Ulishawahi kula tunda kimasihara?
ka story katamu,sasa naona mkuu utakuja na story ya mjapani sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sina wa nje ya nchi, kuna matukio nimefanya mpaka mi mwenyewe nikijiangalia kwenye kioo nahisi jini kanivaa kabisa sio mimi halisi nayafanya.
 
Unashangaa hiyo???kuna demu wangu mmoja tulipotezana kitambo sana hata namba hatukuwa nazo,mwaka jana tukakutana Kariakoo ghafla tena ni yeye ndio alienishtua,tuakongea pale nikamuuliza una issue gani huku akasema kuwa amekuja kufanya maandalizi ya send-off yake ambayo inafanyika kesho na Harusi ni Jumamosi. Nikamwambia shughuli zako ushamaliza akasema anasubiri picha zake ziwe printed na kuwekewa frem nikamwambia basi twende sehemu nikuage nikupe baraka,demu akakubali tukaenda sehemu nikala mzigo. Na akanikaribisha kwenye send-off yake but sikwenda.

Mkuu inabidi kwa heshima na tahadhima niwasilishe jina lako UFIDU tena soon utapewa cheo..nikuombe tu kabla kuwa usikatae uteuzi maana nimesha wa-brief wajumbe wa mkutano maalamu wa uteuzi kuhusu wewe..tafadhali mkuu.
 
So kesho tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]humu ndani kutesanaa kimawazo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani kama ulikuwepo mkuu, tulikua tunaongea asubuhi ile akaomba nipitie asubuhi na mapema kesho, nimemkatalia maana pale wanapoishi mazingira sio rafiki ya kusimamia kucha... Nmemwambia atafute siku tuende pahala.
 
Duu Mungu anakuonaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnakulana wakati yupo kwenye mipango ya ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23]Wee unasema vikao?
Kuna mmoja ilibidi nichelewe kazini akitaka tukutane asubuhi kwa mara ya mwisho siku ya ndoa yake, maana alidai akiolewa hatachepuka tena.

Lkn baada ya mwaka nkamcheki km salamu na kumtania km bado msimamo wake anao akaniambia anahisi km atashindwa nkabaki nacheka tu.
 
Bi mkubwa aliwahi niambia, ukiwa kitombi sana inafikia hatu unakuwa na harufu ya k tu, ambayo huwavuta wasichana kwako, sasa hapo ni hakuna kutongoza, ni kuwakula tu.
Mi dingi aliniambia kabisa kwetu kuna damu mbaya sana kwa viumbe wa kike, kwa hy nisiwaendekeze sana, akadai nsimuone na maisha aliyonayo kama sio wanawake angekua milionea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikula wanafunzi wa shule ya sec mkuu zaidi ya 30 walikua wamepanga nyumbani kwao na jirani kwao afu hata wakijua anawapooza wanaendelea alihama kijijini baada ya kuzuka ugomvi wa mademu wakimgombea hadi kuchomana visu.... Yaani jamaa alikua kitomb* yule sijawahi ona,
Alishawahi kula madem wa2 tunatoka kwenye sherehe kwenye costa iliyokodiwa kuturudisha mitaa ya home, mmoja alimlia kwenye gari naona hivi hivi, na mwingine getini kwao tulivyomsindikiza maana gari haifiki anapoishi, na wote hawajuani kivile zaidi ya kupishana mtaani tu, kuna wakati niliwaza jamaa anatumia dawa sio bure...
Ila huyu mshikaji wangu alifariki 2008 ghafla tu na hakua na mtoto hata wa kusingiziwa. R.I.P Jose.
 
Mkuu nimemsoma nikawa naona sielewi nika-skip comment yake,

Nimetoa maelekezo na nimewaelekeza wachangiaji wote kabla haja-post comment yake aisome kwanza yeye mara mbili mbili akiona anaielewa basi aiachie,

Kuna baadhi wanajitahidi sana na wanatupa burudani ila wachache bado wanakwamisha juhudi

Ila tutafika tu



Haiwezekani aisee,

Kwanza umefukuzwa shule ilitakiwa uende kwenu mi nakupa msaada tu,

Sasa kwa ujinga unabana hata nisiguse kidogo kwanini?

Nitakuomba mzigo saa sita usiku nitatumia lisaa na nusu kukumbembeleze mixer nguvu zikiwa zinatumika,

Ikifika saa saba unusu bado hutoi mzigo ni lazima uondoke

Huwezi kulala mle ndani




Mkuu hatujasimulia mambo yetu kwa sababu ID zetu wengine kuna watu wanazijua,

Watu hao either wapenzi wao,wao wenyewe au ndugu zao ndo wahusika,

Nimekula watoto wa ofisini zaidi ya wanne kiamsikhara

Mtaani pia

Sasa nikisema chai kuna vitu nimeona ni chai kweli kweli mkuu



Mwingine huyu hapa yale yale ya kuunga mkono juhudi
Wee labda umewala wa2 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (joking)
Na wewe weka tuone mbona sisi tunajulikana? Kwani uongo?

Mi kuna mmoja nna uhakika yupo humu na jukwaa lake pendwa ni mmu (ila sijui id yake) na kuna stori yangu moja humu akisoma lazima ajue ni yeye tu.
 
Wakati namaliza chuo nilipata kazi kwenye kikampuni fulani kichokuwa kinafanya Event Organization. Sasa mojawapo ya project ya mwaka huo ilikuwa kuandaa shindano la urembo kwenye ngazi ya kanda na kwa bahati nikapewa mimi kajikitengo hako of course na wakubwa wangu pia walikuwepo.

Sasa nikapewa kazi ya kuwa judge kwenye shindano la urembo kwenye chuo fulani hivi. Sasa tukaenda kuwangaalia wakati wanafanya mazoezi ya kujiandaa na shindano ambayo yalikuwa yanafanyika kwenye ufukwe mmoja maarufu sana. Sasa bwana kwenye kuwaangalia washiriki na kufanya prior assessment tukaspot kama wasichana watatu hivi ambao wangekuwa considered kwa ushindi kulingana na physical assessment. Sasa mmojawapo mimi alivuta jicho langu lakini pia baadae wakati tunaondoka alivuta jicho la maboss wangu pia (mbali na work and ethical assessment tuliongea kama wanaume pia maana walikuwa wananichukulia kama mdogo wao)

Basi ikapita mpaka shindano likapita na yule msichana akashika namba 2 kwahiyo akawa anatakiwa kwenda next stage maana washindi wawili ndio walikuwa wanaadvance kwenda ngazi inayofuatia. Mpaka hapo sikuwa nimeongea naye kama yeye wala kuonyesha interest yoyote kwake.

Baada ya kama wiki moja hivi tukatakiwa kwenda tena kwenye chuo kingine nje ya Dar es salaam ambayo pia kulikuwa na shindano kama hilo. Sasa tuliporudi kutoka huko ndio picha likaanza. Kumbuka nilisema kwakuwa washindi wawili walikuwa wanaendelea next stage tuliporudi ikabidi tuwatafute sasa ili kuanza kuwekana Sawa kwa ajili ya maandalizi ya next stage, so nilikuwa mimi na boss wangu mmoja hivi alikuwa mzinzi mzinzi sana. Basi tukakaa nao wote wawili pamoja na mwingine aliyeshiriki tukala lunch kwenye cafeteria ya chuoni hapo na hapo sasa ndio tukaanza kusikia story zilizokuwa zinaenea hapo chuoni. Kwanza ndio nikajua kwamba yule msichana alikuwa mpenzi wa VP wa hicho chuo na kwamba Siku hiyo walikuwa na ugomvi kwasababu ilisemekana huyo msichana alienda na mimi huko kwenye hicho chuo kingine tulikoenda kwa ajili ya shindano. Kwahiyo kumbe na kwenda kwetu pale watu wakawa wananichora tu kwamba nimechukua demu wa VP. Wakati huo mi hata namba yake sina na wala sijaongea naye chochote zaidi ya mazungumzo ya jumla ya maandalizi ya shindano.

Basi of-course baadae tukaja kuwa washkaji flani hivi lakini nikiwa sijamwambia chochote kuhusu kumtaka.

Sasa Siku moja tulikuwa na event nyingine so tukawaalika kama wadau wetu washiriki na sisi, sasa kumbe yule boss wangu mzinzi mzinzi ye akawa ameshaibuka na mwingine wa hapo hapo chuoni so baada ya ile event tukaanza kuwarudisha makwao au hostel mwisho tukabaki kwenye gari yule boss wangu na huyo demu wake na mimi na huyu msichana. Namuuliza msichana we unaenda hostel au nyumbani? Akasema ametokea nyumbani na kwa muda huo hawezi kurudi tena home so nikajua tu hapa haihitaji calculator kujua 1+1 ni ngapi. Nikamwambia yule boss wangu maana tulikuwa kwenye gari lake kwamba tumtafutie huyu sehemu ya kulala na kweli tukaenda mpaka kwenye lodge fulani hivi sinza tukashuka nikawaambia ngoja nimchikulie room ila nikamwambia yule boss wangu nyie sepeni.

