Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kidogo nile threesome,,, huu mfungo ndiyo ikawa ponapona ya hawa mademu, ila nimeshawatafuna wote mida tofauti. Mwingine juzi na mwingine ndiyo nimetoka kuchakata muda siyo mrefu,,,,

Siri nawaibieni; Ukitaka show nzuri kunywa mengi utakuja kuleta majibu hapa wala siyo utani.

TUENDELEE KUJIFUKIZA
 
JF igolya.

Nilivyomkula Mwarabu Koko

Nilikuwa VETA Hotel pale Dodoma, nikiwa naendelea na vishughuli vya ofisi na wenzangu Watatu. Tuliona tufanyie pale kutokana na mazingira kuwa rafiki Sana.

Tukiwa tunaendelea na kazi ghafla akapita mdada mwenye asili ya Kiasia akiwa anaelekea maeneo ya uani, kavalia Sketi ya ya Wanafunzi wa VETA, na ushungi wake ulomkaa vizuri Sana. Sote tulistuck, ikabidi tumtizame japo kila mmoja kwa wiziwizi! Lakini tulijikuta sote tunatabasamu baada ya kugundua kuwa ametutoa kwenye attention sote wanne. Tukapotezea tukaendelea na kazi.

Ukweli mm haikuishia pale, nilibaki na shauku ya kutaka kumfahamu japo kidogo huyu mdada mzuri. Lakini nampata wapi tena? Ndo alikuwa ameshapotea! Kwa ile sketi yake, Mara moja nilihisi ni Mwanafunzi wa VETA. Mungu si Bongozozo, nikamuona kwa mbali, nikachomoka, na simu yangu nikawa nasema hallow! Hallow! Hallow! Lengo likiwa kuwazuga wadau, nikajiweka kwenye njia anayopita ili nimwongeleshe!
Alivyokaribia tu, nikajifanya nakata simu!

Dada samahani, bila samahani shikamoo! Marahaba, we ni mwenyeji kidogo hapa? Ndiyo! Kwa Mhasibu ni wapi? Ni pale twende nikupeleke! Hapana nisikupotezee muda wako, nielekeze tu. Akanionyesha, of course nilikuwa napajua, na sikuwa na shida na Mhasibu ila nilikuwa napima kiwango Cha nyodo zake.

Nikamwambia ahsante, mi Naitwa Rajabu Sadick (mi ni mkiristo, nilimwambia hivo nisionekane kafir mbele ya Ustadhat Rahma-siyo jina halisi).Akasema sawa, akaondoka. Yeye hakusema jina lake.

Nilirudi kuendelea na Kazi, mida ya saa 8 tukaletewa chakula chetu Cha order, nikafakamia haraka haraka nikaenda getini kwa mlinzi.

Hapo getini, nilimkuta dada mmoja (mlinzi), nikaongea nae kuhusu huyo dada na anisaidie kupata namba yake. Baada ya kumweleza jinsi alivyo, akanambia, huyo hajifichi, lakini ni mtu wa dini Sana. Hawezi kukubali kutoa namba yake, namfahamu hawezi. Hata hapa chuoni, hana marafiki. Rafiki yake ni dada mmoja tu. Yaani Kama ni huyo Wala usinisumbue.

Nikasema fanya hivi, naomba kalamu na karatasi. Akanipa, nikaandika namba yangu na jina la kubuni, Rajab Sadick. Nikampa 5000 nikamwambia hakikisha unampa, akikataa kuchukua usimlazimishe. Akanambia poa. Nikarudi kwenda kuchapa kazi.

Jioni, tukaondoka, kurudi magetoni, mlinzi alikuwa ameshaondoka. Na wala namba ya mlinzi sikuichukua. Asubuhi, nikamkia VETA kwenda kuendelea na kazi Maalum ya kiofisi. Ilikuwa Ijumaa, na ndo ilikuwa siku yetu ya Mwisho. Bahati mbaya Sana, mlinzi sikumkuta tena, nikaambiwa amehamishwa lindo. Aaaaah, Shabash..! Sasa taarifa za kuchukua au kutochukua namba nazipata wapi? Basi, nikajua ndo hivo imeshatoka.

Tangu nimwachie kikaratasi siku ya Alhamis, nilikuwa makini Sana na namba ngeni, kila iliyokuja nilihisi Rahma lakn haikuwa hivo. Sijui Kama kikaratasi alikichukua au hapana! Alhamis kapa, Ijumaa kapa, Jmos kapa! Jumapili kapa!

Ng'wana lughembe, duhu kupila nzala- nikaanza kunena kwa kilugha. Mizimu iniokoe! Kama ni kurudi kufanyia kazi nyumbani, Mimi ndo ningekuwa wa kwanza kuliko Mzee Magufuli kurudi Chato. Nilikuwa nijichimbie Kolomije, ninene na Wazee wanipe hata Bhugota (ndumba) hahahahahah! Lugumya Ng'wana Lughembe!!!!. Teremka nayo mdau!

RAHMA AMENITAFUTA.

Ilikuwa siku ya Jtatu, mida ya Saa 4 Usiku nikapokea WhatsApp Video call, Mara sura ya ustadhat Rahma ikatokea, mithili ya Stamina na Roma, Kaka Tuchati. Akasema, Mambo Raja, ndugu msomaji, siyo Raja Naigolani wa Ubeligiji, au Raja Casablanca ya Morocco, ni Rajabu Sadick aka Lugumya Ng'wana Lughembe wa Kolomije kwa Mzee Maduhu.

Tulizungumza story za kawaida akiwa na furaha na mm nikiongea kwa unyenyekevu Kama Mwigulu Nchemba baada ya kuambiwa ni incompetent kule Wizara ya Ulinzi. Hakika nilionyesha ustaarabu zaidi na tashwishwi mithili ya Paramagamba mbele ya Rais. Haiba ya siku hiyo ilikuwa juu, nikiwa nimewasha taa ya chumbani na yeye akiwa amewasha. Tuliongea mengi kwa kweli. Toka saa 4 Hadi saa 6. Sikumtongoza kabisa.


Alinambia ukoo wa baba yake ni Oman, lakn mama yake ni mtu wa Singida, manyoni. Ila walishakaa huku muda mrefu. Yeye alikuwa na miezi mitano tangu atoke Oman, alienda kule baada ya kumaliza darasa la saba, ila hakubahatika kuendelezwa kimasomo.

Na hata huko Oman alikuwa anakaa na Shangazi yake, ambaye ameolewa huko. Alivyofika huku, ndo wakaamwambia akasomee mapishi pale VETA. So ndo Anasoma. Alinambia mama yake, walishaachana na baba yake, hivyo baba yake ana mke mwingine ambaye ni mtesi Sana. Nikampa pole tukafunga mjadala, tukalala.


Ndugu zangu, mida ya saa kumi na moja Asubuhi naamshwa kuswali. Yaani alinitaka niswali lasri, dhuhuri, Magharibi, nk. Yaani kila muda wa kuswali nilikumbushwa. Nilitii bila pingamiz lkn hakuna Cha kuswali Wala Nini. Natumiwa nyimbo za kaswida!

Jamani! Na Mimi nilikuwa nimekariri zile za vijana ambao huwa wanapita usiku mwezi mtukufu kuchukua chochote kwa wasamaria. Nikawa namuimbia kwa kubana pua Sana. Hahahahaha, tunda hili jamn. Sijatongoza kabisa! Na haoneshi dalili za kutongozeka. Maana kila sentensi ya pili mawaidha.

Nilikoma! Ilifikia sehemu nami nikaanza kumkumbusha muda wa kuswali. Anafurahi Sana. Nikamshukuru kwa kunirejesha tena msikitini.


KULA KIMASIHARA

Ilikuw siku ya Alhamis, mida ya saa 3 Asubuhi, akanitumia meseji kwamba anamaliza kipindi saa 4 Asubuhi. Hivyo, atakuwepo tu. Nikamwambia so nije tupige stori? Akasema usiache kazi kwa ajili yangu. Nikasema leo sijaenda, nipo najisikia kuumwa umwa. Akanambia pole, basi nitakuja kukuona! Nikamwambia ukiwa tayari nambie nije nikuchukue. Akasema poa. Mpangaji mwenzangu, alikuwa kasafiri kaacha gari na ufunguo wake pale kwangu, nilikuwa na uhakika wa Usafiri. Nikaweka geto sawa, nikajiandaa, unyunyu nikasogea, ili akisema yuko tayari, nisimuweke! Nikazuga Hadi Nyerere Square pale. Nikatulia Kama dk 10, Mara, paap, niko tayari. Niko hapa NK, jirani na Nina's Saloon.

Poa, dk sifuri. Nikafika nikamshtua, akaja, kavaa kininja aisee. Duuh! Akaingia kwenye gari la kuazima. Akaniuliza gari la kwako, nikamwambia hapana, la rafiki yangu. Basi haaooooo, kuelekea Miyuji.

Tumefika Pale uwanja wa Ndege nikamuuliza anakula nn, akasema anapenda ugali samaki. Basi tukafika pale Sokoni, jirani na somalini au darajani tukachukua Sato kilo mbili, akananiandikia na viongo vya kuchukua, nikachukua tukasepa. Njwiiiiiiimuuuu! Njwiiiiiiiiimuuu! Bhuuuuuuuuu! Vuuuuuuuuu! Mara paaap, Getho!

Nikamkaribisha, sikuwa na friji Wala nn, vyombo vya kupikia ndo nilikuwa navyo na jiko la gesi. Basi, akaa kidogo kwenye kiti, Kama dk 5. Mi naogopa hata kumgusa kabisa. Basi akavua juba, na kale kadude ka kininja. Akabaki na siketi na tisheti ya VETA. Nikamuandalia vyombo akaanza kufanya kazi ya kutengeneza mboga. Alifanya kazi zake kama mtu mzoefu na maswala ya mapishi. Saa 7 naambiwa muda wa kuswali. Duuh! Nikavunga! Saa 7:30 kwenda saa 8 akaweka sufuria la ugali aanze kupika. Hapo ndo kimbembe kilipoanza.

Akiwa anakoroga koroga uji wa kusongea ugali, nilimfuata kwenda kumsaidia, nikasimama, nyuma yake, nikamshika mkono tukawa tunakoroga wote. Nilimkaribia kabisa, uume ukaanza kusimama, ukamgusa kwenye makalio, akageuka, kwa tabasamu akanambia tutaharibu mapishi Rajabu. Nikamwambia hapana Rahma. Just relax! Nilianza kuchezea makalio kwa kutumia mkono wa kushoto, nikapandisha kwenye Chuchu, mkono mwingine tukawa tunakoroga. Maji yakaanza kuchemka. Tukaacha kukoroga!

Sasa mikono yote, ikawa inafanya kazi. Chezea Sana, lamba Sana, kula mate, Sana, tachi za hatari. Mara nikapeleka kitandani, toa chupi, zama Uvinza! Mtoto anaruka ruka. Rajabu it's eneogh, Raja tule kwanza, toa, tisheti lake, nyonya Maziwa Sana. Oooho, assiiiiii, Raja I love you!

Nikasimama nikaenda kuongeza maji kwenye sufuria, jaza mpaka juu, nikarudi, naona amezubaa kw tabasamu. Chezea Sana. Nikavuta Kinga, tako 5 wazungu hao. Ngoja nipike kwanza.

Akaingia bafuni, alivotoka, akaanza kupika, akapika ugali Mkubwa, nikamuita jamaa yangu, aje achukue ugali, lengo aone nilivyo na kifaa na ng'ambo nikiiwakilisha nchi katika mataifa Asia Kama balozi. Jamaa akaja, akachukua, akarudi kwenye getho lake. Akanitumia meseji. Hahahaha, popote ulipo Benjamin, ni mm balozi wa nyumba Kumi bn, niliyeiwakilisha nchi, katika mataifa ya Asia.

Basi tukala huku nikiwa nimembeba, namlisha, jokes za hapa na pale. Baada ya kumaliza kula, tukaingia bafuni kuoga. Namsugua kwa mgongo, ananisugua. Nambeba, namchezea nidle zake, nataka, pima oil nk. Lamba mgongoni kwenye mstari kwa ulimi, miguno si miguno. Nilivoona amekuwa laini, nikamfuta maji. Nami nikajifuta, beba peleka kwenye 5*6, fungulia saboofer, weka mzuki laini. Chezea tena. Chezea Sana.

Nikamtoa kitandani tena, tukasimama, chezea, akanambia nahisi kuanguka. Tafadhali, turudi kwa bed. Nikamlaza kifudi fudi, lamba mgongoni, pitisha ulimi Hadi kwenye tako, pitisha ulimi mgongoni kwenye uti wa mgongo, nenda kwenye masikio, binya makalio, binya mbavu. Geuza mtoto chali, nyonya maziwa, nyonya Sana, dendeka balaa, uume umesimama wima, Kama ukuta wa mererani.

Papasa mapajani, papasa kwenye K, baada ya hapo nikazama uvinza kujitibu safura. Naona ananibana na miguu, niweke na kichwa humo ndani. Dk kadhaa, mtoto wa Watu kaloana, nikavuta Kondom nikala, kifo Cha mende, then akaikalia. Piga mtoto anatoa sauti mi sijali. She was not a good dancer, but I really enjoyed the show.

Mwisho wa siku tukafika mshindo, alipitiwa na usingizi, mi nae nikajikuta nasinzia. Kushituka saa 1. Nikamuamsha, alivoamka, akanambia Leo watamua. Hakutaka hata kuoga, akavaa, Kama kawaida ndinga ya jirani, nikampleka kwao. Sema Shangazi yake alimchapa Sana. Akawa ndo demu wangu, kwa mwaka mzima. Alinipa promo mademu wa kitaa wakiwa wananisalimia Sana, ili tu niwaongeleshe. Mara mwarabu hajambo Lugumya! Hahahahah, washikaji wakawa wanatamani wawe Mimi. Ukweli wakati huo, nilipata ufalme wa mapito. Japo ni ujinga na ushetani tu. Tukawa tunaongea usiku Hadi kazini nasinzia, video call ndo ilikuwa jadi yetu. Akapagawa, nikapagawa.

KUACHANA NA RAHMA
Baada ya kupendana Sana, Rahma akanambia nitume mtu kwao. Ili tuoane tu. Hapo ashamaliza Chuo. Maana yalikuwa ni Mafunzo ya miezi 6 tu. Nikasema sawa. Sasa Mimi siyo muislamu, nampata wapi sheikh/ mjumbe.

Nilimpanga jamaa yangu wa ofisini ni muislam akakubali kwenda. Alivofika wakakataa, kumbe Shangazi yake alikuwa ameshamuandalia mtu. Yeye akakataa.Tukapanga atoroke, bahati mbaya kipindi tunaongea usiku, kumbe Shangazi yake alikuwa mlangoni anasikiliza. Hakurusiwa Tena kutoka ndani, tiketi akarudi Oman. Aliolewa huko. Ana Watoto wawili. Alibadili simu, tunawasiliana, lkn alinambia hawezi kunipa Tena. Hawezi kutembea nje ya ndoa yake. Ni dhambi kubwa Sana.

Ahsante Sana Rahma. Mwenyezi Mungu akubariki katika ndoa yako.

Lugumya.






Sent using Jamii Forums mobile app
Onisecha sana nyanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidogo nile threesome,,, huu mfungo ndiyo ikawa ponapona ya hawa mademu, ila nimeshawatafuna wote mida tofauti. Mwingine juzi na mwingine ndiyo nimetoka kuchakata muda siyo mrefu,,,,

Siri nawaibieni; Ukitaka show nzuri kunywa mengi utakuja kuleta majibu hapa wala siyo utani.

TUENDELEE KUJIFUKIZA
Kabla ya game dk ngap
 
Katika maisha hakuna kitu ambacho uwa kinaleta mshtuko kwa sisi mabaharia kama kutongozwa na demu mkali ambae na wewe ulikuwa unajiandaa kumtokea live, ilikuwa jumapili moja nipo zangu mtandao pendwa wa instagram naperuzi kwenye page ya mmakonde Harmonize Temboo, sasa nakumbuka Harmonize alikuwa amempost Ibrah yule msanii wake na mimi nikakomenti hivi nakumbuka nilikomenti, "daah huyu dogo anajua sana", sasa baada ya kukomenti haijapita hata dk tano mara naona demu kaja ku reply, " sanaa mimi nampenda", mwisho wa kumnukuu , basi ikabidi nimfuate Dm tukapiga stori mbili tatu akaniambia yeye yupo Zanzibar ila anatajaria kuja dar baada ya wiki mbili hau tatu, hakika ni bonge moja la demu shepu kama lote kiukweli ameumbika kila idara, basi siku hiyo hatukupeana namba za simu, ikapita kama wiki mimi sijaingia insta kutokana na ubussy wa kazi sasa siku naingia insta nakuta kanidm anasema , "NIMEKUMISS SANA", nikamwambia mimi pia nipe namba zako ile nimekaa haijapita hata dakika mara sms hiyo mtoto katuma namba nikamwambia poa basi nikazisave sikumtafuta zaidi ya siku5 nikawa na mambo yangu, inshort wanawake wazuri hakuna kitu wanaumia kama wakupe namba halafu usiwatafute uwa wanajiuliza sana maana wanawake wanapenda sana kushobokewa sasa ukiwa mtu usie penda shobo utawafuna sana😊😊

Ile nakuja kumpigia akaniuliza nani nikamjibu mimi J, akaanza kulalamika ooh kwann umenidharau nimekupa namba hata kunitafuta, ikabidi nimpige uongo na kweli mtoto akaelewa, kukatisha stori aliniambia anakuja dar mda sio mrefu nikamwambia sawa basi siku sio nyingi mtoto akaja dar aliniambia anakuja kwa dadaake anakaa Tabata, mimi nipo mombassa pale so sio mbali na tabata, basi kweli akaja dar tukawa tunawasiliana tu kawaida hapo bado hatujaonana, atimae siku moja akanipigia akaniambia unaishi pekeeako? Nikamjibu ndio, akasema kesho nakuja nitakuwa mgeni wako, daah nikajikuta napagawa nakumbuka siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo ya kifani hata usingizi hauji, mara asubuhi hiyo, mtoto mida ya saa4 akanipigia ndio nataka nije, nikamwambia ukishuka mombasa niambie nije nikuchukue akasema poa, mzee mungu sio Juma mara baada ya mda mrefu kidogo sms hiyo nishafika, daah kidume nikakodi boda fasta, by the way nilipo na stendi sio mbali ilichukua dk 7 nikafika stendi sasa kazi ikawa kumtafuta kwa macho, katika kuangalia pale stendi kulikuwa kuna wadada watano sasa japo sura yake najua ila nilitaka kuona nae atanitambua haraka, mara nikamuona anatabasamu ,

#note#

Hatuwahi kuonana zaidi tu ya kuonana instagram,

Mtoto akaja hadi pale nilipo, mambo?, mimi poa nikamtania kumbe upo makini akacheka yeah ulijua sitakujua eeh, basi hao tukakodi boda hadi magetoni, kiukweli nilikuwa naona kama ndoto sikuamini kama kweli J nimepata toto kama ili, tukiwa gheto sasa nikawasha jiko fasta nikaanza kukaangiza mazaga, mtoto alikuwa yupo sebureni amekaa tu kWenye kochi anaangalia video, by the way nina ka tv kangu kadogo kakuzugia, basi msosi ukaiva nikamkaribisha, tukawa tunapiga msosi kila nikimcheki mtoto macho yote kwangu ananiangalia kimahaba, daah mtoto sura kama malaika, yani kimoyo nikawa nasema huyu jini nn maana sio kwa uzuri ule, baada ya kula, tukawa tunapiga stori hapo sijamtongoza,

Mara mtoto anaanza kuniambia J na jambo nataka kukwambia ila naona aibu,

Itaendea
pumbavuu. mods mnamuona huyuu😠😠
 
Habari zenu wana jamvi !
Nianze kwa kumshukuru @rickboy
Kwa kuleta Uzi wa kula tunda kimasihara make Ni Uzi ulionipa experience ya ajabu katika kuwatokea Hawa wenzetu wa jinsia ya pili.
Siku za hivi karibuni nilikuja hapa jamvini nikilialia baada ya kuachwa na mtoto niliempenda kwa dhati sikupata majibu ya kuridhisha ila sikukata tamaa.
Leo asubuhi katika pitapita zangu kwenye fukwe za Coco nilipata bahati ya kukutana na ladies wawili wa kizungu ( mmoja around 20-35 na huyu jimama around 35-45)
Niliwasalimia wakaitikia story zingine zikaendelea

Kumuopoa jimama

Katika maongezi yetu aliniuliza Kama Nina time nikamkubalia tukaelekea alipofikia then after few wine nikamla.

Kuhusu yule mdogo hakua interested Sana
Aliondoka akatuacha wawili make walifikia sehemu tofauti.

Ushauri

Tubaki tuu na Hawa weusi wenzetu
Make hakuna Cha maana nilichokiona kwa huyu mzungu zaidi ya kunipa pesa kidogo za matumizi.

Ni ukweli 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jamvi !
Nianze kwa kumshukuru @rickboy
Kwa kuleta Uzi wa kula tunda kimasihara make Ni Uzi ulionipa experience ya ajabu katika kuwatokea Hawa wenzetu wa jinsia ya pili.
Siku za hivi karibuni nilikuja hapa jamvini nikilialia baada ya kuachwa na mtoto niliempenda kwa dhati sikupata majibu ya kuridhisha ila sikukata tamaa.
Leo asubuhi katika pitapita zangu kwenye fukwe za Coco nilipata bahati ya kukutana na ladies wawili wa kizungu ( mmoja around 20-35 na huyu jimama around 35-45)
Niliwasalimia wakaitikia story zingine zikaendelea

Kumuopoa jimama

Katika maongezi yetu aliniuliza Kama Nina time nikamkubalia tukaelekea alipofikia then after few wine nikamla.

Kuhusu yule mdogo hakua interested Sana
Aliondoka akatuacha wawili make walifikia sehemu tofauti.

Ushauri

Tubaki tuu na Hawa weusi wenzetu
Make hakuna Cha maana nilichokiona kwa huyu mzungu zaidi ya kunipa pesa kidogo za matumizi.

Ni ukweli 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera sana kwa "kuila kitu" ya mzungu.Malipo ni hapa hapa duniani, hao Shwaini walitutesea sana babu zetu enzi za ukoloni,ungemtegua kiuno kwa kutumia zile style za "malaya jeuri"
 
KUMLA KIMASIHARA MAMA WA MWANAFUNZI WANGU.

Baada ya kumaliza Chuo Kikuu nilibahatika kupata shule ya kujishikiza huku nikisubiri kupata ajira ya Serikali kama ilivyo kwa wahitimu wengi ambao hatuna akili za ubunifu. Elimu ya Tanzania, haichechemui, Wala kuamsha ari ya ubunifu wa kujiari.

Unaanza primary na Kinjekitile Ngwale na unamaliza form Six na Kinjekitile Ngwale, Chuo kikuu bado unamsoma kinjekitile Ngwale ili akusaidie kujikomboa kimaisha. Mawazo ni kuajiriwa tu. Ndo maana hata Mawaziri wanalia, na kujipendekeza ili wateuliwe upya, kwa sababu maarifa mengine nje ya siasa ni hayapo. Tumezoea kunyonga, kuchinja ni ngumu.

Anyway, nikiwa pale shuleni bahati nzuri nikapewa Ofisi. Ofisi ambayo Mzazi Kama kweli umeleta mtoto wako kwa ajili ya kusoma, lazima unifahamu au ukija shuleni lazima upite ofisini kwangu. Kama umefika shuleni na hujapita kwangu maana yake, umemleta mwanao kufuta ubao.

Hii ofisi ukweli ilinipa umaarufu Mkubwa.Hadi nikaanza kukumbuka nyimbo ya Prof J, jina langu linavuma kwenye mitaa, wengine nawajua, wengine siwatambui, jina langu. Lugumya tunakuzimia, jina langu. Katika ofisi hii ndo nikagundua kuwa kisigino hakivaliwi mbele, na kwamba ni ngumu kukuta mfupa kwenye mshikaki, labda Mara kwa sababu ya ujasiri wao.

