ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Bee my[emoji4]
My wangu bana.....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My wangu bana.....!
Tulale lini kimasihara my...Bee my[emoji4]
Tulale lini kimasihara my...
Baada ya kupewa 7800 Dar ukaamua hasira uzimalizie Dom, sijui huko ulipewa sh ngapi[emoji1]
Una bahati sana, nishaoa kitambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshakuja nataka kimasihara
Kweli shoga angu bahat mbayaaBahati mbaya jamani
Jaman siyo lazima upewe hela hata bure tu mnapozana nafsi
Waoh, umerudi lini???Jaman siyo lazima upewe hela hata bure tu mnapozana nafsi
Nipo nimejaa tele nipo likizo mm mtendaji wa kijijiHongera kwa kurudi, natumai uko vema kabisa
Una bahati sana, nishaoa kitambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waoh, umerudi lini???
Nilikumiss sana!
Ulitaka uje upendeze zaidi ya mke wangu hatimaye sherehe ivurugike eee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaaa umeoa una roho mbaya hata kadi loooh
Shusha neno mama mtumishi ukemee mapepo.Aiseee
Huu mji ni mzito sana!
KaribuuuNgoja nile kwanza nitarudi
Ulitaka uje upendeze zaidi ya mke wangu hatimaye sherehe ivurugike eee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu anaelekea kuliwa kimasihara...
Nitarudi..
Na ishafanyika kitambo tu, hadi ukoko wa kuku roast ushaumissUjue nitalia mm wa kunifanyia hivi kweli jaman