Tukapata room tukaingia ndio ananiuliza “Kwani na wewe unalala hapa?” Nikamwambia sasa ulitaka nikuache ulale mwenyewe, kitu kibaya kikikutokea? Na huo ndio ulikuwa mwanzo wa mahusiano na yule msichana ingawa hayakudumu sana tulikuja kuachana baada ya kuambiwa alikuwa ameanza kuhang na wale wadada maarufu vyuoni kwa kuwaunganishia mapedeshee watoto wazuri. So tukagombana tukaachana.

Siku hizi ameolewa ingawa tunawasiliana bado, hata Leo nikitaka mzigo napewa kiroho safi kabisa ila “Heshimu sana ndoa” ndivyo maandiko yanavyosema so naheshimu sana ndoa yake na mi ndio nimekuwa mshauri mkuu wa ndoa yake.
 
Ngoja nami nitie neno hapa kwnye pitapita zangu.. nakumbuka ilikuwa mwaka 2012 nilienda kumtembelea mshkaji wangu ambae yupo humu humu alikuwa anakaa zake kawe.. siku hio kulikuwa ni sikukuu ya eid akanialika niende home kwao then turud zetu hostel maana tulikuwa zetu chuo..jioni tukajongea zetu kambi ya jeshi tukaanza kukata vyombo baadae kukawa na mziki likapigwa kwaito la maana nkaona mzee ngoja nijongee kwnye dancing floor niisaidie pombe kuzunguka vzuri mwilin... wakat tupo tunaendelea kusakata rumba nkamuona mdada mmoja ananikonyeza huku tunacheza maana alikuwa yupo na jamaa ake mjeda.. nami nkampa attention.. then akanisogelea kwa staili ya kwaito ile ya kuinama akaninong'oneza naomba namba yako niandikie namba yako.. mzee baba nkachomoka kama baruti nkaanza kutafuta peni fasta nkaipata nkachora namba fasta nkarudi thn nkampa bila jamaa yake kujua.. baada ya hapo kila mtu akasepa zake... nkarudi zangu chuo kesho yake kwnye saa nne hv nkaona namba mpya..machale yakanicheza nkajua atakuwa ni yule chick wa jana.. kweli bhana kupokea akajitambulisha n.k akaanza kuniuliza uko wap n.k n.k nkamwambia njoo basi unitembeleee akasema anakuja kesho yake..kesho yake kwnye saa nne hv asbh akanipigia simu kashuka stendi nkampokee... daaa ebhana sikuamini maana demu alikuwa na chura sijawah pata mwnye chura kama yule yaan pale stend nilikuwa mpka naona noma maana kamwili kangu kalikuwa kadgo afu bonge la demuu afu nilivomuona tuu akanihug na kunipa kiss afu ukicheki mtoto ni type za kina sanchoka... enhe demu akabaki ananiskilizia mimi ntampeleka wap basi mie huyoo tukapanda gari mpaka gest kumbuka hapo demu sijamtongoza na wala sijampa miadi ya kwenda kumgonga.. so tukafika mpka gest nkalipia tukaingia mpka ndani... nkamuacha kwa muda nkaenda reception kufanya mchakato wa ndom.. kurudi ndani demu katulia tuu ananichora.. demu acha anichenjie sura ooh kwn ulinambia tunakuja huku??? Umenionaje??? Inamaana umeniona mie malaya mpka unilete gest? We ulijua nilikuwa na shida gani??? Mpka nkaja na ww umeamua kunileta huku gest??? Daah mzee baba nkaona leo hapa naumbuka ikabidi nianze kupangua hoja moja baada ya nyingine mpka zote zikaisha ndo demu akaamua kuachia mzgo asee nilipiga sana paipu piga sanaa.. yule demu alikuwa na nembe sio la nchi hii... tumekuja kutoka gest saa mbili usiku tangu saa sita tulivoingia.. hapo full njaa na mfukoni sina hata hela ya chakula nilibak na vichenchi nkamnunulia maji tukarudi hostel nkampitisha kwa washkaji wakamzoom then akasepa... tukaenda enda baadae tukapotezana mazima
Nembe ndo nn mwanangu.... na la huyo lipoje tujunze vyema mwanetu....
 
Duuh jamaa kitombi lakini hakuwa na mtoto.. walimloga nini[emoji33][emoji33]
Yaani hata sijui kila mtu alikua haamini kwa waliomjua tabia yake.

Alipewa kazi mahali dukani akala watoto wa2 wa boss wake na mke wa boss, ilimfanya akimbilie kwao ndio a kaanza kula watoto wa sec, ila demu wake wa mwisho kua nae in deep sana alitoa mimba baada ya kumfumania mshikaji wangu.
 
Yaani hata sijui kila mtu alikua haamini kwa waliomjua tabia yake,
Alipewa kazi mahali dukani akala watoto wa2 wa boss wake na mke wa boss, ilimfanya akimbilie kwao ndio a kaanza kula watoto wa sec, ila demu wake wa mwisho kua nae in deep sana alitoa mimba baada ya kumfumania mshikaji wangu.
Au boss bhasi alimfanyia mambo yani kala familia nzima ya boss duuh...!! Huu msala mzee..
 
Au boss bhasi alimfanyia mambo yani kala familia nzima ya boss duuh...!! Huu msala mzee..
Siamini hivyo sana maana alifariki miaka minne baadae, yaani huyu mshikaji anamaliza std 7 kijijini ana madem kibao mtaani, wengine nimekula kupitia yeye. Tushawahi kula mtungo demu wake mmoja huko kijiji. Yaani kwa kifupi jamaa alichangia sana kua na tabia niliyokuanayo, maana nilikua namuonea wivu sana, na nilivyokuja dar nilianza kufanya kazi kwao bado anawaburuza tu mpaka geto kwangu anawaleta.

Nakumbuka demu mmoja jirani na kwao hapa dar walimla yeye, kaka yake na mdogo wake kwa siku tofauti, zamu yangu nkapotezea naumwa, lkn ni woga tu wa ngoma ulinishika maana wazazi wao walikufa kwa huo ugonjwa pamoja na wadogo zake wa2.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mlioanza mkiwa wazee kuwala hawa viumbe hamuwezi elewa....
Nyie ndio mnaanza tongoza mwaka huu mnakuja pewa miaka miwili mbele afu mnajiona wajanja wakati wengine tushasahau kutongoza tunakula kwa timing za mazingira tu, Watu tumeanza tuna miaka 7,
Nikiwa na miaka 10 nilikua siruhusiwi kucheza nyumba zenye vitoto vya kike vya makamo yangu...
Najua na hiyo utasema chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuelewa sana mkuu..... yaani mm kutumia nguvu kutongoza demu haikuwa asili yangu kabisaaaaa..... wengi nimewala kiulaini kupitia mashara sihara tu na zile outings basiiiiii.... demu msumbufu mi nilikuwa nikimwambia kama hutaki kunipa poa potezea mazima.. mbona wengi unakuta baada ya muda wanarudi kunitafuta.....

Kuna moja hivi nitawapa nikipata muda nilivomla mtoto mmoja mkali sana aliyekuwa anaenda report UD mwaka wa kwanza ambaye tulikutani kituo cha basi na alijifanya mjuaji lkn sikun kaja kunitafuta mwenyewe....
 
Siamini hivyo sana maana alifariki miaka minne baadae, yaani huyu mshikaji anamaliza std 7 kijijini ana madem kibao mtaani, wengine nimekula kupitia yeye,
Tushawahi kula mtungo demu wake mmoja huko kijiji,
Yaani kwa kifupi jamaa alichangia sana kua na tabia niliyokuanayo, maana nilikua namuonea wivu sana, na nilivyokuja dar nilianza kufanya kazi kwao bado anawaburuza tu mpaka geto kwangu anawaleta.

Nakumbuka demu mmoja jirani na kwao hapa dar walimla yeye, kaka yake na mdogo wake kwa siku tofauti, zamu yangu nkapotezea naumwa, lkn ni woga tu wa ngoma ulinishika maana wazazi wao walikufa kwa huo ugonjwa pamoja na wadogo zake wa2.
Aisee msalaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa alikula puss miaa na usheheee bila hata mimba ya kusingiziwaa
 
Back
Top Bottom