Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kama MD ana akili na yupo humu atakuwa ameshakufahamu. Ulipotaja branch ya Mbeya na Arusha ndio ulipounguza picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisa Mbeya na Arusha ndio code zenyewe. Yaani haikuwa Mbeya wala Arusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mbeya na Arusha (smoke surface) zimewekwa ili kupoteza lengo na wala hakuna branch usikute ni ofisi moja tu.
Wataalam watanielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wa JF kila anayepanga nyumba basi anapanga chumba na sebure tena self contained room, utasikia "tulihamia chumbani then tukaenda kuoga"

Hapo kazi yenyewe siyo ya professional yake, na tayari ana sofa na TV ndani na kitanda kabisaaa chenye godoro,

Kwa wale wenzangu na mimi tunaoishi maisha ya kupanga nadhani mnanielewa,
Najaribu kufikiria hizi gharama ulizimudu vipi ???

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yangu kwani wewe unadhani waliopo humu Jf ni watu wa namna gani?
Ushawahi kukutana na member walau 10 tu wa Jamii forums?

Kupanga chumba na sebule ni kiasi gani mpaka unaogopa?

TV na sofa ni gharama kiasi gani mpaka unapata mashaka kwamba watu hawana vitu hivi?

Hivi ni vitu ambavyo hata vibarua tu wanamiliki.

Watu wameanza kupanga wakiwa mwaka wa kwanza chuoni. Sio ajabu mtu kuwa na sofa kutoka kwa fundi Jose.

Wapo tuliopata kazi hata kabla ya kumaliza chuo. Sasa TV na sofa ni mshahara wa mwezi mmoja.

Aidha hujui namna ya kupanga maisha yako au umeamua kuridhika na maisha magumu.

Nawafahamu vijana wanaoendesha bodaboda/bajaji ambao wamepanga chumba na sebule na kumiliki hizo TV na sofa.

Sasa nikueleze tu, nimewahi kukutana na wana Jf kadhaa na hawaishi kwenye chumba sebule bali apartment na wana maisha mazuri tu.
Humu ndani kuna watu wa levels tofauti sana. Kuna waliojenga, wenye makampuni, wenye biasahara kubwa na wanaomiliki vitu vya thamani. Kuna wenye maisha ya "uchumi wa kati" hawa ni wengi zaidi; kwao kumiliki TV na sofa sio tatizo, kupanga chumba na sebule pia sio tatizo kabisa.

Sasa wewe endelea kuangalia rafiki zako hapo mtaani kwako Kisha ndio ulinganishe na watu wa Jf.

Umaskini huu wa watanzania umetufanya tuukumbatie sana. Hakuna sifa kuishi maisha magumu ongeza juhudi, weka malengo na timiza malengo ili uishi vizuri.
Mindset ya kukumbatia hali ya umaskini ni mbaya kuliko umaskini wenyewe


Badilika ndugu yangu. Jifunze kutoka kwa watu. Naamini utafika wakati utamiliki vitu vyenye thamani zaidi ya TV na Sofa.

Inshallah.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yangu kwani wewe unadhani waliopo humu Jf ni watu wa namna gani?
Ushawahi kukutana na member walau 10 tu wa Jamii forums?

Kupanga chumba na sebule ni kiasi gani mpaka unaogopa?

TV na sofa ni gharama kiasi gani mpaka unapata mashaka kwamba watu hawana vitu hivi?

Hivi ni vitu ambavyo hata vibarua tu wanamiliki.

Watu wameanza kupanga wakiwa mwaka wa kwanza chuoni. Sio ajabu mtu kuwa na sofa kutoka kwa fundi Jose.

Wapo tuliopata kazi hata kabla ya kumaliza chuo. Sasa TV na sofa ni mshahara wa mwezi mmoja.

Aidha hujui namna ya kupanga maisha yako au umeamua kuridhika na maisha magumu.

