Achana na JF yenye Inbox au mitandao mingine yenye huduma ya inbox/DM
Kama umeshakula Demu wa Youtube ...weee ni shetan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachotakiwa kufanya.
Tengeneza Email yako ya kazi maalumu.
Alafu wazamie kwenye komenti pale unakuta watu wanachangia mada ..chagua ID ya demu mwanamke alafu
Unamwambia kwa maneno haya
"Hey Miss Ireen, you are so royal and kind, check me "
asochekanaK@gmail.com."
Fala sanaa..unaweka hiyo email yako.
Alafu subiria Samaki ale chambo.
Nmeshawatafuna wachache .na mwezi ujao kuna mmoja MTZ yupo Guangzhou China, anaileta papuchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bongo
Huyu kakoleaa anataka na ndoaa.
Siku zaja ambazo wanawake 1000 , watamlilia mwanaume mmoja.