Nilipokula mchepuko wa Boss kimasihara...
Ilikuwa 2018 Wikiendi moja nikiwa hom nimepumzika afu wife hayupo kaenda likizo mkoani kwao, nikajiskia Uvivu kupika. Nikaona isiwe tabu, acha niende center huko nikatafute sehemu nipate msosi.
Kufika center nikaamua niingie Bar moja kubwa ina msosi mzuri nile afu nipate kinywaji kidogo, then niende hom nikalale.
Ile naingia tu, namuona Boss na mchepuko wake wamekaa Meza flani afu Boss kaniona akaniita kwa ishara maana kelele za mziki kubwa.
Nikaagiza msosi ndizi nyama, tumekaa pale Bar mpaka mida ya saa 5, Boss akapigiwa simu kunadharula kwake.
Mchepuko ukamwambia bado unajiskia kupata kinywaji maana alikuwa anakunywa wine imemkolea, nikajua tu huyu demu genye zishamuanza hataki kuondoka bila mkuno. Boss akauachia pesa kiasi, afu akaniomba niupe lifti kwenye kiStarlet changu mpaka hom kwa dem afu ndo nisepe kurudi kwangu, maana njia ya kwa mchepuko ndo hiyo kwenda kwangu.
Kufika sa6 na robo usiku demu yupo hoi kwa kilevi akasogeza kiti karibu yangu akaniegemea begani, afu anajifanya kunilalia kabisa mara anishike Kidevu mara astuke ananibusu.
Nikaona hii sasa ishakuwa noma, nikamwambia demu "umelewa sana acha nikurudishe kwako", akanijibu siwezi kulala labda unipeleke...
Mmmh... Machale yakanicheza, nikaona Leo nimepatikana ila ngoja nione mwisho... Nikamuinua akawa anayumba hatari, akawa amenikumbatia kiulevi huku namkokota mpaka kwenye gari, nikawasha gari tukaanza mwendo, ila njiani akawa anishikashika kifuani mpaka akaleta mkono kwenye dudu, nikasema Huyu kuna kitu anataka leo sio bure.
Kufika kwake akatoa funguo nimsaidie kufungua mlango, ile kushuka akanikumbatia akawa anataka denda mara ananibusu shingo mara sikio yaani fujo tu..
Nikamvuta ndani kwake nikafunga mlango, piga denda, nikamvua suruali piga dole wee, naona demu anataka dudu maana muda wote kaingiza mkono kwenye suruali yangu anachezea dudu.
Mzee nikauza mechi, nikapiga mashine bila ndom mpaka alfajiri ya sa11 ndo nastuka nipo kwa demu.
Hata sikumuamsha hapo amelala fofofoo... Nikasepa kimyakimyaa, ila nikajuta kuuza mechi maana Boss ni kiwembe hatari... Hadi Leo nikikutana na Boss naona noma sana!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app