Ulishawahi kula tunda kimasihara?
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nikipata LIKES 23 (kwa kumuenzi yule baharia mwanfunzi, aliyepiga tako 23 akawahadithia rafiki zake kuwa amepiga bao 23, wenzake wakamcheka sana...[emoji1787]) nitaelezea jinsi ilivyotokea hadi leo hii Hamida ni mama wa watoto wangu saba, na ametoa baraka zote nisimulie baada ya kumuonesha ile post ya mwana JF (huko juu kwenye uzi huu huu) aliyeomba nimuoneshe wife ili awe radhi stori hii kusimuliwa...

Nitaanzisha uzi kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

James Jason
 
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nikipata LIKES 23 (kwa kumuenzi yule baharia mwanfunzi, aliyepiga tako 23 akawahadithia rafiki zake kuwa amepiga bao 23, wenzake wakamcheka sana...[emoji1787]) nitaelezea jinsi ilivyotokea hadi leo hii Hamida ni mama wa watoto wangu saba, na ametoa baraka zote nisimulie baada ya kumuonesha ile post ya mwana JF (huko juu kwenye uzi huu huu) aliyeomba nimuoneshe wife ili awe radhi stori hii kusimuliwa...

LIKES 23, kisha nitaanzisha uzi kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

James Jason
Nilivyoona jina lako tu nika LIKE kwanza kabla sijasoma kumbe nimetekeleza sharti muhimu sana ili stori iwe na muendelezo.
 
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nikipata LIKES 23 (kwa kumuenzi yule baharia mwanfunzi, aliyepiga tako 23 akawahadithia rafiki zake kuwa amepiga bao 23, wenzake wakamcheka sana...[emoji1787]) nitaelezea jinsi ilivyotokea hadi leo hii Hamida ni mama wa watoto wangu saba, na ametoa baraka zote nisimulie baada ya kumuonesha ile post ya mwana JF (huko juu kwenye uzi huu huu) aliyeomba nimuoneshe wife ili awe radhi stori hii kusimuliwa...

LIKES 23, kisha nitaanzisha uzi kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

James Jason
huyo jembe aliyepiga tako 23 akasema ni bao 23 si mchezo...hajaiwahi kutokea hiyo...

Enzi zangu naanza haya mambo ..first day i lost my virginity kwa tako moja na nusu (1.5) tu nimeshamailiza nimetoa macho tuu..nahema kama nimetembea 10km kwenye jua kali...siamini kilichotokea
 
Hahahah hii ni hatari sana.
huyo jembe aliyepiga tako 23 akasema ni bao 23 si mchezo...hajaiwahi kutokea hiyo...

Enzi zangu naanza haya mambo ..first day i lost my virginity kwa tako moja na nusu (1.5) tu nimeshamailiza nimetoa macho tuu..nahema kama nimetembea 10km kwenye jua kali...siamini kilichotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki iliyopita nilikuwa kwenye shughuli zangu za uwakala/miamala ya simu.

Ilikuwa mida ya saa 4 usiku dada mmoja kaja nikamhudumia vocha akasepa. Haikupita muda akarudi tena, kumbe alienda kuongea na simu kuna mwenyeji wake alikuwa anamtafuta hewani amjulishe kuwa amefika, bahati mbaya simu yake iliisha chaji.

Akanambia anaomba nimbustie simu yake , bila hiyana nikamwekea chaji mm nikaendelea kuhudumia wateja wengine, yeye akakaa nje pembeni anasubiri simu.

Baada ya kama dk 5 hivi akaniomba nimpasie simu aiwashe ili awasiliane na mtu wake ila nisiichomoe. Nikampitishia simu akaiwasha then akawa anamtext mtu wake...

Ilipofika mida ya saa 5 kasoro hivi mimi nikawa nataka kufunga lakini sikumuambia kwanza, nikaanza kumdadisi...

