Basi bhana mazoea na maza hausi yakazidi kupamba Moto na alikuwa ananichangamkia sana mpaka mama mtoto wangu akawa anashangaa ila hakutilia maanani jambo lolote. Siku moja wikiendi wakati namsaidia kuanika nguo mama mtoto maza hausi alinifata kwa siri na kunambia kuwa mwanawe wa kike anaumwa wanahisi malaria ila hawana hela ya kwenda hospital,sikujiuliza sana nikaingia ndani nikatoka na elf 10 nikampe waende kupima Kisha Kama haitatosha kwa dawa anambie nimuongeze. Kiukweli nilikuwa nampa hela yule mama kwa roho 1 huku nikifurahia maana ni yeye pekee ndiye aliyekuwa ananitunzia Siri ya kumla jirani wa mama mtoto wangu.
Nikashinda sana ndani siku hiyo hivyo ya nje sikuyajua na nilipotoka nje jioni sikuonana na maza hausi,nikasepa zangu gheto, wikiendi nyingine ilipofika nilikuwa nimeenda tena nikamkuta barazani,kabla sijashuka kwenye gari alinifuata tukasalimiana na kunijulisha kuwa walienda hospital mgonjwa alikutwa na typhoid na malaria. Nikampa pole na kumwambia tutaonana baadae,nikaingia ndani kuiona family yangu.
Mida ya mchana wakati natoka shop kuongeza baadhi ya mahitaji ya ndani nikapishana na maza hausi,akanipa ishara ya kumsogelea, nikamsogelea akaanza kunambia kwa sauti ndogo Kama mtu mwingine asisikie..."mwenzio yupo ndani upite ukamuone maana bado hajisikii vizuri" nilistuka sana,ile kauli ya kusema ni mwenzangu ilinichanganya sana lakini pia kule kunambia ktk hali ya usiri pia kukanifanya niwaze zaidi. Fasta nikajiongeza nikasema sawa ngoja nipeleke mahitaji ndani,akasema sawa Kisha akanionyesha room ninayotakiwa kuingia kumuona mgonjwa.
Nilitoka room kwangu kwa usiri na kwenda kubisha room ya huyo mgonjwa mtoto wa maza hausi,nikasikia sauti ndogo ikinikaribisha. Nikazama room mzima-mzima nikakuta binti mwembamba amelala kwa bed amejifunika na shuka, nikamsalimia huku nikiwa nimesimama maana chumba hiko kilikuwa na kitanda na mabegi ya nguo Tu sikuona pa kukaa. Nikawa namchora tu,nikaongea nae machache huku nikiwa na 100% sure kuwa tofauti na shuka ndani hana kitu na kama anacho basi ni kanga 1 tu. Basi sikuweza kukaa sana kwa aibu na bado sikuwa na uhakika Kama nina ruhusa ya kumla na hata ninayo labda sio mulemule ndani kwao,hivyo nikatoka kurudi kwangu huku naumia roho na babu kwa zipu alikuwa akinilaumu.
Mchana uleule maza hausi alinikuta nje nasafisha kibox changu namba A akaniuliza kwa taharuki km naondoka,dizaini km hakutaka niondoke hivi. Nikamuambia mida ya kuondoka bado haijafika,akasema sawa huku akiniuliza why nimeingia chumbani kwa mwenzangu sijakaa hata kidogo nimeondoka,wakati nafikiria cha kumjibu akanambia usijali kuwa huru yule ni mwenzio hamna tatizo wala usiogope chochote,baadae kabla hujaondoka uende ukamuage. Aisee nilidinda vibaya mno mbele yake, ile kauli yake ilinifanya nijione mjinga mno kwann sikumaliza yote nilivyoenda mwanzo.
Baada ya kauli yake wala haikupita nusu saa nikaenda tena kubisha mlango,nikaulizwa mie Ni Nan nikajitambulisha,ilichukua muda kidogo nikajua tu huko ndani anajiweka sawa kwa ajili ya mgeni. Akanifungulia,nkamsalimia nikaenda mpk kwa bed alipolala..tuliongea kidogo nikaanza kumchombeza kwa vimaneno vya uchokozi,hakuwa muongeaji Sana zaidi ya kukwepesha macho yake kila muda,wala sikufanya ajizi....nikawa nampapasa trakoo japo ni mwembamba wa kawaida tu. Nikamfanyia vituko,nikamchojoa shuka nkamkuta na pichu tu huku akiwa kalowana balaa. Nilimfirigisa Sana hiyo siku mpaka tukatandika godoro chini maana kitanda kilikuwa na kelele balaa. Sijui kwanini alikuwa ananisisimua Sana wakati kabla ya hapo sikuwahi kuwa na mzuka na mademu vimbaumbau. Ilikuwa kila nikimaliza napumzika kidogo nasimamisha tena. Nilikuja kustuka jioni kabisa nilipomsikia mama watoto nje analalamika hajui nilipo na simu yangu anapiga inaita ndani ya gari nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui kwanini nilisahau simu. Huu umalaya ni balaa
Sent from my TECNO KA7 using
JamiiForums mobile app