Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mpaka hapa, nimejifunza kuwa MVUA ni one of the strongest factor zinazosababisha michepuko ya bila kukusudiwa. So ukiwa room kwa jinsia ya tofauti na ya kwako, then ukaona kuna mvua, kimbia kwenu fasta, unless una hamu ya kuchepuka hahaahaha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mwenyeji wako hawezi kukuruhusu uondoke wakati kuna mvua bhana!!!!!
 
Hellow Guyz,,,,,,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" .
Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakn ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;Shemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile,ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.


Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya???? And how did it happen??????
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED???????

There is no such thing as sex kwa bahati mbaya! Emu jaribu kuangalia mchakato wote swala hili afu uone bahati mbaya hiyo inatokea wapi! Labda useme issue nzima ilikuwa design ya kuku mzee!
 
Huu Uzi umefanya nikumbuke mambo mengi sana....hii ishanitokea Mara kibao...Leo nitaelezea mbili tu...
Moja ilikuwa hivyi 2008 wakat nasubiria kwenda chuo..kuna jirani yetu mmoja alikuwa ana mdogo wake by the time alikuwa form 4...basi aksniomba niwe namfundisha so Huyo Dogo akawa anakuja home namfundisha..nilokuwa namfundisha kwa moyo wote kabisa...siku moja sasa akaja mm nimekoncentrate kufundisha sijui map reading huku nje mvua inanyesha nimeinamia ramani nikiwa namuuliza kila kitu anajib anajib tu nikainua kumwangalia nikakuta anarembua macho mekuundu...nikatupa pen na liramani huko...tuligongana duuuh sitakaa nisahau..
Y
Ya pili...juzi juz tu kuna mfanyakazi mwenzangu alikuja tu kunitembelea na mim nilikuwa Sijapanga hata kudo NAE basi tukapiga stori weeee mpka SAA 4 usiku...nikamwambia huondoki tena?akasema ataondoka after 15 mnts saa 5 nikamtania si ulale tu..alazingua zingua then akanibia atalala ila nisimsumbue nikamwambia nitalala seblen....bas tukala nikamuonyesha chumban sikurud tena seblen hakukataa after kama 30 mnts nikamshka kiuno hakukataa makalio hakatai aliniuliza una condom?nilizunguka kino usiku SAA 7 mpka nikapata nilirudi sijawah kutiana vile...basi j3 kazin kama hatujuani vile.

Umenikumbusha mwalimu aliyekuwa ananifundisha map reading getoni kwake.....
 
Siyo siri, nimepitia post zote kwenye thread hii naungana na mdau mmopja katangulia, nasema hivi?! Katika hizi mambo zote wanaume mnajisifia ya kua mlifanya mapenzi kwa bahati mbaya mnajidanganya! Mara nyingi/zote wanawake ndiyo watengenezaji wa mazingira ili hii mambo itokee!!
 
Naanzia shule ya msingi nilimgegeda kiranja wangu tuka dakwa!Sec o level nilisoma chimbo uko iringa nilikua napenda disco nika gegedua wengi tu.then kipindi cha kufunga skuli niliwai mramba dem moja guest tuliyo panga wote wakati wa kusubiria treni. Huko A level na chuo yaan ni wengi mpaka sasa kitaa.
wewew ndo Mandingo wa DUME eenh,haya mdau
 
Last edited by a moderator:
Nyie hatari had mmevunja chaga

Duh! umenikumbusha mbali, 2005 jiona nikaonana na dem wa kaka wa rafiki yangu tukapiga stori barabarani hadi kigiza kikaingia nikamshauri alale aondoke kesho yake , mtoto akakubali muda huo na mimi ni ugenini kulingana na mazingira kuwa magumu ilibidi nilale nae kitinda kimoja kilichotokea ni historia maana hadi tulivunja chaga, hadi leo cjui yuko wapi
 
Hellow Guyz,,,,,,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" .
Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakn ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;Shemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile,ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.


Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya???? And how did it happen??????
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED???????

Mkuu hakuna cha bahati mbaya hapo iyo inaitwa mizoga,huwa ipo ipo tu haijielewi, naamini Manzi Mwenye akili timamu anaejielewa hawezi kuvua ama kuvuliwa chupi na mtu asiyekua na relationship nae.
 
Mkuu hakuna cha bahati mbaya hapo iyo inaitwa mizoga,huwa ipo ipo tu haijielewi, naamini Manzi Mwenye akili timamu anaejielewa hawezi kuvua ama kuvuliwa chupi na mtu asiyekua na relationship nae.

Thats too harsh and abusive mkuu.
Na huyo ulinaye unajua kama ameshaliwa sana kwa style hizi hizi?????
Kikubwa heshima maana kila mtu ana little secrets.
 
Back
Top Bottom