Naombeni nimalize PART 3 ya KULA TUNDA KIMASIHARA.
likizo yangu ilikuwa na furaha sana baada ya kufahamu afya yangu. Nikarudi chuo wanasema TAMAA MBELE MAUTI NYUMA, Kimasihara nikala lile lidemu lenye shape kali kwa KAVU KAVU kwa kutumia SPRAY ili nilikomoe. Nilishadithia hiyo story ipo huko nyuma.
Katikati ya show demu akiwa anapata mautamu akaropoka NIMETEMBEA NA WANAUME WENGI HAKUNA ALIYENIPA PENZI TAMU KAMA LAKO, hiyo kauli ya wanaume wengi ikaninyong'onyesha sana moyoni nikasema mwezi hata hujaisha tangu nipime afya niko NEGATIVE ghafla nahamia POSITIVE.
Nikamaliza chuo kwa mwendo ule ule wa mawazo ya ngoma. Nikaenda nyanda za juu kusini kutafuta fursa za kibiashara.
Bwana bwana siku moja naingia kasupermaket flani nakutana na demu kisu baraa anauza pale. Akili ilivurugika nikasema moyoni huyu lazima nile mzigo. Nikawa naenda pale kununua vitu uongo na kweli tukazoeana kiana.
Siku moja mida ya saa 4 usiku nikapita hapo kumsalimia KIMASIHARA nikamwambia leo njoo lala kwangu akasema fresh nipe namba yako ya simu nikampatia.
Nikasepa getho kichwani nasema huyu hawezi kuja. Bwana bwana mida ya saa 6 nasikia simu inaita kucheki namba ngeni, hello hello NDIO NAFUNGA OFISI NACHUKUA TAX NAKUJA KWAKO NIELEKEZE.
Nikamwelekeza. Fasta nikakimbilia kwenye bag nikatoa SPRAY nikapulizia mboo fasta dakika o demu huyu hapa. Akaingia ndani akavua nguo fasta bafuni kuoga. Bonge la baridi demu fasta akapanda kitandani.
Hakuna longolongo nikaanza kukamua KAVU KAVU kibabe nioshe jina. Show ilikuwa tamu sana.
Zikapita kama wiki 2 nikiwa nimekaa na washikaji mahali demu akakatiza. Wshikaji wakasema aisee yule demu alikubali kusex na jamaa flani HIV POSITIVE tajiri wa mbao, kisa tajiri alimuhonga milioni 1.
Mbaya zaidi yule tajiri nilishamfahamu na nilishawahi kukaa naye kibiashara katika stori zake tajiri alishawahi kutamka NITAHAKIKISHA NITAONDOKA NA WENGI.
Zile stori za washikaji hazikuwa rafiki kwangu nikasepa yale maeneo nikarudi getho nikajilaumu sana nikailaumu SPRAY. Nilikasirika ile spray nikaichukua nikaweka mfukoni nikaenda kuitupilia mashambani.
KICHEKESHO:- Nikatafuta vile vidude vya kupima HIV. Nikarudi getho nikajichoma kidoleni weka tone la damu nikaacha hapo kisome. Nikatoka nje.
Nikiwa nje natafakari maisha yangu baada ya majibu yakiwa POSITIVE. Aisee nikarudi ndani kabla ya kwenda kwenye kipimo nikachukua shuka bila kuangalia kipimo nikakifunika na shuka sikutaka kufahamu majibu, nikaingiza mkono ndani nikakishika nikakiweka mfukoni nikaenda kukitupa mashambani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikahamia mkoa mwingine kibiashara MCHUMIA JANGA HULIA NA NDUGUYE nikaenda kununua SPRAY tena. Show zikaendelea kama kawaida, nikiumwa naenda hosptal nakuta malaria, typhoid kichwani nasema ipo siku lile BOMU la HIV litalipuka.
Nikaamua kutangaza kuoa, hapo nafuatilia maisha ya yule demu supermaket kule nyanda za juu yuko HAI AU AMEKUFA. Naambiwa yuko hai anahali gani kiafya? Najibiwa kama kapunguapungua vile.
Nikafunga ndoa bila KUPIMA HIV, na ikawa mwisho wa kutumia SPRAY na wife aliniamini niko good kiafya. HAKUNA MAREFU YASIOKUWA NA NCHA, wife ujauzito huu hapa nikamsindikiza kliniki, nimkabidhi pale nisepe bwana bwana Nurse akasema kabla hajaanza kliniki ni vema tupime afya zetu wote.
Nilikuwa nimekaa kwenye kitu nilitamani ardhi ipasuke niingie au litokee giza la ghafla nikimbie. Vipimo vikaja wakati huo nawaza KAVU KAVU zote za hatare lipisi la chuo, demu wa supermaket nyanda za juu na wengine baada ya huyo. Mwisho nikamwangalia wife nikamuonea huruma, yeye ANATABASAMU TUU.
Vipimo vikachukuliwa nurse akaviweka hapo mezani visome huku anajaza form. Akaviangalia vile vipimo halafu akatuangalia machoni. Mimi nimeishiwa nguvu. Then Akaangalia kipimo cha wife then akaangalia changu.
Akasema HONGERENI SANA WOTE MNA AFYA NJEMA. Aisee sikutaka kuonyesha furaha pale nisionekane nilikuwa fuska. Nikamuaga wife nikawapigia simu washikaji nyanda za juu leo nimepima HIV niko safi kwa TAARIFA YENU NILIKULA YULE DEMU WA SUPERMAKET. Washikaji walishikwa na butwaa hawakuamini kumbe nilikuwa kwenye chain.
Mwisho kama Mungu hajakuandikia hutapata HIV kweli hutapata hata usex katikati ya milima ishuhudie umalaya wako. Lakini kama umeandikiwa utapata HIV utapata tuu hata kama ni mara yako ya kwanza kusex.
Tangu nimeoa ni miaka 4 imepita sijamsaliti wife wala staki kula demu nje nisije nikamuuzi Mungu akasema hili lifuska nimelinusuru kote huko linaendeleza umalaya wacha lipate ngoma sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].