Ulishawahi kula tunda kimasihara?
nitumie hiyo picha dm na mimi nikaweke profile
Kisa changu na mlokole wa FB

Siku moja nikaweka profile picture mpya Facebook, a quote kutoka kwa philosopher mmoja anaitwa Epicurus ikihoji kama is God is so powerful, why doesn't he stop evil. Nimeamka zangu asubuhi napitia fb inbox nakutana na message kali kutoka kwa binti mmoja kwenye friend list lakini wala hatujawahi kufahamiana. Alikuwa suggested nikamuongeza tu. Message kama 5 hivi, anadai why are you mocking my God, am very offended blah blah blah. Nikamjibu ,"relax, I have not killed your God". Halafu nikapotezea.

Baadae naona message tena, nikasema ngoja nipitie profile yake. Kuchek, picha zote ni za wachungaji wakubwa wakubwa, hakuna picha yake hata moja. Tukaendelea kuchat siku ile, yeye amekazana toa hiyo picha, mimi namwambia, kama wewe unavyotumia uhuru wako kuamini; mimi nautumia kutoamini! Kwahiyo ngoma droo. The next day message tena, "Unanikwaza sana, mbona hujatoa picha". Nikajisemea huyu binti anachokitafuta atakipata. Nikamwambia akitaka niitoe, itabidi anifundishe neno upya na kunibatiza. Akaruka, mimi sio mchungaji. Nikamwambia basi wewe nifundishe tu, njoo home unipe neno nione kama naweza rudi huko. Akaniambia ana safari ya Rwanda, hawezi kuja. Kumuuliza kwani wewe sio Mtanzania, akaniambia mama yake Mnyarwanda, baba mchaga so ni Mtanzania kama mimi. Nikawaza tu combination ya mchaga na mnyarwanda lazima itakuwa kali hata kama picha sijaona. Am on the right track hapa. Akaniambia we will see when am back.

After two weeks ananicheck kwamba she's back in town. Well and good, so unakuja lini, akaniambia she will let me know. Siku moja usiku, naona message; nakuja kesho. Dah, mzee mzima niko 3rd year and nina test moja hiyo kesho. Nikamwambia poa, nikamtumia namba. Kesho asubuhi, nikatimba dispensary kwanza nipate cheti cha kuombea special test;. hakuna namna nilikuwa namuacha huyu mtoto. Nikapitia mazagazaga, nikarudi home. Pika msosi, kidogo naona simu anauliza nishukie wapi. Nikamwelekeza, kituoni kuna boda boda mshikaji, akamleta. Kufika nikaona kifaa black beauty, mrefu hivi na shape zile zile za majirani.

Tuka-exchange niceties pale, tukabishanaaaa kuhusu mambo ya religion believes, history of the church etc etc, huku mimi nawaza tu huu mzigo naukulaje hapa. Baada ya muda nikamkaribisha chakula, tukala fresh; nataka kutoa vyombo, aka-offer kuvitoa na kuosha. Nikasema huku huku jikoni hatoki. Ameingia tu nikamfuata kujifanya nataka kumsaidia, nikasimama nyuma yake; na alivyokuwa mrefu hamna hata kuinama; nikamnong'oneza nikimsifia nywele zake akacheka akanipa asante. Nikamshika juu ya kiuno, nikaona amestuka kidogo, akaacha na kuosha vyombo; kumbe kichupa kimejaa. After some kissing, sketi iliinuliwa, akashikishwa kikabati cha jikoni, likapigwa moja. Tukaenda kuoga, then mambo yakaendelea room. Jioni binti akarudi kwao, akanitumia tu text, thanx for the pleasurable afternoon.

Tuliendelea kuwasiliana for sometime, mambo ya profile picture yalishawekwa pembeni. Siku moja ananiambia nakuja kukusamilimia, tukafanya yetu. Afterwards ananiambia, alikuja kuniaga, she's going to Belgium kwa aunt yake kusoma chuo. Alipofika alikuja kunimbia, afadhali aliondoka TZ, mimi ningemwaribu akili. Right now ameolewa na watoto wake wawili huko Antwerp.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nitumie hiyo picha dm na mimi nikaweke profile

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha.... kuna watu hawaipendi sana hii

8609rrks1l411.jpg
 
Semester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
Laptop mwaka 2000? Kwel umetokea ushuani
 
inaendelea sasa
nimetoka kula tunda kimasihara sasa hivi...

jana usiku nimetoka zangu niende kupata dinner..

itaendelea,anatoka bafuni...nimle cha mwisho niwahi ibada.

Sent using Jamii Forums mobile app
jana nimetoka zangu niende kupata dinner pahala,nimefika hpo nimechagua meza....nikaagiza wali samaki na pembeni nikaagiza supu ya pweza na juice ya tende,ilikua baada ya kutoka zangu gym..

Mara akaja binti akakaa kwenye hiyo meza naye akaagiza...nikamchombeza,akanishangaa mbona unakunywa supu ya pweza una mgeni nyumbani??...nikasema hapana,niko mwenyewe tu...mara story mbili tatu nikaomba number nikamaliza kula nikaondoka zangu,nafika nikamtext,nimefika mrembo...tukaanza chat,nikamtania supu ya pweza inanipeleka mbio,mboo imesimama ngumu kama nyundo ya mpasua kokoto..njoo nisaidie ilainisha,mara taaaa uko wpi kwani....utani utani akaja,nikalipia lodge,nimekula mzigo the whole night na ile asubuhi ndio alikua kaingia kuoga...nikawapa intro kimasihara..katoka kuoga nikamuungia yaani tumeachana kimasihara siyo muda mrefu hapa...

nimekula tunda kimasihara tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inaendelea sasajana nimetoka zangu niende kupata dinner pahala,nimefika hpo nimechagua meza....nikaagiza wali samaki na pembeni nikaagiza supu ya pweza na juice ya tende,ilikua baada ya kutoka zangu gym..

Mara akaja binti akakaa kwenye hiyo meza naye akaagiza...nikamchombeza,akanishangaa mbona unakunywa supu ya pweza una mgeni nyumbani??...nikasema hapana,niko mwenyewe tu...mara story mbili tatu nikaomba number nikamaliza kula nikaondoka zangu,nafika nikamtext,nimefika mrembo...tukaanza chat,nikamtania supu ya pweza inanipeleka mbio,mboo imesimama ngumu kama nyundo ya mpasua kokoto..njoo nisaidie ilainisha,mara taaaa uko wpi kwani....utani utani akaja,nikalipia lodge,nimekula mzigo the whole night na ile asubuhi ndio alikua kaingia kuoga...nikawapa intro kimasihara..katoka kuoga nikamuungia yaani tumeachana kimasihara siyo muda mrefu hapa...

nimekula tunda kimasihara tena

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂unatisha mkuu hufai kabisa ani
 
inaendelea sasajana nimetoka zangu niende kupata dinner pahala,nimefika hpo nimechagua meza....nikaagiza wali samaki na pembeni nikaagiza supu ya pweza na juice ya tende,ilikua baada ya kutoka zangu gym..

Mara akaja binti akakaa kwenye hiyo meza naye akaagiza...nikamchombeza,akanishangaa mbona unakunywa supu ya pweza una mgeni nyumbani??...nikasema hapana,niko mwenyewe tu...mara story mbili tatu nikaomba number nikamaliza kula nikaondoka zangu,nafika nikamtext,nimefika mrembo...tukaanza chat,nikamtania supu ya pweza inanipeleka mbio,mboo imesimama ngumu kama nyundo ya mpasua kokoto..njoo nisaidie ilainisha,mara taaaa uko wpi kwani....utani utani akaja,nikalipia lodge,nimekula mzigo the whole night na ile asubuhi ndio alikua kaingia kuoga...nikawapa intro kimasihara..katoka kuoga nikamuungia yaani tumeachana kimasihara siyo muda mrefu hapa...

nimekula tunda kimasihara tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemlipa Shiling ngapi? That bitch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inaendelea sasajana nimetoka zangu niende kupata dinner pahala,nimefika hpo nimechagua meza....nikaagiza wali samaki na pembeni nikaagiza supu ya pweza na juice ya tende,ilikua baada ya kutoka zangu gym..

Mara akaja binti akakaa kwenye hiyo meza naye akaagiza...nikamchombeza,akanishangaa mbona unakunywa supu ya pweza una mgeni nyumbani??...nikasema hapana,niko mwenyewe tu...mara story mbili tatu nikaomba number nikamaliza kula nikaondoka zangu,nafika nikamtext,nimefika mrembo...tukaanza chat,nikamtania supu ya pweza inanipeleka mbio,mboo imesimama ngumu kama nyundo ya mpasua kokoto..njoo nisaidie ilainisha,mara taaaa uko wpi kwani....utani utani akaja,nikalipia lodge,nimekula mzigo the whole night na ile asubuhi ndio alikua kaingia kuoga...nikawapa intro kimasihara..katoka kuoga nikamuungia yaani tumeachana kimasihara siyo muda mrefu hapa...

nimekula tunda kimasihara tena

Sent using Jamii Forums mobile app



Duuu hii kweli kimasihara 100%...ulitumia ndom lakini mkuu???

Ila wanawake wana hatari sana aisee. Ebu ngoja na mimi nilete masihara yangu nyingine.
 
duuh mabaharia bahati hizi mnaziokota wapi
Zipo kila sehemu sema tu "Luck favors the bold"

Mwaka jana siku ya Xmass madogo walikuwa kunitembelea home. In the evening nikawa nawarudisha kwao. Sasa karibu na kwao, tukakuta njemba na demu kama wanabishana hivi. Nikawafikisha madogo home, nikageuza; mara namkuta yule demu yuko peke yake. Nikampita, nikaona ngoja nijaribu bahati yangu. Nikarudisha gari nyuma. Dada habari, twende nikusogeze, nikaona anajishauri shauri. Akaniuliza kwani unaenda wapi? Nikamwambia, popote unataka kwenda nitakufikisha.

Mara mtoto kaingia, amelewa chakari. Namuuliza unaenda wapi, hajui! Duh, nikaondoa gari. Tumefika mbele kidogo, jamaa anapiga simu; demu wacha aanze kufoka, wewe unaniacha barabarani mtoto mzuri kama mimi ulidhani nitakosa wa kunichukua. Jamaa anajitetea alienda kuchukua ndom. Tumefika mbele kidogo, akakumbuka mtaaa anaokwenda, bahati nzuri naujua.

Tumeenda kidogo jamaa anapiga simu kweli kweli, nikaona hili linaweza kuwa balaa! Nikamfikisha mtaani kwake, nikachukua tu namba nikasepa. Nilikuja kumla mwaka mpya.
 
Zipo kila sehemu sema tu "Luck favors the bold"

Mwaka jana siku ya Xmass madogo walikuwa kunitembelea home. In the evening nikawa nawarudisha kwao. Sasa karibu na kwao, tukakuta njemba na demu kama wanabishana hivi. Nikawafikisha madogo home, nikageuza; mara namkuta yule demu yuko peke yake. Nikampita, nikaona ngoja nijaribu bahati yangu. Nikarudisha gari nyuma. Dada habari, twende nikusogeze, nikaona anajishauri shauri. Akaniuliza kwani unaenda wapi? Nikamwambia, popote unataka kwenda nitakufikisha.

Mara mtoto kaingia, amelewa chakari. Namuuliza unaenda wapi, hajui! Duh, nikaondoa gari. Tumefika mbele kidogo, jamaa anapiga simu; demu wacha aanze kufoka, wewe unaniacha barabarani mtoto mzuri kama mimi ulidhani nitakosa wa kunichukua. Jamaa anajitetea alienda kuchukua ndom. Tumefika mbele kidogo, akakumbuka mtaaa anaokwenda, bahati nzuri naujua.

Tumeenda kidogo jamaa anapiga simu kweli kweli, nikaona hili linaweza kuwa balaa! Nikamfikisha mtaani kwake, nikachukua tu namba nikasepa. Nilikuja kumla mwaka mpya.
Haa ha ha... Balaa sanaa mwana angekusakaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo kila sehemu sema tu "Luck favors the bold"

Mwaka jana siku ya Xmass madogo walikuwa kunitembelea home. In the evening nikawa nawarudisha kwao. Sasa karibu na kwao, tukakuta njemba na demu kama wanabishana hivi. Nikawafikisha madogo home, nikageuza; mara namkuta yule demu yuko peke yake. Nikampita, nikaona ngoja nijaribu bahati yangu. Nikarudisha gari nyuma. Dada habari, twende nikusogeze, nikaona anajishauri shauri. Akaniuliza kwani unaenda wapi? Nikamwambia, popote unataka kwenda nitakufikisha.

Mara mtoto kaingia, amelewa chakari. Namuuliza unaenda wapi, hajui! Duh, nikaondoa gari. Tumefika mbele kidogo, jamaa anapiga simu; demu wacha aanze kufoka, wewe unaniacha barabarani mtoto mzuri kama mimi ulidhani nitakosa wa kunichukua. Jamaa anajitetea alienda kuchukua ndom. Tumefika mbele kidogo, akakumbuka mtaaa anaokwenda, bahati nzuri naujua.

Tumeenda kidogo jamaa anapiga simu kweli kweli, nikaona hili linaweza kuwa balaa! Nikamfikisha mtaani kwake, nikachukua tu namba nikasepa. Nilikuja kumla mwaka mpya.
dah itabidi ninunue gari aisee
 
Back
Top Bottom