Mwenyeji wako hawezi kukuruhusu uondoke wakati kuna mvua bhana!!!!!
 

There is no such thing as sex kwa bahati mbaya! Emu jaribu kuangalia mchakato wote swala hili afu uone bahati mbaya hiyo inatokea wapi! Labda useme issue nzima ilikuwa design ya kuku mzee!
 

Umenikumbusha mwalimu aliyekuwa ananifundisha map reading getoni kwake.....
 
Siyo siri, nimepitia post zote kwenye thread hii naungana na mdau mmopja katangulia, nasema hivi?! Katika hizi mambo zote wanaume mnajisifia ya kua mlifanya mapenzi kwa bahati mbaya mnajidanganya! Mara nyingi/zote wanawake ndiyo watengenezaji wa mazingira ili hii mambo itokee!!
 
wewew ndo Mandingo wa DUME eenh,haya mdau
 
Last edited by a moderator:
Nyie hatari had mmevunja chaga

 

Mkuu hakuna cha bahati mbaya hapo iyo inaitwa mizoga,huwa ipo ipo tu haijielewi, naamini Manzi Mwenye akili timamu anaejielewa hawezi kuvua ama kuvuliwa chupi na mtu asiyekua na relationship nae.
 
Mkuu hakuna cha bahati mbaya hapo iyo inaitwa mizoga,huwa ipo ipo tu haijielewi, naamini Manzi Mwenye akili timamu anaejielewa hawezi kuvua ama kuvuliwa chupi na mtu asiyekua na relationship nae.

Thats too harsh and abusive mkuu.
Na huyo ulinaye unajua kama ameshaliwa sana kwa style hizi hizi?????
Kikubwa heshima maana kila mtu ana little secrets.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…