Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kung'oa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati akatufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu zilikuwa za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika la posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi miaka hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi National Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hapakuwa vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti kingine tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai kwenye birika la bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni ili kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa anatarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge, maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni nikisikiliza redio.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha, katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagawa kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza...

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia milio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshako*joa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
~~~~MWISHO~~~~


Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha haina uhusiano na stori
IMG-20200121-WA0001.jpeg


James Jason
 
Huyo atakuwa na cheo kikubwa sana kwenye chaputa
Hawa ni wale wa kila leo na kuanzi mbili hadi tatu kwa mkupuoo.

Kuna jamaa alikuwa ana mnyonya demu wake K halafu haingizi anaenda bafuni kupiga *yeto kisha anarudii anafanya hivyo hivyo tena anamkiss anamchezea kisha anakimbia bafunii.

Demu alimpenda sana jamaa na alikuwa ni wale mademu wa kujitunza na kuamini kuwa wataishi milele.

Ikabidi wahuni waingie katii wakampindua. Baada ya kuhadithia ujinga wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadri pesa inavyozidi kuwa ngumu, ndivyo vijana tunavyoongeza jitihada na mbinu kwenye utafutaji.

Juzi jumamosi, nikiwa kwenye harakati za utafutaji nikajikuta Jimbo la Mhe. Sugu. Nikiwa kwenye daladala za Mbalizi - Uyole.

Nikiwa kwenye seat, aliingia Mama mmoja akiwa na Mtoto Mchanga na kusimama. Nilimwonea huruma, hivyo nilisimama kwenye seat yangu na kumpisha. Gari iliendelea kujaza abiria, hivyo mbele yangu akasimama dada mmoja hivi mwenye kijungu cha uhakika, utasema amechoma sindano ya kichina kuyakuza.

Yule binti alivaa kinguo flani chepesi ambacho kusema kweli alifanikiwa kuusimamisha ubongo wangu kwa muda, na bahati mbaya akawa ananigusa gusa kwenye dhakali yangu. Hali ikawa mbaya sana kwa upande wangu, ikabidi niingize mkono mfukoni kujizuia nisije kuaibika mbele za watu.

Tulipofika maeneo ya Tazara, uzalendo ukanishinda nikamsemesha mawili matatu ili nifanikiwe kumwomba namba ya simu.

Later, nikampa simu yangu nikamwomba aniandikie namba yake. Akaandika, then nikambeep ili aone namba yangu. Yeye alishukia Iyunga me nikaendelea hadi Mwanjelwa. Nilikuwa nimefikia GR hotel.

Hiyo ilikuwa saa Tano asubuhi, nikafika zangu room nikapumzika zangu bila kumpigia. Nilitaka nimpe muda kidogo ili kulinda heshima yangu.

Ilipofika saa 10 jioni, nikampigia kumuomba kama atakuwa na nafasi anitembelee. Akatoa udhuru kuwa ratiba yake imembana. Nikambembeleza kuwa sina nafasi, kesho yake nategemea kusafiri. Nikamseti baadaye akanambia atanijulisha, kufika saa 12 jioni akafanikiwa kuja.

Nikamkaribisha room, nikamwagizia drinks then tukakaa huku tunapiga stori 2,3 huku nikicheki EPL.

Yule binti kusema kweli alinivuruga na zile neema za Allah, yaani alifungasha mzigo wa haja tu. Nikamwomba huku namchezea chezea mwili. Yule dada nyege zake zilikuwa kwenye shingo, kwenye mbavu na kushuka chini.

Mwanzoni nilipata resistance kidogo, eti hatufahamiani alafu siku ya kwanza. Me nikazidisha touches, huku namsaula. Nyege zilipomzidi resistance ikapungua, then nikamalizia chupi yake nyeupe. Nikavaa zangu condom, kwa kuwa nilizificha chini ya mto(pillow). Nikamweka kifo cha mende, nikaanza shughuli. Ingiza toa, huku namchezea kiuno chake chenye shanga kama tano hivi huku me naendelea na deep penetration. Manake kiunoni hapa nilimwekea mito miwili. Dada wa watu akawa analia huku ananisukuma kupunguza ile penetration. Me nikawa kama nijivuta kidogo nje ili kumwacha apate nafuu baadaye naendelea na mikito huku yeye kilio kikiongezeka. Kwenye hii stage Wanaume huwa tunajiona washindi sana, hasa mpinzani wako unapokuwa umemshinda kuanzia possession, pass accurate, distance covered. Baadaye nikafunga goli langu moja Safi.

Alinambia baada ya safari moja angeondoka kwa kuwa alitaka saa 1 awe nyumbani.

Nilipoona nitakuwa na vikwazo vya muda, nikajiongeza nikawa nina maji ya Kilimanjaro makubwa 2 room. So hii ilisaidia kwani sikukawia nikaomba cha pili.

Alikuwa amelala, huku amenipa mgongo. Kazi yangu ilikuwa nacheza na makalio yake yaliyojaa huku nampitisha pitisha mbo*"*o kwenye mfereji wa ikweta.
Nilipoona yuko tayari nikavaa Condom, nikamweka juu (woman on top). Kazi ikawa yeye kujipimia. Nikili hapa ndiyo nikaona ufundi kidogo wa huyu Mnyakyusa. Kwani alianza kukata viuno huku me nachezea shanga zake. Nilipoona anazidisha kasi ya kuzungusha kiuno nikawa nampunguza kasi kwa kuifata K yake juu huko huko yaani akiwa amenyanyua kiuno ile yuko hewani anashuka kuifata Mb***"o anakutana na mtalimbo juu, kwahiyo inakuwa deep penetration. So anapunguza kasi.

Hii style ilimnogea sana, akawa anafunga magoli kadri anajisikia.

Mimi huwa napenda nikitoka niache alama, so nikamweka style ya dog alafu nikapanda mgongoni, hii style wengi huisikilizia hadi tumboni hasa iwapo mwanaume atakuwa mrefu kuelekea chini 😂😂

Nilipoona wazungu wanakaribia, nikamwambia akalalia tumbo, nikiwa nimemwekea mito, kwahiyi kiuno chote kikawa juu, nikiwa mgongoni naendelea ku pump. Sikukawia nikamaliza.

Yeye rafiki, akaendelea kujilaza kwa muda. Baadaye akaingia bafuni kujimwagia maji. Alipotoka akaniaga, nikampa kifuta jasho akaondoka zake.

Alipofika, akanitumia meseji kunitaarifu. Sikumjibu, saa 4 usiku akanipigia mara 5 sikupokea. Kesho yake saa 12 asubuhi akanipigia simu mara 3 sikupokea. Akanitumia meseji ya kunitakia safari njema, sikumjibu. Akaendelea kunisumbua sumbua bila mafanikio.

Nilifanya makusudi ili kukata mazoea, manake niliona anapoelekea.

NB; Vijana tuendelee kutafuta hela, hata kama itakuwa ni Uchina. Let's keep counting 💪💰💰
Yani inauma hii hali sana, my Best kaachiwa namba akipiga haipokelewi wala SMS hazijibiwi na kaliwa kimasihara.
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
Wewe ni muandishi mzuri.

Sidhani kama hili tukio ni kweli ila ni kisa umetunga. Hongera lakini
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
The best story ever

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]


James Jason
Kwa mara ya kwanza nimesoma maandishi marefu yote bila kuacha nukta.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matunda ni kuwa analiwa mpaka sasahivi. Kweli dunia imeisha yaani huyu mama sikutegemea kama nae alinaswa kwenye tundu la masihara. Kweli usione ustaarabu wa mtu nyuma kuna wanaomwona wa kawaida sana . By the way huyo mama namjua tena wa heshima sana . @mamsenyi
Kwani kuna ubaya mtu kutimiza haja yake ya mwili?

Au yeye kuwa mama inamfanya asifanye mapenzi?

Au ulitaka afanye mapenzi kwa mtindo upi?

Kuweka hizi story hapa kusikufanye umdharau au kumkosea mtu heshima.

Wengine wamefanya kwa kupenda au kutopenda nafsini mwao.

Wengine wanajuta na wengine hawajutii walichofanya.

Tuheshimiane tu. Maana hatujuani, hatufanani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
Mkuu kwanza shikamoo,[emoji23]

Elimu ya zamani ilikuwa nzuri sana, nimependa uwezo wako wa kumbukumbu na uwezo wako wa kuandika na kuleta uhalisia katika usomaji.

Nimesoma yote na kujikuta kama nilikuwepo miaka hiyo ...

Jf raha sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado ya yule mhandisi aliyenitangulizia bahasha ya kaki imejaa noti more than laki nne kimya kimya.

Tuliza mzuka dogo.
You don't need to say all of that dude. Humu utasababisha watu wasijiachie, hata Kama mtu unamfahamu, we vunga tu maisha yaendelee.

N.b: naye ni binadamu si malaika hivyo mapungufu ni kawaida.

Kwema lakini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza shikamoo,[emoji23]

Elimu ya zamani ilikuwa nzuri sana, nimependa uwezo wako wa kumbukumbu na uwezo wako wa kuandika na kuleta uhalisia katika usomaji.

Nimesoma yote na kujikuta kama nilikuwepo miaka hiyo ...

Jf raha sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Marhaba Tychob,

Hakika, elimu ya zamani iliwanufaisha wanafunzi.

Namkumbuka hadi Mwalimu wangu wa Hisabati (Hesabu) na Hati (Mwandiko), wa darasa la kwanza, Mwl. Igumi (R.I.P) na Mwl. Gutu (R.I.P)

Namkumbuka mengi sana, niishie tu hapa, tuendelee kupunguza msongo wa mawazo kwa uzi wa Riki.



James Jason
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
Bila shaka we mzee ni muandishi wa vitabu
Moja ya story nzuri sana kuisoma kwenye huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom