Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,448
- 1,624
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawachane ndugu zako makavu live huko kwenu, hao wanao bebeshwa mimba kimasihara, acha kabisa kutuharibia uzi wetu, tena nasemaje uache basi alaaaaa[emoji57][emoji57][emoji57]Umeona sasa nillichokua namaanisha!!
Yaani kwa kuwa 'umesikia' kwamba baadhi ya wake za watu hutoka nje ya ndoa basi nawe kutwa kucha unajiachia tu kuvuliwa chupi kupanua mapaja unapigishwa katerero weeee ufike mshindo ufurahi.
Aisee, sikujui hunijui...
But serious this is not something mwanamke aliye smart upstairs kuwa 'proud of'
Naona wanaume wanaku kenulia meno tu hapa.
Mie Nakuchana live.
kosa kubwa sana kumzoesha mwanamke marafiki zako,atakuja jaribiwa tu au kuliwa kabisa...Baada ya kupitia uzi huu nami nimeona nilete kisa changu cha kupata penzi kimasihara kutoka kwa shemeji yangu.
Ilikuwa 2012,,,tulienda Kahama kwa ajili ya usimamizi wa project flani za miradi ya Maji. Tulikuwa mimi na workmate mwenzangu ambae kwa bahati nzuri yeye alifanikiwa kupata binti mmoja mwenye asili ya kinyarwanda na kufanikiwa kumzalisha mtoto mmoja.
Tulikaa Kahama karibu mwaka mzima tukisimamia mradi,,,,sasa jamaa yangu ambae ni workmate mwenzangu alikuja kupata msala wa kutembea na mke wa kigogo flani wa polisi hapo kahama na kusababisha kukimbia bila kuaga matokeo yake akaishia kumtekeleza yule mtoto na mama yake.Baada ya muda tukamaliza zile project na mimi kurudi zangu dar kuendelea na shughuli zingine za kujenga taifa.
Mwaka 2014 nikapata safari ya kikazi kwenda tena kahama,,,,hapa nikiri tu ndo kipindi nilichomla shemeji yangu kimasihara,,,,Nimefika kahama mida ya saa nne usiku nikachukua chumba hotel iliyo jirani na stand ya mabasi kahama mji,,,Kesho asubuhi nimeamka zangu naendelea na shughuli zangu kwenye laptop,,ghafla nasikia simu inaita kupokea nasikia sauti ya upande wa pili inasema,,, Shem habari za siku nyingi, nasikia umekuja kahama,,,,namuliza wewe nani,,,ananijibu mimi ni Elizabeth,,, niliezaa na flani yule mliokuja nae kipindi kile kwenye mradi ya Maji,,,nikasema yes nakukumbuka,,,,Namuliza umejuaje nipo kahama,,,ananijibu nimeambiwa na rafiki yako,,,nikamwambia ni kweli nipo kahama ila nipo kikazi kwa muda kama mwezi mmoja hivi,,,so usijali nitakuja kukusalimu tu.Tukaagana kwenye simu,,mim nikiendelea na yangu kuandaa program zangu za kazi mambo yaende fresh.
Kufika jioni hivi naona text kwenye simu,,, mambo vp Shem,,,umefikia hotel gani,,,,moyoni nikjisema acha tu nimjibu nione itakuwaje,,wakati huo mi nipo nimekaa kaunta ya hotel nakula zangu bia mdogo mdogo tu,,,,within 15 minutes tu,,,simu inaita naambiwa nimeshafika hapa upo wapi,,,,namwambia karibu hadi ndani njoo kaunta huku,,,,dah shemeji yangu huyu alipendeza vibaya mno,kazidi kuwa mzuri mno.
Nikimkaribisha pale vinywaji,,yeye akaagiza castle light,,,,huku story zikiendelea nyingi zikiwa za kumlalamikia jamaa kampotezea tu yeye anamlea mtoto pekee yake,,,nikawa namtia tu moyo ipo siku mambo yataka sawa jamaa atarudi kuchukua mwanae,,,huku mimi nazidi tu kumsifia kwamba amezidi kuwa mzuri,,nikampiga na picha ya kizushi kumwambia namtumia jamaa aone jinsi ulivyopendeza na kuwa mzuri.
To cut the story shorty,,, Tulikunywa mpk mida ya saa tano usiku hivi huku akiomba aondoke usiku ushaingia,,,nikamtania tu,,vp kama hutojali acha nikusindikize nipaone kwako,,huku namtania au unaogopa utaonwa na mwanaume wako,,,akajibu wala hata hayupo tushagombana na kuachana,,,nikamwambia twende room nikavae viatu(hapa nilikuwa nimevaa tu ndala za hotel) ili nikupeleke kwako,,akakubali twende wote room,,,kufika tu kaingia zake toilet kukojoa,,,kutoka tu toilet nikamtania,''dah unakiuno kizuri Shem,,wakubwa wanafaidi sana'' alichonijibu sasa,,,""hata wewe ni mkubwa tu,,,nikajisemea moyoni huyu,,haondoki hapa bila kuliwa,,,,.Nikamzingua ngoja nioge then nikusindikize,,,akasema sawa lakini fanya haraka ili niwahi,,nikamjibu poa,,,,nikavua nguo zangu pale nikabaki na boxer then nikajifunga taulo huku nawaza jinsi gani navyoweza kumla huyu kiumbe tena bila mtongozo,,.
Nimetoka kuoga namkuta mtoto kajilaza kitandani huku kafunga vimacho vyake vizuri,,,nikamsogelea karibu kabisa,,,kumshika mkono tu,,,hill joto nikasema huyu simuachi,,,,,sogeza mdomo karibu na sikio ili nimnong'oneze kitu,,wazo linajia pitisha ulimi sikioni,,,,napitisha tu ulimi mtoto akaanza kuweweseka,,huku mimi nachezea mtt ambayo yapo ndani ya blauzi yake,,,chezea sana mwishoni nikavua tight na chupi then piga deki sana,,,dah mtoto anarusha maji yule,,,,piga sana katerero,,,godoro lote chapa chapa,,,,kaja kuondoka kumeshakucha,,,,anasema ooohhh Shem sasa azma yangu imetimia,,,namuuliza kulikoni,,eti oohhh rafiki yako alishwahi tembea na rafiki yangu,,,so na mimi nimelipiza,,,nikamuuliza sasa ulivyotaka nikupeleke kwako,ingekuwaje akadai hata kule tu ningekufanyia vitimbi hadi ulale na unipige mashine.
Mwisho ikabidi ule mwezi niwe najilia tu Shem wangu maana hakuna kitu napenda km mwanamke anayerusha maji,,,siku zingine nalala kwake najilia tu vyangu,,,,jamaa yangu mpk Leo hajui chochote kama nishamla mama mtoto wake
Alafu waliokuwa wazuri wamekuwa wabayakiukweli madem waliokuwa wabaya huko primary na seco kwa sasa wengi ni pini mbaka baharia unajiona pimbi...
Umemaliza kwa hash tag ya cc: Demiss nikahisi kitu flani kichwaniJinsi nilivomkula classmate kimasihara
Baada ya kuhitimu kidato cha NNE, harakati za kuendelea kusoma na kuajiriwa zilipita. Nikafanikiwa kukata ajira mkoa Fulani hivi, huko nikakutana na washkaji ajira mpya tukapata nyumba moja watumishi watatu.
Ikapita miezi Sita kazi inaendelea vizuri na Mshahara tunapata basi mambo mswano. Wakati Niko sekondari kuna pisi moja ilikua na kalio tamu sana ukiliangalia kwa mbali na linatikisa we acha tu, sasa nikachukua likizo nikaenda nyumbani kusalimia ndugu na jamaa. Siku hiyo nimeingia nyumbani jioni sana, nilifikia kwa Bimkubwa na siku hiyo kulikua na msiba so Alienda kwenye mazishi kijijini.
Jioni naenda kutafuta kula ghafla nikakumbatiwa na mtu , nami sikuvunga nikatomasa bonge la tako aisee, nikajisemea Mamaaaaaa nafwaaaaa.. Kuangalia usoni ni lile classmate, story kidogo Mara umekuja lini ooooh unaondoka lini?, maneno mengi. Nikamwambia naenda kula kama vipi uje home baada ya SAA moja, kweli kama masihara SAA mbili usiku demu hili hapa.
Mtoto kavaa kanga moko na pichu tu, tukakumbushana habar za shule. Kwa kua muda ulikua umesogea nikamwambia ngoja nisafishe gheto kwa maandalizi ya kupumzika maana nimechoka na safari, basi akanisaidia kusafishia,kimbembe kikaanza baada ya usafi anataka kuoga , nikamruhusu alipo rudi kafua pichu mkononi ameshika kitop mkononi kanga moko tu.nikisema mamaaaa leo nitakoma.
Nikatoa shuka Fulani ya kimasai ili ajisitir akirejea kwao.
Hapo damu Imeanza kuchemka, nikaingia kuoga na Mimi nilopotoka nakuta Toto lipo kitandani kifudifudi nikajiambia "acha ufala" .
Nikamrukia na kuanza kula mate bila hiyana Mtoto akarespon mia kwa mia.
Kula sana mate na touch za kutosha , nikapiga deki sana mtoto analia na kukatika ute wa kutosha kitandani
Nilipiga mashine sana siku hiyo Hadi SAA nane usiku , ndiyo Nalala kushtuka SAA 12 Asubuhi ,mchezo ukaanza upya kisha tukaamka akaandaa Chai , nikamuuliza kwenu vipi akaniambia hamna shida nimemuaga sister , basi siku hiyo nakashinda nae kwa nilijua Bimkubwa atachelewa kurudi, nikabinjuka na classmate siku mbili mfululizo na ugwadu nilikua nao wakutosha.
Dah nilienjoy sana show ya mtoto wa kiyao , ana mauno uzazi.
Ujana maji ya moto
#Demiss
Sent using Jamii Forums mobile app
baharia wa kikeNilivyoliwa kimasihara na Dereva wa City boys ya karagwe mwaka 2015.
Nipo zangu safarin toka Dar kwenda karagwe nimekaa siti namba 1 .
Si unajua ukikaa mbele story na kondakta na dereva na kwenyw hayo magar kjna madereva wawili.
Haooo mpaka kahama mida ya SAA 6 usiku.
Dereva akaniuliza unalala wapi nikamjibu kwenye gari.
Akaniambia usjali mm kuna room nimeshachukua wewe twende tu tukalale usijitese kwenye gari.
Basi mm nilivyokuwa nimechoka alafu ukiangalia dereva mstaarabu huwez kumuwazia vibaya.
Tukaenda nikaoga bafun nikavaa nguo nikaenda kulala na yeye akafanya hivyo tukalala.
Usiku wa manane naona akashindwa kuvumilia dereva akaniamsha nikakuta ameshavua nguo zote dushe limesimama hatar akaniambia nisaidie nimeshindwa kulala.
Nikamwambia kama kuna zana sawa akainuka akachukua zana kwenye kibeg chake akala mambo kimasihara.
Kesho yake haoo mpaka karagwe kuna sehemu tulifika wanauza samaki aiseee alininunulia samaki wa kutosha ile nakaribia Karagwe ku na sehemu wanauza maziwa loooh akaninunulia.
Wakati wa kurudi nilipanda basi bure mpaka Dodoma ambapo tulifika SAA 7 za usiku tukalala kwenye gari kesho yake safar ikaendelea Dar.
Nilikuja kupata taarifa kuwa alipata Ajali na gari dogo maeneo ya kimara hawez tena kuendesha gari mpaka atakapopona.
Nakuombea upone ili uendelee na kazi yako ya udereva.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka apewe mil kadhaa kama wewe unavyo nunuliwaga?Kuvuliwa chupi, kupanuliwa mapaja kisha kumwagiwa shahawa na wazee wasio na nguvu za kiume, mara madereva wa CITY BOYS kisha unapozwa kwa kunuliwa maziwa mtindi???
That had & will never happen.
hii kitu inaumiza sana kwakuwa ulishawadharau huwapati tena...
Yaaani huyu ajuza kaja hapa na stress zake za kizeeUzi umeingia nongwa maana mm natembea na gundu wengine wako swafiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kwa hash tag ya cc: Demiss nikahisi kitu flani kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
hii kitu inaumiza sana kwakuwa ulishawadharau huwapati tena...
Afadhari kabisaRIP Mama Deborah
Changia Ukipendacho Ila Usitukane Watu.
Tujifunze Ustaarabu
View attachment 1293963
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam....Kawachane ndugu zako makavu live huko kwenu, hao wanao bebeshwa mimba kimasihara, acha kabisa kutuharibia uzi wetu, tena nasemaje uache basi alaaaaa[emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP Mama Deborah
Changia Ukipendacho Ila Usitukane Watu.
Tujifunze Ustaarabu
View attachment 1293963
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani watu hawajali afya zao kabisa.
Yani mtu anakutana na demu waluwalu, kwa vile hana nguvu za kutosha, anaingia chumvini ili ku-buy time, mara anachomeka pia bila kinga, asee!
Tunamripot Tena, We Dare To Talk Open[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jaman atakuja na I'd yake ya gazet la marekani
Sent using Jamii Forums mobile app