Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nilivyomla Mke wa mtu kimasihara

2 years back,nilikuwa nasoma chuo ,nakumbuka kuna kipindi nilikuwa na stress za masomo sana,nikatafuta namna ya kuzipunguza
Baada ya kuwaza kwa muda mrefu jinsi gani ntapata papuch ya kupoza joto kidogo ,Mara nikapata jibu,nilitunga theory yangu ambayo iliniletea positive result,niligundua "maneno yatokayo kwa mwanamke yanawiana (reflect) akili na tabia yake"
Baasi nikazama fb kwenye magroup ya story za mapenzi kuangalia demu aliyekoment sexual komenti
Mara nikaona koment moja kutoka kwa mwanamama age kama 40 hivi, koment ilikuwa ya kimahaba haba akifulahia hadith ile
Nikazama pm kwake,nikaamza kumsifia akashukuru
Then nikamwambia kwa uzuri alionao natamani siku moja nimuone live,akasema atanistua akipata muda
Wikiend ilipofika akanitumia sms akiniuliza ashuke kituo gani?
Nikasema huyu lazima nimle japo ni mkubwa kwangu ,nikajikoki kwa sababu nilijua yeye ni mzoefu zaidi yangu,nikaingia kwa mangi kununua tangawizi ya kutafuna,jamani tangawizi inaongeza libido(hamu)
Baada ya nusu ya akawa amefika ,nikaenda kumpokea ,
Njian nikakutana na washikaji ninajuana nao wakaniuliza huyu nani ,kuondoa soo nikawajibu ni sister yangu kaja kunisalimia

Aisee ile tunafika chumbani yule mother akaanza kupunguza nguo ,akabakiwa na tight na sidiria ,nilipoona hivyo nikaona hakuna haja ya kupiga story
Mzee nikampiga tachi kalainika ,nikazama chumvin kama lisaa hivi ,kuna muda alinishika kichwa kwa nguvu nikagundua anakojoa,baadae nikazamisha ndani daa kulikuwa kumelowa hatari ,mpaka shuka lilikuwa na ramani ,nikapiga vinne safi ,nilipoona kaishiwa nguvu nikaenda dukani kununua peps big nikampa akanywa,hapo ilikuwa mida ya saa 4 night ,akaniambia anataka kulala atarudi kwake asubuh coz mmewe hayupo na watoto wapo boarding,baasi nikamwacha apumzike,tukalala
Baadae saa 11 nikahisi kama nashikwashikwa ,nikajiongeza kuwa anataka cha asubuhi,nikazama chumvini tena, baada na dakika 20 nikaanza kupamp ,nikapiga viwili,baada ya hapo akaenda kuoga ,nikamsindikiza stendi
Since then kila weekend alikuwa anakuja getto,washikaji walipogundua wakaanza kunicheka
Nb,huyu mama alinifanya nisiwe na demu chuo,yaan videmu vya chuo nilikuwa naona kama vitoto,wakati tunashare age,
Nimekumis mnyaturu Wangu,much love

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna sehemu umeandika kuwa umeenda dukani kununua 'pepsi big'! Hivi two years back kama ulivosema kulikuwepo na pepsi big?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiwa tumebakiza miezi 11 na siku 28 kuumaliza mwaka huu wacha nami nilete kisa cha kukula kimasikhara.

Mwaka 2016 nikapewa jukumu na ofisi niliyokuwa nikifanya kazi wakati huo nikiwa kituo cha Bukoba, nilitakiwa nikafungue tawi Arusha na hivyo nilitakiwa nirudi Mwanza ilinikawachukue staff wengine twende nao, nilifika Mwanza na kesho yake tukaanza maandalizi, siku iliyofuata asubuhi mapema nikaambiwa staff wenzangu tutakutana nao Nyegezi, nimefika nikakutana na wadada wawili mmoja wa kawaida na kengine ni kakali kweli.

Muda wa safari umefika, chuma ikanyanua, ikumbukwe mie nilikaa upande wa dereva siti ya upande wa kolido na huyu dada mkali alikaa upande wa kushoto upande wa kolido pia kwa hiyo tulikuwa tunatenganishwa na njia. Tumetembea mpaka shy ndo kunaanza kupambazuka ndo nikajionea utukufu wa Mungu, kilichonichanganya zaidi ni kuwa huyu dada alikuwa kapiga kisket flani kifupi halafu kina mpasuo wa mbele upande wa kulia (nilikokaa mie) sasa hali ile iliniweka pagumu maana ule weupe wa lile paja na ndo kilevi chetu wasukuma, nilitembea nikiwa vibaya.

