Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Pamoja na roho mbaya za mods
Kila wakati kufanyia usafi uzi huu
Usafi usiohitajika kisa wivu wao
Bado umeweza kuendelea uzuri
Muda si muda utafikisha elf sita
Na bado mabaharia wapo kazini
Wanaendelea kushusha nondo
Nondo moto kama hawana akili
Mhuni rikiboy popote ulipo leo
Shangilia sana maana umejenga
Ndio! Umejenga kijiwe bora sana
Wadau na mabaharia wanakutana
Wanawake kwa wanaume wajadili
Wasichana kwa wavulana wasema
Wanayasema waliyokutana nayo
Wakajikuta wanakulana bila soni
Hakuna cha mtongozo wala usemi
Ni kuvuana vificha uchi na kukazana
Wengine wakaenda hadi kuwa ndoa
Wengine ni one night stand matata
Mradi kufurahia uumbaji wa Mola
Yaisha yaendelee kwa furaha tupu
Kama kitabu chetu enzi zetu zile
Someni kwa furaha! Taabu za nini?
Tukutane kijiweni tiyajadili ya kwetu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
Hii ndo side effect ya huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nimejikuta naloana kbs nilikuwa class , du mpk nimetoka kwenda kujitawaza kbs ...unajikuta tu unatamani kuingiziwa dushelee lkn ndio hivyo[emoji2958] ..unanyamaza unakuwa kauzu

Sent using i phone x
Usife na tai shingoni jamani mamiiii... washirikishe wadau wakusaidie maisha yenyewe ndo hayahaya hakuna mengine tena.
 
Pamoja na roho mbaya za mods
Kila wakati kufanyia usafi uzi huu
Usafi usiohitajika kisa wivu wao
Bado umeweza kuendelea uzuri
Muda si muda utafikisha elf sita
Na bado mabaharia wapo kazini
Wanaendelea kushusha nondo
Nondo moto kama hawana akili
Mhuni rikiboy popote ulipo leo
Shangilia sana maana umejenga
Ndio! Umejenga kijiwe bora sana
Wadau na mabaharia wanakutana
Wanawake kwa wanaume wajadili
Wasichana kwa wavulana wasema
Wanayasema waliyokutana nayo
Wakajikuta wanakulana bila soni
Hakuna cha mtongozo wala usemi
Ni kuvuana vificha uchi na kukazana
Wengine wakaenda hadi kuwa ndoa
Wengine ni one night stand matata
Mradi kufurahia uumbaji wa Mola
Yaisha yaendelee kwa furaha tupu
Kama kitabu chetu enzi zetu zile
Someni kwa furaha! Taabu za nini?
Tukutane kijiweni tiyajadili ya kwetu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe am not cheap us u think .......kawatafute wale wa bao moja book

Sent using i phone x
Dada yangu wala usiwe mkali kihivyo mbona hizi ni story za kawaida tu dada yangu...... Halafu maisha yetu haya ni ya furaha tu hususan humu jamii forum basing on the fact that we do not know each other. Lakini kubwa zaidi kufahamiana kunaweza kuanza popote hata hapa jf maana kuna watu wa maana na wastaarabu kama ulivyo wewe dada yangu. Kumbuka watu hufahamiana misibani, kwenye madaladala, mwendokasi, makanisani, bar, disco na kadharika na huko kote kuna mahusiano bora kabisa mengine yanayozaliwa kuliko popote pale unapodhani panaweza toa mahusiano bora hata ya kindoa.

Nisamehe Madam Bahati kama nimesema lililobaya hapa!
 
Yani chai yako tangawizi imezidi imebidi niishie katikati umesoma comment za watu nyingi ukaunga unga story shame on yah


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa jinsi ninavyo wafahamu wananzengo wa Malimbe sidhani kama mkuu kadanganya.
 
Back
Top Bottom