Nawafahamu vijana wanaoendesha bodaboda/bajaji ambao wamepanga chumba na sebule na kumiliki hizo TV na sofa.

Sasa nikueleze tu, nimewahi kukutana na wana Jf kadhaa na hawaishi kwenye chumba sebule bali apartment na wana maisha mazuri tu.
Humu ndani kuna watu wa levels tofauti sana. Kuna waliojenga, wenye makampuni, wenye biasahara kubwa na wanaomiliki vitu vya thamani. Kuna wenye maisha ya "uchumi wa kati" hawa ni wengi zaidi; kwao kumiliki TV na sofa sio tatizo, kupanga chumba na sebule pia sio tatizo kabisa.

Sasa wewe endelea kuangalia rafiki zako hapo mtaani kwako Kisha ndio ulinganishe na watu wa Jf.

Umaskini huu wa watanzania umetufanya tuukumbatie sana. Hakuna sifa kuishi maisha magumu ongeza juhudi, weka malengo na timiza malengo ili uishi vizuri.
Mindset ya kukumbatia hali ya umaskini ni mbaya kuliko umaskini wenyewe


Badilika ndugu yangu. Jifunze kutoka kwa watu. Naamini utafika wakati utamiliki vitu vyenye thamani zaidi ya TV na Sofa.

Inshallah.


Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, mpaka hapa nadhani jamaa atakuwa amekuelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 24 March 2020 nilikula tunda kimasihara kutoka kwa mtumishi wa Chuo kimoja mkoa fulani hapa bongo.
Huyu dada tumepanga naye hapa ninapoishi (ni nyumba mbili tofauti katika uzio mmoja).
Kutokana na tangazo la Mheshimiwa Waziri Mkuu basi na yeye kwa kuwa ni mtumishi katika chuo tukajikuta wote tunaamka na kushinda nyumbani kutokana na janga la Corona. Huyu tulizoeana kwa kuitana "neighbor" kila tunapoonana.
Tarehe 24 March nilikuwa natoka majira ya saa tano asubuhi, ndipo aliponisimamisha na kuniomba nimchukulie baadhi ya mahitaji huko niendako maana yeye anahofia corona. Akanipa orodha ya mahitaji pamoja na hela.
Nikiwa nafanya manunuzi akanitumia meseji ( tulipeana namba alipohamia miezo kadhaa nyuma lakini hatukuwa tukichati wala kupigiana simu). Meseji ilisomeka hivi " neighbor samahani naomba uninunulie na pedi" nilijibu tu kwa kifupi "sawa", meseji nyingine ikaingia "small size" na akataja brand ya pedi anayohitaji.
Nilirudi majira ya saa saba na kumkabidhi mizigo yake na alionekana kama ana huzuni hivi, nikahisi labda maumivu ya tumbo la period. Nikamwambia pole, inaonekana ukiwa kwenye period unapata maumivu. Huyu dada mtu mzima aliniangalia kisha akaniambia "bado sijaanza period ila mgongo unauma, nahisi kwa sababu ya kulala sana."
Nilimtakia pole na kumwambia unahitaji massage(masaji-kukandwa) na mazoezi ili uwe sawa.

Alinishukuru nami nikarudi kwangu.
Majira ya saa kumi nikiwa nimeshashiba dona na dagaa wa mwanza; akatuma sms "neighbor kipi rahisi mtu anikande au nikafanye mazoezi?" . Nikamjibu ni "rahisi mtu akukande". Binti akaandika " ila eneo la mgongo kumwachia mtu akukande ni hatari", nikamjibu "wapo watu waaminifu"
Nikajibiwa "wewe ni miongoni mwa hao waaminifu" nikaandika kwa herufi kubwa "NDIO" binti akatumia dakika tano kisha akaandika "njoo".
Niliisoma hiyo meseji mara tano kujiridhisha maana nilihisi kama nipo ndotoni hivi.

Nilifika huku nikiwa na wasiwasi, dada alinikaribisha wakati huu alikuwa na night dress ya pink (zile laini zinazomeremeta) huku naye akionyesha aibu. Niliingia na kukaa sebuleni huku yeye akirudishia mlango, akaniambia shughuli ya kukandana ni huko bedroom.
Alitangulia kuingia na moja kwa moja akajilaza kifudifudi kitandani akiwa na night dress huku akinionyesha mafuta (lotion) kwenye dressing table yake.
Nilichukua mafuta na kuanza kukumbuka nilichofanyiwa kwenye Spa moja pale mji mkongwe Zanzibar.

Nilijipaka na kuanza kukanda miguu na vidole, nikapanda mpaka magoti kwa nyuma niliminya pale kwenye maungio binti akaguna mmhhhhh! Na kusema embu rudia hapo kwa sauti ya kichovu.
Zoezi liliendelea mpaka kwenye mapaja, huku akiwa na night dress yake. Sauti za miguno zilizidi na mimi hali yangu haikuwa njema sana. Nikiwa nakaribia eneo la matako akauliza "neighbor nitoe hii gauni" nikamwambia itakuwa vizuri zaidi. Alitoa ile night dress na shughuli ikaendelea akiwa amebaki na chupi na sidira. Hapo sasa niliweza kuona vizuri umbo la mwanamke huyu.
Nilipofika eneo la juu pa mgongoni nikatoa lock za sidia. Sasa hapo nikawa namkanda kwa kushuka mpaka upande wa maziwa kwa pembeni. Binti aliongeza miguno na kugugumia kwa sauti iliyochoka.
Nikafika mabegani nikiwa nimesimama kwa kuinama pembeni ya kitanda, nikaona mkono wa kushoto wa jirani kama unatafuta kitu mwilini mwangu, akanishika eneo la paja akapanda juu mkono juu ya pensi na kukamata mnara (mb****) ambayo ilikuwa imesimama. Akaiachia na kuanza kushusha pensi, nikaona nimsaidie, nikaachana na kumkanda nikashusha pensi huku nimeunganisha na boxer. Nikavuta chupi ya binti, akatanua miguu nami nikatoa chupi bila kizuizi.
Nikamwekea mto chini ya kiuno kwa mbele, akajibinua kidogo, nikampeleka alichokuwa anataka. Nikajilia tunda kwa dakika kadhaa mwanamke akafika, nami nikamwachia mzigo wake humo humo ndani.

Tukajilaza hapo huku jirani akijifanya kushtuka kwamba ni bahati mbaya na hajisikii vizuri kwa kilichotokea.
Sikumjibu chochote nilimpinda shingo na kumla denda huku akijaribu kunitoa, Ila kwa jinsi nilivyombana akaonyesha ushirikiano. Nikamwachia huku akitabasamu kitandani.
Nikaingia bafuni, nikavaa boxer na pensi na kurudi kwangu.
Nikamtumia text "we mwanamke mtamu sana"., Akajibu "nyoo, ushanivua chupi hivyoo".

Saa mbili usiku jirani akanipigia simu na kuniambia 'njoo ule jirani'.
Nilijisogeza na kupata mlo, kisha nikamshawishi na hatimaye nikaenda kulala naye kwangu.
Corona ni mbaya lakini imeniletea bahati maana kwa hii hali ya hewa hapa najilia tunda tu bila kipimo.
Na uzuri huyu mwanamke yaani anapenda huu mchezo kuliko kawaida.


Note: -
Sikutumia kondom, tumeshapima na tupo salama. Wale wa kuandika nikapime.

Hii inaweza kuwa safari ya ndoa kwa ndugu yenu.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni ndoa moja kwa moja . Ila hapo wewe ndio umeliwa kimasihara kwa hio weka rekodi sawa
 
NILIVYOMTAFUNA STAFF MWENZANGU KIMASIHARA!

Wote tunafanya kazi kwenye Kampuni moja ila branch tofauti kila mmoja yupo mkoani, tulifahamiana kupitia vikao vya kwenye simu (Teleconference) na kwa bahati nzuri Head wa department yetu aliniteua kuwa chairman wa kila kikao, nilipata umaarufu maandazi coz nilikuwa naendesha kikao vizuri sana na muda mwingine naziba mashimo ya wana wakati wa utoaji wa report kwa head wetu ila hali ilikuwa tofauti huyu manzi tulikuwa hatuivi sana alikuwa ana nata sana alafu mtu wa mood sana na mimi shida yangu nilikuwa straigt forward hivyo alikuwa anajitahidi sana kuni out smart lakini alikuwa anaangukia pua daily hii ilimpa hasira sana.

Kuna system mpya ilifungwa na tukafanyiwa online training watu wengi walitoka patupu nashukuru MUNGU nilimaster haraka nikaanza kuwatrain washkaji kupitia simu, kimbembe kikaja huyu manzi amekwama kunichek anaona noma zikapita siku mbili hajasubmit application hata moja Boss alipomuuliza akasema system knowledge inamsumbua akaambiwa mtafute Ibanda1 sasa hivi, Mamzi akanivutia waya kwa heshima nikampiga pindi akaelewa sana nikashangaa ametuma email ya appreciation nikamshukuru kutoka hapo akawa na adabu sana. Nilikuja kupewa story kwamba mamzi hyo jeuri anapewa na MD coz anammega.

Baada ya miezi miwili tulipewa mwaliko wa kwenda Dar makao makuu ya kampuni kwa ajili ya mafunzo wiki moja, tukatumiwa ticket za ndege kila mtu alikuwa na shauku ya kumfahamu mwenzake coz tulikuwa tunawasiliana kwa simu tu, Basi ile najiandaa kwa ajili ya safari nikakuta whatsp text ya manzi "See you there" nikamjibu "poa" yeye anatoka Arusha mimi natokea Mbeya....Mida kama ya saa nane nikawa nimetua Dar nikiwa natafuta usafiri wa kwenda kawe coz nilishachukua chumba Myfair nikaona text yake "I'm in Dar" mkulungwa nikauchuna sikutaka sana shobo coz nilijua huyu demu ni chakula ya Mkubwa. Baada ya kufika hotelini mida ya saa kumi nikamtext kumuuliza amefikia wapi akasema amefikia kwa rafiki yake Kinondoni nikamwambia mm nipo Mikocheni myfair story zilikata.
Wana wakapanga tuonane Morocco ili tufahamiane nikachukua bajaji hadi maeneo ile nashuka tu nilimuona manzi anashuka kwenye tax ni pisi kali kinyama white,wet lips, urefu wastani ila shida alifunga hips na ngongingo hatari basi mhuni nikajivunga nikampita ile nimepiga hatua tatu mbele nikasikia yule mamz ananiita aiseee nilihisi ganzi mwili mzma but nikajikaza kimasikini jeuri akaniambia washikaji wamekaa pale, baada ya kugundua kuwa sijamtambua akajitambulisha ndo nikapata jibu kwann MD amehonga branch hii pisi...alinishangaa akisema alidhani mimi ni Mmbaba kumbe katoto ila alisifu confidence yangu, alivyosema katoto nikajua huyu kashanipangusa kwenye list yake hata hivyo sikujali coz hakuwa mpango wangu. Baada ya kujumuika pale na kufurahi hadi mida ya saa tano dem akanitext "unaondoka saa ngapi?" nikamwambia sasa hv coz mm nilikuwa sigongi mvinyo hvyo juice zilinijaza tumbo, nikamchokoza kwa kumwambia tuondoke akasema poa ila sharti atangulie yeye mmmmmh nikahisi hapa mbona kama najaribiwa, akampigia taxi kisha akaaga baada ya dkk tano akanishtua kuwa ananisubiri barabarani mzee nikaaga chapu mwendo wa dakika tano nikafika, nikamwambia driver uelekeo mikocheni manzi yuko kimya tu, nikaanza story za kumchota but alikuwa busy na simu yake kumbe anampanga MD na tukawa tumefika myfair nikamtia mpunga wake taxi tukashuka hapo siamini nn kinaenda kutokea aisee kila dakika yule manzi nilikuwa nazid kumuona pini sana...tukazama hadi ndichi nikawasha kideo demu alivyonitazana akaniambia we chalii you got a beutiful eyes sikushangaa sana coz totoz nyingi zinanisifiaga, namimi nikamsifia sana akacheka tu bt muda wote alikuwa akiyaangalia macho yangu akasema alikuwa anaona aibu kuniangalia vzr kwenye party wana wangemshtukia so amekuja kuyaangalia vzr pia alinisifu kuwa niko smart sana kwenye kuongea hadi muonekano...baada ya hayo maudambwi akaniambia anataka kuoga nikampatia tualo langu aisee alichojoa nilihisi bao linataka kutoka kimasihara ila nilijikaza baada ya kurudi baafuni akajaa kwa bedi yuko na bikini tu sikulaza damu ile kumgusa tu ameshaloa kitambo....wakulungwa sijawahi kusimamia show kama ile ngoma ilikuwa 4G muda wote, Baada ya round nne akaniuliza kama nimeoa nikamwambia ndio na nina mtoto mmoja aisee alilia kinoma akasema Ibanda lazima unizalishe...tulikaa pale muda wote wa training ila kwa kuficha sana wana wasijue na alikuwa anaheshim nikiongea na wife ananyamaza kimya hata akipigiwa simu hapokei. Tuliendelea na huo mchezo hadi sasa ana katoto kangu ka kike ila MD ananisaidia kulea nadhani hiyo ndo overtime yangu inalipwa huko.




Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah.

Kudadeki.
Hands up!!!!
 
Dahhh jamaa bwana
Siku nilivyolala na mke wa mtu kiutani utani tu
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).

Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.

Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.

Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lini ulikula kimasikhara??

Lete kisa kiongozi
Extrovert mkuu nipooo. Ilikuwa nafatilia hii JERUSALEMA ya huyu mamii master kg. Kweli wasouth hii In da house ni mabingwa. Mziki wao upo juu sana. Namlinganisha master kg na Busiswa wapo juu sana lakini ni dhahiri Ma DJ wa South Africa wanafanya kazi kubwa. Wa kwetu hapa bongo wanafeli wapi

komesha korona
 
Inawezekana kabisa Mbeya na Arusha ndio code zenyewe. Yaani haikuwa Mbeya wala Arusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mbeya na Arusha (smoke surface) zimewekwa ili kupoteza lengo na wala hakuna branch usikute ni ofisi moja tu.
Wataalam watanielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesomeka kiongozi
Hio ni ndoa moja kwa moja . Ila hapo wewe ndio umeliwa kimasihara kwa hio weka rekodi sawa
Daaah.

Kudadeki.
Hands up!!!!
We legendary ulipotelea wapi kwenye huu uzi? Au chai za mikito zilikukimbiza

komesha korona
 
Inawezekana kabisa Mbeya na Arusha ndio code zenyewe. Yaani haikuwa Mbeya wala Arusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mbeya na Arusha (smoke surface) zimewekwa ili kupoteza lengo na wala hakuna branch usikute ni ofisi moja tu.
Wataalam watanielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah na ndio jinsi ya kuweka code.. inabidi imfanye msomaji ajione genious kwa kuvunja code kumbe umempeleka unapotaka wewe.. unataja mitaa mingi na kudescribe mtaa ulivyo kumbe tukio limetokea mkoa mwingine kabisa.
 
Back
Top Bottom