Vipi shemu hapokei nini? akanambia akimpigia hapokei na text amemjibu moja tu tangu afike muda ule. Katika kumuuliza uliza akanambia yeye ni mgeni kabisa ndio alikuwa kafika kwa mara ya kwanza, ilibidi afike mapema bahati mbaya alichelewa kwa sababu ya foleni njiani.

Nikamuuliza mwenyeji wake anaishi wapi, akanitajia hiyo sehemu.. mh... mim nikaguna nikamwambia hiyo sehemu ni mbali sana, kwa gari ni dakika 45, bodaboda dakika 30.

Kwa muda ule hakukuwa na daladala kabisa ila ni bajaji na boda boda, nikamshauri aendelee kuvuta subira hadi huyo mtu wake atakapomjibu maana anaweza kwenda kule na asimpate (ila mimi machale yalinicheza huyo mtu wake atakuwa na goma lingine).

Nikamuuliza vipi umekula? hakunijibu. nikaonesha uungwana kidogo, nikampa buku 3 nikamwambia akale chipsi, nikamuelekeza wanapouza. Mimi nikaanza maandalizi ya kufunga biashara yangu. Hapo ilikuwa saa 5 na nusu hv usiku.

Baada ya muda akarudi akanishukuru, akanambia mtu wake hapatikani kabisa, anahisi amemzia simu.

Nikamshauri kwa kuwa sasa hivi ni usiku sana na yeye ni mtoto wa kike, ni bora aende kulala gesti au kama hatojali twende nami tukalale home ila nikamwambia nina GHETHO. Akaniambia tusubiri ifike saa sita labda mtu wake atapatikana. Nikamjibu poa, nikamwambia anipe namba yake afu atanitafuta, huyo nikasepa zangu....

Uzuri nami sikwenda mbali kivile, nikawa nasubiri, je atanitafuta!

Mida ya saa 6 na robo hivi, mtoto huyo hewani, akaniambia niende kumchukua...
Bila ya kupoteza muda nikamfuata tukachukua bajaji hadi geto..

Kuingia ndani akaomba aingie bafuni kuoga, nikamuandalia mazingira huyo akaenda kuoga...
Aliporudi nami nikaenda kuoga pia. Niliporudi mtoto huyoo kajilaza pembeni na kimsambwanda chake kimebinuka kimtindo. Nami nikajilaza...........


Itaendelea.............. sasa naangalia mechi ya chelsea vs man city

Hongera kwa kula malaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nikipata LIKES 23 (kwa kumuenzi yule baharia mwanfunzi, aliyepiga tako 23 akawahadithia rafiki zake kuwa amepiga bao 23, wenzake wakamcheka sana...[emoji1787]) nitaelezea jinsi ilivyotokea hadi leo hii Hamida ni mama wa watoto wangu saba, na ametoa baraka zote nisimulie baada ya kumuonesha ile post ya mwana JF (huko juu kwenye uzi huu huu) aliyeomba nimuoneshe wife ili awe radhi stori hii kusimuliwa...

LIKES 23, kisha nitaanzisha uzi kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

James Jason
Haha! Mwambie mama nashukuru kwa kulibariki ombi langu kwake.
 
Ndugu nakuonea huruma sana imebidi nikuelekeze vitu fulani hivi hebu vitafute vitakusaidia.

Penda kula supu ya samaki anaitwa Chewa, kama utaweza, tengeneza syrup ya kitunguu Saumu, Tangawizi na asali mbichi. Chai yako utakayokuwa unakunywa hakikisha ina either Tangawizi na sukari pekee usiweke majani au weka Mchaichai na sukari pekee unywe. Maji yako ya kunywa yawe either ni ya Mchaichai au yenye Tangawizi ya kutosha.

Mtafute mtu wa Forever Living mwambie akuuzie Multi Maca. Utakuja kutoa ushuhuda mwenyewe hapa.
Huyu samaki anapatikana wapi mkuu, maji chumvi au maji baridi....?
 
Back
Top Bottom