mchagger
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 864
- 1,064
Kuna boya flan nilikuta msg anamtongoza Mke wangu nikamchana live mbele ya mkewe ugomvi wao ikawa faida kwangu
Mkewe akanicheki kma wiki mbele akanambia ana maongezi na Mimi tukapanga location
Nikamwita eneo lenye guest na bar tunanunua maji anza story km lisaa nikamgusia Shem kwan kilev hutumiagi akajbu natumia.
Akabidi nimwambie sasa hapa nje pombe kabla ya sakumi hawaruhusu mana ilikua katkat ya wiki baana Eeh kama masiara tukazama ndani ili tukanywe bia,kama masaa3 ndani gest ni story tu.
Baada ya mda naona kaenda kuoga bafun katoka uchi mlokole mie nikasema nifanyaje tena ibilisi keshaniingia nikajilia mzigo safff KBS
Mpaka Leo nikiitaji napiga simu tu
Mkewe akanicheki kma wiki mbele akanambia ana maongezi na Mimi tukapanga location
Nikamwita eneo lenye guest na bar tunanunua maji anza story km lisaa nikamgusia Shem kwan kilev hutumiagi akajbu natumia.
Akabidi nimwambie sasa hapa nje pombe kabla ya sakumi hawaruhusu mana ilikua katkat ya wiki baana Eeh kama masiara tukazama ndani ili tukanywe bia,kama masaa3 ndani gest ni story tu.
Baada ya mda naona kaenda kuoga bafun katoka uchi mlokole mie nikasema nifanyaje tena ibilisi keshaniingia nikajilia mzigo safff KBS
Mpaka Leo nikiitaji napiga simu tu