Ulishawahi kula tunda kimasihara?
1. Nimekula kimasihara demu ndani ya basi la mkoani
2. Nimekula kimasihara mdada niliekutana nae church kwenye ibada
3. Nimekula kimasihara mke wa boss wangu
4. Nimekula kimasihara mama mwenye nyumba na mtoto wake
5.Nimekula kimasihara stranger tu,nilimpa lift ya gari kipindi mvua inanyesha
6. Nimekula kimasihara jirani yangu
7. Nimekula kimasihara mdada wa mpesa

Aya weekend hii,semeni wenyewe nianze na ipi kati ya izo hapo juu
 
Tena Sanaaa,
Nina karibu miaka 10 situmii hiyo kitu na nshawala sanaa, na kipindi natumia ndom nilikua adicted wa malaya wa pale ambiance na wapo wachache nilikua nawala kavu maana mi na ndom hua sipati ladha stahiki, tunakubaliana bao 2 la pili likigoma ndio naomba kavu, ila sio wote walikua wanakubali.
Mi nikikutana na K kavu stimu zinakata maana mchubuko nje nje, maana kuna wengine unatoka apo dudu imejeruhiwa kama umeisugulia kwenye mchanga,

Simaanishi na nyie msitumie mna imani zenu, kila mtu afate kile anachoamnini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kuna dr kwenye maongezi akasema sio rahisi kupata Hiv kama vile tunavyofikiria
Na pia wapo wanaoupata pia kiurahisi
Na ndio maana unaweza kukuta mke na mume au wapenzi wamedumu zaidi ya miaka pamoja lkn mmoja anao mmoja hana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aza na namba moja mpaka ya mwisho
1. Nimekula kimasihara demu ndani ya basi la mkoani
2. Nimekula kimasihara mdada niliekutana nae church kwenye ibada
3. Nimekula kimasihara mke wa boss wangu
4. Nimekula kimasihara mama mwenye nyumba na mtoto wake
5.Nimekula kimasihara stranger tu,nilimpa lift ya gari kipindi mvua inanyesha
6. Nimekula kimasihara jirani yangu
7. Nimekula kimasihara mdada wa mpesa

Aya weekend hii,semeni wenyewe nianze na ipi kati ya izo hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKIPITWA NA HII HUNA HAJA YA KUSOMA SHUHUDA ZOZOTE ITAKUWA AINA MAANA TENA TUNAKUJA KUZIMA NA KUFUNGUA TENA NAONA KULIPOA SASA KWA HISANI YA WANA NITASHUSHA KITU ILI MAMBO YAWE SAWA .............MWAMBIE NA MWENZIO MIKITO MIKITO KARUDI NA ANASHUSHA KITU .....
KAMA UNA MKATE ANDAZI CHAPATI NJOO NAYO CHAI IPO YA RANGI NA MAZIWA
KAMA NI MTU WA KUAMINI BASI BAKI NA MIMI MPAKA MWISHO NA ENDELEA KUAMINI .......
 
1. Nimekula kimasihara demu ndani ya basi la mkoani
2. Nimekula kimasihara mdada niliekutana nae church kwenye ibada
3. Nimekula kimasihara mke wa boss wangu
4. Nimekula kimasihara mama mwenye nyumba na mtoto wake
5.Nimekula kimasihara stranger tu,nilimpa lift ya gari kipindi mvua inanyesha
6. Nimekula kimasihara jirani yangu
7. Nimekula kimasihara mdada wa mpesa

Aya weekend hii,semeni wenyewe nianze na ipi kati ya izo hapo juu

anza ya mama mwenye nyumba na binti yake
 
UKIPITWA NA HII HUNA HAJA YA KUSOMA SHUHUDA ZOZOTE ITAKUWA AINA MAANA TENA TUNAKUJA KUZIMA NA KUFUNGUA TENA NAONA KULIPOA SASA KWA HISANI YA WANA NITASHUSHA KITU ILI MAMBO YAWE SAWA .............MWAMBIE NA MWENZIO MIKITO MIKITO KARUDI NA ANASHUSHA KITU .....
KAMA UNA MKATE ANDAZI CHAPATI NJOO NAYO CHAI IPO YA RANGI NA MAZIWA
KAMA NI MTU WA KUAMINI BASI BAKI NA MIMI MPAKA MWISHO NA ENDELEA KUAMINI .......
Kuiga sio vizuri sana, lakini ikitokea unaiga kwa ajili ya kuwa bora zaidi ya jana ni vizuri zaidi,

Hakuna kitu kinaboa kusoma kama maherufi makubwa kama sentensi

Naamini ukileta hiyo chai utazingatia kanuni za uandishi vizuri

Najua wengi hawapendi nimewasemea pia.
 
UKIPITWA NA HII HUNA HAJA YA KUSOMA SHUHUDA ZOZOTE ITAKUWA AINA MAANA TENA TUNAKUJA KUZIMA NA KUFUNGUA TENA NAONA KULIPOA SASA KWA HISANI YA WANA NITASHUSHA KITU ILI MAMBO YAWE SAWA .............MWAMBIE NA MWENZIO MIKITO MIKITO KARUDI NA ANASHUSHA KITU .....
KAMA UNA MKATE ANDAZI CHAPATI NJOO NAYO CHAI IPO YA RANGI NA MAZIWA
KAMA NI MTU WA KUAMINI BASI BAKI NA MIMI MPAKA MWISHO NA ENDELEA KUAMINI .......
Wewe utakuwa umekula Bata kimasihara Mkuu!!

Typed Using KIDOLE
 
Duh hadi kwa wale malaya wa ambiance ulikuwa unaenda kuomba ugonge ngozi kavukavu? Nahisi health status yako utakuwa unaijua mkuu,sidhani na ntakuwa wa mwisho kuamini mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kuendekeza dry kwa stranger na asiwe muumini kbsaaa wa ndomu ilihali awe haijui health status yake,nahisi mtu wa jinsi hiyo ni lazima awe anaijua situation yake ya afya ikoje ndo maana wengine ndom wanaweka kipaumbele labda itokee tuu
Mkuu sina ufahamu kabisa kuhusu mambo ya afya zaidi ya kujua huwezi ambukizwa hadi upate michubuko, ilikua inatokea mara kadhaa najilaumu kula kavu baadhi yao lkn nikishakua kwenye tukio nasahau yote nakula tena kavu,
Yaani mimi kuliko kula na ndomu bora nipige selfie,
Kwenye habari ya kupima hofu lazima iwepo, nshawahi kimbia majibu pale lidas miaka flani lkn baada ya kuoa ikawa kupima haikwepeki mambo ya clinic.
Na nshawahi kuuguza adi kufa mama yangu mdogo kwa uo ugonjwa alikua bonge lkn alikufa akiwa km mtoto wa miaka 10,

Nikiwa na akili zangu kawaida nahisi kauoga flani hivi, lkn nkishakutana uso kwa uso na K najisemea NIWE NAO NISIWE NAO NTAKUFA TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hadi kwa wale malaya wa ambiance ulikuwa unaenda kuomba ugonge ngozi kavukavu? Nahisi health status yako utakuwa unaijua mkuu,sidhani na ntakuwa wa mwisho kuamini mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kuendekeza dry kwa stranger na asiwe muumini kbsaaa wa ndomu ilihali awe haijui health status yake,nahisi mtu wa jinsi hiyo ni lazima awe anaijua situation yake ya afya ikoje ndo maana wengine ndom wanaweka kipaumbele labda itokee tuu
Na kila mtu ana ujasiri wake mkuu usije kuiga tu, ktk maisha yangu yote ya kula papuchi sijawahi ugua ugonjwa wa aina yoyote ile sehemu za siri hata kuwashwa tu kwa masaa, sijisifu ila ndio ukweli nahisi imechangia kuzidi kunipa ujasiri wa kula kavu hadi leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom