Ulishawahi kula tunda kimasihara?
@pendomamtefu

Fanya kutuletea zako za kimasihara hata kwa ID nyingine, pale hotel za mombo na unashiriki kupeleka misiba huko kwenu

Kuna kaka yako mmoja nae alitoa kisa amazing, alimkula mfiwa wakielekea Moshi

Fanya tufurahi, najua na unajua unavvyo vya kimasihara kibao
[emoji23][emoji23][emoji23] aaah wapi. Siwezagi kuwa na ids 2. Na hata ingewezana ningetumia kbs jina langu official. Mimi ni good story teller ila hapana sina hayo matukio ya kihalifu kihivyo kwakweli. Nilivyo na kauoga kangu? Hataaa.
 
Mbali na kwamba sina hizi dhambi kihivyo kwakweli mbona kama hizi dhambi zako nimezipenda sana[emoji23][emoji23]

Mbona dhambi zako ni nzuri sana jamani. Na zinanukia[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] heh.... ila una ujasiri balaaaa. Khaaa... me wishing u all the bests aiseee.

Kumbe kuna level za dhambi? Walokole wenzangu munasemaje juu ya hili[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah
 
Nimekuvua vyeo vyote
Nisamehe bure mkuu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========
TAKE NOTE:
===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
heheheeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imagine mtu anaelezea dhambi zake na unajisikia vizuri kama ninj wala huoni tatizo. We hujazipenda shoo? Nzuri hizooo...
Naona kama ndo kachukua kombe hivi... ujue nadra sana kukumbana na maplay girls eh? Kama niapply hivi mambo yake[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom