Ngoja nisimulie na Mimi,
Mwaka 2015 nilitoka kwetu mkoani nikahamia Dar kwa shughuri flani, nilipanga maeneo ya mbezi beach umbali mfupi kutoka kituo cha Tangi bovu, wakati huo nilikuwa na mazoea ya kunywa soda (mirinda zile za take away) ktk duka flani lililokuwa jirani na eneo ninaloishi,
Tarehe 26/12 nilienda kupata soda nikakuta muuzaji Ni mdada japokuwa si mrembo sana, mwenye nywele zilizotimuka kidogo ila alikuwa na chura kubwa, niliagiza soda na yeye nikamnunulia pia huku tukiendelea na story za hapa na pale, wakati huo ikanijia akili ya kibaharia nikachukua namba na kuondoka zangu,
Usiku tulichart kidogo nikamtania siku ya mwaka mpya twende naye kawe beach kutembea, alikubali.
Japokuwa sikuwa nawaza Kama nitakula mzigo,
Tarehe ilipofika siku hiyo hakufungua duka, nikamtafuta ili nimkumbushe, akasema huko kawe beach hatokwenda, ila Kama nataka kumuona nitafute boda boda nimpe simu aelekezwe sehemu anapoishi huyo dada Kisha anipereke, basi nkajiandaa na kutekeleza maagizo yote.
Hapo ikumbukwe kuwa sikuwahi kumtongoza, kumbe yule dada alikuwa amepanga maeneo ya mbezi mtoni, boda boda alinifikisha sehemu aliyoelekezwa then yule dada akaja kunichukua, (hapo kichwani sina wazo lolote kula mzigo),
Tuliingia ndani kwake tukapiga story za hapa na pale huku akiendelea kupika pilau na nyama roast, mule ndani joto lilizidi ikabidi nivue shati nibaki na vest (shati langu alilitundika ukutani), Tulikula msosi na na kunywa vinywaji, baada ya hapo akasema amechoka anataka kulala,
Basi mi nkampisha akalala ukutani mi nkawa nmekaa mwanzo wa kitanda, nami nikajilaza, ghafla nkauona ule msambwanda ukiwa ndani ya kanga na weupe wa paja lake (kanga ilifunuka kwa pembeni), hapo akili ikanituma nitest mitambo kwa kupeleka mkono Kama vile mtu anayedokoa mboga, nkapereka mkono pajani nkaona kimya, nkashika kiuno naona kimya, nkashika msambwanda katulia tu, nkashika nyonyo katulia tu, basi nkaanza kumshika shika huku akiwa katulia (alikuwa kasinzia nadhani), baadae nkapereka mkono ndani ya pichu nakaanza kuchezea beans, kukawa na maji maji yenye utelezi utelezi, nkavuta kanga ikatoka ikabaki pichu, nayo nkaitoa upande mmoja haikutoka kwa sababu ya position aliyokuwa amelala, nkaongea nkizani hasikii kalala "NYANYUKA KIDOGO NIMALIZIE KUITOA CHUPI" naona mtu kajinyanyua kiunoni huku akiwa kalala wala haongei neno lolote na macho yakiwa yamefumbwa, nkajisemea huyu kaliwa,
Nilipiga bao la kwanza akiwa katulia Kama mzoga, kutafuta cha pili ndipo nilipopewa ushirikiano, nakumbuka nililala pale hadi asubuhi ya kuamkia tarehe 2 January, niliendelea kula mzigo kila weekend, baadae rafiki zangu walinishauri nisipende kulala kwa wanawake, nkaacha na nikahama uteja kwenye hilo duka, alipiga sana simu kila siku kwa muda was almost mwaka mzima,
Aliyedaka majina yangu halisi Facebook akaniomba urafiki nkakausha, baadae baada ya miaka miwili nilikuja kuangalia profile yake nkagundua kaolewa siku si nyingi na amepata mtoto Sasa.
Sent using
Jamii Forums mobile app