Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Dah umenikumbusha Facebook nilikulaga demu mmoja mkali sana alikuwa anaishi UK. Tulikuwa tunachat ujinga ujinga miaka karibia miwili wala hatujuani demu alikuwa anaishi UK ila she is from Mikocheni. Kama mtapendezwa nitawapa story yake nilivyomla aliporudi Bongo one time na kuondoka
Tupia mkuu!! We tupia tu!!
 
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa chuo nilikua mdada flani hivi wa kawaida sanaa ikitokea umenifahamu ila kwa appearance ya nje watu wengi walikua wakinichukulia tofauti...wengi walikua wanasema naringa mara natoka na watu washua kumbe wapi maskini[emoji28]....ss kutokana na hiyo situation nilikua na small circle ya marafiki inshort nilikua naongea na wengi kwa story za juu juu ila sikua na rafiki...ktk maisha yng ya chuo wazaz wangu haikua haba sana kwa vimatumizi vya hapa na pale na nilikua na boyfrnd ambae alikua na kasoro zake nyingi tu ila kwny kunihudumia hakuwahi kua na shida ila tulikua mikoa tofauti deep inside mm ni type ya mdada ambae nikipenda napenda so nilikaa pale chuo almost miaka2 sijawahi kua na mvulana yyt yule na nilikua niktongozwa nakataa sababu ya kumlindia heshima mshkaji nliekua nae incase akiwa anakuja nisimchoreshe kwa watu (au tuseme nilikua nampenda tu[emoji1])...kutokana na kua napewa vijisenti vilivyokua vinanitosha bas nilikua nakula bata zangu ndogo ndogo mwenyewe km kujipeleka club sometimes si unajua maisha ya chuo[emoji28] au saa zngn sehem za kunywa kdg nakula nyama nakodi bajaj narudi room

Sasa bwana kuliwa kimasihara kulikuja vipi[emoji28]!
Wakati maisha yanaendelea yule boyfrnd wng kuna vingi alikua akinikwaza ila namezea tu sababu nampenda maana mara upoge cm iko busy mara asipokee yaani ilimradi fujo tu sema nikawa naumia kindani natulia sina jinsi sasa kuna siku nikajisemea tu ngoja nitoke leo nikapate bia mbili tatu nile na nyama nirudi kupumzika.... wakati nipo pale nikakutana na mkaka "X" huyu mkaka nilikua nasoma nae na tuna mazungumzo ya juu juu salamu na utani kwa mbali sanaa alikua anapenda kuniambia we unajitoaga mwenyewe mwenyewe mshua gani anakuweka mjini ww? Nsishia kucheka napotezea siku zinaenda?

The guy serious alikua very handsome and attractive sema alikua sio mtu wa mademu sana sababu alikua anapenda pombe na marafiki ht ile cku alikua na rafki zake ila alivyoniona pale ndio akaja pale kunizingua na kunisalimia basi tukaishia kupiga story nyingi sana akanikumbushia jinsi alivyokua mwenyewe anaita "kujipendekeza kwangu 1st year nikawa najifanya kumpotezea na nn tukawa tunacheka tu mara ghafla nikashangaa nimepata crush ya ajabu kwake yaan nikaacha hadi kunywa nikawa namzingatia kila akiongea ndio nikawa close naubaini uzuri aliobarikiwa aisee i found out yule kijana ni mzuri bwanaaa! Mi hata sipendagi kubit around the bush nilimwambia direct "X" unajua kua your very goodlooking and handsome?? Akacheka akidhani namtania nikamwambia am serious akasema mbona ulikua unanikataa tangia mwanzo nikamwambia achana na yaliyopita!

Wakuu nikamwanbie it will be my pleasure km ntaspend a night with u dizaini km alishtuka akatafakari kwa mudaaa then akasema sawa but kwa nn tusifanye kesho? Nikamwambia naomba iwe leo akakubali sababu ya tamaa nadhani🤣 sababu mimi nae si haba nina umbile la kiafrika jamani[emoji23]!

That night was the best in my life jamani hv wadada ulishawahi kutana na kijana ambae akivua nguo ndio anazidi kuvutia🤯 basi ni huyu kaka...alikua ana rangi flani hv ya maji ya kunde mrefu ananukia vzr jmn japo alikua amekunywa ila his mouth smell good.....tulifanya sex usiku mzima non stop mpk asubuhi...asubuhi akaomba tena nikampa then nikaoga na yy akaoga tukawa njiani tunacheka tu mi nikaenda room kwangu na yy alienda room kwao!

Kufika kwangu nikadhani atapotezea so binasi na mm nilikausha since that day akawa ananitafuta like everytime...caring na huduma zote km a girlfrnd nilikuja kushangaa how caring he is tofaut nlivyokua namdhania akaja kuniambia ile siku ya kwanza nilisita sabsbu nilihisi lbd una UKIMWI unatska unilambe nao aisee tuliendelea na mahusiano na tulipendana mnooooo ukizingatia tulikua na vitu vingi tuna match!

Mpk ss hv natype ni tulimaliza chuo tukakaa km mwaka na nusu hv akaja nyumbani wakamtambua japo mm alinipeleka kwa mama yk muda kidogo....process zilifatwa tukafunga NDOA takatifu na tuna 2 beautiful kids together!

NB:Haya maisha wanaume mnawapa presha wadada sijui wawe hv mara vile ili ndio muwaoe jmn mpunguze mimi na baba chanja wangu tunajinywea zetu pombe pamoja🤣🤣 kipindi cha mimba ananywea nyumbani! Tukiwa free tunatinga km vijana tunaenda kuserebuka km kawa ukituona km mtu na hawara kumbe ni WANANDOA maisha yanaenda huko nyuma tulifanya makosa km kutoa mimba 2 na mengine ila nna imani Mungu wa huruma alitusamehe!

Am proud to be his wife[emoji56] hata yy naskiaga anasema mke wangu alikuja kwangu km masihara ila amefanyika baraka maishani mwangu

Nawaonea huruma hawa watoto wetu sijui watafanya kipi kipya tusichokijua jamani[emoji28][emoji28]

Mtanisamehe kwa story ndefu na uandishi ambao sio mzuri sana wengine hatujasomea jmn mwe[emoji13]
 
Dah umenikumbusha Facebook nilikulaga demu mmoja mkali sana alikuwa anaishi UK. Tulikuwa tunachat ujinga ujinga miaka karibia miwili wala hatujuani demu alikuwa anaishi UK ila she is from Mikocheni. Kama mtapendezwa nitawapa story yake nilivyomla aliporudi Bongo one time na kuondoka
Tupe story braza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe tuepeeeeeeee mkuu
Dah umenikumbusha Facebook nilikulaga demu mmoja mkali sana alikuwa anaishi UK. Tulikuwa tunachat ujinga ujinga miaka karibia miwili wala hatujuani demu alikuwa anaishi UK ila she is from Mikocheni. Kama mtapendezwa nitawapa story yake nilivyomla aliporudi Bongo one time na kuondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe story braza

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu demu alikuwa anasoma UK na baada ya kumaliza akabaki huko huko kuendelea na Maisha. Sasa nilikuwa nimemfollow FB tukawa tunachat inbox mpk baadae tukawa tunaongea mambo ya chumbani.

Nikawanamwambia mie ni mtaalam sana wa chumvini yaani nilikuwa nachat nae mpk ananiambia ameloa chapachapa. Basi tukaendelea hivyo miaka miwili. Sasa kuna siku akasema anarudi TZ na anataka kukutana na wewe hata nikuone live. Me nikamwambia poa na kipindi hicho naishi Moro so siku anarudi akaniambia anakuja Dar anatua na KLM so nije kumpokea airport atazuga kwa ndg zake kuwa ameagizwa mizigo yangu

so siku hiyo nikaja Dar nikachukua hotel moja hivi mitaa ya Shekilango baadae mida ya ndege kutua nikajivuta airport babaake hapo demu sijawahi kumwona live Zaidi ya mapicha na videos alizokuwa ananitumia FB. Dar aliposhuka kwenye ARRIVAL point mzee kawaacha ndugu zake akaja straight kwangu kunikumbatia ndio baadae ndg zake wakaja kumsalimia.

Basi mzee akanikabidhi kiparcel changu akaniambia akiweka namba ya TZ atanicheki jinsi ya kuonana. Jioni yake akanicheki na kuniambia atakuja hotel niliyofikia kesho yake. Usiku ule nilipofika hotel nikafungua kile kiparcel nikakuta kaniwekea perfume mbili Lacoste White na Creed pamoja na boxer tatu na saa moja kali. Vile vitu nadhani vilimgharimu kama milioni hivi. Ingawa nilikuwa najua kabisa kuwa nitamgegeda ila nilikuwa bado nina wasiwasi maana demu alikuwa ni mzuri na kwao wana mkwanja haswa.

Asubuhi nimeamka nikakuta amenitumia msg anaomba direction aje hotelini. Mzee baba nikamwelekeza na saa nne naona Range Rover Sport inaingia mie nilikuwa namsubira reception mdada akashuka yaani wakati napanda nae ngazi kwenda room njiani anatamani anikiss nikawa namzuia ile tumefika room tu kuingia kabla hata sijafunga mlango alinurukia nakuanza kulana denda. Mzee nilimsogeza mpaka bed nikampandisha kigauni juu nikamtoa skini tight nikaanza kula chumvi. Mzee nilipiga chumvi muda mrefu mpk demu akawa kama kapoteza network nilimla chumvi mpk ulimi ukawa kama umekufa ganzi hivi. Nilifanya hivyo kwa kuwa niliwahi kujisifia sana kuwa mie mtaalam sana wa chumvini kwenye chat za FB . Nilimla yule demu siku 2 pale hotelini ndio baadae tukaondoka akadai kuna ndugu zake wametoka mkoa wamekuja kumsalimia baada ya kusikia karudi. Aliniambia alikuwa hajatiana miezi sita. Keshaolewa now na ana watoto wawili
 
Heshima ni kitu cha bure ndugu km ndoa za kwenu wanafanyaga hayo basi kwa taarifa fupi sisi ni wakristo tunaoheshimu maandiko hatuwezi fanya dhambi ya makusudi km hiyo!
Kule umesema "watafanya kipi msichokijua" kumbe nimepatia hicho hamkijui.
 
Back
Top Bottom