Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii ilitokea wiki chache zilizopita

Nilipata text ya namba ngeni, baada ya kufatilia nilibaini alikuwa ni binti mmoja hivi alisoma na mdogo wangu miaka kenda iliyopita. So like wow, habari za siku na blah blah nyingi.......kwa hiyo alini text kunisalimia, nikashukuru kwa kunikumbuka though yeye alikuwa Mkoa "X'' mimi niko Mkoa "Z".

Wiki chache nilipata safari ya kikazi Mkoa "X", kwahiyo nilipofika nikamjulisha kuwa kama ratiba zangu zitaruhusu ningependa nimwone. Akaniuliza nilipofikia, nikamwambia nimefikia hotel "J", kesho yake akanipigia what'sapp video call, but i reject thrice times. Akanitext uko na nani mbona hutaki nimwone? Nikaanza kuhisi kitu, kwanini aulize hivyo, nina makubaliano gani nayeye? Nikaenda pharmacy nikanunua Zana nikaziweka ndani, nikajisemea ikitokea mashambulizi ya kushtukiza nitajilinda. Then akanitext nitakuja jioni nikusalimie, nikamwambia karibu.

Jioni yake muda wa saa 3 usiku akaja, nikamuagizia vinywaji then tukaanza kupiga story. Story ziliendelea nikaona 4 na nusu alafu kama vile hana dalili za kuondoka. Nikasema ngoja nione nilichokuwa nawaza kama ni tofauti, nikaanza uchokozi. Nikapiga touches za kutosha, naona amelainika, nikavaa zana nikaingikia kazini.

The young lady was wet, potable, sexy and romantic. Nilivutiwa na ufundi wake, alikuwa anakata viuno though nikiongeza mkito anarudi nyuma. I guessed labda hayuko comfort na deep penetration. I enjoyed, wakati nakaribia kumaliza akaanza mtindo wa kufinyia kwa ndani, kusema kweli hapa alinimaliza hasa kwani starehe niliyokuwa naipata nyie acheni tu.....

Baada ya kupumzika kidogo na kujimwagia maji, tukaanza tena. Sijui kwa kuwa nilimsifia, basi safari hii ndiyo akazidisha vionjo, alikuwa anakata viuno balaa, Sasa huko kwenye kufinyia ndani ndiyo alizidisha balaa, aisee nyie acheni tu, kuna mademu wanajua kiti**na.

Kifupi nilifurahia sana kampani yake, bahati mbaya muda haukuwa rafiki. Kesho yake nikasafiri kurudi Mkoa "Z".
 