Ilikuwa ni blue Monday, lilipokuja gari aina ya PRADO shuleni, na akashuka dada mmoja mzuri Sana. Sikuwa na namfahamu. Aliingia kwa Headmaster, baada ya muda Headmaster alimleta ofisini kwangu. Akanitambulisha, akatia na mbwembwe kwa kumwambia huyo ndo mwenye shule Sasa. Bila huyo (Lugumya), hii Taasisi haina maana. Wakati hayo yanaendelea mimi nilikuwa natabasamu, nikitamani nimtunuku Headmaster PhD ya Heshima, kama ile ya Jakaya.

Wakati wanaingia nilisimama, kwa heshima kubwa. Nikatabasamu, nikawaambia karibuni kwa unyenyekevu Mkubwa zaidi ya ule wa Lijualikali, alipokuwa akimwomba namba spika ili akipige Chama la Wana. Hivyo baada ya utambulisho, Headmaster aliondoka, na kutuacha na yule dada mzuri.

Nilimkaribisha upya, nikamuomba akae kwenye kiti Cha Wageni, yale mabenchi ya special ya chuma Kama ya benki. Alikaa akasema ahsante. Nilikuwa naandaa notisi zangu kwenye desk top computer ya Ofisi, ikabidi niache nikaenda kukaa nae kwenye benchi la Wageni, ili nisimsumbue mteja wangu mzuri kuongea kwa sauti kubwa. Nilionyesha kujali Sana, hapo hapo nikamtumia meseji muuza duka la shule alete mirinda nyeusi. Fasta imeshakuja, ikafunguliwa.

Mara mdada wa Watu anaanza, mmmh jamani. Nikamwambia usijali. Karibu dada, feel at home. Nyie ndo wateja wetu, na nyie ndo waajiri wetu. Jisikie huru na tarajia kheri. Karibu nikuhudumie Sister.

Akasema ahsante, na kunishukuru kwa ukarimu wangu. Akaniuliza Maendeleo ya mwanae, nikampa kwa kutoa kichwani, ili ionekane niko nae karibu, kumbe wapi? Nitakariri Wanafunzi 1000+ nimekuwa Magufuli kwenye kilometa za barabara?. Hahaha wapi thubutu. We are here for season. Japo ukweli ndo lilikuwa jukumu langu.

Baada ya kumweleza Maendeleo ya mwanae kwa ufasaha, alifurahi Sana. Nikampa mkono, akanipa mkono. Tukatizamana usoni kwa tabasamu. Akasema ahsante Mwalimu. Nami nikamwambia ahsante, mama.....! Tukaachiana mikono, nikarudi kwenye kiti changu kuendelea na maandaliz ya notisi zangu.

Nilivoinuka, akanambia Mwl umependeza. Ukweli siku hiyo nilikuwa nimevaa mchongoko, suruali ya model, na koti single button, na tai. Shortly nilivaa suti( ila si kama ile inayomweka Idrisa Sultan ndani, msije mkasema wasukuma ndiyo swaga zetu). Nikamashukuru, nikamwambia mi niliogopa kumsifia, lakini kwa kuwa ameanza, basi ngoja nimpe sifa zake. Nikampa, za kweli na za uongo! Kwani shilingi Wajumbe! Ukweli niliona anafurah, akaanza kurudisha nywele zake nyuma, huku meno ya mbele yakionekana.

Huyu dada alikaa ofisini Kwangu, saa mbili, tumehama Hadi kwenye topic, mi kazi kumchekesha tu. Baadae akasema Mwl! Nikasema Yes, you have made my day. Nikasema ahsante, lakini hata wewe umeasha ari yangu ya kufanya kazi. Ahsante kwa busara na uchangamfu wako.

Aliniachia elfu 20,000 akanambia, pliz take care of my daughter! Nikamwambia, mama....keep your memory out of worries, am here for you and you alone. Akasema thank you! Bye Sir! Bye Madam. Nikaamka kumsindikiza, oooh, your number pliz? Nikamtajia. Akaandika. Tukaenda Hadi kwenye gari lake, akaingia akaondoka. Nikarudi ofisini.


JIONI MIDA YA SAA KUMI.

Nilipokea sms kutoka kwake. Akajitambulisha. Okay, tukachati. Akanambia kwani unakaa wapi? Nikamwabia Mtaa, kumbe hata yeye ni mtaa wa Jirani. Basi akanambia anapfahamu hadi hiyo nyumba ninayokaa. Na mm akanielekeza anapokaa, nikapafahamu. Nikamwambia bado nipo naweka Mambo yangu sawa, saa kumi na mbili nitakuwa home. Akanambia powa, bye Sir. Nami Bye!


SAA MOJA NA NUSU USIKU.

Sms iliingia, Sir umesharudi, nikamwambia ndiyo. Nipo Madam. Akanambia pouw. Nikatulia nikimalizia kuangalia taarifa ya Habari Chanel 10. Mara sms, niko hapa nje. Duuh, nikaenda kumfuata, nikaingia nae getho. Kichwani, Wimbo wa matonya, ukawa uniijia, siamini macho yangu, Kama Leo umekuwa wanguuu, siamini fikra zangu, Kama leo ndo....moyo wangu. Mtoto mzuri kuwaacha wenye gari na mapesa, ukaamua kuja kwangu kunilizaa, yayayayayah.

Mara ya Moto band, na Kisima Cha Kijiji nikiwekee uziooo, najua wanipenda, Mimi mwana wa mwenzioo. Manyimbo mengi mengi yalikuja. Nikamwambia karibu madame, akasema ahsante. Soda gani, akasema Kama ya shuleni. Hahahaha, nikaifata, nikanunua kabisa na Kondom huko huko, nilivoingia nikafunga na mlango, nisikie anavyosema. She was silent utafikir kapata mkwara wa monitor or monitress juu ya wapiga kelele.

Alikuwa kavalia bonge la kimini. Ananukia balaa. Ukweli akili ilinambia, kaja kwa ajili ya mkuyenge. Hivyo, ilikuwa nitest mitambo tu, then, aliwe.

Soda naona haiendi, nikamfuata kwenye kochi alilokuwa amekaa, nikamsogelea karibu kabisa. Nikamnong'oneza kitu sikioni, lengo likiwa nimpumlie, akijikunja nimlambe sikioni. Kweli nikafanikiwa. Nikazungusha mkono, kuelekea kwenye ziwa Turkana, nikashika kwa juu, kidogo nikashusha kwenye band ya chuchu sound. Naona anajikunja kunja tu. Akanambia naomba nimalizie soda yangu kwanza basi. Sikumpa hiyo nafasi.

Nikapeka mdomo nikapiga denda, akatoa ushirikiano zaidi ya ule wa Kenya na Tanzania kwenye mpaka wa Namanga, na Kule Tanga. Dada alikuwa mzoefu hatari, tukachezeana, hadi nikapizi sijaweka. Sikukoma kumchezea niliendelea, kumchezea na yeye hakutaka kushindwa. Ilikuwa ni mchuano mkali zaidi ya ule wa Trump na China kwenye vita vya Covid-19.

Mara kitu, simama dedeee, nikupe mkateee. Naona Kama ameshakojoa, nikaweka kitandani kula balanced diet. Mtoto anacheua tu. Saa nne yupo geto, kipindi tunaendelea na shughuli Mara kitanda changu sijuii zile chaga zilikuwaje wajumbe wangu wa Kikao, nilishtukia tu chini putuuuuu! Yaani kwa nguvu! Hadi nikasikia mpangaji mwenzangu nje anasema teacher polepole.

Ghafla mwenye nyumba, akaja dirishani, anasema teacher, umekuaje? Nikamwambia nilikuwa napanga madumu moja ndo limeanguka. Akanambia, dogo hata sisi tulipita huko. Kama unaona show zako ni za kiwango Cha Lami tafuta kitanda Cha chuma. Hahahahah, show ikaishia palepale, akavaa, akanyata, nikamtoa. Alivofika akanambia. Tukaagana kwa kicheko kuhusu chaga.

Kesho yake, alinitumia elfu 70, akanambia tengeneza chaga, uweke imara. Kweli nikafanya hivo. Tuliendelea kulana, hadi nilipohama kwenda mkoa mwingine wa mbali. Hatuna mawasiliano Tena.

Sina hakika Kama Kuna kiporo Tena kuliwa, maana Sasa ni miaka takribani 10+.

NB. Mtoto wake alifaulu kuendelea na form V hapo nikajiongezea credit.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua kuandikia story Sana.. big up.. sema hii n tea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom