Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
Moja ya story bomba sana kusoma humu, na kud*sa juu. Hongera mkuu kwa simulizi kali hii
 
Bila shaka we mzee ni muandishi wa vitabu
Moja ya story nzuri sana kuisoma kwenye huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, mimi siyo mwandishi wa vitabu, ila katika kutafuta ugali wa kila siku, kuandika ripoti ilikuwa sehemu ya kazi.

Niliamua 'kushea' kwa mtindo huo ili kutoa na experience nyingine za maisha pamoja na kumbukizi za vitu vya zamani.

Vijana watapata picha hali ilikuwaje zamani na wahenga waandamizi watakumbuka enzi hizo na kufurahi na kupunguza msongo wa mawazo kupitia uzi huu wa kijana Riki.

James Jason
 
Mkuu, Shikamoo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sasa Mkuu, hukwenda hata kumtafuta Lindi kipindi uliporudi?

Hahahaha, Aise ni kweli. Nimekomaaa mpaka nimeisoma yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifanya jitihada za hapa na pale, nilikaa nje miaka mitatu na kidogo, niliendelea kumuandikia barua ambazo pia hazikujibiwa, niliporudi Tanzania pia niliandika barua moja tu, tena kwa "airform" maana barua za hivyo zilikuwa zinapewa kipaumbele.

Baada ya kimya cha miezi kadhaa nikaondoa akilini na kushugulika na wengine, kati yao akabahatika mmoja kuwa mke wangu. Hii ni stori nyingine kabisa na ya kusisimua ila siyo ya kimasihara.

Akiniruhusu (wife) nitaanzisha uzi wa stori yake.

James Jason
 
Kwa miaka hiyo uliyosimulia bill Shaka watoto wa Rose wameusoma huu uzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama 'Rose' (kumbuka siyo jina lake halisi) aliwasimulia watoto wake kuhusu baba yao ambaye "hakuwa"

Lakini mara nyingi ni 'ngumu' kwa wadada kuwasimulia wachumba zao ama waume zao kuhusu mwanaume au wanaume waliomtangulia jinsi uhusiano wao ulivyokuwa (labda kwa baadhi yao wakigombana kwa hasira na ukweli ndiyo unaweza kusikia "kwani wewe unajuwa kut*omba, fulani ndiye anajuwa)

Ni matumaini yangu kuwa watoto wa Rose kama wapo, hawatojuwa hii stori inamuhusu mama yao.

James Jason
 
Naaam;
Ahsante kwa simulizi nzuri sana.
Nimelazimika kutoa kongole kutoka na mpangilio mzuri wa uandishi ulioutumia ktk uandishi wako.
Ahsante kwa kuwa umeamua ku-share nasi uzoefu wako ktk uzi pendwa na bora kbs..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru Mwanasheria, uandishi mzuri hufanya msomaji asichoke, pia humteka na kumfanya yeye kuwa sehemu ya stori pia huleta elimu ama habari kadha wa kadha licha ya stori kuu yenyewe.

James Jason
 
Kwa miaka hiyo uliyosimulia bila shaka watoto wa Rose wanausoma huu uzi. Ijapokuwa umetumia code, wataunga dot kwamba mama kwao Tabora, kazi mwalim, first appointment Lindi.
Hongera kwa simulizi maridadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo rahisi, watumishi wengi wakati huwa wa first appointment walikuwa wakipangiwa mikoa ya kusini, kisha baadaye huhamishiwa sehemu nyingine.

Utawala ulihakikisha kuna mchanganyiko wa wananchi, wa Kusini alipelewa Kaskazini, wa Kaskazini alipelekwa Magharibi ili mradi mchanganyiko...

Tena hukai sehemu moja kwa miaka mingi bila kuhamishwa.

Hivyo 1st appointee kutoka Tabora / Tukuyu wapo wengi, siyo rahisi kuunganisha dots, labda kati ya hao wakihisi na kumuuliza mama yao, kisha mama yao athibitishe.

(Hata hivyo kama watoto wa 'Rose' wapo humu, mwambieni mama yenu nina zawadi zake ama nipeni 'whereabout PM')

James Jason
 
Jinsi nilivyomla demu wa fb kimasihara

Nakumbuka kipnd hyo namalza chuo dom kuna dem mmoja aliomba urafiki fb so tukaanza kuchat fb then tukabadlishana namba kipnd hicho yy alikuwa dar mimi dom so urafiki ukaendelea bila kuonana kwa mdu baada ya kumaliza chuo nikapataga mchongo mmoja hv mkoan nikaenda kupga kaz so yule dem kuna wkt mawacliano yalikata baada ya mda km mwaka hv cku hyo nmetulia zangu nikaona msg ya kawaida imeingia ya yule demu imeingia so mawasiliana yakaanza upya tena.
Tukaanza kuchat kpnd hcho ilikuwa km mda wa mwz mmoja niende likzo mara cku ya likizo ikafika nikatoka zangu mkoan had dar bas bwana wkt nakuja dar yule dem nilimcheck wkt nimefika dar kesho yke akanicheck nilamuelekeza nilipo akaja km mida ya saa sita tukaanza story nikampeleka lunch had kigiza kinaingia akataka kuondoka nikamwambia mda bado bwana utaenda tu mara mda dinner ukafika tukaenda dinner tumemalza kula akawa anaaga anataka kuondoka nkamwambia mbna mda bado ila pia hata ucpoenda unaweza kulala hapa hapa ( ikumbukwe nilikuwa nimechua lodge) dem akasema haiwezekan nalala hapa mm na ww hautufanian nkamwambia tunachukua chumba kingine utalala peke yko bac bwana tulivyo maliza kula tukarud lodge nkaenda kuonga nkamuacha amekaa niliporud nikampgisha story baada nikazuga naenda kumuulzia chumba.. Demu akasema sawa (Huku kimoyomoya nampgia hesabu ni vp ntamnjunja ucku ule... ) nikaenda nje nkakaa kwa dakika kazaa kurud nikamwambia vyumba vmejaa demu akaniuliza sasa itakuwa na ucku umeenda nkamwambia haina shida tutalala pamoja kila mtu atageukia upande waka na hatutafanya chchote demu akaelewa bac bwana tulivyopannda kitandan tukaanza utani utani tu mwisho tukajikuta kama tulivyozaliwa nilipga gemu had yule demu alitapika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa miaka hiyo uliyosimulia bila shaka watoto wa Rose wanausoma huu uzi. Ijapokuwa umetumia code, wataunga dot kwamba mama kwao Tabora, kazi mwalim, first appointment Lindi.
Hongera kwa simulizi maridadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kazi sana ku-connect dots. Aikusoma mhusika ndio anaweza kukumbuka. Maana hauwezi kujua kila kitu au hatua aliyopitia mzazi. After all haya ni matukio ya miaka ambayo pengine watoto wa huyo mama ni wazee sasa.
 
Nilifanya jitihada za hapa na pale, nilikaa nje miaka mitatu na kidogo, niliendelea kumuandikia barua ambazo pia hazikujibiwa, niliporudi Tanzania pia niliandika barua moja tu, tena kwa "airform" maana barua za hivyo zilikuwa zinapewa kipaumbele.

Baada ya kimya cha miezi kadhaa nikaondoa akilini na kushugulika na wengine, kati yao akabahatika mmoja kiwa mke wangu. Hii ni stori nyingine kabisa na ya kusisimua ila siyo ya kimasihara.

Akiniruhusu (wife) nitaanzisha uzi wa stori yake.

James Jason
Muoneshe hii comment " MAMA TUNAOMBA UMRUHUSU MZEE WETU ATUPE UZOEFU WA MAISHA ALIOPITIA NA WEWE " bila shaka atakukubalia tu.
 
Wakati naanza tu 2nd year chuo, siku moja nikaingia zangu darasani mida ya mchana naona kuna kamrembo kadogo kadogo, keupe hivi kamekaa siti ya nyuma peke yake. Huwa navipendaga sana videmu vya namna hii, inakuwaje sijawahi kuka-notice, nikasejisemea katakuwa ni container jipya [Wanaoanza chuo tulikuwa tunasema "container jipya limetema"]. Nikakaa kama rows tatu mbele yake nikafungua laptop yangu nikaanza kujisomea huku kichwani nawaza namna namng'oa huyu binti.

Nikajisemea huyu nitumie strategy ya kibaharia inaitwa "jifanye una shida, akusaidie". Nikaamua kukaachia laptop. Nikamfuata nikampa salam then nikamwambie nimeitwa na lecturer mara moja naomba uniangalizie laptop yangu. Akaniambia anaweza akaondoka muda wowote kwenda kula [Nilijua atanipa story za kuondoka hivi karibuni]. Okay, nikamwambia ngoja nikupe namba yangu, incase ukitaka kuondoka kabla sijarudi, nitafute. Akachukua namba, nikamwambia ni-beep ili ukipiga nijue ni wewe. In truth, wala sikwenda mbali, dakika tano tu nimerudi. Asante sana, tushajuana na got her number now.

Kidogo, nikamtext, "Am very sorry, umenisaidia hata jina sijakuuliza, hata kukusave nimeshindwa", akanijibu jina lake. Mimi nikamwambia, una jina zuri but mimi nakubatiza jina abc, [Lilikuwa la kifaransa maana yake pretty young thing - Baharia chukua hii trick, sio unasave mtu Sikudhani, msave pretty eyes, wanawake vitu vidogo vidogo vinawachanganya sana]. Tukaendelea kuchat pale hilo jina maana yake nini, nikamwambie it's for to find out, ame-google akafurahiiii. Moyoni nikasema amekwisha huyu.

Coincidence ikaja, kumbe anakaa na sister yake njia moja na mimi, huwa nashuka kama vituo vinne mbele yake. Nikamwambia jioni tuondoke wote, ila itabidi tu upitilize ukaone ninapoishi; halafu utarudi zako home, akakubali. Jioni hao kwenye daladala, mpaka home [nilikuwa naisha nyumba nzima peke yangu]. Kufika kashangaa nyumba kubwa upo peke yako blah blah blah, lakini mimi sikai. Nikamwambia let me cook something for you huwezi ondoka na njaa. Nikaingia kwa frigde toa mayai kadhaa na sausage, tengeneza spanish omelette yenye sausage ndani, nikamwekea mtoto mezani. Akaniuliza sasa wewe ya kwako ikwapi, nikamwambia usijali mimi nitakula baadae, this is for you baby.

Wakati anakula nikamfuata kwenye dining table, nikazunguka nyuma yake nikakata kipande kidogo, nikapitisha upande wake wa kulia nikamlisha, then nikamkiss kwenye shingo upande wa kushoto. Na yeye akarudisha favor, ila round hii tutapeana french kiss matata sana. Chakula kikawekwa pembeni, nikampandisha kwenye dining table akapigwa kimoja hapo hapo. Tukaingia bafuni, nikalamba kingine; tuakaamia chumbani nikalamba kingine. Tumemaliza, nikaona katoa simu anampigia sister yake atachelewa anaenda kwenye Birthday party ya classmate, na anaweza asirudi. Nikajisemea, mambo si ndio haya.

Kale katoto tuliendana sana, maana kanapenda mashine kama her life depends on it. Ila tulikuja kushindwana na tabia ya kuniganda sana. Siku nyingine nawaletea ya mlokole wa fesibuku
Hii ya kifund sana[emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason
Dah picha ya Rose kabisa hiyo. Ni dada wa zamani wa kisasa!
 
We mzee muhuni sana
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wazee wanatoa shuhuda zao mimi ni nani hata nisitoe ushuhuda?

Hongera mzee.
Nami ngoja nilete nilivyokula tunda kimasihara kwa mara ya kwanza miaka 42 na miezi kadhaa iliyopita

Kabla ya hapo nimeshakula matunda kadhaa lakini haikuwa kimasihara bali kwa kudhamiria na kusotea.

Enzi zetu hali ilikuwa tofauti sana na nyakati hizi za sasa.
^^^^^^^^^^^^^

Mwaka 1977, mwezi sita tarehe ishirini mwanzoni, ilikuwa majira ya alasiri nipo bandarini Dar es Salaam nasubiria turuhusiwe tuingie ndani ya meli, Ms Mtwara. Safari yangu ilikuwa inaishia Lindi, kazi fulani hivi ya muda mfupi.

Nilikuwa kijana barobaro mwenye mwili kama wanariadha, ndani ya ajira miezi sita ama saba hivi, mwenye shauku ya safari, na kwa mara ya kwanza ndio natarajia kupanda meli, kabla ya hapo sikuwahi kupanda chombo cha majini chenye kutumia injini ingawaje nilishawahi kupanda mtumbwi kuvuka mto Sibiti (Iramba / Meatu) na kuogelea nilikuwa najuwa hivyo sikuwa na hofu ya safari bali shauku ya kuona "dunia ya bahari" ilivyo.

Kusini ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda, njia ya barabara ilikuwa na changamoto sana enzi hizo hivyo njia nyepesi ilikuwa ni kupanda ndege (ndege za lift [emoji16] twin walter ama buffalo) ama meli (Mv Lindi ama Ms Mtwara).

Baada ya muda mfupi tukaruhusiwa kuingia ndani ya meli, nikaingia kisha nikaelekezwa sehemu yangu (daraja la pili). Nikaweka sanduku langu vizuri (chapa 'swata' au 'smata', sikumbuki vizuri.

Ndani ya apartment yetu nilimkuta abiria mmoja mzee wa makamo tayari amekaa anasoma gazeti, baada ya kumsalimia nikasimama jirani na dirisha nikiangalia mandhari ya bandari. Mara akaingia abiria mwingine lakini cha ajabu alikuwa mwanadada, akapigwa na butwaa kukuta ndani tupo wanaume wawili, akatoka nje, (alimfuata mhudumu ili aoneshwe sehemu yake.)

Haikupita muda mrefu akaingia abiria mwingine, mwanaume, kwa umri alionekana mkubwa kuliko mimi lakini hakuwa mzee.

Honi kadhaa zilipigwa kuashiria meli inataka 'kutoa nanga' na kuanza safari, nikachungulia nje dirishani nikaona kuna mzee mmoja anaogelea kwa umahiri mkubwa akielekea upande wa mbele kumalizia kutoa kamba nene iliyoishikilia meli ibanane vyema na gati.

Honi ziliendelea na meli ikaanza kuondoka taratibu. Mara yule mdada na mhudumu walikuja kwenye apartment yetu, mhudumu akamsihi akae nasi kwa kuwa meli imejaa sana na apartment zote zilizokuwa na wanawake zimejaa.

Bila shaka kulikuwa na utaratibu wa kuwaweka wanaume peke yao na wanawake peke yao, au mchanganyiko wa kifamilia kweye daraja la kwanza na pili (lakini daraja la tatu ilikuwa ni mchanganyiko haswa - a.k.a kajamba nani).

Nikawa nazungumza ya yule abiria mwingine aitwaye John (siyo jina lake) kuhusu safri za baharini na mazingira ya huko tuendako, yule mzee wa makamo alikuwa bize na magazeti na dada alikuwa ametulia tu (sura iliyofura kwa hasira na labda woga.

Hali iliendelea hivyo hadi tulipotoka "nje" kabisa (nje = mbali na ufukweni / bandarini).

Hali ya bahari mara ikaanza kubadilika, upepo mkali ulikuwa unavuma lakini hakukuwa na mvua, bali mawimbi yalianza kuongezeka ukubwa. Nikamsikia John akisema "bora MV Lindi" haiyumbishwi sana, lakini hii leo tutakoma..."

Abiria huyu (John) niliyekuwa naongea naye alikuwa ni mwenyeji wa Mtwara na anapajuwa Lindi vizuri. Niliendelea kumuuliza maswali kadha wa kadha na yeye alikuwa akijibu kadri ya alivyokuwa anajuwa.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Mara tukaona yule dada kama anahangaika hivi hatulii (akiwa amekaa), kisha akainamisha kichwa. Dada huyu alikuwa mweusi kiasi, ki umri alionekana mkubwa kwangu kama miaka miwili hivi, alikuwa amevaa gauni la rangi ya kahawia yenye "V" shingoni na mikono mifupi, halikuwa gauni refu sana lakini lilifunika magoti, alikuwa amevaa viatu ya kawaida vya ya rangi ya udhurungi vya kutumbukiza na hakuwa na mizigo bali begi lake la mkononi ambalo lilikuwa kubwa kiasi.

Ghafla yule dada akafungua mlango akatoka nje, mie nikabaki nashangaa, jamaa yangu akaniambia kuwa amezidiwa huyo ameenda kutapika. Jamaa akaniuliza kama nilishawahi kusafiri majini, nikamjibu hapana, akaingiza mkono kwenye mkoba wake akatoa ndimu ananipatia, akaniambia ukihisi kichefuchefu nusa hiyo ndimu.

Tulikuwa tayari tumeshakuwa mbali kabisa na nchi kavu na jua la magharibi lilianza kuonesha miale yake mizuri ya dhahabu, hali ya bahari bado haikuwa shwari, mawimbi yaliendelea kuzidi.

Mara yule dada akarudi huku akihema na kuyumbayumba, akaketi, 'akajiinamia'

Wakati huo wote hatukuwa tumeongea naye, alionekana kama ana kisirani fulani hivi hivyo tuliepusha kubadilishana lugha zisizofaa.

"Dada, chukuwa hii, inusenuse itakusaidia", hatimaye nilivunja ukimya kwa kumpa ile ndimu niliyopewa.

"Ahsante" alisema huku akinyoosha mkono na kuichukuna na kuanza kuinusa. Lakini haikupita muda akainuka tena kwenda nje, safari hii nami nikamfuata. Akaingia maliwatoni, nikawa namsubiria kwa nje. Haikupita muda mrefu akatoka, akaniuliza na wewe unataka kutapika? Nikamjibu hapana, bali nilikufuata wewe nilidhani utahitaji msaada.

Ikawa sasa tumefungulia mzungumzo, nikamwambia , tusirudi ndani, tushuke daraja la tatu labda utapata nafuu. Tukashuka, lakini haikusaidia, kila akiona mtu anatapika naye anajibu kwa kutapika (kwa wale wasafiri wa mara kwa mara wa majini wanafahamu hali hii)

Abiria walitapika sana, na meli ilikuwa imejaza haswa! Tukaamua kurudi kwetu huku tunayumbayumba.
=
=
=

Giza likaingia, hali haikutulia, baada ya muda kupita tukatangaziwa kuwa meli itasitisha safari kwa muda hadi kupambazuke, kisha ikaelekea bandari ya wapi sijui ndio Kilwa ikashusha nanga nje kidogo ya 'bandari'.

Maeneo tulipotia nanga bahari ilikuwa ya mawimbi madogo kiasi cha kufanya kuwa na utulivu mkubwa melini. Hakuna kutapika tena, na watu walianza stori za hapa na pale. Hamu ya chakula cha jioni ikàanza.

Abiria wengi walikuwa wamebeba vyakula vyao, lakini mimi sikubeba chakula, wala yule jamaa yangu (John) wala yule binti. Tukaenda wanapouza vyakula (ndani ya meli) tukanunua wali mbaazi na kurudi chumbani na kuanza kula. 'Mchele kitumbo' haukuwa na ladha tamu lakini mbaazi zilikuwa tamu balaa [emoji39]. Yule 'mzee wa magazeti' akatoa vikopo vya nyama ya kopo na biskuti zake na juisi (orange squash) akachanganya na maji ya kwenye bomba akawa anakula na kunywa. Alitugawia sote ile juisi, ilikuwa nzuri sana na katika kuzungumza naye tukajifunza kuwa alikuwa ni askari wa Jeshi la wananchi.

Poleni kwa maelezo marefu, sikuwa na hata wazo la kula 'tunda kimasihara' hadi hapo.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Katika mazungumzo na huyo dada nikajuwa kuwa anaelekea Lindi pia, ameajiriwa na ndio 'first appointment' yake lakini alienda Dar Utumishi kufuata nyaraka zake nyingine muhimu, hivyo hii kwake ilikuwa mara yake ya pili kusafiri baharini, na Lindi pale ni Mwalimu katika Shule ya msingi fulani hapo mjini.

Tuliendelea na stori za hapa na pale hadi usiku wa manane yule dada akawa hoi kwa usingizi, tukamruhusu apande 'deck' ya juu kulala. Yule mzee naye akajilaza chalichali 'deck' ya chini, mie nikapanda deck ya juu yake na chini ya yule dada akalala jamaa yangu John.
=
=
=

Nilistushwa na honi ya meli, kuchunglia dirishani kumbe kumekucha kabisa, na meli ilikuwa inang'oa nanga.

Hali ya bahari ilikuwa shwari kabisa. Nilipiga mswaki (kutumia dawa ya meno bonamed) na kunawa uso, wengine pia walifanya hivyo na safari iliendelea tukiwa sasa tumezoeana kama tuliwahi kufahamiana kabla.
=
=
=

Hatimaye meli ilifika Lindi bandarini. Tuliamua kuongozana wote pamoja wakati wa kushuka kwenye meli. Tulikaguliwa (ukaguzi wa kawaida) na maafisa wa bandarini kisha kuruhusiwa kuendelea.

Mbele alikuwa yule mzee, akifuatiwa na John, mimi kisha yule dada. Nikaiona Lindi na watu waliochangamka. Tukafika sehemu za kuegeshea magari na teksi.

Yule mzee alifuatwa na Landrover 108 chasis fupi ya jeshi, tukabaki watatu (ofcourse pamoja na abiria wengine wengi waliokuwa aidha wakiwasubiri wenyeji wao ama usafiri, wengine waliendelea kutawanyika kwa kutembea.

Dereva mmoja hivi mtanashati atakufuata na kutusalimia, "mnaelekea wapi nikupelekeni?" Aliuliza. Kwa kuwa tulikuwa tumesimama pamoja alidhani safari yetu ni moja yule, John akamjibu tupeleke posta kwanza (siyo mbali kutoka bandarini), kuna simu alikuwa anataka kupiga.

