Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mwaka 2008 nilikuwa nipo UDSM mwaka wa kwanza, field niliamua niliamua kwenda kufanyia Dodoma sasa kuna jamaa yangu yeye nae alikuwa anasoma UDOM yeye alipopata boom alinunua kiwanja maeneo fulani ilipo stendi mpya ya mabasi Dodoma, sasa kwenye kiwanja chake ili kisiwe wazi aliamua kujenga kajumba kama zile nyumba za wagogo, alijenga kajumba ka tope ka chumba kimoja na akapiga bati kabisa sasa alikuwa na kawaida kila wikiendi Ijumaa anaenda kwenye nyumba yake anarudi Jumatatu asubuhi mjini. Sasa wikiendi moja akaniambia twende nipaone aliponunua kwa hiyo tukaenda nae hiyo Ijumaa. Kufika kule mwana alikuwa ameisha kamatia binti wa kigogo anajilia mzigo kila wikiendi. Sasa usiku yule demu wake akaja ni mtoto alikuwa kamaliza form four alifeli akawa yupo tu home. Sasa usiku nashaangaa kale kademu kake kakaja mie nikajua mida katasepa kozi hatuwezi kulala wote wa tatu kitanda kimoja. Nikamuuliza mshikaji si tumsindikize shem akalale akasema huyu atalala humu humu, nikamuuliza na mimi akasema wote tutalala humu humu tena kitanda kimoja, nikajisemea moyoni duu! makubwa haya. Kweli kufika mida tukaingia kitandani kulala mwana akaanza kumtomasa demu wake ili waanze kwich kwich. Mara simu ya mshikaji ikaita ikabidi mshikaji atoke aende nje kuongea kumbe aliyekuwa kampigia ni demu wake ambaye jamaa anampenda kinyama alikuwa anasoma advance. Kipindi kile mtandao wa tigo kupiga simu usiku kuanzia saa sita usiku ilikuwa ni bure kwa hiyo mwana aliongea na yule demu wake wa advance kwa muda mrefu sana. Kule kitandani tumebaki wawili na yule demu mgogo nikajisemea nisiwe mzembe maana fisi kaachiwa bucha. Nikaanza kumtomasa yule shem akawa anagoma nikamwambia unajua jamaa yako huko anaongea na demu wake ampendae, demu akasema sasa akitukuta, nikamwambia hawezi maana tunafanya fasta tu, kweli mtoto akalegea nikatoa zana maana kwenye mfuko wangu wa suruali maana kipindi kile zana nilikuwa natembea nazo ili ikitokea emergence yoyote nazitumia. Nilimgonga yule manzi mpaka akawa anapiga kelele za utamu kolea ikabidi nimpige denda muda wote kuzuia sauti isitoke, nikajilia viwili vyangu vya fasta. Baadae nikalala mpaka nasinzia msela hajarudi. Asubuhi mshikaji akaenda kuoga, nikamwambia yule manzi ukimaliza kunywa chai uje maana msela anatoka atarudi mida ya saa 9 mchana. Baadae mwana akaniaga kuwa anaenda town kuna mambo anafuatilia atarudi mchana. Mida ya saa tano asubuhi yule manzi akaja kweli, nilimpiga mashine mpaka akaanza kumpondea mshikaji wake kuwa ni mchovu eti hamuandai vizuri na hamkuni kunako na anamuacha akiwa na ugwadu. Mpaka field inaisha yule manzi nilijilia sana na msela wangu wala hakuwahi kujua.
Daah!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaaa hii ni one of the best scenarios....

Cc rikiboy popote ulipo kifungoni. Uione hii
Mwaka 2008 nilikuwa nipo UDSM mwaka wa kwanza, field niliamua niliamua kwenda kufanyia Dodoma sasa kuna jamaa yangu yeye nae alikuwa anasoma UDOM yeye alipopata boom alinunua kiwanja maeneo fulani ilipo stendi mpya ya mabasi Dodoma, sasa kwenye kiwanja chake ili kisiwe wazi aliamua kujenga kajumba kama zile nyumba za wagogo, alijenga kajumba ka tope ka chumba kimoja na akapiga bati kabisa sasa alikuwa na kawaida kila wikiendi Ijumaa anaenda kwenye nyumba yake anarudi Jumatatu asubuhi mjini. Sasa wikiendi moja akaniambia twende nipaone aliponunua kwa hiyo tukaenda nae hiyo Ijumaa. Kufika kule mwana alikuwa ameisha kamatia binti wa kigogo anajilia mzigo kila wikiendi. Sasa usiku yule demu wake akaja ni mtoto alikuwa kamaliza form four alifeli akawa yupo tu home. Sasa usiku nashaangaa kale kademu kake kakaja mie nikajua mida katasepa kozi hatuwezi kulala wote wa tatu kitanda kimoja. Nikamuuliza mshikaji si tumsindikize shem akalale akasema huyu atalala humu humu, nikamuuliza na mimi akasema wote tutalala humu humu tena kitanda kimoja, nikajisemea moyoni duu! makubwa haya. Kweli kufika mida tukaingia kitandani kulala mwana akaanza kumtomasa demu wake ili waanze kwich kwich. Mara simu ya mshikaji ikaita ikabidi mshikaji atoke aende nje kuongea kumbe aliyekuwa kampigia ni demu wake ambaye jamaa anampenda kinyama alikuwa anasoma advance. Kipindi kile mtandao wa tigo kupiga simu usiku kuanzia saa sita usiku ilikuwa ni bure kwa hiyo mwana aliongea na yule demu wake wa advance kwa muda mrefu sana. Kule kitandani tumebaki wawili na yule demu mgogo nikajisemea nisiwe mzembe maana fisi kaachiwa bucha. Nikaanza kumtomasa yule shem akawa anagoma nikamwambia unajua jamaa yako huko anaongea na demu wake ampendae, demu akasema sasa akitukuta, nikamwambia hawezi maana tunafanya fasta tu, kweli mtoto akalegea nikatoa zana maana kwenye mfuko wangu wa suruali maana kipindi kile zana nilikuwa natembea nazo ili ikitokea emergence yoyote nazitumia. Nilimgonga yule manzi mpaka akawa anapiga kelele za utamu kolea ikabidi nimpige denda muda wote kuzuia sauti isitoke, nikajilia viwili vyangu vya fasta. Baadae nikalala mpaka nasinzia msela hajarudi. Asubuhi mshikaji akaenda kuoga, nikamwambia yule manzi ukimaliza kunywa chai uje maana msela anatoka atarudi mida ya saa 9 mchana. Baadae mwana akaniaga kuwa anaenda town kuna mambo anafuatilia atarudi mchana. Mida ya saa tano asubuhi yule manzi akaja kweli, nilimpiga mashine mpaka akaanza kumpondea mshikaji wake kuwa ni mchovu eti hamuandai vizuri na hamkuni kunako na anamuacha akiwa na ugwadu. Mpaka field inaisha yule manzi nilijilia sana na msela wangu wala hakuwahi kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...

NILIVYOLIWA KIMASIHARA NA MHANDISI WA MKOA WA..... NIKITAJA MTAMJUA

Kwa wenyeji wa Dodoma ilipo roundabout ya pale airport kuna mradi wa serikali saivi wanajenga eneo la utaliii zamani kidogo mwaka juzi mle ndani kulikuwa na bar wanauza kitimoto wenyeji wanaijua.

Mida ya SAA saba nilienda pale kula kitimoto nikiwa nimekaa peke yangu.

Kuna wabab wawili wakaja Wakakaa pembeni yangu kwa muda .

Baadae wakawa wameniomba kampany na mm bila hiyana tukaunga tukaendelea na story na bia mbili tatu . Chakula kilupokuja tukala na story zikaendelea.

Yule mhandisi akaniomba namba kama anahitaj kampany ya kutoka atanipigia maana walikuja kwenye masuala ya vikao vya bunge.

Usiku mida ya SAA 2 alinipigia simu akaniambia kama naweza kuna kazi ya kuandika kama nitapenda niende kumsaidia atanilipa yupo NASHERA HOTEL ROOM NUMBER 20.

Ninavyopenda helaa huyoo mpka Nashera kufika kule akanipa kazi nikamsaidia kuandika nilivyomaliza ilikuwa kama mida ya SAA 5 usiku akaniambia wewe lala tu hapa utaondoka asubuhi na mm nikaona mhg huyu mzee kabisa hawez nifanya chochote wacha nilale.

Nashangaa baadae tukaanza kupeana mabusu alafu sasa kumbe hana hata nguvu za kiume alichukua kadushelele kake akawa anakechezesha kwenye simi langu mpaka nikafika mshindo duuuh kila nikikumbuka huwa nacheka kinyaaaamaaa.

Siku hizi akija tu Dom kwenye mavikao huwa ananitafuta tunafanya huo mchezoo maana kaniambia yeye huwa hasex na mke wake so anapenda huo mchezo na yeye hufika climax yaan kama nasagana na mwanake mwenzanguu duuuuh.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesuuuuu wangu. Dah nini hiki
KUHUSU SHEMEJI!!

Kwanza huyu shemu wangu mimi ndo nilihusika ktk kufanikisha mahusiano na Kaka,

Kipindi nipo secondary bro alikuwa yupo chuo, bro kanizidi miaka 10 Ila ndo aliyeniachia ziwa, pia tunafanana Sana yaani,
Huyu Shem yeye Ni jirani yetu hivyo kipindi nakua nilikuwa namwona na alikuwa rafiki yangu Maana Kuna kipindi alikuwa ananisaidia ktk masomo!!

Bro alimpenda huyu dada lakini alikuwa hawezi kumtongoza hivyo akanitumia Mimi kufikisha ujumbe, kumbe yule dada alikuwa anapenda bro kitambo tu, kufupisha stor, bro alifanikiwa kumnasa yule dada, na ndo Shem wangu Maana walioana na kufunga ndoa kbsa!!
Katika maisha ya ndoa Mambo yalikuwa mazuri Sana, Ila walikuwa hawana mtoto ndani ya kipindi Cha miaka 2 ya ndoa, hapo maneno yakaanza watu wanamtupia lawama mke wengi bro,

Walipofanya vipimo bro ilionyesho kila kitu yupo sawa Ila sperm zake Ni immature sperms hivyo haziwezi rutubisha, baada ya vipimo vile ilibidi wahamie kwenye mitishamba a.k.a tiba mbadala wametumia Sana bila mafanikio!!(haya yote walikuwa wanafanya Siri na Hakuna waliyemwambia ktk familia)

Wakati nipo chuo likizo nyingi nilikuwa naenda kwa bro, bro alikuwa anafurahia Sana uwepo wangu pale pia Shem,

Siku moja nipo zangu room, Shem akaniita nikaenda akaniambia naomba nielekeze Nini Maana ya inmature sperm Maana Kuna rafiki yangu ataka kujua!! Nikamwelekeza vizuri Sana!!

Kesho yake akaniita akaniambia "WEWE NI MUME WANGU, NAOMBA UWE NA UJASIRI MKUU, UNIFANYE KUTOJUTIA UAMUZI WANGU" nikamwambia Shem mbona sijakulewa? Ndo akanipa kisa chote A to Z kuhusu ndoa Yao na Hilo tatizo, mwisho akaniambia "DAMU NI NZITO KULIKO MAJI MUME WANGU, MSAIDIE KAKA YAKO"

Nikamwambia badae nitakupa jibu nimeamua kitu gani, nilifikiria Sana.....nikaona hapa nikizubaa Shem atatoka nje kutulea damu siyo yetu, nikampa jibu Shem nikamwambia " naomba hili swala liwe Siri yetu tu yaani wazee wasijue hata Kaka asijue, Basi kilichofuata Ni kupanga tu tarehe za hatari , ndivyo ilivyokuwa mtoto wa kwanza wa kiume kafanana Sana namimi, Mara ya pili tukapata mapacha wote wakiume wamefanana sana na mama Yao, mwakani tumepanga kufanya mtoto wa mwisho, tunakutana na Shem kwa Leo la kuzaa tu cyo starehe!!
Nilichofurahia ktk hili Ni Hali ya kufanana Sana na Kaka angu, hivyo hailete tatizo lolote kwa watoto!!!

Nimeamua kuweka hiki kisa kwa Maana bro yeye si mtu wa mitandaoni yaani Hana interest kbsa na Mambo haya, yeye yupo WhatsApp tu!! Hivyo hiwezi leta tatizo!!!!

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natangaza rasmi kuanzia saa huu ndio uzi rasmi wenye chai nyingi tangu kuanzishwa kwa jf mnamo mwaka 2006..aisee sikatai chai zipo ila chai za hapa za moto balaa zingine hazifai hata kunywa ila mabahria tunakunywa kibabe tukipooza kwa kutumia feni la ANIKO lenye mapanga saba tena kwa spidi ya mwisho..

chai zimezidi sana niko nawacheki tu ngoja nitulie niwaletee uji sasa ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu dhambi ya kulala na wake za watu itakuja kukuhukumu vbya mno acha mara1, adhabu hii ukikutwa ni kifo hata mama yko mzazi ktk dhambi hii hatokutetea. Acha Acha Acha mm km kk yako hunijui nakwambia hii dhambi imemfanya ndg yng kilema wa macho na miguu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ni kweli, kweli kabisa.
Lakini jambo la kujifunza ni kuwatendea mema wenzi wetu kwenye ndoa, hawa wana toka sio kwa sbbya tamaa.Njaa ya faraja, amani ya moyo, inapelekea wao kufanya hivyo mimi nimekuwa mtu wa kuitikia matakwa yako.
 
Kuna watu hapa wamenivutia na mimi ku-share hii stori, kwa kuwa nimepata ruhusa ya aliyenila naona si vibaya ku-share nanyi.
Miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza masomo hapo Chuo cha Afya Muhimbili (Wakati huo kilikuwa chini ya University of Dar es Salaam), nilipata nafasi ya kufanya internship kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar.
Nilifurahi sana maana nilikuwa natamani sana kwenda Zanzibar na kujionea mazingira ya huko. Kabla ya kwenda nilifanya maandalizi ya mahali pa kufikia na kwa msaada wa baadhi ya watu nikafanikiwa kupata sehemu ya kuishi kwenye maghorofa ya Michenzani –karibu kabisa na Kisonge. Nyumba niliyopata alikuwa anaishi kijana mmoja Mtanganyika ambaye alikuwa akifanya kazi huko. Kwa wanaofahamu maghorofa ya Michenzani nyumba moja huwa ina vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa, jiko, sehemu ya kufulia pamoja na choo cha ku-share.
Nilihakikishiwa kuwa jamaa ni mtulivu na mstaarabu hivyo nisiwe na wasiwasi naye maana kila mtu ana chumba chake. Kabla ya kwenda nilizungumza na jamaa na kujua namna tutakavyo-share gharama ya kodi, umeme na chakula. Nilimtumia pesa aninunulie kitanda, godoro na mahitaji mengine madogo madogo.
Hatimaye nikafika Zanzibar, jamaa akaja kunipokea na kunifikisha Michenzani. Jamaa alikuwa mtulivu sana na alikuwa anaongea kwa utaratibu sana. Kwa kweli nikawa comfortable kabisa. Mchana ule jamaa aliingia jikoni na kuandaa chakula,nikiri tu jamaa alikuwa anajua kupika. Jioni tukatoka akanipeleka mpaka eneo la Vuga ambapo kuna hospitali ya Mnazi mmoja na kisha tukaenda Forodhani. Jamaa hakuonyesha hata dalili kwamba ananitaka.
Nilizungumza naye habari ya kodi na gharama nyingine akanijibu kuwa nisijali kwa kuwa kodi ameshalipia mwaka mzima na ndio kwanza amemaliza mwezi wa kwanza. Huyu jamaa alikuwa kwenye masuala ya ujenzi.
Hatimaye nikaanza internship baada ya siku kadhaa, kwa ratiba za internship mara nyingi huwa tunapewa zile shift za usiku na wakati mwingine unaunganisha huku ukiwa na muda mchache sana wa kupumzika. Mara nyingi nikiwa sijaenda kwenye internship nilikuwa nalala tu. Jamaa alikuwa anapika na kuniamsha ili niende kula, kuna nyakati mpaka nilikuwa naona aibu, msichana wa miaka 24 kupikiwa na kijana wa miaka 27. Mara kadhaa alikuwa ananipeleka pale mgahawa wa Lukman – pale mkunazini. Kuna siku jamaa mpaka akanifulia nguo zangu alizozikuta kwenye sehemu ya kufulia nguo (hazikuwa chupi na sidiria). Ilibidi nimwambie asiwe anafanya hivyo, au walau aniachie na mimi nimfulie siku moja. Ni aina ile ya wanaume ambao hawakuchoshi, ni mpole na mtaratibu na mwenye kukufanya uwe na furaha.
Nisiwachoshe sana, baada ya mwezi mmoja hivi nilianza walau kuvutiwa na huyu jamaa, maana niliishi hapo muda wote lakini hakuwahi hata kuingiza mwanamke wala hakuwahikunipatia usumbufu wowote bali alikuwa mcheshi na mwenye staha ila niliona si vyema nikianza kujirahisisha.
Siku moja ya jumapili ambayo nilikuwa off nikaona walau niingie jikoni na nimpikie huyu jamaa, nikaandaa supu ya samaki kwa mkate. Jamaa alipoamka akashangaa kunikuta jikoni na kunitania dokta kumbe unajua kupika? Nilicheka na kumwambia oga uje uonje. Alikula na kufurahia chakula na kisha akaniambia ana safari ya Nungwi na jamaa wa ofisini ambao wanaotokea upande wa Tanganyika, kwenda kupumzisha akili na kutalii. Sikusubiri aniambie kama nipo free, nikamwambia kama na mimi naweza kwenda nao, jamaa akakubali. Nikaona leo sasa ngoja nimpime jamaa.
Akapitiwa na jamaa zake watano ambao nao walikuwa na wapenzi zao, jamaa zake wakaanza kumtania umemtoa wapi mtoto mzuri hivi, jamaa kwa aibu akawa anawajibu kuwa mimi ni housemate wake.
Tulikaa pamoja kwenye gari, jamaa akaanza kushika vidole vyangu na kuuliza maswali udaktari na elimu, nikamwambia leo tupo kustarehe aachane na masuala hayo. Safari yote nilikua nimemuegemea jamaa kifuani na karibu watu wote walikuwa wameegemeana ndani ya Coaster.
Tulifika Nungwi na kufurahia sana michezo ya beach kuogelea na kukimbizana pamoja na vyakula. Jamaa alijiachia sana name sikuwa na hiyana nikawa kama mpenzi wake, alinishika alipotaka na dry kiss za hapa na pale, alinitia nyege za hatari japo nilikuwa najaribu kuwa mvumulivu kidogo - aibu iliishia pale beach. Jioni safari ikaanza ya kurudi MJINI.
Tulifika mjini majira ya saa moja na nusu, jamaa akanunua chipsi na kuku kisha tukapanda ngazi kwenda ghorofani.
Nilienda jikoni kufuata sahani huku natafakari maisha yatakavyokuwa mle ndani baada ya ile michezo ya beach huku nyege zikiwa zimenishafika kiwango cha juu zaidi, nikiwa jikoni jamaa akanifuata na kunikumbatia kwa nyuma mikono ikiwa tumboni na kuniambia dokta nisamehe kama nilivuka mpaka kule beach, nakuheshimu sana; nikiwa nahisi kutetemeka niliinyanyua mikono ya jamaa kutoka tumboni na kuipandisha kwenye maziwa yangu, jamaa aliyaminya maziwa yangu kwa sekunde kadhaa na kisha kunigeuza upande wake na kuanza kunila mate kwa dakika kadhaa. Nilishusha mkono na kupapasa kwenye bukta yake na kukuta tayari ameshasimamisha. Jamaa akapeleka mkono mgongoni na kufungua vikamba vya kigauni chepesi nilichokuwa nimevaa kisha akanipandisha juu ya meza ya zege ya jikoni na kuanza kuninyonya sikuwa nimewahi kunyonywa katika mahusiano yangu huko nyuma; ilikuwa tamu sana kiasi ambacho baada ya dakika kadhaa nilimwaga maji kwa mara kwanza na kujiskia kufika.
Jamaa akataka kuingiza uume nikamwambia nimechoka tukaoge kwanza, alinishika mkono mpaka bafuni na tukaoga pamoja, ambapo jamaa alinishikisha sinki na kunipa dogystlye moja matata sana. Jamaa alikuwa na nguvu na uwezo kwenye tendo la ndoa.
Usiku ule jamaa alilala chumbani kwangu na kuanzia hapo maisha yakaendelea kwa namna hiyo, ilikuwa ni kugegedana tu na nilifurahia internship vizuri sana. Maana kuna nyakati hata nikirudi nimechoka jamaa atanishawishi mpaka nampa mzigo. Na alikuwa na mapenzi hasa maana upo ofisini unakutana ma meseji, nimemisi tamu, ukirudi unipatie, nimeshakupikia hapa.
Miezi saba baadaye jamaa akapeleka posa nyumbani na miezi minne baadaye tukafunga ndoa hapo St. Alban Cathedral – Dar es salaam.
Bado nipo kwenye ndoa na watoto kadhaa na maisha yanaendelea vyema kabisa.
Nimetoka kula tunda kimasihara, ngoja niurudishe huu mzaituni ulionipa tuna then nirudi kwenye sridi kushusha kisa kizima
Kiutaniutani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Xrssxwe[emoji9][emoji9][emoji19][emoji1][emoji23][emoji42][emoji10]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasubiliiiiiiii kuuuuuu[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
IMG_20191215_142716_5.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom