Hahahahah.kweli hii ni jamiiforums yenye watu wenye mtazamo tofauti.
Well, here are the facts.
Nilikua mgeni kidogo kwenye mahusiano, na niliona kwavile tumeshado labda tungejenga uhusiano ila ikawa tofauti....kweli ana tiny dick, labda awe amefanya surgery baadae kama hua ipo....alijaribu kufanya mbinu nyingi na nyingine kunichafua ili awe na mimi baada ya kuona niko kwenye tight relationship..
Simkumbuki hata chembe sababu kusema ukweli tusingewezana tabia,ni mtu wa majivuno na kujikweza sana, na u.huni sana.
Ukweli kama ana mke anamvumilia mnoooooo..hiyo ni fact unless na mwanamke awe na makandokando yake..sijui kama kuna mwanamke atavumilia mwanaume mwenye kibamia, kitandani zero, halaf player na selfish, naaaaah
Simkumbuki hata kidogo...nimekuja kutoa kisa hiki sababu kuna a lesson kwa wanawake na wanaume..