuja kustuka jioni kabisa nilipomsikia mama watoto nje analalamika hajui nilipo na simu yangu anapiga inaita ndani ya gari nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui kwanini nilisahau simu. Huu umalaya ni balaa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aiseeeh !!
 
NILIVYOMLA KIMASIHARA ASKARI POLISI

Saa 6 mchana niko Mbezi kusubiri gari la ABC, ili saa 7 mchana tuanze Safari ya kwenda Dom.

Mungu hamtupi mja wake kama alivyoamua kumrejesha Gwajima kwenye madhabau, gari ilfika Mbezi nasi tuliyo kuwa Mbezi tukapanda tayari kwa Safari ya kuelekea Dom. Nafika kwenye siti yangu, nakutana na jamaa tunafahamiana kabisa! Sikufurahi Sana kwa kuwa huwa napenda nisafiri kwenye siti moja na mtoto wa kike, hapo Safari inakuwa burudani. Tukapiga piga story pale, then kila mmoja akachukua time yake!

Siti ya mbele yetu kulikuwa na mama mmoja na mdada mmoja, ambaye baada ya kumuona tu, nilitamani nimuite konda amhamishe yule mama nikae Mimi au nimtoe jamaa yangu aje yule manzi nikae nae. Lakini ndo ilikuwa haiwezekani! Ikabidi niwe mpole!

Tumefika Chalinze, nikasikia wanaongea na yule mama, wakawa wanaongea Kiingereza, kwa kuchanganya na kiswahili! Kiswa-english! Ila mtoto anatema cheche balaa! Duuuh, rohoni nikaanza kumlaumu baba kwa kunipeleka shule msingi Nakapanya na Sekondari ya kata ya Mlingoti Magharibi!

Mazungumzo yalivyokuwa yanaendelea, nikagundua wale ni mama na mwana! Wanaenda kwenye graduation Udom! Na Wanafikia Lodge! Nilisikia, "mom have you asked Nasra to book a room for us....! Come on my dear! Dom napo ni pa kufanya booking, room zipo tu! Just relax babe, okay! Sawa mama angu!

As they were conversing, I was also very attentive, so as to grab some details that would help me to prepare my business plan for hooking this beautiful Onyinye! No matter what!

Kuna kipindi nilikuwa nilikuwa naomba mama alale nipate nafasi ya kuongea na mwanae lakini Mama was so supper, yaani ni ile tunaita "Stickativity theory" never quit, never sleep! Ndo kwanza anapiga story!

TUNAINGIA MOROGORO

Tumefika Morogoro, nikategea nione kama anashuka kwenda kuchimba dawa au kuchukua chakula, lkn waliendelea kukaa, ikabidi tu nishuke! Nikaenda kibanda kimoja nikachukua pipi tatu, nikanunua kalamu nikaomba na karatasi! Pipi moja, nikaiweka kwenye kikaratasi, nilichoandika
" Hello, am Lugumya" nyuma ya siti yako hapa! Namba yangu ni ......kama hutojali, naomba tuchati kidogo! I heard you speaking about Udom graduation, nami ndo ninakoelekea"
Am sorry for any inconveniences, resulted from this message! Cheers!

Nilivyorudi, kufika mlangoni nikatupa jicho moja kwa moja kwa yule dada! Tukagonganisha jicho for some seconds, then akaondoa uso wake! Hapo nilitaka nimsindikize na tabasamu! Lakn akawa ametoa macho, and she never looked at me again! Nilienda moja kwa moja hadi kwenye seat yangu, na yule seatmate alikuwa hajafika!

Nilivofika sikukaa, nilisimama, huku nikiwinda mwenendo wa mama mzaa chema, nikaona ameinamia simu, kuzungusha kichwa naona kuna baadhi ya abiria nao kama wananitizama! Najiuliza nifanyeje? Akili inanipeleka kwenye theory ya Social Cohesion- we are bound together because of our similarities and differences. Mi nina Uume yeye ana K, so we can be together eeeh! Probably, that is what can bond us!

Baada ya kuridhika kuwa mama amejikita kwenye simu yake, nilimgusa yule dada begani, akageuka, huku namuona jamaa yangu akipanda , nikampa pipi mbili, iliyo kwenye kikaratasi nilichoandika na nyingine ya kawaida. Pipi moja ilikuwa kishika uchumba kwa mama mzaa chema, ya Pili ilikuwa kinogesho Cha ujumbe wangu! Japo sikuwa na uhakika Kama ujumbe utapokelewa!

