Miaka ya katikati 2000 UCLAS kabla haijawa ARU.
Nikiwa mwaka wa pili chuoni, nikakaribishwa kwenye semina ya Kikristo na ndugu zetu. Semina ilifanyika karibu na library ile ya zamani Karibu na Arch Plaza (waliopita ARU watanielewa)
Jioni nikajiandaa na kwenda kuhudhuria semina, nikakabidhiwa kwa binti ili anisaidie kufungua biblia, huyu alikuwa mwaka wa kwanza. Nikiri kuwa alikuwa mrembo na mwenye kuvutia (kiuno chembamba, bambataa ya kiushkaji, rangi ya uarabuni, sauti nyororo na haiba ya kike). Semina ilifanyika kwa wiki nzima na nilihudhuria siku zote tano.
Huyu dada tukawa karibu kwa kujuliana hali na kuchati masuala ya kiroho. Kwa kweli sikuwa hata na wazo la kuleta ushetani maana alionekana sio mtu wa mambo hayo kabisa.
Siku ya tukio, jumamosi moja tulivu nikiwa room ,mchana akanitumia sms- hakukuwa na WhatsApp akaniuliza "Vipi umeshakula?! Nikajibu hapana, akaniomba tukale wote, tukajivuta cafteria ya Geti Dogo, akasisitiza kuwa atalipa yeye. Tukazungumza kisha kila mtu akarudi chumbani kwake.
Usiku nikaona ngoja nilipe fadhila za mchana, nikamwomba usiku twende kula pamoja pia, akanitania kuwa anamwogopa wifi yake, nikamjibu sina mtu hapo chuoni. Basi nikamwambia tutaenda kula "Euro H" kwa sasa ndio Bulls Park hii ilikuwa bar/restaurant mpya maeneo ya Survey pale barabarani. Ulikuwa usiku mzuri sana binti alikuja amependeza hatari. Nilimtamani lakini nikaona kumtongoza ni kuharibu urafiki wetu mzuri. Mara zote alikuwa akiongea mambo ya kiroho na jinsi ya kuishi vyema.
Ilipofika saa tatu akaniomba tuondoke, katika kunyanyuka nikaona ngoja nitest walau hata kumshika mkono, mtoto aka-respond vyema, tukatembea tumeshikana mikono mpaka nilipomfikisha hostel - Kijaruba. Nikamuaga nikarudi room huku nikijilaumu labda ningemtongoza tu.
Saa nne na robo napokea sms "nimefurahia chakula nikamjibu kuwa tuwe tunaenda pale walau mara moja kila wiki.
Meseji ya pili, "roommate wako yupo," nikatafakari kidogo, kwani nilishwambia kuwa J ambaye ni roommate wangu ameenda kwao hivyo nipo mwenyewe. Nikaona nimjibu kuwa hayupo.
Akaniambia anakuja kuna jambo la kujadiliana nimsaidie mawazo, nikamwambia karibu sana. Binti akatinga na wakati huu akiwa na nguo chache zaidi. Tukazungumza mwishowe tukaanza kuangalia movie - Not Easily Broken, tukiwa kitandani na kwa upana wa vitanda vya ARU, tulikuwa tumegusana kabisa, muda si muda nikaona binti ameleta kichwa begani kwangu na hakuonyesha hata kufurahia ile movie japo ilikuwa na maudhui mazuri kabisa ya kiroho. Sijui kilichonipata ila kitendo cha kwanza ulikuwa kuutoa mkono wangu na kuupitisha nyuma ya mgongo wake, nikaona binti katulia tu, anameza mate tu, nikaona liwalo na liwe nikambusu kwenye shavu binti akajigeuza mzima mzima kunipa romance huku mkono wake ukishuka kukagua "mhogo wa jang'ombe" nami taratibu nikapeleka mkono kukagua"kitumbua" nakuta mtoto siku nyingi kashaloana na anatoa miguno ya hatari. Binti mtamu na mashine ilikuwa bado haijapata suluba maana hata yale mawimbi yalikuwemo.
Alirudi room kwake saa kumi na moja asubuhi.
Zoezi likaendelea jumapili mchana na usiku.
Tulidumu kwa mwaka mmoja mpaka siku alipogundua nimemla binti mmoja wa kisomali aliyekuwa Mlimani.
Hii stori binti wa kisomali itafuata........
Kisha nitakupa ya mtoto wa Mchungaji niliyemla kama masihara