Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kweli kabisa huyo mwanaume ana shida. Kuna kaka mmoja namfahamu pia alikuwa hivyo anakubali kuchaguliwa mke kisa tuu ndugu na wazazi. Wanaume wa siku hizi wanashindwa kusimamia maamuzi yao kama kichwa cha familia wanaendeshwa na ndugu au watu wakati mwisho wa siku maisha ni yake na mke na watoto wake.
Kwa hiyo ulitaka waendeshwe na mke waliokutana ukubwani tena kila mtu akiwa vizuli unajua amepita magumu gani na ndugu zake? Vipi kama ndugu wakimtenga?


Kwa kawaida anaependa hua haoni kasolo ndugu jamaa wakiziona wasimuongoze ndugu yao?
 
Hivi shule zinafunguliwa lini!??

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Kuanzia leo sili tena kiporo..maana nilichosoma na kichwa cha habari 🤷
 
Siku moja Asubuhi nawahi zangu job kbla ya saa mbili mara papu mtoto mzuri huyu hapa tuko njia moja namimi ndy nimetangulia mbele nampimia kwa wizi yupo nyuma yangu kibaya zaidi kila nikila kona yupo nyuma ikabidi nivunge kusimama akapita akawa mbele kidg nikaanza kumsemesha ooh kumbe tuko njia moja ee nikaona kaitikia wito kidogo kdg mara nikamwomba namba ooh mara namba siijui. Nikamwambia piga *106# mara papu nikadaka namba nikambipu
Tukaachana yy akaend job nami job
J2 yke akaniomba bk5 nikamwambia nipo home akadai anakja kuchkua ikabid niwek mazngr vzr wkt anafk nikampokea akazam ndn tukapga ctory kdg mara nikamwomb mzgo akajishaua kdg mara kanipa du sikuamn kbs kma wnawke sometime wankuag rahc hvy
Duh! Kirahisi tu hivyo ukala mzigo? Kuna wanawake wana huruma sana 😂😂
 
😂😂😂🚍🚍🚍🚍🚍🚍😂😂😂
Chungeni hawa watoto wanaorudi mashuleni jamani
Yule ni mtamu 4m6 kama 4m1
 
Back
Top Bottom