Nilichogundua watu wengi hawajui tofauti ya kutongoza na kula kimasihara...visa vingi watu wametongoza kabisa halafu wanatuambia wamekula kimasihara😀
Si ndo hapo sasa...watu wanachanganya sana visa
 
Mods hii ni nini tena peleka hii takataka kwenye dampo LA kula tunda kimasikhara itafaa zaidi


Au mnasemaje wadau?
 
Duuh.! Jamani, mbona uzi umepuputika hivi.? C niliuacha Ukiwa Dodoma mbona umerudi mpaka Kibaha.?
 
Usijihisi hvy mzee, mambo kama haya hayana tuzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…