Mida ya usiku wa mwanzo mwanzo tukaingia arusha tukachukua usafiri mpaka eneo tulilotakiwa kwenda na hapo maisha yakaanza, nina bahati mbaya ya kupuuza mambo sana hasa yasiyo na faida ya moja kwa moja. Tukiwa watatu boy niko mwenyewe walifanya kazi zote hadi kunifulia maana tuliishi nyumba moja. baada ya miezi mitatu yule dada mbovu akawa anaumwa mara kwa mara baada ya vipimo ikabainika ujauzito wake unashida na hapo ndo nikajua kuwa alikuwa mke wa mtu na alitakiwa arudi kwake ili awe karibu nafamilia yake

Baada ya yule dada kuondoka tukabaki mie na huyu dada mkali, ile nyumba ilikuwa maeneo ambayo hatukuwa na majirani kivile na hatukuruhusu kuzoeana sana na wale majirani. Baada ya kuwa wawili nikawa namsaidia baadhi ya kazi, ikiwa anafua ntamchotea maji, ikiwa anapika tunagawana, yeye atapika mboga mie ugali, muda wa jioni tunatoka wote tunafanya matembezi, muda mwingine tunanunua chakula huko huko na kisha tunakuja kulala,

Siku moja tumerudi tukakaa sebureni tukawa tunaangalia movie kwenye pc, tumecheki mara nikaanza kuhisi usingizi, nikamuambia wacha nikalale akakataa na kuniambia kama vipi twende chumbani kwake ili amalizie movie kisha ataniamsha nikalale chumbani kwangu, tukakubaliana hao mpaka rum, tulivyoingia nikakaa kidogo baadae nikajilaza kitandani nikapitiwa na usingizi nikaupunyua, nakuja kustuliwa na mkojo wa saa 11, wenge la usingizi, kibano cha mkojo na baridi jumlisha ramani ya rum hii ikabidi nitulie kidogo ili nivute kumbukumbu ndo nikakumbuka tukio zima. na hapo pembeni yangu yupo huyu dada, nikiwa natafakari niende bafuni au nimalizane na huyu kwanza, mdada akageukia upande wangu akanitupia mguu, nikasema hapa napiga hata kwa nguvu.

Nikainuka niende chooni, ile nainuka nikaulizwa unaenda wapi, si umalizie tu usiku hapa, nikamwambia naenda chooni, naye akainuka tukaongozana nilivyofika nikaingia, nilivyomaliza akaingia,kisha hao tukarudi kitandani, ilikuwa mwezi wa nne lile baridi kwangu mimi niliyeishi maeneo yasiyo na hali ya hewa ya vile ilikuwa ni mateso asee, tulivyopanda kitandani akasema hii baridi mbona tutakufa, nikamwambia sogea nikukumbatie tutoe baridi, mara mtoto huyu hapa, ilipigwa mechi ya kawaida ila ndefu sana mpaka tukachelewa kazini! Baadaye ndo akaniambiaga nikiwa na namsaidi na kumjali alikuwa akijisikia vizuri na alitamani tuwe wanandoa, hata ule mpago wa mie kulala kule kwake aliupanga kitambo, mpaka ulipofanikiwa kwa siku ile Baada ya hapo tuliishi kama mke na mume. Baada ya hapo maisha yalikuwa matamu sana asee.

UBARIKIWE MKE WANGU, ULINIKULA KIMASIKHARA NAMI NIKAKUOA KIMASIKHARA KWAVIAPO VYA DHATI
Good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nami ni shee hichi kisa changu kimetokea 2 hrs back na kiko on progress..
Nko zangu maeneo ya river side pale karibu na sheli kuna bar fulani napiga 2 tatu.
Nmemaliza kutungika natoka nje ya uzio wa bar nirudi gheto mbele naona mzee mmoja wa makamo na binti mmoja mzuri mno kavaa pens na raba mweupe aisee..turudi kwenye mada walikua wanazozana sijui uliniacha masaki ikaenda ikarudi..inavo onesha huyo mzee ni dereva wa malori makubwa so wakawa wametofautiana kila mmoja ana jazba hataki msikiliza mwenzake.
Hapo nko pembeni niangalie mwisho utakuaje suddenly demu akaondoka akielekea njia ya ubungo nami ndo ulikua uelekeo wangu ikabidi nimuwah demu.
Atimae nkampata pembeni ya ile hotel kubwa nkamsemesha kidume huku nakumbuka uzi wa riki boy.dad ka reply back vizuri ok kkubali kuzungumza na mm ikawa granted kwangu.
Unaelekea wapi jibu lililo toka ata sijui akafanya kosa kubwa sana.
Nka mshawishi twende kwangu uka pumzike kidogo kakubali nkaita bajaji chap ikatuleta hadi gheto mtoto anashangaa tu gheto la muhuni lilivo kali ok akadai anasikia njaa nkamletea chips kuku kapiga then aka omba nimnunulie Amarulah anataka kulewa nka mwambia usijali kuna dompo kwenye friji nkamletea mm nkatoka nje nkapiga kvant kurudi gheto nakuta kajiacha mtoto jamani mungu anajua kuumba nampa masifa anacheka tu nkamsogelea kumshika tako anacheka tu nka kaa juu ya sofa mara nka mpa mate aka respond kimoyomoyo nkasema kashaliwa huyu chezea titi zake ki ustadi sana nkampunguzia nguo kumshika chini kalowa nkaanza kupiga deki bahari demu ana lia tu kwa utamu badili kila mlio huku akiomba mkuyenge bila hiyana nkamuingizia analia tu jmn mbulukenge sijui hivi badili staili analia tu..Any way mpaka sas nmepiga viwili yuko washroom now itaendelea.......
Pongezi kwa riki boy popote ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nami ni shee hichi kisa changu kimetokea 2 hrs back na kiko on progress..
Nko zangu maeneo ya river side pale karibu na sheli kuna bar fulani napiga 2 tatu.
Nmemaliza kutungika natoka nje ya uzio wa bar nirudi gheto mbele naona mzee mmoja wa makamo na binti mmoja mzuri mno kavaa pens na raba mweupe aisee..turudi kwenye mada walikua wanazozana sijui uliniacha masaki ikaenda ikarudi..inavo onesha huyo mzee ni dereva wa malori makubwa so wakawa wametofautiana kila mmoja ana jazba hataki msikiliza mwenzake.
Hapo nko pembeni niangalie mwisho utakuaje suddenly demu akaondoka akielekea njia ya ubungo nami ndo ulikua uelekeo wangu ikabidi nimuwah demu.
Atimae nkampata pembeni ya ile hotel kubwa nkamsemesha kidume huku nakumbuka uzi wa riki boy.dad ka reply back vizuri ok kkubali kuzungumza na mm ikawa granted kwangu.
Unaelekea wapi jibu lililo toka ata sijui akafanya kosa kubwa sana.
Nka mshawishi twende kwangu uka pumzike kidogo kakubali nkaita bajaji chap ikatuleta hadi gheto mtoto anashangaa tu gheto la muhuni lilivo kali ok akadai anasikia njaa nkamletea chips kuku kapiga then aka omba nimnunulie Amarulah anataka kulewa nka mwambia usijali kuna dompo kwenye friji nkamletea mm nkatoka nje nkapiga kvant kurudi gheto nakuta kajiacha mtoto jamani mungu anajua kuumba nampa masifa anacheka tu nkamsogelea kumshika tako anacheka tu nka kaa juu ya sofa mara nka mpa mate aka respond kimoyomoyo nkasema kashaliwa huyu chezea titi zake ki ustadi sana nkampunguzia nguo kumshika chini kalowa nkaanza kupiga deki bahari demu ana lia tu kwa utamu badili kila mlio huku akiomba mkuyenge bila hiyana nkamuingizia analia tu jmn mbulukenge sijui hivi badili staili analia tu..Any way mpaka sas nmepiga viwili yuko washroom now itaendelea.......
Pongezi kwa riki boy popote ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapiga deki ngoma umeiokota na mbabu wa malori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa naamini Kama Kuna kitu Mungu kaumba kitamu zaidi ya Kum*a Basi atakuwa kakaanacho huko huko mbinguni aburudike nacho mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeyumba kuandika Mungu bora ungeandika god.
Unamshirikisha Mungu hyo mambo?

God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
 
Back
Top Bottom