Ulishawahi kula tunda kimasihara?
true but mm wife ni mjamzito so unakuta inapita hata miezi miwili tu
yan sometime hata kissing ni shida ukimsumbua sana anakuachia tu kiasi kwamba hata mood hamna
Aash wapi hana mimba wala nn, hayupo tu romantic yupoyupo tu. Ujue wanaume nao mpaka uone mtu anaelekea kuwa na ham ndo uvutiwe naye

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walaj wa madikhara mzingatie hii tahadhali
Screenshot_2020-03-13-21-18-45.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmecheka sana
Ebwanaeee,,,,Haya mambo ya kula Fruits kimaskhara yamekuwa mengi sana,

Mwaka Jana mshikaji wangu alitongoza jimama Hilo hatari,sasa likampa namba wakawa wana chat,

Hilo jimama likamwambia jamaa aende weekend mana lilisema lina ishi lenyewe mitaa ya kilima hewa,na likadai mume wake alishafariki na kuhusu watoto wako shule wanakaa boarding, wakawa wana chat chat ile mbaya mpk mambo ya sex,jamaa akawa ananionyesha anajidai ile mbaya.
Nakumbuka Siku kama ya jumatano ambayo ndo ilikuwa wiki ya kwenda kumtembelea kwake weekend hyo,Lile jimama lilimwambia jamaa kuwa atafute kijana mwingine mana kuna jimama lingine linatafuta kijana,Ebwanaee jamaa akanipa ile taarifa,moyo ulilipuka Paaaaaaaah,,,,,, kama vile nimetupiwa Bomu lilitongenezwa Kwa virusi vya corona,

Pale pale nikapewa namba wazee baba,nikaanza kuchat nae,Mara akaniomba picha,nilivyo mtumia akaniuliza,wew mbona ni mdogo sana?
Nikamjibu Haina shida mtoto mzuri,sawa me ni mdogo lkn Kwa matendo yangu huwa shetan mwenyewe anakaa pembeni kushuhudia game,,,[emoji16]
Nakumbuka baada ya hiyo text alinipgia video call akicheka,Duuuh huendan na maneno yako,akasema hvo.

Siku zilienda huku tukiwa tumeshapanga tukutaniae kwenye nyumba ya yule jimama la mshikaji,

Ebwanaeee nakumbuka wiki ile nilikuwa naona kama vile haiendi mana haya majimama yalikuwa yako njema ile mbaya,ninavyo sema majimama siyo ile mijimama mitupu nyema,hapana aisee,

Nakumbuka ilikuwa ni Siku ya j pili nimeamka asubuhi tu nikakutana na text,eti tuwaandalie nin waume zetu,Nikamwuliza mshikaji,akanambia wapike ugali,akajibu duuuh mnataka mtusugue mpk tukome eti,,,!!

Mida ya saa 4 nikaenda kuchukua ndinga Kwa bro ya kwenda nayo ili kujiongezea thamani,Tukaenda mpk kilima hewa,walioko mwanza wanapajua,tukaelekezwa mpk tukafika Kwa huo mjengo,get Kali mpk nikaanza kuhis hapa kuna hatari ya kufumuliwa malinda mamake,ila mtu mzima nikajikaza tukazama mpk ndani,geti likafungwa Daaaah,Kweli wale wadada walitupokea vzr huku tumepiga pamba zile za kibishoo hasa,na tulisifiwa vya kutosha wazaz.

Tukapiga stori pale sebulen,baada ya nusu saa msosi ukaletwa tukafinya,tulivyo maliza kula,nikashangaa jimama lile la mshikaji likaanza kusema,nyie watoto sikilizen,nyie bado ni vijana wadogo sana,hii tabia ya kupenda wanawake walio wazidi umri siyo nzuri,ebu fikirien wazazi wenu wakijua kwamba sisi tunatoka na nyie watatufikiriaje,Ebu achen umalaya nyie watoto mtakuja kufa vibaya Kwa maradhi[emoji24][emoji24],muda huo hata sielewi Niko wap, yan Nipo Nipo tu huku nimeinamisha kichwa chini,waliongea vitu vingi vya kutushauri mpaka nikajuta kuzaliwa,
Ilibidi tu tuage tuondoke mana duuuh,nakumbuka wiki yote ile hata performance yangu kazin ilikuwa ndogo sana,yani nilihis kama wale wamama wametuvua nguo.[emoji29]

Licha ya wale majimama kutuchamba Siku ile ila hawakuacha kuwa wana tutext kila Siku.

Continued.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2014,nimeenda iringa kwenye graduation ya mdogo wangu.Sasa kuna best friend wangu wa kitambo sana(Ke),ambaye alikuwa anaishi iringa,nilivyomwambia nipo tu akasema nifanye hima nikamsalimie,maana tulikuwa hatujawahi kuonana takribani miaka 5 hivi....

NILIVYOKULA TUNDA KIMASIHARA SASA!!

Alinikaribisha kwake nikakuta kapika ugali na samaki pale,na akaniambia lazima nile!!Baada ya dakika kadhaa akaniambia nifuate chumbani,kimoyomoyo nikasema best friend kulikoni tena!!Kufika ndani tukakaa bed,akaanza kunivua viatu,nilikuwa nimevaa single button coat likavuliwa pia,nikaona nijiongeze tu,nikajikuta namkiss,ebanaa weeh,nilipewa mauno ambayo sitakuja yasahau maishani,kumbe alikuwa na genye kitambo sana na ile baridi ya iringa ilikuwa ni surprise day kwangu..Baada ya hapo ikawa nikihitaji tu nakumbushiaa!!
Sasa hapo ulikula au uliliwa ww kimasihar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just tk be curious tu how come ke n me mnakua so called best friends
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2014,nimeenda iringa kwenye graduation ya mdogo wangu.Sasa kuna best friend wangu wa kitambo sana(Ke),ambaye alikuwa anaishi iringa,nilivyomwambia nipo tu akasema nifanye hima nikamsalimie,maana tulikuwa hatujawahi kuonana takribani miaka 5 hivi....

NILIVYOKULA TUNDA KIMASIHARA SASA!!

Alinikaribisha kwake nikakuta kapika ugali na samaki pale,na akaniambia lazima nile!!Baada ya dakika kadhaa akaniambia nifuate chumbani,kimoyomoyo nikasema best friend kulikoni tena!!Kufika ndani tukakaa bed,akaanza kunivua viatu,nilikuwa nimevaa single button coat likavuliwa pia,nikaona nijiongeze tu,nikajikuta namkiss,ebanaa weeh,nilipewa mauno ambayo sitakuja yasahau maishani,kumbe alikuwa na genye kitambo sana na ile baridi ya iringa ilikuwa ni surprise day kwangu..Baada ya hapo ikawa nikihitaji tu nakumbushiaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom