Unachokisema kinawezekana mkuu,

Na sio kuzoea kila mtu

Ingawa wengine hawakuamini mimi nakuamin.
 
Hii thread inanipa comfidence balaa What are some of the lessons one should definitely learn at their 20s?
 
Sio rahisi kumfanyia mtu usiemjua kitu.

Alinipiga mkwara ila nami nikampiga mara mbili yake.
Hahahaha Ujana una mambo yake aiseee. kuna boya alikuta sms zangu kwa demu wake akachukua namba akanipandia hewani full biti, aiseee nilimchimba biti kali mpaka akaombe yaishe eti mwenye kosa ni demu wake sio Mimi. kesho yake demu kanipigia simu huku anacheka anauliza nilimwambia nini jamaa yake mbona baada ya kumaliza kuongea na simu alikuwa mpole sana isivyo kawaida yake.
 
Samahani, hapa hua naandikia wale wa divisheni one na two.
Nyie ngumbaru someni comments nyingine.
Hongera kwa kuwa na akili kubwa. Hongera pia kwa kujijua kuwa una akili kubwa na unawasiliana na wenzako wenye akili kubwa. Hongera sana

Bazazi
 
Kwa sisi wazoefu na uandishi wako tunaona chai ya ajabu tena chumvi imepitiliza
 
Nimecheka hapa aisee. Penzi likikolea mambo hubadilika kabisa. Gia hubadilishwa angani!

Kuna mwanamke mmoja wa Kenya nilikutana naye Dsm,
Nikampa one night stand, akaifurahia sana. Alipanga kurudi Kenya, akaahirisha; akajua labda ile show nilibahatisha.

Akapanga siku nyingine tukaonana tena, usiku mzima ilikuwa ni show ya kibabe zaidi ya ile ya kwanza.

Nikaona anavua Pete yake mkononi. Akaitupa chini, akaniambia nifanye maamuzi! Aidha aivae tena au niamue kuishi naye!

Dah! Ngoja niishie hapa tu aisee!
 
Tatizo watu wengi wanatumia 'violence' kutatua incompetence yao.

Kama mwanamke anacheat basi kuna mapungufu kwenye ndoa yako. Kaa chini utatue wewe na mke wako sio kuparamia watu usio wafahamu.

Leo ameacheat na mimi, kesho akicheat na mwingine? Wewe kazi yako ni kupigana na wanaume wenzio? Huo muda wangekaa chini watafute hela sio kuhangaika na wanaume wengine.

Mwenye shida ni mwanamke, deal na mke wako. Manake kazi yako itakuwa ni kupambana na watu kila siku.
 
Huyu Mkenya wangu hakuwa ameolewa ila alikuwa na mpenzi mzingu.

Alikuja bongo likizo ya kimasomo na akapata tempo job ya kufundisha nursery huko Masaki.

Alikuwa na sura mbaya kama wamasai ila msafi, kazi anaijua. Ameolewa sasa ila bado ananicheck facebook ila nimeshaitelekeza account.
 
QUOTE="jimmyfoxxgongo, post: 33269855, member: 121021"]
ujue Bushmamy basi tu ila huwa nikiona comment yako roho yangu inasuuzika kabisa

Yaani hapa umeni-quote mpaka nimetetemeka

Hivi ushatuambia jinsi ulivyoliwa kimasihara au bado

Kama bado hebu tupe.


[/QUOTE]
Nilitoka zangu kupiga maji sabena Bar, Basi mwilini sumu ishasambaa kila Kona hapo ni saa tatu kasoro usiku Narudi zangu home mdogo mdogo basi njian nakutana na mbaba sijui ni mkaka, hiyo njia kuna chocho na migomba migomba haki nikasema sitongozi mie , ntajitahid naenda kojoa hapo kwenye migomba hivo anisubiri, nlivomaliza nkajidai mdudu kaninga'ta aje a nitoe, Basi bwana akaja, alivyokuja tu nikampa mtama nkamlalia kwa juu basi bwana mchezo ukaisha na sumu mwilini iliyokuwa imejaa Ikaisha yote
 
Huu uzi unavuta kama sumaku

Nje ya mada...Wakuu nipeni mbinu ya kupata mrembo wa ulimwengu wa kwanza (Ngozi nyeupe) wa kupiga tu kusepa,na wapi wanapatikana kirahisi hapa darisalade(dsm)
Njoo Q bar and guest house masaki mkuu wapo wa kutosha utawambato hadi mb..o ichubuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…