Both O LEVEL na A LEVEL nilisoma boys sasa kufika chuo nikakutana na vichaa wenzangu tuliosoma nao boys,Nakumbuka tupo lacture room kuna lecturer wa Business mathematics alikuwa anatufundisha sasa sisi tukawa tumekaa viti vya nyuma kabisa huku mbele yetu kuna mademu wakali,Sasa msikaji angu mmoja alisoma HKL alafu course alipata BCOM ACC hesabu alikuwa ananiaminia mimi nitamfundisha kwa sababu Comb yangu mimi ina PURE MATHEMATICS,Jamaa yangu alikuwa mtu wa matani kila mara so wakati mwalimu anafundisha yeye ananiongelesha ujinga ujinga kiasi kwamba ikawa kero hadi kwa wale mabint coz walikuwa hawamsikii mwalimu kule mbele.
Bila kutarajia binti mmoja akageuka nyuma na kutufokea kuwa mbona tunapiga kelele,jamaa yangu akamjibu shombo yule binti ikawa kama kuna tifu linataka kutokea, Ilinibidi kuingilia nikamuambia dada tusamehe sisi hizo calculus hatuzielewi tumesoma HKL,Basi yule dada akaniona mi mstaarabu nimesema ukweli then akatuomba tusipige kelele atatufundisha baada ya kutoka si hapo hapo popobawa nikaomba namba yake.
Baada ya Lecture tukatoka kwa vile ilikuwa jioni hatukuweza kufundishana ikabidi tusepe kwenda cafteria kula.
Wakati tunakula na washikaji nikawaona wale mabint wanaingia mlango wa VIP kwenda kula nikakumbuka kuwa mmoja nilichukua namba yake.Nikamtex mambo vip mimi wa HKL upo wapi ? Akajibu "nipo cafteria ila bora umenitafuta kwa sababu alikuwa hana namba yangu" Akaniambia nijiandae baada ya kula tuende prepo wote ili anifundishe, Kufika prepo akawa anifundisha nikawa naonekana naelewa haraka sana bila kujua kuwa mimi namuigizia kuwa kilaza wa hesabu si akawa ananifundisha then ananipa maswali ya kunitest nikawa nayapata yote, sasa ile kupata akawa anafurahi mpaka anikumbatia na kuniita Genius student.
Kuanzia siku ile akawa anapenda kwenda na mimi prepo ikafika point nikajifanya eti akili za hesabu zimechaji mpaka nikaanza kumpita mwalimu, Aisee kwa kufanya vile alikuwa anavutiwa na mimi kadri ya siku hadi siku ikabidi aanze kuja room kwetu block la ma boys tunaangalia movies mpaka analala na mimi kitanda kimoja.Hapo kwenye kulala napo nikamuigizia kuwa mimi very unique sina manyege ya kijinga sikumsumbua mpaka asubuhi in short upwiru ulinishika ila niliweza kucontrol mizuka tukaamka salama.Kwa kulala nae siku mbili bila kumgusa kiliniongezea marks sana yaani aliona kakutana kijana wa ajabu sana.In short nilijivunia marks kuwa:
1.HKL nilie adopt faster kuipenda hesabu hadi nikageuka kuwa mwalimu wake.
2.Sina papala na mbunye
3.Ni rafiki pekee ambae pale chuoni nilikuwa namuimiza kwenda prepo kumbe mimi namset ajae.
Yote hayo yalikuwa yanatokea ndani ya week ikabidi aniambie ijumaa tutoke twende njee ya chuo tukale maisha kujipongeza urafiki wetu wa ajabu.Ijumaa kufika akamuita dereva wake wa Tax kutufuata tukaenda kula kitimoto na tungi mimi nakula bia yeye st Anna basi baada ya mida akawa kama mixer fulani ananisifia mara anikiss nikasema huyu tayari amesharendemka ikabidi nimshauri tumuite Dereva wa Tax wake atarudishe chuo,kweli akapiga simu wakati tupo ndani ya Tax nashangaa mwenzangu akampa amri dereva wa Tax atupeleke kwenye rodge nzuri pale mjini.Kufika ndani ya chumba tulichopewa nikamshauri aoge ili awe na nguvu kweli nashangaa mwenzangu kavua nguo zote ***** kaja kunivua na mimi tukaingia bafuni walahi yule mtoto alikuwa na tuziwa ambavyo nahisi hata kama akianza kunyonyesha hatuwezi kuwa kama masikio ya mbwa.Nilimnyonya matako,maziwa,masikio,mbunye,mpaka kuoga tukaachana napo nikambeba hadi kitandani yaani alikuwa amelegea kama mzoga.Bao la kwanza likanitoka muda mchache sana nahisi kwa sababu nilikuwa nimempania sana nikajikuta naunganisha mashuti mawili bila injini kuzima.
Tangu siku hiyo akawa ndo couple yangu pale chuoni akawatenga mashoga zake na mimi nikawatenga masela zangu tukawa kila kona ya chuo tunatembea wawili wawili.
HITIMISHO:Huyu binti alikuwa ni wa kishua ni mtoto wa kigogo fulani enzi za muhula wa kwanza wa Mh.KIKWETE ki ukweli nilifaidi sana kwa sababu alinilea pale chuoni mpaka wana wakawa wanaumia alinifanyia birthaday mbili zote kakodisha ukumbi ila kwa mtindo wa suprise(mi sipendi sherehe ila zile part nilizikubali) ilikuwa nimuoe yeye lakini kumbe kipindi chote nilikuwa nina demu wangu ambae tulisoma nae shule ya msingi nilimuacha akiwa mjamzito ikabidi mwaka wa mwisho yule demu nikamuambia ukweli kwa sababu nilijikuta nimeanza kumtesa mchumba wangu ambae nilizaa nae kwa kutopokea simu kisa huyu mtoto wa kishua)
Niliamua kumuoa yule alienizalia na kumuacha huyu wa kishua kwa sababu nilihisi uzuri na mihela yake ingenisumbua mbeleni baada ya maisha ya mahesabu ya chuo kuisha pia nilitaka kumlea mwanangu tukiwa pamoja na mama yake coz hata mimi ni product ya mtoto alie lelewa na mzazi mmoja(mama) sikutaka ijirudie kwa mwanangu na la mwisho na la msingi kuwa NAMPENDA MKE WANGU.
TUMASEHEANE UANDISHI MBOVU WENGINE PCM zimetuharibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gud sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo acha na mimi nilete kisa kidogo, nilikua kila mda nikitaka kuandika mama watoto anatokea na kuniuliza kama huaga nachangia huku inabidi nivunge na nifute. In short hajui kama kuna username yangu JF.

