DAAAH, ROHO INA NIUMA ILA BASI TU....!
kuna manzi mmoja hivi, aliingia ofisini mami nilikuwa humo nahudumiwa,
Nilipo muona tu mlangoni, UDENDA UKANNITOKA......!
Ile kaingia tu, akaambiwa awe nje asubiri kwanza mimi nihudumiwe nitoke.
Ebbwanna eeeh, SI AILKUWA NA KIBEGI NA VIKARATASI KARAASI alipo kuwa pembeni yangu mezani akasahau simu yake, TARATIBU MHUNI NIKA IFICHA NA KIBEGI CHANGU, nikapelekka mkono, nika ificha chin chin nika chomoa betrii na kutumbukiza simu yake kwenye kibegi changu cha mgongoni.
Manzi kakumbuka kaingia kila mtu akamshangaa kuwa hapa hukuacha simu, Msela nikajifanya bize kumsaidia kutafuta hiku na huko, TUKA ENDA HADI POLISI KURIPOTI, bila mafanikio......! Ilhali nikijua ukweli.
Akakata tamaa, mhuni nika mtia moyo, huku akiwa na huzuni sana, TARATIBU akahudumiwa nikatoka nae nje ya geti, mguu kwa mguu nikajifanya naelekea mitaa anayo enda, tukapanda haisi moja, na kwenye haisi mhuni nikaanza KUMCHOMBEZA, aka ruka ruka eti oooh, mwenzako nina mawazo mengi ya kupotelewa simu, hivyo naweza nisi kufurahishe au nisi enjoy, mara MME WANGU KAJA LEO, ndio kafika na nilikuwa nawasiliana nae, ana hamu sana nami, HIVYO NIKITOKA KWAKO, NAWEZA POTEZA PAMBANO, huenda mme akagundua n.k n.k
Kufupisha story, njemba nika pangua mistari yake yote, hata mitaa yao hatu kufika, tukashuka vituo vya njian njiani, Tuka tafuta LODGE akaliwa siku hiyo hiyo a alikuwa na ugwadu kinoma, Mhuni nika mpelekea mapigo, maana nimesha ambiwa mmewe ana ISUBIRI, nikaichakaza mpaka akawa hoi,
akasahau tena mawazo ya simu yake, akaoga, nika mwandikia namba yangu kwenye kitaratasi,
MHUNI MPAKA LEO NAKULA, na hii ndio simu yake, laini alisha re-new, na msela wake akiondoka kwenda kazini ana chukua miezi kadhaa, HUWA NAMTAFUNIA SANA.........!
na simu mpaka leo hajui kama ninayo, maana huwa naificha nikienda kumgegenda!. MSELA WAKE SIMJUI NA HANIJUI
KWA KWELI MUNGU ANI SAMEHE.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my SM-J700H using
JamiiForums mobile app