nimesoma coments mpk nimechoka...
yangu ni hii, tulikua na project flan mkoani kwa mda wa miezi 6 ivi, bas kila jioni ikifika mm na washkaji wenzangu huwa tunatoka tunaenda viwanja vya karibu na tulipofikia tunapata moja moto moja baridi.
weekend moja tukiwa ktk mishe za project nakumbuka ilikua ijumaa nikakutana na mtoto mmoja kasimamia kucha hatari.. ktk maongezi hapa na pale tukabadilishana namba, ilipofika mida ya jion nikamchek nikamuomba anipeleke sehemu yoyote nzuri anayodhani tutaweza kuenjoy..mishale ya saa 2 mtoto kanipanga tukutane sehemu, kufika yupo na rafiki yake.
Nikamchek mwanangu nae kaja tukatimia mtu 4, tukabadili viwanja tukaenda club moja ivi mbali kidogo na hapo..piga vyombo sana, cheza mziki sana..nikamwambia mshkaji me naona tusepe ila nataka nisepe na huyu manzi we baki na huyo rafiki yake, kumbe huyu rafiki yake kanisikia akasema isiwe kesi twende wote tukapumzike kwake mana si mbali na hapo tulipo.
picha likageuka huyu rafiki yake kumbe kanielewa kwahyo wkt tunarudi njian kanisogelea akanishika bega na mm papaso linaendelea( mda huo yupo bwiii) dakika kumi nyingi tukafika geto..ile kuingia tu kanisukuma kitandani..shughuli ikaanza, huku nyuma anakuja yule manzi(ambae ndo nlipanga kumla) na mshkaji wangu. ile wanafungua mlango wanakuta nakamua doggy moja matata
wakaona isiwe tabu wakabaki kwene sofa..wakaanzisha ligi na wao..dah iliniuma mwana kumla yule manzi ila wote tukajilia mpk kunakucha..