Miaka kumi iliyopita tayari ulikua na tablet haya hongera labda unaeza kuwa wakisure lakini
Sasa mbona umetuingiza chaka mzeee
MOYO MASHINE imetoka 2016 au nyie wenye tablet mliipata mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Itarudia godolo lako?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu samehe mbavu zangu mimi hahahahahhaa


Embu tuachie kauzi ketu bana
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watu nyoko Sana [emoji3]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] nimependa sana hii.
 
Haraf mbona huu Uzi siyo saaana kama Uzi og
Yeah ..mods wamezingua Sana. .. Kuna comment nyingi Sana zimefutwa yaani mpaka inaboa ... Ule Uzi ulikuwa una comment nyingi mnoo sio huu mfupi kabisa yaani
 
Nimeona meseji hizi Hadi nina usingizi,hakuna mdada humu wa moro mjini anisindikize kwenye usingizi wangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…