Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezeeka ila sio mainiNajipitia mie nshazeeka
Tubu jamaa yangu! Hiyo ni laana umejitafutia.mke wa mtu? Dah...mbaya sana kiongozi..fikiria jamaa yake anavyoparangana juani halafu unamtombea! Yaani huyo dada kaona unaanza ujenzi kaingia tamaa..sasa elfu 15 imesaidia nini?
Mwaka 2017 rafiki yangu mmoja alinijulisha kuna viwanja vinauzwa nje kidogo ya Igoma,jijini Mwanza.Nikafuata taratibu zote za malipo nikawa nimenunua kimojawapo.Sasa kwa kuwa sikuwa na pesa ikabidi nisubiri nijichange kidogo ili nianze hatua za awali za ujenzi ambao ilikuwa ni msingi.
Mungu si Athumani mwaka 2018 nikaanza ujenzi wa msingi.Hatua hiyo ikawa imekamilika.Nikaendelea kusubiri nitafute pesa ili niendelee na hatua ya kuinua boma.Bahati nzuri mwaka jana mwezi wa sita nikawa nimempata fundi mmoja maarufu kwa jina mkerewe akaanza kuniinulia boma!
Sasa wakati mafundi wakiwa siku ya pili changamoto kubwa ikawa ni wapi watakuwa wanapata chakula je waende kwa Mama Ntilie,Majumbani kwao au wakodi mpishi atakayekuwa anawaandalia chakula.Wazo la kwenda kwa Mamantilie likapitishwa ila walipolianza tu wakagundua wanachelewa sana kurudi kazini hivyo wakakubaliana watafute mpishi.Jirani na site yangu kuna mdada mmoja maji ya kunde,msukuma pyua,mfupi ana tako kubwa na ambaye alikuwa anapenda kutengeneza nywele zake kwa mtindo wa Rasta akawa amekubaliana nao kuwapikia!Huyu dada kaolewa na mumewe ni Machinga anayeuza Radio,Solar ndogo ndogo,nguo nk minadani.Ndoa yao ilikuwa na miezi 6 tu.
Yule fundi pamoja na vibarua wake wake wakawa na utani wa hapa na pale na yule binti.Mimi kwa kuwa sikumzoea tukawa tunajuliana hali tu. Siku moja fundi akawa ameuguliwa mzee wake hivyo ikambidi akimbie Lamadi bila hata kunipa taarifa mimi wala vibarua wake.Vibarua wakafika site nami pia nikafika.Baada ya kumpigia atueleze alipo ndipo akasema yupo kwa mgonjwa,hali hiyo ikapelekea vibarua waondoke mmoja mmoja isipokuwa mmoja tu aliyekuwa akifanya shughuli ndogondogo.Yule mke wa mtu akafika na kunieleza anaingia ndani kwake ila ikitokea watu wa mkaa wanapita nimmuite au niwasimamishe!Nikakubali ila nikamuomba namba ya simu ili iwe rahisi kumuita!Yule binti akawa amenipatia namba.Bahati mbaya hawakupita nikampigia na kumjulisha!
Baada ya kuwa na namba ya huyo binti siku moja ilikuwa ni ijumaa nikamtumia text nikimtania nimnunulie bia akawa kakubali.Ila akasema nisubiri jumamosi.Yule binti akanieleza kuna gulio sehemu moja inaitwa Nyamikoma,Nassa hivyo atasafiri na kama nipo tayari kumnunulia pombe basi tukutanie Magu ila kuanzia saa 5 ataondoka kwenda Nyamikoma!Nikamkubalia!Basi asubuhi around saa 1:30 nikawa nimefika Magu na baada ya muda akanistua yupo Magu tayari.Nikatoka stand ya Magu nikakuta kakaa kwenye ule mtaro unaotoka juu maeneo ya Bank ya NMB opposite na Lake Luth Guest House!Kanivalia kimini kilichombana sawasawa matako yake!Akaniuliza sema sasa ulikuwa una utaratibu gani?Nikamjib tukutanie sehemu nyingine!Akauliza wapi nikamjibu twende Mississipi Lodge(ipo opposite na kiduka cha madawa ya kilimo na mifugo)!Nikamuelekeza akaingia kwa kupitia mlango wa mafichoni mi nikapitia mlango wa mbele!Gharama ya ile Lodge ni 3000!
Tulivyoingia chumbani kaanza kuvua kwa aibu,shanga moja kiunoni akazima simu kisha nami nikavua tukatupiana kitandani mpaka saa 10:30 Asubuhi.Baada ya hapo nikawa nimempa 15000.Nilichobaini wanawake wana siri kubwa mno huyu dada pamoja na kwamba mumewe ni mkali na anachunguza sana simu yake bado tunawasiliana!
Umeandika kama unakimbizwa boss, story nzuri ila ulivoiwasilisha wachache watakuelewa, kaa utulie uandike ueleweke.Inaendelea...Part 2 hii
NILIAHIDI KUENDELEZA KULA KIMASIARA MAZA ALIENIZIDI ZAIDI YA 20YRS
Mwaka 2006 nilikua nauza duka maeneo flani hivi wilaya ya Ilala hapa DSM kama unavyojua kazi ya dukani unajuana na watu wengi sana kipindi hicho nina kama kama 16yrs basi kila weekend alikua anakuja mmaza flan mkali anafungasha mazaga ya home kama ya kutumia wk nzima. Alikua anakaa na mtoto wake na mfanyakazi wa ndani.
Huyu mmaza alikua mkali sana lakini alikua kashachoma nguo tayari. Basi nikaja acha kazi pale dukani nikachek ramani zingine jijini.
Mwaka 2012 nikiwa Sokota Kisuma kama Kawaida wakati wa bata nilipenda kulia hapo. Nakumbuka ilikua ni iddi pili mida ya jioni kama saa 12 hivi. Naagana na washkaji ili kurudi geto mana nimepiga maji siku 2 nzima nilijihs nimechoka.
Natoka mlangoni nakutana na sura ya maza yule kwanza mm sikumjua kwa haraka mana ulipita muda toka niache kaz ile. Mara naskia sauti eeh dogo hujambo? Nikajibu sijambo tukaanza kukumbushana mpaka tukakaa sawa.
Akatoka akaenda toilet,sa nikabak najiuliza huyu maza ina mana anapiga mishe hapa(yani kujiuza au kaja leo tu) sikupata jibu la haraka mana kabla sikuwah kumwona hapo.
Alikua kavaa kisketi flani hivi kinachomchoreaha sana,nikajisemea hapa lazma NITEKENYE MZIGO aliporudi sababu sikua na muda nikaomba no kwa ajili ya mawasiliano kwa baadae,nikapewa nikabep kabisa isije kuwa ya gari.
Nilikaa kama siku 4 hivi nikatekenya mzigo ukaitika kweli,nilionana nae siku ya pili baada ya kutekenya nikapiga ngozi vya kutosha baada ya kuachana sikumchek tena mana papuchi yake haikua na joto la kutosha,alikuja kunichek kikamblock nikumuuzia mshkaji wangu lakini hakuweza kupiga.
Bado 1 itaendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akuepushie korona mkuuuMaisha bwanaa!! Nakumbuka kati ya mwaka 2011 au 2012 nipo zangu makao makuu ya nchi . Mchana narudi zangu nilikopanga nakutana na heka heka za wanafunzi wa udom na mabegi yao , kuuliza naambiwa walikuwa na mgomo so chuo kimechukua uamuzi wa kufunga chuo mpaka watapotangaziwa kurudi tena chuo na hawatakiwi kuonekana eneo la chuo.nikaelekea zangu magetoni kujipumzisha.ilivyotimia mida ya saa moja hivi nikaamka ili nikale mgahawani ..nafika kwa mama ntilie nakutana na warembo wawili na mabegi yao wamesimama tu nikawapa hi pale na nikaagiza msosi wangu mara mmoja akanifuata akaomba niwanunulie chakula sikuwa na hiyana nikawaambia waagize wakati tunakula ndipo walipoanza kunisimulia yaliyowasibu wakasema chuo kimefungwa ghafla na hawana nauli ya kurudi kwao mwanza na pia hawana pesa hata ya kukaa lodge.wanasubiri watumiwe nauli mpaka mda huo bado hawajatumiwa.nikawaambia