Wewe tafuta aliechafuka kidogo Mkuu uoe.
Mim nipo katika utafutaj mwaka huu...ukitoa vigezo vyangu vyote navyotaka..bikra ni priority namba1...tho not necessarily..ila mwanamke bikra ni dhahabu..wew kama ni bikra kwel bas unachezea shiling ya dhahab kwenye tundu la toilet...ohooo
 
Kwaiyo... Unashaurije... Hi shilling nayo ichezea CHOONI
Mim nipo katika utafutaj mwaka huu...ukitoa vigezo vyangu vyote navyotaka..bikra ni priority namba1...tho not necessarily..ila mwanamke bikra ni dhahabu..wew kama ni bikra kwel bas unachezea shiling ya dhahab kwenye tundu la toilet...ohooo
 
Kwaiyo... Unashaurije... Hi shilling nayo ichezea CHOONI
Let the world know..kwa njia yoyote..hata kwa mpango mkakat.....

Ila we creditanalyst mim siamin....hata kama kwel bas narudia tena..unachezea shiling ndugu yangu...mim nakwambia kwel.
 
Ukiingia kwenye gari haiwezi kwenda yenyewe bila kuiendesha ingawa iko tayari kuendeshwa, kwa kifupi bila mwanaume kulianzisha haliwi mtu mzigo kwa hiyo mwisho wa siku mwanaume ndo anatakiwa kujivunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…