Enzi hizo simu ni za waya, unaenda Shirika la "posta na simu" unaikuta simu zile za kuingiza sarafu. Waliobahatika walikuwanazo zile za kukoroga (unazungusha 'hendeli" kisha unapokelewa na mhudumu anakuunganisha na namba unayotaka. Baadaye zikaja zile za mezani za kukoroga kwa namba, hii ilikuwa ya kisasa sana enzi hizo)

Ukimpata 'operator ' wa simu, naye anahangaika kukutafutia namba uliyotaka, akiipata ndipo anakupigia hapo ulipo (kama ni kibandani au nyumbani ama ofisini) kisha anakuunganisha. Haikuwa ajabu kusubiri kwa zaidi ya nusu saa kupata namba unayotaka.
^^^^^^^^^^^

Tukaingia kwenye teksi, dada mbele, sisi siti za nyuma na dereva akachukuwa sanduku langu na mkoba wa John akaweka kwenye buti. Hao tukaanza kuelekea Posta.

Teksi ikafika Shirika lq posta na simu, John akaenda ndani, kwenye teksi tukabaki watatu, yaani, dereva, yule dada na mimi. Dereva wa teksi alikuwa mcheshi na mzungumzaji mno, alituuliza habari za safari tukamjulisha hali ilivyokuwa, tuliendelea na stori mbili tatu, hatukuwa 'bored'

Baada ya nusu saa kupita yule dereva akasema ataongeza gharama ya muda wa kusubiri. Alikuwa dereva mstaarabu sana, nakumbuka jina lake mpaka leo, ndugu Mansoor. Teksi yake aina ya Peugeot 404, nafikiri ndiyo ilikuwa teksi iliyopambwa vizuri kuliko zote Lindi kwa wakati huo. Ilikuwa ya rangi ya maziwa, ndani kwenye 'driving mirror' alining'iniza sanamu ya ndege (shorwe) wa plastiki ambapo gari ikiyumba ile sanamu inatoa milio fulani hivi kama ndege wa porini, tairi zina 'wheel cap' nzuri za silva pia nyuma ameweka antena ya redio ndefu na uzito kidogo nchani na kuifanya iwe inayumbayumba. Hakika alikuwa anaipenda teksi yake. Wahenga wa waliokaa Lindi mika hiyo ambao wamo humu watakuwa wanamfahamu Mansoor 'dereva teksi.'

Baada ya kama dakika kumi, John akaja, akutuambia bado hajapata simu aliyokusudia, hivyo alishusha mkoba wake, akaniachia noti mbili za shilingi kumi (20/-) na kuturuhusu tuendelee. Aliniuliza nitafikia wapi, nikamwambia kuwa nina mwenyeji wangu yupo National Housing baada ya kupanda mlima 'wapiwapi' (just a hill) laini namba (kapuni) nyumba namba (kapuni). Aliahidi kunitafuta kwa ajili ya kuendeleza urafiki.

Tulimwacha akiingiza mkoba wake ndani na kuendelea kusubiri simu, sisi hao tukaondoka. Nikamuuliza yule binti anashukia wapi, akajibu yeye anakaa maeneo ya Sokoine ndani ya hospitali. (hakuwa nesi) bali kuna ndugu yake ni daktari amefikia kwake. Lakini alitaka aende 'somewhere' Likotwa kufuata mayai kwanza (kulikuwa na ufugaji wa kuku wengi maeneo hayo), hivyo ruti tukaamua tuende Likotwa (sijui jina nimepatia maana ni miaka mingi) kisha turudi Nationa Housing halafu amalizie Hospitalini.

Hadi muda huo wazo la kula tunda kimasihara wala halikuwepo, ilikuwa ni ujamaa tu ambao Nyerere alikuwa anajaribu kuujenga na wiki mbili baadaye nilimuona Nyerere "live" kwa mara ya kwanza pale Rahaleo uwanjani Lindi alipozuru Lindi.

Baada ya kuchukuwa mayai hao tulirudi hadi nyumba za 'National housing', tukapinda kulia kuacha njia kuu, tukafika 'line' husika tukapinda kushoto kuingia mtaani, macho yangu yote kwenye namba za nyumba, hatimaye nikaiona nyumba lengwa.

Kama mnavyojuwa nyumba za 'neshinali' wakati huo, zimenyooka kwenye mstari na nyumba mbili zimeungana (kwa hadhi ya nyumba zile), ukiingia unakutana na sebule, kushoto chumba na kulia chumba, kuna choo na bafu na jiko. Ndani kuna vitanda vya chuma "banco". Kulikuwa na mabakuli makubwa imara sana yameandikwa TG, na messtin imara sana pia imeandikwa TG, jiko la "stove", taa za kandili pamoja na pasi chapa jogoo (ya mkaa).

Kulikuwepo na "kiti cha uvivu" kimoja (wahenga wanavijua hivi, siku hizi vipo vichache sana), pia ilikuwepo meza ndogo ya kahawa pamoja na viti viwili vya mbao mninga vya kukunja. (Kadiri ninavyoandika nakumbuka mengi lakini siwezi kuandika yote ngoja niwahi kwenye 'masihara")

Mlango husika ulikuwa umefungwa na hakukuwa na dalili ya mwenyeji ndani, nikashusha sanduku langu, mara akatokea jirani akatukaribisha na kunijulisha kuwa mwenyeji wangu amepatwa na dharura kidogo ameenda Mnazi mmoja huenda atarudi kesho, akanikabidhi funguo.