kama hawatajali basi waje kwangu tutalala wote watatu. wakashauliana palee wakakubali [emoji3060].mwamba nikawasaidia begi moja mpaka kwenye gheto langu.wakaomba kuoga nikawaonyesha bafu lilipo kila mmoja kwa wakati wake akaenda kuoga me nikazuga zangu nje kuwapa uhuru...baada ya wao kujiswafi ikafika zamu yangu nikavua nguo mbele yao hahahahaha warembo wanaona aibu tu me sina time na mtu ...huyo nikajifunga taulo nikaenda zangu kuoga ..nikarudi nakuta washatumbukia kwenye kitanda tayari.nikawatania naomba kulala katikati yao bila ubishi wakaniachia nafasi nikajilaza na kaboxer kangu mimi nikalala chali wao kila mtu upande wake akanigeuzia mgongo tukawa tunapiga story mbili tatu...mimi huku abdallah kichwa wazi kashaanza kupata motoo napiga story ila nawaza jinsi ya kumwingilia hata mmoja wao nimpe koni. piga story weee! wakapitiwa na usingizi mimi usingizi hauji antenna ipo juu inasaka mawimbi ikabidi nitest zali aisee nikamgeukia yule wa ukutani nikaanza kufanya mautundu kuja kumshika kumbe kalala na taiti tu daaaah borooo likazidi vimba aisee nikaanza shika kiuno chake taratibu naenda napapasa mpaka kwenye K kwa juu naona mtu kimyaaa nikaingiza mkono kwenye taiti nikaanza sugua kisimi naona demu anajinyonga nyonga tu nikazidisha mautundu ulimi sikioni mamaye demu akanigeukia mwenyewe na kuanza kula mate huku haogopi kama mwenzie kalala pembeni.. hahaha nyege hizi nikamnong'oneza aikalie demu akapanda juu ingiza machine, K tight then ya moto kama jiko la mkaa demu kata mauno kama mashindano vile akaanza kulia kwa utamu kwa nguvu najaribu kumzuia wapiiiii mara nikajikuta nashikwa na mkono na yule mwingine hahahaha kilichoendelea siri yangu aiseee nilikaa na wale mabinti karibu siku nne hivi nikawa kama nimewaoa vileee,
Nakirii sijawahi faidi mapenzi kama ya wale wadada walijua kunifurahishaa na niliwafurahishaa.asanteni
Mwaka 2017 rafiki yangu mmoja alinijulisha kuna viwanja vinauzwa nje kidogo ya Igoma,jijini Mwanza.Nikafuata taratibu zote za malipo nikawa nimenunua kimojawapo.Sasa kwa kuwa sikuwa na pesa ikabidi nisubiri nijichange kidogo ili nianze hatua za awali za ujenzi ambao ilikuwa ni msingi.
Mungu si Athumani mwaka 2018 nikaanza ujenzi wa msingi.Hatua hiyo ikawa imekamilika.Nikaendelea kusubiri nitafute pesa ili niendelee na hatua ya kuinua boma.Bahati nzuri mwaka jana mwezi wa sita nikawa nimempata fundi mmoja maarufu kwa jina mkerewe akaanza kuniinulia boma!
Sasa wakati mafundi wakiwa siku ya pili changamoto kubwa ikawa ni wapi watakuwa wanapata chakula je waende kwa Mama Ntilie,Majumbani kwao au wakodi mpishi atakayekuwa anawaandalia chakula.Wazo la kwenda kwa Mamantilie likapitishwa ila walipolianza tu wakagundua wanachelewa sana kurudi kazini hivyo wakakubaliana watafute mpishi.Jirani na site yangu kuna mdada mmoja maji ya kunde,msukuma pyua,mfupi ana tako kubwa na ambaye alikuwa anapenda kutengeneza nywele zake kwa mtindo wa Rasta akawa amekubaliana nao kuwapikia!Huyu dada kaolewa na mumewe ni Machinga anayeuza Radio,Solar ndogo ndogo,nguo nk minadani.Ndoa yao ilikuwa na miezi 6 tu.
Yule fundi pamoja na vibarua wake wake wakawa na utani wa hapa na pale na yule binti.Mimi kwa kuwa sikumzoea tukawa tunajuliana hali tu. Siku moja fundi akawa ameuguliwa mzee wake hivyo ikambidi akimbie Lamadi bila hata kunipa taarifa mimi wala vibarua wake.Vibarua wakafika site nami pia nikafika.Baada ya kumpigia atueleze alipo ndipo akasema yupo kwa mgonjwa,hali hiyo ikapelekea vibarua waondoke mmoja mmoja isipokuwa mmoja tu aliyekuwa akifanya shughuli ndogondogo.Yule mke wa mtu akafika na kunieleza anaingia ndani kwake ila ikitokea watu wa mkaa wanapita nimmuite au niwasimamishe!Nikakubali ila nikamuomba namba ya simu ili iwe rahisi kumuita!Yule binti akawa amenipatia namba.Bahati mbaya hawakupita nikampigia na kumjulisha!
Baada ya kuwa na namba ya huyo binti siku moja ilikuwa ni ijumaa nikamtumia text nikimtania nimnunulie bia akawa kakubali.Ila akasema nisubiri jumamosi.Yule binti akanieleza kuna gulio sehemu moja inaitwa Nyamikoma,Nassa hivyo atasafiri na kama nipo tayari kumnunulia pombe basi tukutanie Magu ila kuanzia saa 5 ataondoka kwenda Nyamikoma!Nikamkubalia!Basi asubuhi around saa 1:30 nikawa nimefika Magu na baada ya muda akanistua yupo Magu tayari.Nikatoka stand ya Magu nikakuta kakaa kwenye ule mtaro unaotoka juu maeneo ya Bank ya NMB opposite na Lake Luth Guest House!Kanivalia kimini kilichombana sawasawa matako yake!Akaniuliza sema sasa ulikuwa una utaratibu gani?Nikamjib tukutanie sehemu nyingine!Akauliza wapi nikamjibu twende Mississipi Lodge(ipo opposite na kiduka cha madawa ya kilimo na mifugo)!Nikamuelekeza akaingia kwa kupitia mlango wa mafichoni mi nikapitia mlango wa mbele!Gharama ya ile Lodge ni 3000!
Tulivyoingia chumbani kaanza kuvua kwa aibu,shanga moja kiunoni akazima simu kisha nami nikavua tukatupiana kitandani mpaka saa 10:30 Asubuhi.Baada ya hapo nikawa nimempa 15000.Nilichobaini wanawake wana siri kubwa mno huyu dada pamoja na kwamba mumewe ni mkali na anachunguza sana simu yake bado tunawasiliana!
Hiyo nyumba sijui ina hatua gani.
Pili ameanika sana hizi taarifa ni rahisi kufahamika.
Tatu, hii nayo ni sifa?
Mnakulana gizani lakini unakuja kusema hadharani, hii imekaa je?
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika utaiona pepo[emoji4][emoji4][emoji4]
Lin unamaliziaNina stori za kula machangudoa wa3 kimasiara tena location 1 kwa siku tofauti
Part 1
Hii yote ilikua kipindi cha JK pesa ilikuepo sana na sehem za bata nilipenda kulia pale Kisuma eneo la sokota (shugarey zamani) sababu kulia na jamaa zangu pale.
Usiku wa kusubiri pasaka tumekaa eneo la katikati ya gest tunakula bia tunekaa vidume tupu mara akaja changu m1 kujichanganya lakini hana support yoyote kwa vidume. Akachek ile style akagundua mm ndo nakichafua pale. Ilikua kama saa 8 usiku akanisogelea akaniambia nichukulie hata kiroba(pombe za karatasi zamani)kimoja nitoe baridi nikamjib alafu? Akasema nakuskiza ww. Akaniuliza una chumba hapa nikamjib sina basi akasema nirekebishie cha 400/= afu twende chooni
Nikampa 500 kipindi icho ni ya noti akatoka nje na kurudi na kiroba chake akapiga akamaliza akanibonyeza akatangulia chooni. Nikazuga kama dk 1 hivi nikaenda akafungua mlango nikazama akatoa ndom kanivalisha nikapiga mbuzi kagoma mule chooni ki1 cha afya nikarud kupiga maji.
Hata no sikuchukua ila tulikaa kama hatujafanya kitu na hata washkaji hawakujua chochote kilichokuwa kikiendelea.
Njaa haijawahi kumuacha mtu salama kabisa hata nikimuona leo sikumbuki tena huyo demu.
Part 2 inakujia...NILIKULA KIMASIARA MAZA AMENIZIDI 20YRS HAPO HAPO
Sent using Jamii Forums mobile app