Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Dada nakupongeza sana kwa kuwa mkweli siyo kama akina fulani wanaficha kusema jinsi walivyoliwa kimasihara!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo kwako,huna hela na wewe unataka badala ya kubaka utiwe hatiani inabidi tukukomboe kwa jinsi hiyoNa ulivyotoka dar baada ya kupata 7800 ukaliwa Tena kimasihara dodoma!!
Nitumie nauli ntakujaDah...lini unarudi kutoka Mwanza? [emoji2960]
Tatizo lipo kwako,huna hela na wewe unataka badala ya kubaka utiwe hatiani inabidi tukukomboe kwa jinsi hiyo
Itabidi nifanye hivyoVaa chupi la chuma basii,.
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Kwa sababu sikubakwaWanaume wanasema waliokula kimasihara lakini we mdada unasema tuliokulana kimasihara..kwahiyo sio kuwa uliliwa kimasihara?
Umeona eeeh!We nimekukubali kukiri kuliwa kimasihara, wenzio hawataki kusema, wengine huwa wanaliwa kwa offer ya bia/savannah, wengine lifti za magari, wengine kusaidiwa kitu Fulani tu anajikuta kaliwa.
Mh wewe utakuwa nao si bureKuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Dah ...nitakutumia....ila nataka ushuke tena Dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitumie nauli ntakuja
Wew mara ya mwisho kupima vvu ilikuwa liniMh wewe utakuwa nao si bure
Usjali ila staliwa kimasihara tenaDah ...nitakutumia....ila nataka ushuke tena Dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa naiheshimu hii id kumbe ni type ya demiss. I take back all my respect!Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
ImejaaPm tafadhali
Aenziwe RIKIBOY..Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Sisi tunataka kula tunda kimasihara, arafu wewe unatuletea kutongoza kimasihara..
Tuelewane vizuri, kula matunda kimasihara ni ile hali ya kutumia ishara na kula tunda mda huo huo pasipo kuzungumzia jambo lenyewe sana..
MMnhhhh....! Huu muandiko wa kiume huuu Mmmmnh!!! Mkuu ongeza na chapati mbili chap