Chinedu5
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 763
- 2,755
Ngoja niilete hii
Mwaka 2015 nikiwa chuo,nilipata nafasi ya kwenda field mkoa mtwara (huku nako nilikula tunda kimasihara nitaleta apa), nilivyorudi nyumbani nilikuta mabadiliko kidogo pale nyumbani,kuna ndugu yetu alikuja kutoka mkoani kuja kujiuguza hivyo ikabidi apewe chumba changu cha ndani na mimi wakanihamishia vyumba vya nje kwa wapangaji!!
Basi nikawa natoka asubuhi narudi usiku sana, sasa njiani kuelekea stend, asubuhi nakutana na dem flan hiv, na usiku pia, ikawa naonana nae mara kwa mara, lakini sikuwa na umakini nae ukizingatia mahusiano yangu hayakuwa mazuri so nkawa na stress za hapa na pale.
Weekend moja hivi,nmefua nguo zangu vizuri nikaziacha kwenye kamba nikaenda kuchek mpira, nmerudi mida ya saa 3 hivi nguo zangu sizioni, kwa sababu kuna kamvua kalinyesha nikajua zimeanuliwa na beki 3 au bi mkubwa tu hivo nikatulia.
Nmekaa geto nachat nasikia hodi,naulza nan nkasikia sauti ya kike mimi Flora,ikabidi niende mlangoni namkuta ni yule dem niliyekuwa naonana nae barabarani kashika nguo zangu kajifunga kanga shingoni, nilistaajabu sana kumuona pale nikamkaribisha ndani akawa staki nataka lakini akaingia, stori mbili tatu ndo akanambia anakaa pale kwetu kuna mpangaji wetu mmoja mama j ndo dada yake!
Tumekaa mtoto macho yake yanatalii tu geto, sikua na vitu vya thaman sana geto wkati huo, lakin nilikuwa well organized, mtoto akaanza kunisifia pale, ooh geto lako anakufanyia nan usafi, nan amekupangia vizuri hivi, mara anyanyuke ashike hichi mara hichi, akaenda kwenye dressing table anakagua perfumes me namchora tu, mawazo ya kibaharia yakaja hapo hapo nikanyanyuka nikaenda kusimama kwa nyuma yake tukawa tunajiangalia kwenye kioo cha dressing table pale,akaropoka "tunapendezana eenh huku akicheka"mzee nikaona fursa hii nikamshika kiuno nikamvuta kwangu mtoto anajipinda pinda, ingiza mkono ndan ya kanga kupma oil mtoto kalowa hatari, wakati nampigia plan nmuanzaje mtoto akaleta lips, mzee nikafanya yangu mpka saa 7-8 hivi ndo tunapumzika!
Baada ya hapo ndo mtoto anaanza ooh nilikuelewa kitambo sana bla bla bla..nikawa namla yule dem karibu kila siku nikaja nikamuacha kwa sababu alikuwa hajiamin wala haniamin hata kidogo, muda wote malalamiko ooh "we chuo huko uko na waliosoma"jambo dogo tu "ooh me kwa sababu sijasoma"nikaona kero zimezidi nikampiga chini!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2015 nikiwa chuo,nilipata nafasi ya kwenda field mkoa mtwara (huku nako nilikula tunda kimasihara nitaleta apa), nilivyorudi nyumbani nilikuta mabadiliko kidogo pale nyumbani,kuna ndugu yetu alikuja kutoka mkoani kuja kujiuguza hivyo ikabidi apewe chumba changu cha ndani na mimi wakanihamishia vyumba vya nje kwa wapangaji!!
Basi nikawa natoka asubuhi narudi usiku sana, sasa njiani kuelekea stend, asubuhi nakutana na dem flan hiv, na usiku pia, ikawa naonana nae mara kwa mara, lakini sikuwa na umakini nae ukizingatia mahusiano yangu hayakuwa mazuri so nkawa na stress za hapa na pale.
Weekend moja hivi,nmefua nguo zangu vizuri nikaziacha kwenye kamba nikaenda kuchek mpira, nmerudi mida ya saa 3 hivi nguo zangu sizioni, kwa sababu kuna kamvua kalinyesha nikajua zimeanuliwa na beki 3 au bi mkubwa tu hivo nikatulia.
Nmekaa geto nachat nasikia hodi,naulza nan nkasikia sauti ya kike mimi Flora,ikabidi niende mlangoni namkuta ni yule dem niliyekuwa naonana nae barabarani kashika nguo zangu kajifunga kanga shingoni, nilistaajabu sana kumuona pale nikamkaribisha ndani akawa staki nataka lakini akaingia, stori mbili tatu ndo akanambia anakaa pale kwetu kuna mpangaji wetu mmoja mama j ndo dada yake!
Tumekaa mtoto macho yake yanatalii tu geto, sikua na vitu vya thaman sana geto wkati huo, lakin nilikuwa well organized, mtoto akaanza kunisifia pale, ooh geto lako anakufanyia nan usafi, nan amekupangia vizuri hivi, mara anyanyuke ashike hichi mara hichi, akaenda kwenye dressing table anakagua perfumes me namchora tu, mawazo ya kibaharia yakaja hapo hapo nikanyanyuka nikaenda kusimama kwa nyuma yake tukawa tunajiangalia kwenye kioo cha dressing table pale,akaropoka "tunapendezana eenh huku akicheka"mzee nikaona fursa hii nikamshika kiuno nikamvuta kwangu mtoto anajipinda pinda, ingiza mkono ndan ya kanga kupma oil mtoto kalowa hatari, wakati nampigia plan nmuanzaje mtoto akaleta lips, mzee nikafanya yangu mpka saa 7-8 hivi ndo tunapumzika!
Baada ya hapo ndo mtoto anaanza ooh nilikuelewa kitambo sana bla bla bla..nikawa namla yule dem karibu kila siku nikaja nikamuacha kwa sababu alikuwa hajiamin wala haniamin hata kidogo, muda wote malalamiko ooh "we chuo huko uko na waliosoma"jambo dogo tu "ooh me kwa sababu sijasoma"nikaona kero zimezidi nikampiga chini!!
Sent using Jamii Forums mobile app