Kuanzia hapa shetani akaanza kufanya kazi yake, nikajikuta namwambia yule dada ashukie hapa tupumzike kidogo kisha nimsindikize kwake ambapo hapakuwa mbali kwa kutembea.

Nikamsaidia kushusha trei zake tano za mayai, nikamlipa dereva teksi hela yake na chenji nilimuachia (shilingi 5, hela ndefu wakati huo).

Jirani atakusaidia kuingiza sanduku langu, mie bize na mayai, dada na mkoba wake. Pale sebuleni jirani akatuacha akatoka kuendelea na mambo yake.

Wote tukawa tunashangaa shangaa mandhari ya ndani ya nyumba, hakuna vitu vingi kama nilivyoeleza hapo juu. Akiwa amekaa kwenye kiti nami kwenye kiti tulipiga stori mbili tatu za kawaida huku nikimuangalia sasa kwa jicho la tatu.

Dada ameumbika vizuri, macho angavu, ndipo nilipoanza kuona kiuno kilivyogawika vyema, mtoto wa Kinyamwezi kutoka Tabora, kifuani chuchu saa sita na robo, 'mgongo' bambataa linalochipukia, rangi nyeusi asilia, nywele nyeusi zimefungwa mtindo wa 'mabutu', very simple and natural. Hakika Rose (siyo jina lake halisi) alikuwa ameumbika sana.

Nikawasha redio ya mbao (all transistor radio), stesheni ya Radio Tanzania, kisha nikamuacha sebuleni akiangalia magazeti yaliyopo kwenye meza ya kahawa nikaanza kukagua nyumba, chumba kimoja kilikuwa wazi (kimeshindikwa tu) na kingine kilikuwa kimefungwa kwa funguo (chumba cha mwenyeji), nikaingiza begi langu chumbani.
Trei za mayai pamoja na mkoba wake nikaweka chini ya meza (lakini siyo sakafuni), kisha nikaenda jikoni. Nilikuta kumeandaliwa staftahi (chai chenye birika ya bati, mikate, jam na Tanbond) [emoji39]

Nikaenda maliwatoni, nikaona pako sawa, nikarudi sebuleni kumuonesha 'dada' Rose wapi choo kilipo kisha nikawasha jiko (stove) kwa ajili ya kupasha chai. Chai ilikuwa inanukia vizuri sana (green lebel)

Ikumbukwe kuwa mwenyeji wangu alikuwa ananitarajia niwasili mapema asubuhi lakini tulilazimika kuchelewa kwa sababu ya hali ya hewa (dhoruba) baharini.

Rose alivyotoka maliwatoni akanifuata jikoni, akaanza kunisaidia 'kuandaa meza'

Hakika tulikuwa na njaa, na tuliifakamia mikate yote iliyokiwepo jikoni.

Mida ilikuwa imeenda na matumbo yalikuwa yameshiba vyema. Kushiba kwa tumbo kulianzisha njaa nyingine ambayo sasa shetani alikuwa bega kwa bega nami....

...Nikamwambia akaoge sasa maana joto lilikuwa kali, chai pamoja na safari. Akaingia chumbani kujiandaa, mie nikabaki sebuleni.

Hakyanani, kuna wanawake wameumbika jamani, 'si kwa Singida Dodoma ile', alipita amevaa khanga mbili, moja kajifunga kiunoni na nyingine amejifunga kuzuia matiti. Matiti yake hayakuhitaji sidiria japo alivaa wakati tupo safarini, sasa niliyaangalia vizuri japo yalifunikwa na khanga ya juu. Huku mnara mie upo juu hatari huku ukinesanesa ndani ya chupi yangu ya 'jinja' na kunifanya nihisi maumivu, fasta nikaingia chumbani na kufungua begi langu na kuchukuwa taulo na kujifunga baada ya kuvua nguo nilizovaa.

Paaap, nikaibana 'pipe' (dushe) kwa juu na taulo kuzuia Rose asione na kuifanya pipe isinesenese (kwa mtindo ule wa nataka tena)

Alichukuwa muda mrefu bafuni, sikutaka kumfuata; alipotoka nami nikaenda bafuni kuoga, nikaonana ameanika chupi yake 'zaiboni', nikainusa, hahahha [emoji23], nikairudisha alipoianika, nilioga fasta na kurudi chumbani na kuingia bila hodi.

Lahaulaaaa, nilimkuta ameinama anapaka mafuta miguuni, alishtuka na kusimama, "jamani James ungebisha hodi nijifunge..." Alisema huku akijaribu kuchukuwa khanga iliyopo kitandani.

Hakuiwahi, tayari nilikuwa nyuma yake nikiwa nimejifunga taulo na kumkumbatia kwa kumshika tumboni kwa mikono niwili.

Nikambusu nyuma ya shingo yake, akageuka kiasi kama anataka kuniangalia, nikambusu shavuni na kumwambia naomba leo ubaki hapa unipikie chakula cha jioni, kesho ndipo uende kwenu Sokoine. Alisitasita lakini hatimaye alilainika. (Weweeeee)

Wakati nambembeleza abaki, nilikuwa natalii mbuga zote kuanzia kaskazini hadi kusini, bahari ya hindi hadi ziwa Tanganyika, by then sikuwa na elimu kubwa ya mahaba japo baadye sana nilipata fursa ya kusoma baadhi ya vitabu mfano "the perfumed garden" na "French sex art manners" nk. vilivyonipa ujuzi wa kutosha , katika maisha yangu nimewapagawisha sana wanawake.

Kwa uhaba huo wa ujuzi kimbilio langu lilikuwa matiti, makalio, kin*embe. Sikuwa najuwa habari ya "password" (nywira), kunyonyana ulimi, kupiga deki wala nini. Niliendelea kutomasa tomasa nikiwa nyuma yake mikono nikiwa nimeshusha 'Ikulu' yake, kiwanja cha mpira nikifanya fujo za hapa na pale, mara akageuka akaniambia ninyonye titi hili, 'dakeki..., nilinyonya chuchu ile kiboya boya kisha nikahamia chuchu ya pili...

Wakati huo hatukuwa na hofu ya maradhi yatokanayo na ngono, hakuna habari ya condom, tishio lilikuwa ni kisonono na kaswende ambapo pia siyo wengi walikuwa wakiugua.

Rose akaanza kupagwana kama amepatwa na maruhani, macho legelege, miguu yake ikaanza kukosa nguvu, akaniambia siwezi kusimama tena, nikamlaza kidandani na kuendelea kunyonya chuchu zake ndefu nyeusi. "Endelea vivyo hivyo lakini kwa taratibu" alisema. Mnara wangu tayari ulikuwa hauwezi tena kuvumilia, nikatoa taulo tupa kule chini, akaa mkao pendwa chali, huku amekunja miguu na kuitanua kiasi. Da! Kitumbua hiki hapa kimetuna na kimenona, kis*mi kimesimama vyema (visimi virefu type), nikamshikisha dushe ili aingize, aliposhika dushe alitoa macho huyo! na kuguna mmh, akaanza kuiparaza paraza hadi ikapata utelezi, akasema ingiza.

Nilipata tabu kidogo kupenya na ile naingiza tu, sidhani kama hata tako 23 [emoji1787] zilifika, mabeberu hawa hapa! Akaonesha kama kushangaa hivi lakini "sekunde chache" tu dushe likaanza 'kudhikiri' tena likiwa bado ndani ya papuchi, akasema "he!" (Ile ya kushangaa)

Nilipampu nje ndani nje ndani, Rose alilia miio yote, ile miguno ya chini kwa chini siyo sauti kubwa, nilisugua haswa, shuka likaloa, kitanda kilikuwa kinaninyima uhuru wa kupiga mikito vizuri, mneso ulikuwa mkubwa, kwa wanaojuwa vitanda vya chuma vya banco vya wakati huo wanaelewa, nikamwambia tushushe godoro chini, tukavuta shuka upande ili tupate sehemu kavu, hapo Rose ameshakojoa mara kadhaa mie bado (sijamwaga la pili)

Niliendelea na kifo cha mende safari hii nikiwa nafika vizuri napotaka huko ndani, mara nikamuona ananikwaruza mgongoni na kunikandamiza, mzee baba nikadidimiza yote, pipe ikawa inabanwa na kuachiwa mara kadhaa mara akalegea mikono na kuhema juu kwa juu kama vile mtu anayekosa pumzi (oxygen); kwa kubanwa na kuachiwa kule kwa dushe nikaona mabeberu haooo mbioni, nikaongeza tako kadhaa mara haooo!

Nikawa hoi nami, nikiwa juu ya kifua chake, dushe ndani, akaanza kuifinyafinya dushe huku akiniangalia na kutabasamu , nikamuuliza nitoe, akasema subiri. Sekunde chache baadaye dushe likaanza kunywea akaniambia toa. Taratibu nikatoa dushe huku yeye akiifuta na khanga yake, kisha nikainuka.

Tukaenda bafuni wote, tukaoga na kuchezeana sana hadi dushe likasoma mnara maximum, tukaelekea chumbani fasta, akashika "mfumbati" wa banco, (chuma mboga), nikalambisha kwenye kin*embe kama vile nakosea pa kuingiza akaishika na kuizamisha...

Nilikandamiza akaruka kwa kusogea mbele, akaniambia usizamishe yote, nikawa napiga ndani nje kwa kuzingatia atakavyo, mtoto wa Tabora akaanza kuonesha ujuzi wa 'kulisakata rhumba', mie nikawa sina kazi kubwa nime relax huku yeye "akishika hatamu ya uongozi", mara namuona ananiangalia huku ametumbua mijicho utafikiri mjusi amebanwa na mlango na sauti ikaanza , aaa, aaah , Aaah AAAAH huku ikiongezeka volume na ni ile sauti ya kutokea kifuani (siyo mdomoni wala kooni, kwa wanamuziki wanaelewa)

Papuchi ilikuwa chapachaa, mie dushe bado limedisa 'to the maximum', misuli ya dushe imesimama balaa huku ikiwa imefunikwa na bao la "Rose" sehemu sehemu, nikazidi kupampu, akasema amechoka miguu haina nguvu, nikamwambia anipandie juu nikalala chali. Akajivutavuta akapanda, kuingiza kitu na boksi, K ya motooo, dushe likaenda kugusa sehemu akasema aakh, kisha akanilalia kifuani akaanza kupiga tako yeye, nafikiri ilimsaidia dushe lisimguse sehemu ya ndani zaidi maana alikuwa ana control yeye kiwango cha 'penetration.'

Aliendelea kufanya ufundi wake hadi wazungu wakaja.
^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Rose alikuwa mtamu sana, hakuwa 'sealed' lakini papuchi haikuwa na 'mileage' nyingi.

"James umenito*mba vizuri yani nimekojoa mara nyingi haijawahi kunitokea, halafu mbo*o yako tamu sana, inajaa vizuri" aliniambia, nami nikamsifia kwa kuwa na papuchi safi na yenye mileage ndogo, ndipo akaniambia alianza kutumika Chuo cha ualimu na boyfriend wake wa kwanza ambaye bado yupo naye lakini amepangiwa kufundisha Mkoa wa Tanga na yeye ndio amepangiwa Lindi miezi sita iliyopita.

Hapa ndipo akafunguka kuwa anaishi na baba yake wa hiyari ambaye ni daktari hospitali ya Lindi (rafiki wa baba yake mzazi)

Alifunguka pia kuwa alikuwa ana miezi kadhaa tangia atoke chuo cha Ualimu Tukuyu hawajakutana tena na boy friend wake ambaye walipanga wataoana, wanawasiliana kwa barua.

Tukaongea mengi, hasa kutaka kumjuwa yeye zaidi, baadaye akaelekea jikoni kuangalia chochote cha kupika.
=
=
=

Tulilala hapo, kesho yake ndio nikamsindikiza kwao.

Niliendelea kufaidi utamu wa Rose hadi nilivyoondoka Lindi wiki nane baadaye.

Tuliendelea kuwasiliana kwa barua hadi niliposafiri ughaibuni nikawa bize na masomo, nilivyomkumbuka nikamuandikia barua ambayo haikujibiwa hadi leo.

Sijui ilimfikia ama watu wa posta walivyoona barua toka ng'ambo wakaichana wakidhani watakuta Paundi?, sijui aliipata akanipotezea?, sijui alifariki?

Popote ulipo Rose nakukumbuka sana, kama umo humu Jf kwa maelezo haya lazima utakuwa umejijuwa. Nitafute PM "nikupe zawadi zako kutoka Uingereza"

Bila shaka sasa utakuwa umestaafu Serikalini kama mimi.
^^^^^^^^^^^^
^^^^^^^^^^^^

Nilitaka post hii iwe ya 10,000 lakini nimeshindwa. [emoji23]

Huu ni moja ya nyuzi ambazo wasomaji hutafuta post ndefu na kusoma bila kuchukia, hahhaha [emoji23]

Angalizo: Picha hauna uhusiano na storiView attachment 1329709

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja na mimi nitoe 1 kati ya 3 nilizo nazo:.....

Ilikuwa 24/12/2014 siku ya mkesha Xmass
Kuna demu anaitwa X ,alikuwa ni rafiki wa demu fulani ninayefahamiana naye anaitwa P huko siku za nyuma kuna ishu P aliniunganisha na X sso tukawa tunawasiliana na X.

Basi buana siku ya tukio nilifika Daslam jana yake baada ya kuwa nje ya jiji kwa miezi kadhaa, nkawa nimeenda kumsabahi rafiki yangu Jacob alikuwa anaishi maeneo ya fulani Sinza, sasa huyu demu X maskani kwao ni maeneo ya Shekilango Daslam.

Demu X kama kawa alikuwa ananitext tunapiga story, nikamwambia niko Dar na niko Sinza leo, akaanza kusema lazima tuonane kwani sio mbali na nyumbani na leo natoka kazini mapema nitakuja direct ulipo.

Kweli binti akafika baada ya kupewa ramani, mara Jacob akapigiwa simu na demu wake(shemela) kwamba wakaonane Mlimani city kuna kitu alitakiwa akampe.

Mimi na Jacob tunafaham Spanish maana tulisomaga wote huko kwa kina Fidel Castro,sasa demu X akaanza ohoo ongeeni Spanish niwasikie nione ina sound vipi kwenye mdomo wa mswahili, basi buana Jacob akawa kashang'amua kitu kibaharia zaidi akaniambia kwa Spanish " Mzee baba ndom ziko kwenye droo ya kati pale kazi kwako piga mashine, shobo nyingi huyo"....

Demu X akawa anafurahia eeh ina sound vizuuuri, basi Jacob akatuacha akasepa.

Tulivyobaki wawili ile story,story mara demu X akadai kachoka choka na race alizokuwa nazo kazini alikotoka, akasogea kitandani wakati huo mimi nilikuwa hapo tayari maana ghetto la msela halikuwa na viti.

Mara akaanza makuzi sijui kuna nywele imenasa na hereni nimsaidie kuweka sawa, na mimi nikaleta makuzi,nikapeleka mkono nikapapasa sikio mara naona mtu kastuka, anaanza kucheka cheka, nikarudia mara anaona hali inabadilika,

kumbe ndio ilikuwa sehem yeny kumtia nyege, nikarudia na nikaanza kuzitafuta sehem zingine, chap tunachojoana huku mbwembwe zikiendelea,.... faster nikachukua simu nikamtext mshikaji kuwa ishakuwa mukide, kwahiyo avute vute mpaka nitakampompa sign.

Nikaanza uchakataji, nimepiga mashine baada ya first round naona dem akili ikamrudia, akaanza kama kunikazia huku akiniuliza "Alex kabla ya kuendelea,what next after hiki tunachofanya? Ndio tunakuwa kwenye mahusiano au for fun?, nikawa sitaki kumjibu wakati huo kwa maana nilihisi labda angezingua wakati mimi nilikuwa bado nataka nitulie niombe cha pili.

Baadae nikamtia sound mara tukaamsha tena then tukamaliza,tukaoga na kujiweka sawa ,nikamcheki mwana,akarudi ghetto,demu X akakaa kidogo akasepa kwao.

Jioni alikuja tukaenda nae Bar fulani pale Sinza, siku mbili zilizofata tukaamshia Lodge, nikaona baadae anaanza kuleta habari za kugandana mara kuona oana, nikawa nampotezea, akaelewa kuwa sikuwa na mpango nae kimaisha.

Mpaka leo yuko ofisi fulani ya serikali tunatia story kama kawa, Sa hivi kawa Singo Maza huko analalamika tuu.


Alexander
 
Back
Top Bottom