Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hizo zipo nyingi sana ila wengi husahau condom,jaribuni kuwa wabunifu ukiwa na safari popote pale pack na condom kabisa usisahau,ilishanitokea kwenye harusi nikiwa msaidizi wa bwana harusi nikajimegea msimamizi wa bi harusi na unexpected mimba ikatunga ikabidi tukubaliane na khali halisi namtunza mtoto na maisha yanasonga.
Mie kunasiku nilishindwa kutoa condom niliyoweka chini ya mto, sembuse kwenye begi! Thanks God nilipima niko vizuri!
 
Nakubaliana nawe [emoji817]. Mara nyingi mwanamke anakuaubiri ktk njia. Kama mwanamke hataki halifanyiki
Mtoto wa dada anaingia chumbani anakukuta uchi halafu bado anaendelea kuwepo na kukuchekea halafu bado unataka tuamini alikuwa anakuheshimu sana. Ngoja nikwambie kitu hicho kitoto huenda wewe ulikuwa unakiheshimu sana ila chenyewe kilikuwa na akili yake kitambo na kilikuwa kinakutamani muda tu na inawezekana hiyo chai kwenye zipu wala haikuwa bahati mbaya. Huu mfano wako unazidi kuonesha ni kwa namna gani mara nyingi wanawake ndio huwa wanaendesha hii game.
 
Unaendana na wajina wako mandingo. Maana nae anawafukua balaa
Naanzia shule ya msingi nilimgegeda kiranja wangu tuka dakwa!Sec o level nilisoma chimbo uko iringa nilikua napenda disco nika gegedua wengi tu.then kipindi cha kufunga skuli niliwai mramba dem moja guest tuliyo panga wote wakati wa kusubiria treni. Huko A level na chuo yaan ni wengi mpaka sasa kitaa.
 
Hawa wa safarin wanasave pesa ya chumba. Hawa n Malaya tu
Mkuu ilo ndio tatizo letu watanzania wengi,mfano ikitokea mtu kama ni malaya anajiuza mtataka kupinda pinda maneno wee ili asiitwe malaya, Hivi mtu na akili zake hata hamna mahusiano naye kimapenzi aanze tu kukuvulia nguo Mkuu?? Duh hii kali sasa...nilichokisema ni hiki uyo mtu hajitambui vizuri na wala hapa sijapinga kua hawezi kufanya ivyo, Kulithibitisha ili kua la kustaajabisha hata wewe mwenyewe umeshangazwa na kitu hiko na ndio maana ktk thread yako Umetaka kujua wangapi imewahi kuwatokea, Katika hali ya kawaida kibadamu tumezoea kuona kuku, bata, mbuzi wakikutana na kufanya mapenzi na kila mmoja kupotea zake maana wao wanyama hawanaga mahusiano,ila kwa binadamu imezoeleka ni Malaya TU ulala na mtu asiyekua na uhusiano nae kwa kusudi kupata pesa
Note : Sijasema kua iko kitu hakijafanyika ama hakiwezi fanyika
 
Hiyo ya kwanza nishaifanya sawa na ww,na nyingine ni kutongoza kisha kugegedana na baada ya hapo nawapotezea mazima,sitaki commitment! Unexpevted sex ni tamu sana ila so risk
Hapo kwenye SO RISKY pigia mstari kabisa! Hakuna mwenye kujua background wala hali ya afya ya mwenzie......
 
Nikiwa form two nilienda gheto kwa boyfriend wangu,sikumkuta nikamkuta rafiki yake.Mvua kubwa ikaanza sijui hata ilivyokuwa nilijikuta nshatiwa.Hatukuonana tena hadi mwaka jana bada ya miaka 24,kaja chuo ni mwanafuzi wangu.
Mnh..shoga!!!. Mnaangalianaje darasani? Hajakukumbuka?
 
Mkuu ukimwi watu wanapima kila kukicha na cyo tishio sana kwa watanzania kama ilivyo AJALI,MALARIA NA MENGINEYO.
Siku ukiupata nakuahidi hutasema tena kwamba sio tishio. Unasema hivyo kwa kuwa unausikia/unauona kwa wengine tu!
 
Hahahaaa hiyo ya mfanyakazi mwenzako kuja kukutembelea nimeipenda sana, nimepata taswira ya picha hadi nyege zimenipanda. Ila huyo dada alikusudia kutiana na wewe maana wadada sie.... acha tuu, tena alikuwa na nyege mshindo huyo. ukikutana na mdada mwenye nyege nyingi hivo game huwa inakuwa balaa. Ngoja nijishike mahala nisijepata mfadhaiko hapa mbele za watu looh
Unavyocomment tu unasikika kabisa umeshanyegeka.....hahahahah!!!
 
Back
Top Bottom