Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sio za kuziamini 100%

Mshikaji wangu yeye mtu wa lab aliniambia juzi katika stori hizi za PEP kuwa kuna rafiki yake wa kike aliwahi jichoma na sindano iliyokuwa imewekwa bahati mbaya kwenye taka ambazo sio hatarishi...yule demu akaona sio kesi akapima akakutwa negative akaanza PEP mpaka akamaliza baada ya mwezi kupima hola,mwez wa pili kupima hana ila ulipofika mwezi wa 4 tangu tukio kupima positive sasa haijajulikan imekuaje yule dada aliacha kazi kabisa.
kama MTU anaweza meza pep na ikamsaidia asipate ukimwi bas hata dawa ya ukimwi IPO sema tu hawataki kuiexpose ...,...jah protect us from this dangerous disease
 
Sio za kuziamini 100%

Mshikaji wangu yeye mtu wa lab aliniambia juzi katika stori hizi za PEP kuwa kuna rafiki yake wa kike aliwahi jichoma na sindano iliyokuwa imewekwa bahati mbaya kwenye taka ambazo sio hatarishi...yule demu akaona sio kesi akapima akakutwa negative akaanza PEP mpaka akamaliza baada ya mwezi kupima hola,mwez wa pili kupima hana ila ulipofika mwezi wa 4 tangu tukio kupima positive sasa haijajulikan imekuaje yule dada aliacha kazi kabisa.
Kupima pima nako sio kuzuri.
Mimi mpaka sasa siamini kama Ukimwi unatokana na Ngono.Nahisi kuna namna ingine zaidi ya mchezo huu.
 
Sio za kuziamini 100%

Mshikaji wangu yeye mtu wa lab aliniambia juzi katika stori hizi za PEP kuwa kuna rafiki yake wa kike aliwahi jichoma na sindano iliyokuwa imewekwa bahati mbaya kwenye taka ambazo sio hatarishi...yule demu akaona sio kesi akapima akakutwa negative akaanza PEP mpaka akamaliza baada ya mwezi kupima hola,mwez wa pili kupima hana ila ulipofika mwezi wa 4 tangu tukio kupima positive sasa haijajulikan imekuaje yule dada aliacha kazi kabisa.
huwenda hakuzitumia kikamilifu huwenda aliacha dozi au aliruka masaa kumeza?
 
PEP inapunguza original risk kwa zaidi ya asilimia tisini. Ufanisi wake unategemea na original risk. Mfano, umegegeda demu aliyepo kwenye window period, tena umemkula biriani, hapo risk yake ni kubwa sana, unaweza meza PEP na bado ukapata
huwenda hakuzitumia kikamilifu huwenda aliacha dozi au aliruka masaa kumeza?
 
Yn stori zote karibu 90% ni mazingira ya kawaida kabisa ya kula mzigo...
Ishu kama kukutana na demu kwny bus, chuo , kazini ,sijui kupanga nyumba moja afu ukala huko sio kula kimasihara kabisa coz mazingira yana ruhusu...

Hzo ulizotaja ndio masihara sasa
Nyie naona mmekosa stori tu,
Kuna uzi upo humu wa kula tunda maeneo hatarishi.. Huu ni kula kimasihara.... Kama stori za humu sio masihara basi tofauti na hayo ni ubakaji
 
demu tumechat mtandaoni tu tukawa friends,akasema akija town atani cheki,anasoma chuo flani nje ya mji,siku fiesta ikamvuta kaja town,ktk purukushani za burudani,kapotezana na mwenyeji wake,saa 8 usiku kanivutia waya ooooh upo hapa fiesta,nikajibu no,ooh unaishi wapi??/nikamwambia chukua babaj mpe simu nimuelekeze,kampa nikamuelekeza,kaja baada ya kama dk 20 hv home,nikatoka nikampokea,kalewa kiasi,oooho kaingia gheto baharia sikuuliza
 
ulikumbuka mpira au uliteleza tu kama nyoka pangoni?
niliteleza tu kama nyoka pangoni,kesho yake akasema nimpe pesa ya matumizi arudi chuo nikamwambia nitamtumia sikujiandaa kwa hilo suala kanishtukiza,akasepa,kufika chuo kila saa oooh nitumie basi,nikapiga kimya,akaanza ooooh ndo maana nimekuambukiza ukimwi,nikajua biti tu,nikamwambia na mm ninao kitambo tu,itakuwa tumebadilishana virusi,nikakazia hilo suala na kujidai nipo serious kabisaaaaa,aaaah baadae akaanza oooh natunza sms zako,kama umeniambukiza kweli nakushtaki,nikajua ilikuwa danganya toto tu hakuna cha nn wala nn,BADOO oyeeeee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🥴🥴
 
Nikikuwa mkoa wa ruvuma wilaya siikumbuki jina ipo kabla ya kufika wilaya ya tanganyika
Mida ya saanne ivi nipo lorge moja ivi sina usingizi. Nikatoka nje pale nipunge upepo mara naona pikipiki inasimama nje anashuka masichana, pikpiki inaondoka nayeye anapiga simu kama mara mbili haipatikani au haipokelewi,
Mlinzi anamfuata wanaongea kidogo kisha ananyoosha kidole kuelekea kwangu
Demu anakuja naanza kumsalimia anacheka, anaisogelea namshika mkono. Nikijaribu kama kumkumbatia akajaa, akacheka ananiambia nielekeze chumba nikakojoe,nampeleka kisha nikatoka nje tena nikazuga kama dk tano ivi nikaingia ndani namkuta yupo kama alivyozaliwa
Niliogopa kidogo lakini nikajiuliza huyu atakuwa kuna mtu kamuelekeza hapa alafu hapatikani nikimuambia siyo mimi nitakuwa mjinga wa karne ya 21
Kidogo akaniuliza ujue nimefunga duka tu nikaja huku sasa ngoja nimpange dada nilale huku mpaka kesho maana hii mvua sitaweza kurudi
Huyu ni limla bila malipo kabisa zaidi ya chipsi yai tu
 
Sisahau siku nimelazwa goverment hospital,ilikua siku ya 4 ndio nimemalizia drip ya mwisho.Mida ya Magharibi.
Nurse wa zamu wa siku hio akaniambia pumzika usiku wa leo kesho tutakuruhusu
Kama utani vile,usiku huo ndio alikua Night Shift
Aliwazungukia wagonjwa wodini alipomaliza akaja kwangu tukapiga nae story mbili tatu.mara namwona ananirembulia macho.
Alizuga ananisindikiza bafuni.humo humo kitu na box..na hivi mvua ilikua inanyesha kila anavyo Scream sauti haiskiki[emoji38]
 
Mi nakumbuka moja iyo ha ha ha ha ha da niko zangu karatu kikazi nimefika nikachukua hotel room fresh mida ya jioni niko bar ya iyo hotel iko kalibu na reception namuona mrembo naye katoka chumbani anakuja kula bia nikampa ofa akakubali.
Badae akaniambia anapenda live band nikamwambia twende tukatafute huko mtaani mida ya saa moja usiku iyo basi tukachukua bajaj haooo kufika kule nikabambia mtoto imo alafu pini kinoma kitu kikaenda mnala sijui alikisikia mida ya saa sita nikamwambia tuludi kulala akakubali muda wote huo sijatongoza.

Tumefika hotelini nikamwambia njoo tulale kwangu kitu imooo ha ha ha ha kaja kweli. Alafu siku iyo nilikua na njaa mtoto alivyoingia tu nikampiga kichuma mboga nikapiga moja la fasta then ndio nikaanza kumuuliza anaitwa nani nikachukua na namba ya simu ha ha ha ha.

Badae kwenye story ndio akaniambia kuna jamaa tajiri kamleta toka dar ila jamaa ana mke wake so huwa anakuja mchana anapiga kimoja analudi zake kwa mke wake basi nikawa kila siku jioni sifungi mlango ikifika mida mtoto huyo anakuja nasuuza rungu hadi asubuhi.

Basi nikajilia mzigo wa bure wiki nzima nakumbuka nilimpa elfu 50 tu
Nilivyorudi Dar nikamtafuta akaja tukaendeleza kidogo nikapiga chini alikua mtu wa mizinga sana badae nikaja gundua anafanyakazi kwenye hotel nikamwambia nenda kapime nataka nukuoe akaenda kupima fasta akanitumia majibu kwenye watsap yuko fresh nikashukuru Mungu manake nilikua nateleza tu.
 
Back
Top Bottom