Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kijichi, Dar es Salaam.
Nilikuwa nalinda nyumba ya ndugu yangu fulani kwa kuwa nilikuwa sina kazi nipo home tu baada ya kumaliza chuo.
Siku moja binti wa jirani alikuja kuomba ngazi kwa ajili ya ujenzi uliokuwa ukiendelea kwao.
Alipofika na kuniomba ngazi nikamwambia acha nikusaidie, nilipofikisha ngazi kwao nikamtania inabidi unilipe kwa kukubebea ngazi?
Binti akabaki anacheka.
Baadaye jioni akarudisha ngazi akiwa na mwenzake, nilipokea ngazi na kuingiza ndani. Alipokuwa anaondoka alishukuru kisha akasema vipi bado unahitaji malipo? Nikamjibu ndio, yeye huku akicheka akasema nitakuja kukulipa sasa hivi sina chenji huku akinionyesha elfu kumi kutoka kwenye mfuko wa suruali yake.
Muda wa saa 1 na nusu usiku mlango ukagongwa nilipoenda kufungua nakutana na binti akiwa amejifunga kitenge shingoni.
Kabla sijamjibu chochote akaniambia "tufanye haraka kabla shangazi hajarudi"
Nikaelewa somo, vutia chumbani nikamla mate, naona binti anapapasa maeneo nyeti, nikamweka sawa nikamla vizuri kabisa.
Shughuli yangu ya ulinzi ikawa njema kabisa kwa miezi mitatu niliyokaa Kijichi.
Nasikia siku hizi kuna lami na taa za barabarani.
Miaka ile Kijichi kulikuwa na totoz kali sana.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nishare kisa kimoja cha demu wangu,
Hapo kabla ya kuwa na Mimi aliwahi kuliwa kimasihara na dogo wa form 3.
Huyo dogo nyumbani kwao walikuwa wanajihusisha na biashara ya kuuza maji,walikuwa na carry na bajaji kwa ajiri ya biashara hiyo ni katika wilaya ya Sengerema wakati huo Kuna shida ya maji balaa.
Dogo alitengeneza mazoea na demu mpaka ikafikia akawa anapeleka bajaji ikiwa na dumu 30 za maji,nyumbani kwao demu.
Mazoea yalipozidi,dogo akaanza kumpanga demu kumtoa out(kwa jinsi demu alivyokuwa anamchukulia kawaida huyo dogo hakutegemea kama dogo angeweza kumla,yaani kifupi alkuwa ana mdharau sana),dogo mwenyew ni wale madogo maisha mazuri ambao huwa ni wazuri kama mademu.

Siku ya siku,demu akaamua kukubali mtoko,
Dogo akamwelekeza watakapoenda(ile sehemu kwa watu wengi hufahamu kuwa Kuna bar na ukumbi wa disco,Kumbe bhana huwa kuna vyumba vya kulala vipo na demu anasema hakujua kama pale wanapoenda huwa Kuna vyumba vya kulala).

Wamefika eneo la tukio,dogo anamweleza demu tuingie ndani nimeshachukua chumba(hapa demu anasema alisita kdogo alivyosikia Kuna kuingia chumbani,ila baadae akasema poa akaingia room,wakati huo wote dogo anasisitiza kuwa wanaenda kupiga story tu.

Wameingia room,dogo akaagiza msosi,akamshauri demu wapunguze nguo,demu akagoma,dogo akatumia ushawish kuwa utabak na bla na kyupi,wakat huo dogo yupo kwenye pensi na kaushi,demu akaona isiwe tabu akapunguza nguo kama alivyoambiwa(wakati huo bado anasema alkuwa bado anahis dogo hataweza),ila Mimi hapa nilianza kuhis kuwa demu alianza kujiandaa kwamba kama dogo akipambana na mpa tu.

Ile wamekula kidogo,dogo akaanza touch touch za hapa na pale,Mara akamlaza vizur ktandani,Mara akabinua kyupi pembeni akasogeza mdomo na kuanza kumnyonya(huyu demu katika Haya mambo anapendaga sana kunyonywa,na Mara nyingi anasema huwa ana bahati ya kupata wapenzi wapiga deki,anasema alivyonyonywa tu akapoteza network, akaliwa vizuri tu.
 
Unapigishaje pushup uume mzeeView attachment 1691073
We kuna kitu huelewi na huezi elewa maisha yako yote kama hutàhitaji kueleweshwa, Mitandao ipo wazi sana, search "kejel exercise", afu ninamashaka kama unasimamisha kishababi, ukiwa mwanaume kamili lazima rungu livimbe na kunesanesa, angalia usijepewa watoto si wako mkuu,

Acha wivu wa kifikra
 
We kuna kitu huelewi na huezi elewa maisha yako yote kama hutàhitaji kueleweshwa, Mitandao ipo wazi sana, search "kejel exercise", afu ninamashaka kama unasimamisha kishababi, ukiwa mwanaume kamili lazima rungu livimbe na kunesanesa, angalia usijepewa watoto si wako mkuu,

Acha wivu wa kifikra
Inaitwa kegel..
huyo mwana ni mjuaji afu mshamba flan
 
PREVIOUSLY

NILIISHIA: Nkampa namba yangu, after two days akaja room nkala mzigo, baada ya kula mzigo ile tunapiga story akaniambia kuna rafiki yake ananielewa sana, and she has a crush on me

BAADA YA KUFANIKISHA KULA YULE MANZI KIMASIHARA EPISODE INAYOFATA NI NILIVOMKULA RAFIKI YAKE KIMASIHARA

2. Baada ya kumla yule manzi kimasihara, na akaniambia ana rafiki yake ana crush on me, nkamuuliza ni nani? Nkamwomba anitajie akagoma

Ikafika weekend nkaenda viwanja kurefresh na washkaji ambao nipo nao postgrad , ss kuna mda nkanyanyuka nkaenda washrum, nlivorudi nkakuta kwenye kiti changu amekaa manzi flani af anaongea na mwanangu

Nkamzingua mwana, yani i leave for one minute ushahonga kiti changu, jamaa akachekaaa, jamaa akainuka akaniamba kaa hapa kwenye kiti changu, akanitambulisha akasema huyu mwanamke anaitwa "V" nimetumia fake initial ya jina lake halisi

Kumbe nlivokwenda washrum, V akaja akampa hi mwana, then akamwambia nyie si mpo chuo flani right? Tunasoma wote huko but sisi tupo undergraduate, baada ya hapo akamwambia mwana kua i like ur friend, i have a crush on him, mwana akacheka sana, akamwambia say no more, akamwambia V akae hapo kwenye kiti changu ili nkija tuongee vizuri

And that is how i met V, baada ya story nyingi tukabadilishana namba, na alikua foreign student, yani hawa foreigners wakikuelewa hawakwepeshi, wanaenda straight to the point

mda 2narudi chuo tukawapa lift V na friends wake ride mpaka hostel, humo kwenye gari full kupakatana

Nkimwelezea V by appearance, alikua na miguu kama zile chupa zetu pendwa za TBL, mapaja na hips kubwa, but ukija kiunoni kwenda juu yupo slim

Sasa ile mempakata kwenye gari nlipata tabu sana, yan nimedinda ile mbaya, tukawadrop mpaka hostel zao tukaagana

Sasa bwana nkaanza kuchat nae vizuri tu, tukapanga ahadi kibao, ghafla akachange, yani interest ikakata kabisa, siku namwuliza vp mbona sikuelewi?, akasema yani u've f*cked my friend and now u want to f*ck me, haiwezekani, nkajaribu sana kumshawishi akagoma, tukawa tunachat kawaida

Alikua akienda home likizo ananicheki na foreign namba zenye code ya huko kwao, nkaona huyu bado ana interest, nkamzingua siku ukirudi tafta siku tuspend the whole day together, yani iwe kula, kunywa, f*cking, movies n.k, akacheka akasema ntakujibu

Alivorud akanipotezea mazima, na mm nkampotezea, baada ya kama 6months sina hili wala lile, usiku nanyoosha nguo ili kesho niende kanisani, nakuta txt yake

Tukaanza kuchat, she's like umenisusa n.k, akaniambia B unakumbuka uliniambiaga tutafte siku tuspend the whole day together?, naomba iwe kesho

Dah asiee, huwez amini nguo zile za kanisani bora nsingenyoosha, demu alisema anakuja saa nne asubuhi, na ndio mida hiyo hiyo nlipanga kwenda ibada

Nkajisemea church ntaendaga tu ila hii papuchi ya foreigner imejileta bila kutegemea siwez poteza chance

Kesho saa nne asubuhi kweli akafika, ile tunapiga story, akasema anaskia joto, akavua jeans akabaki na G string, yani naangalia alivo na kiuono kidogo af na zile hips, mapaja na miguu mikubwa, yani G string imemezwa vyema, utasema mtoto kachongwa, juu kavua blouse katoa bra kabaki chuchu wazi

Na muda wote anavua huku ananiangalia, rum nlikua na wine tukaanza kunywa, wine ikaongeza mood, ghafla we started kissing, touching, asee akanipanda kwa juu, akavuta zile vikamba vya G string yake chupi ikajivua kiwepesi

Asee yule manzi alikua very very nasty in bed, nkipiz naenda kuoga hakupi ata chance ya kupumzika, anaanza kusuck, anasuck hadi testicles baharia unapata stimu za round ingine

Asee wakati nipo juu yake namf*ck manz alikua na makucha, basi mgongoni ananihold tight na zile kucha zake adi aliniacha na alama za kucha mgongoni, nlimkimbiza round tano, ikafika muda napiga mashine ila sikojoi adi akasema lets rest

Aisee we fucked the whole day, yani baada ya miezi mingi kupita from no where akajileta nkala papuchi yake

The rest is history, rafiki ake akaja kujua nilimla shost ake foreigner,

Foreigner alivomaliza studies akarudi nchini kwao, rafiki yake nliemla kwanza kashaolewa

Nakuja na episode 3

Nlivomla demu wa bro flani kimasihara, nlikutana na huyo Bro ni mshkaji wangu akiwa club na manzi wake

STAY TUNED

Nimeishi hapa!
 
Ngoja na mm nichangamshe jamvi kwa haka kachai[emoji16]


Ilikuwa Jumapili 2018 baada ya misa. Hiyo siku nilichangamsha sana misa kwa mashine kali ya Yamaha Electone FS70 (Wapiga vinanda wanatambua ni aina gan ya kinanda).
Baada ya kutoka kanisani kuna mama WAWATA alikuja kunisabahi na binti yake. Tukasalimiana akamtambulisha vizuri binti yake akaniomba nimuunge huyo binti kwenye kwaya yetu, nikamwangalia vizuri yule binti nikampitisha strategically[emoji16]. Wakati bado tunaongea yule mama akaitwa na WAWATA wenzie ikabidi nianze kupiga stori na yule binti. Nikiri wazi huyu binti hakuwa pisi kali japo alikuwa na sauti si haba na alikuwa bonge ana mtindi unashindana na bra. Nilipokaribia kufika home (sio mbali na kanisa) nikaomba namba akanipa kwa shangwe tu, nikampigia palepale akapata yangu tukaachana mida hiyo.

Jioni mida kama ya saa 11 yule binti akanitumia msg WhatsApp anadai amemiss story zangu, nikamwambia nipo home kama anaweza kuja anakaribishwa. Ndani ya nusu saa dogo akanipigia akanambia niongee na bodaboda nimuelekeze ninapoishi nikafanya hivyo. Dogo akafika home ila kwa jinsi alivyokuwa amevaa kidogo nilihamasika maana haikuwa kama nilivyokuwa nimemuona asubuhi yake. Akaingia ndani akahamaki kumuona mdogo wangu ambaye tumefanana sana ambaye kwa kipindi hicho alikuja kuspend likizo yake kwangu. Nikampa kinywaji tukapiga story mbili tatu, mdogo wangu akaenda mpirani tukabaki wawili, na hapa shetani ndipo alipoanzia kutusogeza kwake. Kwa kimini alichokuwa amevaa macho yangu yalishindwa kujizuia kuchungulia upaja wake.


Nilipocheki kwenye glasi yake nikaona kinywaji kimebaki kidogo, nikazuga naenda kuongeza kinywaji na vile alikuwa bize kuangalia runinga nikapiga ile glasi maksudi kinywaji kikamwagikia sehemu lengwa (mapajani). Nikajisemea "the devil is good today".
Akashtukia nshaanza kumfuta mapajani na kiganja akawa kama haelewi aseme nini, aligubikwa na butwaa! Kwa style nilokuwa namfuta aliweza kubashiri kifuatacho akawa anajaribu kutoa mkono ila ilikuwa too late na mkono ulikuwa ushasogeza ule umini ikabidi asalimu amri. Shughuli ikaanza rasmi, na yule binti pamoja na sura yake ngumu na ubonge alikuwa msafi aisee. Alikuwa na mtindi uliotuna na chuchu nyeusiiii! Na kule kwa bibi kulikuwa kwa moto hatari! Nikatembelea ringi wadau maana mambo yalitokea in a glance of time! Nikapiga cha mkwezi kuja kushtuka ni saa mbili kasoro. (Kumbe mdogo wangu alirudi alipokuta viatu bado vipo mlangoni akajiongeza akaenda kuzurula[emoji3]).


Baada ya ile mechi dogo akaanza kujiliza eti amemsaliti mchumba wake! Kumbe alikuwa mbioni kufunga ndoa na wiki ilokuwa inafuata alikuwa anafanyiwa send-off! Nilipomuuliza pete ya uchumba iko wapi akadai ameisahau nyumban kwao, nikaona that was strategic! Nikambembeleza kinafiki pale akapoa baada ya almost dakika 15 nikamuitia boda akasepa.


Sikuendelea kumtafuta kwa sababu niligundua ni kweli ilibidi afunge ndoa ndani ya mwezi ule. Hakuwahi kujiunga na kwaya yetu [emoji3] Namshukuru Mungu pamoja na kuuza mechi nilitoka salama.
Sawasawa Choir master a.k.a organist hahaha mnapita na kondoo tu
 
Mimi nadhani tujifunze kutofautisha majukwaa, jukwaa la mapenzi mtu anataka akute ujasiriamali na siasa. Ukienda siasani mtu analeta dini, ilmradi tu akosoe.

Mungu hakuwa mjinga kuumba ulimwengu na vilivyomo ikiwemo ngono. Kuna watu hujiona wao ni wema sana mbele za watu lakini wayafanyayo sirini ni makubwa na maovu kuliko kula kimasihara. Udumu uzi wa kula kimasikhara maana hata mods huwa wanasoma kimyakimya.

Iambie mijitu isiyoelewa, kukurupuka tu sehemu isiyohusika! Waelewe forums mbalimbali sio kudandia tu!
 
Ngoja nishare kisa kimoja cha demu wangu,
Hapo kabla ya kuwa na Mimi aliwahi kuliwa kimasihara na dogo wa form 3.
Huyo dogo nyumbani kwao walikuwa wanajihusisha na biashara ya kuuza maji,walikuwa na carry na bajaji kwa ajiri ya biashara hiyo ni katika wilaya ya Sengerema wakati huo Kuna shida ya maji balaa.
Dogo alitengeneza mazoea na demu mpaka ikafikia akawa anapeleka bajaji ikiwa na dumu 30 za maji,nyumbani kwao demu.
Mazoea yalipozidi,dogo akaanza kumpanga demu kumtoa out(kwa jinsi demu alivyokuwa anamchukulia kawaida huyo dogo hakutegemea kama dogo angeweza kumla,yaani kifupi alkuwa ana mdharau sana),dogo mwenyew ni wale madogo maisha mazuri ambao huwa ni wazuri kama mademu.

Siku ya siku,demu akaamua kukubali mtoko,
Dogo akamwelekeza watakapoenda(ile sehemu kwa watu wengi hufahamu kuwa Kuna bar na ukumbi wa disco,Kumbe bhana huwa kuna vyumba vya kulala vipo na demu anasema hakujua kama pale wanapoenda huwa Kuna vyumba vya kulala).

Wamefika eneo la tukio,dogo anamweleza demu tuingie ndani nimeshachukua chumba(hapa demu anasema alisita kdogo alivyosikia Kuna kuingia chumbani,ila baadae akasema poa akaingia room,wakati huo wote dogo anasisitiza kuwa wanaenda kupiga story tu.

Wameingia room,dogo akaagiza msosi,akamshauri demu wapunguze nguo,demu akagoma,dogo akatumia ushawish kuwa utabak na bla na kyupi,wakat huo dogo yupo kwenye pensi na kaushi,demu akaona isiwe tabu akapunguza nguo kama alivyoambiwa(wakati huo bado anasema alkuwa bado anahis dogo hataweza),ila Mimi hapa nilianza kuhis kuwa demu alianza kujiandaa kwamba kama dogo akipambana na mpa tu.

Ile wamekula kidogo,dogo akaanza touch touch za hapa na pale,Mara akamlaza vizur ktandani,Mara akabinua kyupi pembeni akasogeza mdomo na kuanza kumnyonya(huyu demu katika Haya mambo anapendaga sana kunyonywa,na Mara nyingi anasema huwa ana bahati ya kupata wapenzi wapiga deki,anasema alivyonyonywa tu akapoteza network, akaliwa vizuri tu.
Bajaji gani hyo inabeba dumu 30 za maji?
 
Back
Top Bottom