Kuna boya flan nilikuta msg anamtongoza Mke wangu nikamchana live mbele ya mkewe ugomvi wao ikawa faida kwangu

Mkewe akanicheki kma wiki mbele akanambia ana maongezi na Mimi tukapanga location

Nikamwita eneo lenye guest na bar tunanunua maji anza story km lisaa nikamgusia Shem kwan kilev hutumiagi akajbu natumia.

Akabidi nimwambie sasa hapa nje pombe kabla ya sakumi hawaruhusu mana ilikua katkat ya wiki baana Eeh kama masiara tukazama ndani ili tukanywe bia,kama masaa3 ndani gest ni story tu.

Baada ya mda naona kaenda kuoga bafun katoka uchi mlokole mie nikasema nifanyaje tena ibilisi keshaniingia nikajilia mzigo safff KBS

Mpaka Leo nikiitaji napiga simu tu
 
"Ukapigwa mziki wa maana.....akawa anacheza na mjeda wakeee...akakunong'neza naomba niandkie no ako" ([emoji23][emoji23][emoji23] hili boko mzee mziki uko juu then akunong'neze uskie na limjeda lake liko round" afu boko ukaliongzea maji et akakuhug na kukiss stand na ndo kashuka [emoji848]mwsho; ule usiku alipokuinamia kwa stail ya kwaito hukuona ilo zigo mpka aliposhuka ukalishangaa[emoji23]
 
Haa ha ha a, na we umeshtukia eeh? Mara nyingi nyuzi za hivi, chai huaga ina pilipili manga kinoumer, yaani full uongo
 
Wanawake wana mitego ilihali wanaume tuna mbinu. Tangu huu uzi umeanza nimefanya majaribio mapya mawili. Moja limeshakubali na moja lipo pending mpaka hapo nitapokutana nae.

Nilichogundua ni kuwa hakuna anayeliwa kimasihara ila siku hiyo either yupo heat period, hajakunwa muda mrefu au alikuwa ana ku-admire secretly ila wewe binafsi ndo umemchelewesha.
 
Ngoja nilete hii masikhara yangu nyingine..

Kuna uzi uliandikwaga humu wa watu wa mahali fulan wakutane wale bata huo mkoa sasa mm sio mgeni ule mkoa ila nlikuwa mbeya lkn ile wiki nyingine nlikuwa naenda ule mkoa .. basi kuna manzi wa humu nikampanga kuwa nipo ule mkoa lkn nipo busy mpk weekend nyingine, nikaenda dm tukapanga nikiwepo nimchek kweli ile siku nipo njian nkamua nipo free tuonane saa 2 usiku, nlifika km saa 9 ivi nkachukua room nkalala saa moja nkaenda kijiwe kimoja maarufu sana ila cha kistaarabu nkampanga manz akaja, mimi nikawa nakunywa grants yy savanna!
Muda wa kusepa ukafika km saa sita kasoro ivi nkamuambia nipo hotelin mara moja kwasabb kwa bro kuna wageni anisindikize tu kbl hajaenda kwao maana kwenda kwao unapita pale nlipokuwa ninechukua room, basi tukachukua boda mshakiki paaah mpk hotel nayy akashuka boda akasepa dem kazama ndichi wala hatukutongozana nikaingia kuoga nkarudi nae akaingia kuoga akarudi nikala mzigo mpk asbh .. sasa nlikuwa nasepa semina nkamuacha pale nkamuachia na mkwanja kdg.. Nashukuru alishtuka kuwa mm sio wa pale na nikala mzigo wiki nzima... Najua utaiona hii post ila hunaga noma maana bado tunapasha tukioanan. Hiyo ilikuwa mwaka jana.
 
mmoja wa waanzilishi wa hii kitu huenda ndio ulitafuna mkuu au yule post zake zimekaa kupenda bata?

 
Huyo hakua mke mtu wala nini. Bali kahaba aliyegundua namna ya kusambaza UKIMWI
 
Kuna kamoja nilikutana nako kwenye mazingira kama yako, tukawa tukipita kwenye kagiza nakapiga finger, sema sikukagegeda maana kalikuwa na smell flan ambayo haikutoka hata nilipooga
 
Ww jamaa bwana unatushawishi hatari[emoji23][emoji23],embu nitumie no yake nimeshawishika mkuu...
 
[emoji23] hili jamaa linaona mabaharia basi tunafaiiiidi, mpka linaon wivuuu, nilianza na comment 1 naukata Uzi slow slow siachi hata herufii nkifika uko current nashusha zangu dadeq
Mwili hauridhik mjomba angalia usijeshidumbukia motoni
 
Kama utani vile kauzi ketu kanaanza kudidimia..... Wadau mbona tumepoa....???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…