INAANZA
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu mzuri sana ambae tulikua tukiishi mbalimbali yaani yeye yuko dar (college) na mimi niko Dodoma. Sasa kwa sababu ndio nilimpenda sana, nilipata maumivu sana na kuwaza nitatoka vipi, nilikaa single kwa mda wa miezi minne. Baadae nikapata msichana wa kilokole, na kwa sababu na mimi nilikua nasali nae so haikua kazi kwake kunielewa.

Niseme ukweli huyu demu mwanzoni nilimpenda sana na sikuwahi kufanya nae mapenzi maana sikua mtu wa kivile. Baada ya mda akaanza kuleta shida zake za familia na mahitaji mengi, ikumbukwe yeye ako na Boom 100% na mimi niko na 50% lakini yangu ndio tukawa tunagawana yeye yake haijulikani. Huyu dada nikaazimia kumwacha pasipo hata kumlala (kusex) nae, nilimpigia simu nikamweleza kwa upole kabisa kuwa anisamehe sana sitaki nimpotezee mda wake hivo naomba tuvunje mahusiano. Yule dada kiukweli alilia sana na kuwasimulia rafiki zangu namna nilivomfanyia japo huruma ilikua inaniingia lkn sikutaka hata kumrudia.

NAKULA KIMASIKHARA
Rafiki angu mmoja alimchukua yule dada na kumleta hostel akiamini nikimuona nitamuonea huruma, alivofika yule dada alijieleza sana huku akilia sana, huruma iliniingia nikajikuta naanza kumbembeleza na hapo roommates wangu waliondoka kwenda kula. So nikamvutia kifuani nambembeleza na akanyamza sasa kanyamza akiwa kifuani na tuko kitandani, nilianza mdogo mdogo yule dada alikua na nyege sana, nikajikuta nimemkula na bado baada ya tukio lile nilimuacha tena pasipo huruma na sikutaka kumwona tena.

But ile ni miongoni mwa gemu bovu nililowahi kupiga maishani mwangu...

Kisa kingine jioni wife akilala.
Duh mkuu huna huruma kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende kiswahili kidogo Masihara ni mzaha yaani jambo lilikuwa sio la kutofikisha huko ila bila kujijua tumejikuta huko.Mimi ukiangalia kwenye hatua zote nilikuwa nafanya kama matani na maigizo hatimae tumejikuta tumeunganisha vikpjoleo sasa unaposema story yangu haifit nashindwa kuelewa level yako of understanding ipo chini kiasi gani.
Hii sio kula kimasihara mkuu, jaribu tena baadae

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2012 rafiki yangu mmoja ni mwenyeji wa pemba, kipindi akiwa kwao pemba alitumia namba ya dada yake kunipigia. Huyo dada yake alikuwa katuzidi miaka 3, mimi na jamaa tuna umri sawa wote tumezaliwa tarehe sawa. Baada ya maongezi yetu mimi nikafuta ile namba ya dada yake jamaa yangu.

Siku tatu baadae nikapigiwa na ile namba only this time alikuwa dada yake jamaa, alisema tu ananisalimu kama mdogo wake kwamba jamaa yangu anaongea sifa nzuri kuhusu mimi so kaona sio mbaya nikiwa mdogo wake mwingine.
Baada ya hapo tuliendelea kuwasilliana sana huku akinishirikisha mipango yake mingi na mimi nikimpa ushauri na kipindi chote hanifahamu kwa sura wala simfahamu pia, simu yenyewe nilikuwa na ki sony walkman vile vya zamani.

Baada miezi 5 au 6 niko zangu home, hapo nimevusha demu wangu fulani wa kihaya anaitwa rita, nabembeleza round ya pili na rita hataki anadai hajisikii vizuri na drama nyingine kibao mara simu ikaita, napigiwa na dada wa hiyari. Kupokea ananiambia surprise nakuja kukuona leo in person, nikauliza uko wapi kasema ndio anatoka kwa uncle wake upanga na amekuja jana.

Baada ya kukata simu fasta nikaweka fake call, simu ikaita nikajidai naongea na mzee na rita anasikia pale, nazuga "naam mzee,(halafu pouse) nikuandalie funguo za gari unaenda kibamba,(pouse tena) sawa kwani uko wapi.(pouse) ahaa ubungo, sawa utakuta tayari". haha kukata simu rita anaaga anaondoka hataki mzee amkute, nikamsindikiza fasta stand nikarudi mbio nikaoga kwenda tena stand hapo hapo kumngoja dada wa hiyari.

Kafika ndio namuona dada ni mzuri sana, nikajikaza kumkumbatia ila siamini kama nakumbatia binti mzuri vile, ilikuwa ni mara ya kwanza kugusana na mwanamke wa kiarabu. Mida hiyo najua mzee atakuwa karibu kurudi kweli toka kazini na mimi sitaki dada wa hiyari afike home, ukijumlisha kuachwa nusu nusu na rita tamaa ikaanza kuingia.

Nikamwambia umekuja siku nzuri sana utakutana na ndugu zangu kibao leo, akauliza kwa nini nikamwambia kuna kikao cha harusi nyumbani kuna cousin yangu anataka kuoa, akasema leo hajajiandaa kukutana na ndugu na nisijikie vibaya imekuwa ghafla na nini nikasema usijali i understand.

Nikamwambia sasa kuna hotel fulani nafahamiana na meneja ni friend wa bro twende, kufika pale nikasema hebu tuingie ndani mzee anaweza kuja na wenzie kunywa baada ya kikao nyumbani kuisha akakubali.
Kufika ndani baada ya story mbili tatu za kufahamiana rasmi huku tunaangalia the A-team kwenye mp4 player yangu, nikaanza dah hiyo nguo leo kwenye gari watashangaa maana material yake inaonekana inakunjana kirahisi, akasema kweli, nikasema kwani si umevaa nguo ndani, toa hiyo ya nje, akatoa akaweka pembeni akabaki na jeans pamoja na bra.

Huku story zinaendelea na najifanya as innocent as possible yaani, niliona vijispot vyeupe kifuani kwake nikajidai kushangaa "eeh what are those?" huku namshika hapo kifuani,akasema ni aleji ya samaki. nikawa kama naviangalia kwa makini nimesogea kaabisa huku nafanya ku caress vilipo, taratibu nikaanza ku caress na shingoni eti natafuta vingine, mara mgongoni, nikasogea kama naangalia kitu shingoni kwake, nikamramba sikio akanikumbatia kwa nguvu nikajua baasi huyu kaliwa. Nikaanza rasmi sasa kucheza na mwili wake, nikaanza ku lick sikio, nikashuka shingoni huku kwenye side, nikamvua bra nikawa nalick them nipples na hapa kati ya maziwa, mkono mwingine nikamfungua jeans ila sikuitoa, nikawa na caress her P hadi nilipoona anazidiwa ndio nikamtoa jeans na tight.

Nikaendelea kumchezea kila sehemu, rub her clit up and down slowly, some times na make contact na my D like am teasing her kama nataka ku penetrate but siendi all the way in...nimefanya hivyo kama 40-50 minutes, soon after akaanza kubeg nianze mechi na kunipa ushirikiano mzuri tu, zikapigwa goli tatu bed la nne likaenda pigwa bafuni wakati wa kuoga, alikuwa vizuri bed yule binadamu sijapata ona. yuko top 3 yangu ya binadamu bora kwenye mechi wa muda wote kuwahi kuwala.

Sasa baada ya kumaliza tumetoka kuoga si kaanza kulia aisee, namuuliza vipi hasemi ananiangalia tu kisha anainama chini analia zaidi nikaona dah nishakufa mimi. Huyu atakua analia sababu anajua kaathirika sasa ananionea huruma mimi bado kijana mdogo ndio nakufa hivi. Nikaanza kupagawa pale kimya kimya, nikawa nahisi nakonda tayari.

Baadae nimefanikiwa kumbembeleza ndio ananiambia hajawahi furahia sex ile ndio mara ya kwanza, zaidi aliapa haji sex na mtu amabe ni mdogo kwake kiumri, sasa mimi kila alichoapa nimevunja kwanza ni mdogo kwake miaka 3, afu nimemla siku ya kwanza kuonana hajawhi fikiria itatokea hiyo na zaidi kwa mara ya kwanza kafika climax tena multiple times, kaujua utamu wa sex kwangu ndio akajikuta analia.Nilikubali ila sikuwa na amani hadi nilipopima na kukuta niko negative..

Wakati tunaenda stand akapande gari arudi upanga njia nzima wananishangaa mtu nilie nae, wahuni wanapiga miruzi utadhani ni mwaka mpya hadi anauliza kwani tukoje mbona wako hivi hao vijana. Wiki iliyofuata akaenda India kusoma na mawasiliano yakafia hapo.
Huu uzi ukisoma unaloa
 
Back
Top Bottom