Yeeeees, alichukua! But she was so neutral! Nilimuona akipiga jicho kwa mama yake! Afu akainama, bega moja ameweka kingo mama yake asimdukue! I realized, the girl was reading my conceptual framework, designed by a researcher himself(Lugumya).

TUNAONDOKA MORO.
Safari ya kutoka Moro ilivoanza, nilikuwa attentive na simu asije akatuma meseji afu nikachelewa kujibu akaniona siko active! Lakini hakuna Cha meseji wala nn, kwanza ndo ameweka earphones kabisa! Nikawa natamani ninyanyuke nimwambie mbona kimyaaa! Ila nyie dada zetu Basi tu! Nyodo sijui, mnazinunua wapi?

Gari iliendelea kukata mawimbi, Mara tukaingia Dumila, akageuza shingo, akakuta nimemwandalia tabasamu nikampa, bila kusema chochote, akarudisha uso wake mbele! Akamcheki mama yake! Akamnong'ong'oneza kitu! Wakacheka! Moyoni, nikasema hili toto litakuwa linanisemea kwa mother! But what do I loose, kwanza siwajui! Potelea mbali! Then, nikaona anampa Pipi moja, mama akachukua! Nikajisemea, mnaanza kula mahari hata kabla ya kunitumia text, this is laundering! Totally laundering! Kula Pipi imekuwa halali lkn mm kunitumia meseji tu imekuwa shida! Powa!

Few minutes later, binti aligeuka kidogo akakuta namwangalia! Kipindi hiki akatabasamu nami nikatabasamu! Faster akarudisha kichwa mbele. Nikaona ameinama, Mara sms "Ahsante kwa pipi"

With that message, I real remained speechless! What a step! My ghosh! Kwa kipindi kifupi nilikuwa kwenye kifungo huru! Sasa, naona kama Rais, anatoa msamaha, na mm unanigusa moja kwa moja! I had nothing to do, rather than replying her text!
" Ahsante kushukru! Karibu!" Ukiwa unaendelea kusoma, unaweza kuibeba furaha yangu! It's a kind of passion I have never unleashed!

Jamaa yangu sina habari nae, amejilalia huko, mimi nyege zinanikorokota! And I thought, this girl was enough to kill all the pain! Na Kama Maendeleo ni matokeo ya msuguano, basi Maendeleo yapo kwa huyu dada, nitamsugua ili niyapate! Haya ni baadhi ya mawazo yaliyokuwa yananijia, nikisubiri labda aseme chochote kuhusu meseji niliyomtumia! Alikaa kimya tu lkn!

Kuna roho ilinambia, em mpotezee, si namba tayari unayo! Polepole ndiyo mwendo na haraka haraka haina Baraka! Lakini mtu simjui nitamsubiri hadi lini?
Then, niliamua kuvunja ukimya!

" Hello miss, it's of no lie, you look so beautiful and balanced" Nitafurah kama nitalifahamu walau jina lako tu.

Hahahaah, who is beautiful? Me? Hahahaha! Okay, thanks! Am Jasmin! Thanks Jasmin, and that beautiful woman besides you? This is my lovely mother! Sawa! Ahsante nashukuru kuwafahamu! Tuliendelea kuchati kawaida tu, lkn!

Katika mazungumzo yetu ya meseji akanambia, yeye ni Askari polisi, kituo kimoja Dar, wanaenda kwenye graduation yake Mdogo wake! Mi nae nikaona nisjiweke nyuma, nikataja kaofisi fulani amazing ka-serikali! Kenye mvuto mvuto, lkn si kitengo! Nikamchomekea ninavyotamani awe rafiki yangu! Akanambia urafiki wa kawaida, lakni si zaidi ya huo! I said haina shida! Naanza kuona mama anabaki mpweke, attention napewa Mimi! Nimechukua nafasi ya joti, ya masanja na mpoki! Nacheza scene zote mm mwenyew, Nampa furaha jirani yangu!

TUNAKARIBIA KUINGIA KIBAIGWA!

Tulivyokaribia Kibaigwa, tairi la gari letu lilipata pancha, hivyo ikabid tushuke tusubir wabadilishe! Kabla ya kushuka nikamtumia sms naomba nimsalimie mama! Akasema wee, huyu mama ni mkali, wee muone hivi tu! Nikamwambia mwambie mi rafiki yako, tulikuwa wote CCP-Moshi! Akacheka! Akanambia pouw!

Akashuka, mama akafuata Mimi nyuma, mshikaji wangu nae akashuka na abiria wengine wakawa wanashuka! Tukiwa chini, akanitazama nami nikamtazama, tukatabasamiana, akanifanyia Ishara ya kuniita kwa mkono! Nikaenda, nikamsalimia mama, kwa heshima zote na unyenyekevu Mkubwa kuzidi ule wa Makonda akiwa anahesabu kura zake kule Kigamboni! Akaitikia, nikatambulishwa Kama rafiki, tuliekuwa nae kwenye Chuo chetu pendwa kule Moshi! Mama akafurahi kunifahamu! Nikachomoa buku 10, nikampa Jasmini, nikamwambia ampe mama atakunywa maji! Akatabasamu, afu akampa mama! Mama akiwa anatabasamu akachukua, afu akashunishukru!

Kidogo naona mama, anarudi ndani akatuacha na Jasmin! Tunaongea vizuri, yaani kirafiki kabisa! Afande Yuko charming balaa! Mara tukaamliwa kurudi kwenye gari! Tukaingia, likaanza kuondoka!

TUNAINGIA KIBAIGWA!
Tumeingia Kibaigwa, jamaa yangu naona, anasimama kushuka! Nikampisha! Gari lilivosimama akashuka! Nikabaki mwenyewe! Nikamtumia Jasmin meseji! Cutie, am a bit bored, karibu huku tupige story bana" akatuma! Aahahaha! Ngoja nimuage mama! Nikamwambia, poa! Kama mnavyojua Shetani akitaka kujidhihirisha giza nalo halichelewi! Giza limeanza kuingia kwenye Gari na kibaridi Cha Dodoma!

Akafungua mkanda kaja, akachukua mkoba wake, akatoa khanga, akainuka akaja! Nikampisha akakaa siti ya dirishani. Alivyofika akatupia khanga yake mawilini, afu akakaa na kufunga mkanda! Mi nae nikakaa vyema nikafunga mkanda wangu, kwa ajili ya udadis.com! Hapa niwe mkweli huyu Afande alivyoinuka kuja, mshale wa sekunde ndani ya boxer ulianza kuinuka kutoka 6: am kwenda kwenda 12: 00 noon kwa Kasi ya ajabu!

NO MORE TEXT BUT ORAL NARRATION

Tukiwa tumekaa pamoja, amelaza kichwa chake nyuma ya siti ya mama yake, Mimi nae nililaza kichwa kwenye siti aliyotoka! Tukatazama kwa tabasamu, bila kuongea chochote! Macho yote kwake! Kama dk tumeacha macho yaongee, huku tabasamu likitawala! Then, I whispered! Aisee wew ni mzuri jamn! You have already won my heart! Here, my gutteral voice was no more, but romantic and in babily mood!

Nilivyomwambia kwa sauti ya kunyegesha, alibadilika kidogo sura Kama anataka kuweka ndita lkn si za chuki ila za furaha! Yaani kama anataka asinzie, Kama anataka atabasamu, nikagundua tayari nimeshaanza kufanya uchavushaji! Niliendelea kumsifia, the way, Mungu alivyompendelea kwa sauti ya chini chini ili mother asitusikie! Akashukuru! Hakuwa anaongea Sana Tena, ule uchangamfu wake ukaanza kupungua!

Nilimshika mkono nikawa nachezea vidole vyake, huku nikimsifu alivyo na vidole laini, na viganja laini! Akiwa anasema ahsante kwa sauti ya chini! Nageuza shingo, nakuta abiria Mwenzetu anatukodolea, but I didn't care!

Nilihamisha ule mkono, nikauweka kwenye paja langu la kulia, huku jicho nikipiga kwa mama mzaa chema kuona kama anatudukua kiwizi wizi ama lah! Mama alikuwa tayari kalala! Nikausogeza mkono kwenye mkuyenge, afu mm nikapitisha mkono wa kulia kwenye khanga, nikaenda kuitafuta chupi ndani ya Suruali aliyokuwa ameivalia! Nikawa napapasa, afu naivuta kidogo naiachia inajipiga paaa! Nilifukunyua, nikitaka kuingiza mkono kwenye mstari wa makalio, nguo inabana, nikamnong'oneza afungue kishikizo! Akatii bila shurti- Afande Tena! Akafungua, nilivoingiza mkono ukaenda hadi kwenye mstari wa makalio, chezea huku na yeye akichezea mkuyenge!

Nilivotoa mkono huko nikaupeleka kifuani, nikachezea chuchu ya kushoto, akawa anajinyonga nyonga sana! Nikaivuta ile khanga, tukaingia tukajifunika kichwani, afu tukanyonyana ile ya kama kung'atana mara Tatu, afu anakambia it's enough! Mi nikasema mmmmh, nooo bhn! Once more babiee. Akasema, imagine if mom see this! Busara ikarudi nikaona kweli! Nikaacha, lkn hali ilikuwa ni mbaya, kiasi kwamba nikisema nipige bao, litapita kwa mama mkwe wa hiari Hadi kwa dereva, ikiwezekana lipasue kioo Cha gari! Kwa hiyo nikawa na kazi ya kulizuia listoke!

Napiga jicho kwa jirani yangu upande wa kushoto, naona nae anachezea uume, umedinda balaa, umeinua hadi suruali, bahati nzuri abiria mwenzake alikuwa keshashuka! Moyoni nikacheka, huku nikimlaumu kwa kupenda kupiga chabo! Akajifanya Kama anapotezea, mi nae nikampotezea, nikarudi kupapasa Afande wangu!

Nilivogundua kuwa tayari ameshakolea, nikamuuliza! Unalala wapi? Tunalala Simba hotel, mom ameshabook rooms! So, unalala nae, hapana, kila mtu room yake! Okay, hope this will be our very wonderful night! Yeye, hahahahaha! Kweli tena! Utatangulia, then, you will tell me the room number! Akanyamaza!

TUNAINGIA AREA C, OFISI ZA ABC!

Niliamua kumuachia, akafunga Suruali yake, then, akamwambia mama yake! Mama tushuke! Afu akanambia, I will text you soon! Nikasema okay! Nilisimama, nikashuka, wao wakaja, kumbe walikuwa na begi kwenye Boot, lilivyotolewa nikajitahidi kulibeba hadi nje ya geti, wakapanda bajaji kuelekea Simba hotel, ni jirani tu! Huo ni usiku Sasa! Mimi nilitaka nikalale Bansee, buku 15,000/= tu! But I have to wait for this beautiful soldier! Nikiwa bado, najiuliza nimekosa au nitapata, ghafla sms ikaingia, mazingira yakiwa sawa, I will let you know, ikishindikana pia nitakujuza! Nikasema sawa!

Niliamua nisiende mbali, nikaenda moja kwa moja Simba hotel, nikaagiza chakula nikawa nakula! Huku mawazo yakiwa kwa yule dada!! Saa tano hakuna hata sms, mi nae nimeganda tu. Nikapiga, simu haikupokelewa! Nikatumiwa sms wait pliz! Nikawait! Ila nikawa najiuliza muda wote huo anafanya nn, this girl has decided to leave me out in cold! Aiseee, ila akijiroga nitamtomb...ngoja ikipigwe baridi ndo atanijua! Nikatafuta na mtindi nikagonga, ili neutralize manii!


SMS YAKE INAINGIA!

" It's now safe, you're welcome! Room no....! Yaani kwa hii sms, only men can understand! Mie huyoooo! Kufika reception, nikajitambulisha pale, wakampigia, akasema mruhusuni! Nikaenda nakuta mwenzangu ameshaoga, amejiremba utafikir ana mtoko! Naogopa hata kumgusa, akanambia, karibia bafuni! Nikamwambia twende wote, akasema wee, mi nishaoga bn! Kweli nikachukua taulo, nikazama bafuni, nikaoga!

Kurudi, akanambia, najua hujala, nilikuchukulia chakula, nikala tena, huku nikimwangalia, naona Kama ndoto za Kimweri (waliosoma miaka yetu wanaijua Hadith hii).

KULA KIMASIHARA

Nikiwa nakula, alikuja kukaa karibu yangu, Mara anishike mgongoni, Mara kwenye vichcuchu vyangu, Mara ateremke kwenye uume, nilikuwa sijavaa, pensi Wala boxer, maana nilifua bafuni huko, na sikua nimechukua kwenye begi nibadilishe! Kwa hiyo nilikuwa na taulo tu. Akawa anaendelea kunipapasa, nikaona isiwe taabu. Nikanawa! Nilivyomaliza kunawa, nikanywa maji! Nilivyoweka tu chupa na kuifunga, nikusukumwa kitandani hapo chali!

Mtoto kaja juu, kaanza kuninyonya kwenye kifua viziwa vyangu, nikawa nimetii amri Kama ananizid cheo jeshini! Akashashuka, chini kwenye uume akanyonya uume, huku akinipasa maeneo ya kwenye mbavu! Then, akaja kunipa denda, tukala denda, nikambadilishia kibao Sasa. Nilikula mate, nikamtomasa yule Afande, nikishika ziwa lake, nikaviringishia ulimi, naona anasemee, shiiiiiiii, anajinyooosha! Moyoni nikawa namwambia, hatuko parade Afande! Kukaa kwako mguu sawa hakunisaidii!

Nilimlamba masikioni, naona anajikunja tu, nikamgeuza , nikawa napitisha ulimi kwenye mstari wa mgongo wake, nakaribia kwenye mstari wa tako, anahema tu mtoto wa watu, nikambinua, nikaweka Mito yote miwili kiunoni kwake, ili mreji maringo ubinuke kama Kitumbua Cha Mama Lishe pale UDSM, aliweka kiuno chake, huku miguu ameitawanya Kama mende aliyekufa, nikazama chumvini, ulimi ukaanza kumtesa Afande! Anahema tu, kwa uzuri wake, ule nilihitaji kuweka alama isiyofutika! Yaani nilikusudia kumpa sakramenti ya kusadiki katika Mimi!

Nilimnyonya sana huyu mdada, nikaenda kwa shingo, huku nikitalii maeneo mengine ya mwili, nikajikuta nimepiga bao kabla sijaingia! Hilo ndo lilikuwa lengo langu haswaa, nitoe nyege mshindo, nibaki na nyege ushindi! Tuliendelea na kuandaana, akanambia she loves romance sana, then, tulivyokuwa tayari nikaingia Sasa!

Nimeingia uume ukapenya, vizuri nikaskia, aisiiiiiiiii,shiiiiii, ooooooohhh, tukaanza kusuguana pale Mdogo Mdogo taratibuuu! Akawa anzungusha, kinyamwezi, Mimi huku bichwa limeiva kama kama tofali la udongo kwenye tanuru! Baadae, nikawa chini, yeye akaja juu, maaskari wanajua kufinyia kwa ndani asikwambie mtu. Nafikiri ni kutokana na Ile tabia yao ya kubana miguu wanapokuwa wanasalimiana na wakubwa zao! Alikuwa ananinfinya. Aliikatikia mpaka akapizi, huyu dada alikuwa na hisia Kali Sana, akitaka kupizi anatoaa usauti wa ajabu balaaa! Utasiiii, aaaanhaaaaaaaaaa, aaaannhaaaaaaaaaaaa! Oohhoooooohiiish! Ooooooohiiii! Ufuuuiiiiijj!

Mimi nilichokuwa nakifanya nikitaka kupizi, natoa mawazo, naanza upya! Nikaamua tu nipizi, tukapumzika kidogo!

Baada Kama ya dk 30 hivi, tukiwa tumekumbatiana, alianza kunishika shika tena, akaanza kuchezea uume wangu, nikaenda nae Kama anvyotaka, sasa tulivotaka kuanza mtanange akainama, nikawa napiga dogy style, piga, akanambia twende kwa kiti, tukaenda kwenye kiti, Mimi chini yeye juu, akawa anakatika mm nimemsaidia kushikilia makalio, napapasa kwa namna kiuno kinavyozunguka! Mara yanapigisha kwa style ya kichura chura, anatoa usauti wa hadi wakat mwingine namziba mdomo!

Baada ya hapo, akainama tena kwenye kitanda, nikashindilia, akanambia nimechoka, naomba turudi kitandani! Tukarudi kitandani, nimesugua sugua naona akanikaba kwa nguvu, akanambia ahsante Sana, I love you, nikamwomba anisaidie nami nimalize, Basi akajikaza hadi nikamliza! Hata sijui usingizi ulivyonipitia, nililala juu yake, saa 10 hivi, nikashtuka, nikajiweka pembeni! Saa 12, nikapata kengine. Kwa kweli nilifurahia Sana, Afande nae alinisifu Sana! Saa moja nikachomoka na mizigo yangu yote.

Ametoka kwenye mahafari, wakiwa na Mdogo wake, Pamoja na mama, tukaonana chako ni chako, nikanunua kuku pale then, tukawa tunakula tunapiga piga story, nikaaga! Akanitumia sms, usiende mbali, kesho tunarudi Dar, hivyo uje tuagane! Leo naomba uje mapema! Nikamwambia utanistua, akasema pouw! I have real missed it! Nami nikamwambia, it is just a day, lkn umenipa kumbukumbu nzuri kichwani!

Saa 4 usiku, meseji ikaingia, if you're free, then you're welcome! Nikamwabia, I will be there sweetie with no late! Nikaenda kula mtoto wa watu tena, nikapiga Hadi Asubuhi, then saa 1 nikabeba tena kibegi changu huyooo! Sasa ikawa mwendo wa sms, kadri nafasi ilivyopatikana tulipata kutano! Tumezunguka nae lodge nyingi nyingi tu Sinza!

Huyu sidhani kama urafiki unaw
Muoe tu nakushauri mke ndo huyo kibarua anacho na mengineo kadharika
 
Nilikutana naye nikiwa nina mke na mtoto mmoja tayari....sema ananiheshimu sana maana kila ninachomwambiaa habishi...kimsingi huwa hanitafuti kwa simu mpaka nimtafute mimi....yaani kila nitakachomwambia jibu huwa....hamna shida nakusikiliza wewe tu daddy...kuna siku nilimuuliza...angekuwa mke wangu angekuwa ananisikiliza hvo....jibu alilonipa ni hili....daddy inawezekana nisingekuwa nakusikiliza kwa 100% ila amini tu ningejitahidi hata nikusikilize kwa 99% basi...kifupi huyu demu yupo obsessed na mm na sio mapenzi naweza kiri hvo....yaani ana vtuvtu ambavo kwa baadhi ya wanaume ni kero fulani ila yeye ndo anapenda hvo...kwa mfano mnaeza panda daladala unakuta ina seat za kutosha ila yy anakuambia umpakate...nikifanya hvo basi anafurahiii....ataninong'oneza leo unataka nikufanyie/nikupe nn ambacho sijawai kukufanyia/kukupa?? huku anasuguasgua dushe na tako lake tena akiona nimesimaisha ndo anazidi kusugua...sasa mkuu wewe unaviweza hvo vituko? mm namudu kwa 100% ndo maana tunaendana
Yes huyu mwanamke
 
Bwana wee nilikuwa nakaa kwa mshikaji wangu frani hivi kwao pale kwao palikuwa na mtoto wa dadake(anko) na mm akawa ananiita anko anko poa ikawa hivyo sikuwahi kufikilia jambo zaidi ya kumchukulia anko, mtoto kisu kisu kweli bwana bwana siku nimetoka mbishe zangu namkuta mtoto peke yake, pia sikuwaza wala sikuwa nawazo nikakaa kwenye kiti salam bize na simu yangu mala papu mtoto kasema anko naenda kuoga mm poa nipo bize tu na JF. Aya mtoto kaludi kuoga heee kanita anko mm naaam. Huku niko bize nasimu kaita tena anko mm naam sema bado macho yapo kwenye cm daa sauti ilio fuat sasa ankooooo ile yani nikageuka sema anko wow mtoto saasita hizi afu kanivuta fasta jmn ckujiuliza mtoto mbichi nilikula mpka sahz nakula
Kweli usimuliaji nao ni kipaji, mnatuangusha sana mabaharia yani baadhi ya matukio mnashindwa kuyasimulia na mkamalizia vizuri, kama wewe
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hizo story jamaniiiih zinayeyusha maumivu ya commedy za HELSB,
 
idumu milele amina ndugu mjumbe
JF idumu milele, na huu uzi uishi maisha marefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaqh
idumu milele amina ndugu mjumbe [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom