Hii ilikuwa n masihahara iliyoniweka matatani.
Ilikuwa ni siku tulivu nikiwa naendelea na majukum yangu katika moja ya hospitali, rafiki yangu ambaye tulisoma nae chuo akanipigia simu na kunieleza kuna mtu anafahamiana nae kamtafuta sbb anaumwa hivyo sababu yeye yuko mbali anaomba nifanye niwezavyo nimtibu na kumpatia dawa,
Nikamruhusu ampatie namba zangu, baada ya muda alinipigia na kulingana na maelezo yake nilimwambia kesho aje kuchukua dawa za malaria na typhoid,
Kesho ikafika, mzee nikaenda na bima yangu nikafanya mchakato dawa zote nikawa nmechukua, mida ya saa tisa mtu bado hajafika nikamwandikia sms kuwa ninasign out so anichek kitaa, nikasepa zangu getto.
Baada ya kama nusu saa akapiga sim na kunieleza amemwagiza mdogo wake hivyo nimpatie yeye, nikasema sawa...
Haukupita mda namba ngeni ikanitafuta na kuniuliza ashukie kituo gan, nikasogea kwenda kumpokea na kumpatia dawa, kufika nikamkuta binti sura ya kawaida, ila umbo analo, nikampatia dawa na kumuaga , nikijua yuko na haraka ya kuwaisha dawa.
Nikaona mtu haonyeshi haraka, nikamuambia bhas karibu upajue getto, binti akakubali, kufika getto tumekaa tunapiga stor akaniambia huwa anasumbuliwa na miguu hapo ndo akahalibu, nikawa kama nazichunguza joint, ile kumshika wazo likaniingia niendelee kuingiza mikono ndan, mtu katulia tu mzee nikaomba mzigoo akaniulza kama nina condom, ile kuchukua ndom tukapiga show rough sana, kuja kumaliza kikondom kiko juu kumbe condom ilipasuka mi sina habari.
Mzee nilikosa raha nikamuaga akasepa.
ITAENDELEA